Watu wakavu 😢😢 et siwez kumuacha nimemzowea,, haya haus gar kamalizie kazizako boss atakufukuza kaz bure,, 😂😂😂 mana limekushuka shuuuu!!!!!🙌🏻🙌🏻🙌🏻😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kuna maneno ya wanawake wenzangu nikiyasikiaga huwa na cheater sana , eti tumetoka mbali name, siwezi kumuacha, eti ananipenda mimi 😅😅😅😅😅 huwa nacheka sana . 😅😅😅😅😅😅
Leo nyumbani hapakaliki kwa nini ana mchepuko na nyie wadada haya mambo muwe mnamalizana na waume zenu sababu wao ndiyo wanatongoza michepuko.
Ila Mr Uky punguza kizungu Tanzania 🇹🇿 kiswahili ndio kinafahamika sana achana na icho kizungu bhana 😎
Kma umeangalia zaidi ya mara kile kipenda kinachosena leana ni kivuruge gonga like hapa
Sio lizz na wew ni wizz @Mr Uk jifunze kiswahili unaboa viingereza vya hovyo yan tafran 🤔🤔🤔
Mara nyingi wanawake wanaokata tamaa na kutokujiamini ndio wana kuwa na huo msemo HAKUNA MWANAUME WA PEKE YAKO,ila sio kweli 💯
Kimemushuka shuuui mchepuko ni mchepuko tuuuuuu piga keleeeee watuache na waume zetu watafute waume zao
Miaka 2 kwenye zinaa 😳😳
mapenz mapenz mapenz haya uko uliko mapenz tunakulaan unatualibu sana😂😂😂
Jina lenyew wizz
Mi hata km umenichagua ila unieleze vizur kwann unisaliti la cvyo nakuwekea pilipili kwenye maji ya kuoga
Sema wizzy anapenda weusi 😅😅😅
Mikaa 2 siyo mbal sana i😂😂😂😂😂jamani vijidada acheni mapenzi yatawauwaa tafuteni pesa kisha muowee
Hehehe vitoto vya 2000 vinasumbuliwa na mapenzi af sauti ya Wizz mwenyewe sasa😂😂
Asanteee studio Nimependaaa mwanaume alivojibu mr uky 🎉
Watu wakavu 😢😢 et siwez kumuacha nimemzowea,, haya haus gar kamalizie kazizako boss atakufukuza kaz bure,, 😂😂😂 mana limekushuka shuuuu!!!!!🙌🏻🙌🏻🙌🏻😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂 bora tu reyna anajiona sana huyo😂😂😂😂 hayaa wifi yangu karibu nyumban 😂😂😂
Anaongeaje huyo bwana😂😅😅😅😅😅😅
Mdada mwenyewe mbaya kama mimi unagombana na mwanamke mwenzako kisa lijinaume
Kuna maneno ya wanawake wenzangu nikiyasikiaga huwa na cheater sana , eti tumetoka mbali name, siwezi kumuacha, eti ananipenda mimi 😅😅😅😅😅 huwa nacheka sana . 😅😅😅😅😅😅
Unacheza na wasukuma wazee wa kuropoka wanakuaibisha kabisa😂😂