mzee wa kazi pole sana,ila ukweli CHADEMA uongozi wa juu kuna shida.1.Ubinafsi wa Mh Mbowe ajenge taasisi sio kuigeuza sacoss yake.2.Mhe Lisu ni mtu intelligent sana na mkweli,amelalamika sana hivi majuzi kuwa CHADEMA imepewa hongo kubwa,na akaonya pesa hizo akiziita za Mama Abdul hazitawaacha salama.3.Kina Halima Mdee na wenzie swala likoje?CHADEMA shida ipo kubwa japo CCM kuna majizi na mafisadi
EPHESIANS 6:12 Vita vyetu sio juu ya Damu na nyama bali juu ya principalities, against powers, against the rulers of the darkness of this world, against spiritual wickedness in high places.
Mchezo umekwisha Chadema hampati kitu tena kwanini nilishasema Chadema ni Wasaka tonge tu hawana lolote nyie wazee mtoke Mbowe utoke kwenye Uwenyekiti Msigwa umeleta raha sanaaaa karibu Ccm yetu
Kama kweli unasimamia unachokiamini huwezi kuhama kwa sababu tu umekosa cheo. Wanasiasa mnawakosesha wananchi imani. Ina maana na hata prof nae angekosa cheo angeacha chama tuu? Hakika huko ulikoenda haufiti.
Lema mwenyewe anaondoka mda wowote usione anaumia ni sababu ya ( FARU JOHN) JANA alikuwa kapiga kubwa anajirambatu ndiyo maana TINDILUSI 😅😅😅😂😂😂😂 KATOKOMEA KUSIKO JULIKANA KWA SABABU YA MBOOOWE CHAPOMBE
CHADEMA ilikuwepo kabla ya Msingwa hajajiunga na CHADEMA kwahiyo msiwe wanyonge kiasi hicho Lets join to push on our Political part Msigwa alisha kuwa mnafiki siku nyingi sana
Historia ya mwenyekiti huwa ni mbaya hakuna aliyeingia angazake alafu akasalimika, mfano zito kabwe au yaliyomkuta chachawangwe,,,,,huyo ni mwenyekiti wa maisha
Angevumilia kwani lazima awe mwenyekiti nafasi si zipo nyingi kuwa mvumilivu kama makonda kaka benchi mda gani huyu sio mwana siasa kwasababu huu angalieni historia yake Ali ingiaje cdm baada ya mwakalebela kukataliwa na wananchi umuhimu
MUNGU MWENYEZI atakuhukumu sawasawa na usaliti wako Umetimia imani ya watu wa Iringa kukuamini kama Mchungaji kumbe ni Yuda Iskariote Sawa utapewa uwenyekiti wa CCM na hatimae utapitshwa bila kupingwa kuwa Rais vyeo ulivyonyimwa na MBOWE LKI kwakuwa MUNGU ni WA haki atatenda haki
Ila jamani tuwe wakweli hy mchungaji kama dishi lilishayumba siku nyingi tokea wakati wa maguila ila tu nafsi ilimsuta ndio akaasita ila sasa njaa haina aibu safari hii ameona heri kuingia kwenye pango la wanyang’anyi nimgemuelewa kama angeamua kurudi tu kanisakutumikia uchungaji wake?
Mwisho wa hatua moja ni mwanzo wa hatua nyingine Nawahakikishia Msigwa atachuja kisiasa soon Na wala CDM Haitashuka viwango eti kwa kuwa Peter Msigwa kahamia CCM
Peter mungu anakuona
Umefanya vizuri Lema imebidi Msigwa aondoke Mbowe kamfanyia vibaya yeye ndiyo aliyopanga kumtoa Msigwa ili kura apigiwe ba tule mwenye sura kama Nyani
mzee wa kazi pole sana,ila ukweli CHADEMA uongozi wa juu kuna shida.1.Ubinafsi wa Mh Mbowe ajenge taasisi sio kuigeuza sacoss yake.2.Mhe Lisu ni mtu intelligent sana na mkweli,amelalamika sana hivi majuzi kuwa CHADEMA imepewa hongo kubwa,na akaonya pesa hizo akiziita za Mama Abdul hazitawaacha salama.3.Kina Halima Mdee na wenzie swala likoje?CHADEMA shida ipo kubwa japo CCM kuna majizi na mafisadi
Afadhali angehamia kipindi cha ndugu yake JPM.
Amechelewa sana na anaendekeza sana njaa,angehamia kipindi kile cha Magufuli angekula dodo.
Chadema ni watu siyoo mtu kwahyo mtu awezi kuwapa tabu watuuu wapo waxuri ndani ya chama kuxidi yeye
Magret polepole wewe ndo saka tonge na richawa lililo kubuhu la mama kulemba
nibora kuwa ccm ijulikane. kuliko kuwa chadema na mawazo ya ccm.
Mwenyekiti wenu ndugu Mbowe ndiyo tatizo kubwa bana.
Chadema panueni democrasia acheni kumlalamikia msigwa
Nimeumia km MCH anaweza kuondoka wakati Huu nguvu mliyotumia kuhamasisha umma Leo mmeanza kubomoa Tena hv mpaka lini
EPHESIANS 6:12 Vita vyetu sio juu ya Damu na nyama bali juu ya principalities, against powers, against the rulers of the darkness of this world, against spiritual wickedness in high places.
Wanasiasa kama hawa kama tungekuwa somalia mnamalizana nae tu
Wana siasa ni wanafiki
Mungu.hajamchagua.yuko.atayekujabora.zaidi.kuliko.msg
Mbowe ndo amekufanya uwe mbunge miaka kumi ngoja tuone utakako enda
Haya Silaa alifanya hayo hayo muwe makini
CHADEMA BADILISHENI UTARATIBU LA SIVYO WATU WATASHINDWA KWA KWENDA, MSIGWA HAJAPENDA KABISA KWENDA CCM , NI HASIRA 2 KUTOKANA ZULUMA ZA UCHAGUZI
Alisema akienda ccm nyumba yake na magari yake yacjomwe moto
Mchezo umekwisha Chadema hampati kitu tena kwanini nilishasema Chadema ni Wasaka tonge tu hawana lolote nyie wazee mtoke Mbowe utoke kwenye Uwenyekiti Msigwa umeleta raha sanaaaa karibu Ccm yetu
🎉Hujui unachokiongea wewe
Msigwa unatamaa ya madaraka na pesa.
LEMAKAZAMWENDO TUNAKUTEGEMEA SAAANA MUNGU AWE NAWE ILAKWELI KUAGANAKUNATIA HUZUNI HASAKWA ANAYE ONDOKAANA ACHAUKIWA HATAKAMANIMBAYA MSIGWA RUDI TAFADHALI WEWENIMCHUNGAJI ONYESHA NURU IWAKE MIMISINALOLOTE LAKINISITANGITANGI
Kama kweli unasimamia unachokiamini huwezi kuhama kwa sababu tu umekosa cheo. Wanasiasa mnawakosesha wananchi imani. Ina maana na hata prof nae angekosa cheo angeacha chama tuu? Hakika huko ulikoenda haufiti.
Ccm inavuna ilichopanda
Msigwa shezi kabisa tena shizi sana
Msigwa asingehama mwenyekitiwake angemfanya chochote wee lema si unajuwa???? Mambo yale ya chachawangwe ilikuwa hatareeeee!
mimi nilitarajia atahamia ccm tangia enzi za magufuli ila sihui kilimzuia nini mwendo wake ulikua unaonyesha dhahirr mjinga huyu
Lema mwenyewe anaondoka mda wowote usione anaumia ni sababu ya ( FARU JOHN) JANA alikuwa kapiga kubwa anajirambatu ndiyo maana TINDILUSI 😅😅😅😂😂😂😂 KATOKOMEA KUSIKO JULIKANA KWA SABABU YA MBOOOWE CHAPOMBE
Kwanini msigwa anaandikiwa cha kusema
Uyu anatamaa na viewo ata ccm wajiagarie mana ni hatari kwao
Kwa kweli. Viongozi mnatufundisha nini! Mimi wanachama wakawaida. Nitakuaje! Sijui uchu wa madalaka! Sio mbaya tuliumia na Akina halima mdee mwisho tumezoea. Na wametokea majembe mazuri.
Yuda
Njaa
Nhaa ni hatari.
CHADEMA ilikuwepo kabla ya Msingwa hajajiunga na CHADEMA kwahiyo msiwe wanyonge kiasi hicho
Lets join to push on our Political part
Msigwa alisha kuwa mnafiki siku nyingi sana
Dah kwa utaratibu huu unfiki unaendelea
Kumbe msigwa kilichokuweka chadema ni cheo, umeamua kuunga mkono wezi?, ningekuona wa maana sana kama ungehamia ACT
Msingwa ni msenge for real ataendelea kuma mpaka mwisho shenzi sana
Inaonekana una kisa na msigwa maana umemtukana tusi kubwa jamani.
Jiandae kuwatukana wengi maana wengi bado watahama.
Hapa kuna kitu cha kujifunza hatuna upknzani kabisa kwani huwezi kuwa mpinzani una njaa
Njaa haina baunsa🤣
Siasa za uongo.daima hujenga chuki.tanzania tunahitaji maendeleo.Sgr.barabara .miradi usalama elimu.
Historia ya mwenyekiti huwa ni mbaya hakuna aliyeingia angazake alafu akasalimika, mfano zito kabwe au yaliyomkuta chachawangwe,,,,,huyo ni mwenyekiti wa maisha
Njaaa tuu apo uwaziri
Hata samia atawaumiza na kuwafukuza watu kwanini haufukuzi wati Zanzibar why shenzi sanzi sana
Huyu Mzee acha akafie Kwa wazee wenzie huko
Mipango yetu kuivuluga ccm
Angevumilia kwani lazima awe mwenyekiti nafasi si zipo nyingi kuwa mvumilivu kama makonda kaka benchi mda gani huyu sio mwana siasa kwasababu huu angalieni historia yake Ali ingiaje cdm baada ya mwakalebela kukataliwa na wananchi umuhimu
Rubbish
Huyu alishaonyesha sikunyingi tangu alipolipiwa fain na makofuli huyu aendetu
Hili ni pigo kwa chadema japo wanajikaza tuu.
MUNGU MWENYEZI atakuhukumu sawasawa na usaliti wako Umetimia imani ya watu wa Iringa kukuamini kama Mchungaji kumbe ni Yuda Iskariote Sawa utapewa uwenyekiti wa CCM na hatimae utapitshwa bila kupingwa kuwa Rais vyeo ulivyonyimwa na MBOWE LKI kwakuwa MUNGU ni WA haki atatenda haki
Kesho nawe kamfate
Yaani huyu hastahili hata kumwita mchungaji mwiteni tu msingwa msaliti mkubwa wewe Huna ata aibu kauso kakavu
Kumbe msigwa ulivyo kuwa unapiga kelele kuhusu bandari ulikuwa mnafiki mkubwa, kumbe wewe ni ziro brain
Ila jamani tuwe wakweli hy mchungaji kama dishi lilishayumba siku nyingi tokea wakati wa maguila ila tu nafsi ilimsuta ndio akaasita ila sasa njaa haina aibu safari hii ameona heri kuingia kwenye pango la wanyang’anyi nimgemuelewa kama angeamua kurudi tu kanisakutumikia uchungaji wake?
Ni kweli,ametoka kwenye genge la majambazi ameingia kwenye chama cha walafi
Mwisho wa hatua moja ni mwanzo wa hatua nyingine
Nawahakikishia Msigwa atachuja kisiasa soon
Na wala CDM Haitashuka viwango eti kwa kuwa Peter Msigwa kahamia CCM
Usimie.lema.wako.wengi.wazuri.wenye.uwezo.mkubwa