CCM siipendi! Lakini chadema siipendi kuliko ccm,,, watanzania ndio hawa hawa,, hawata badilika,,hata muasisi wa chadema, alikua fisadi mkuu wa zamani ndani ya CCM, hata kufikia hatua ya kupishana na nyerere. Kwahiyo hata chadema ni majambazi wakuu, walokimbia kutoka mpango wa iba kidogo kutoka CCM, na wamejipanga, kuhamishia bank kuu ya tanzania kuipeleka kilimanjaro. Na wanaoisukuma chadema kwenda mbele, ni kama ngazi ya kuwafikiaha wahusika
Mbona kim Johung raisi waChina n raisi wa kudumu kutokana na wanavyo muamini watu wake na sisi Mboye ndiyo mwenyekiti wetu wa kudumu mpaka MWENYEZI MUNGU aseme basi sio nyinyi wezi wa kura
Kujadili mambo ya kina Msigwa ni kukosa mada ongeleeni mambo ya msingi siyo matangopori ya kina Msigwa,zitto aliondoka chadema,Wilbrod slaa aliondoka, na wengine wengi chadema vp imeteteleka?acheni kumzunguzia Msigwa mbona kila wakati msigwa kwani Msigwa nani?kafukia talanta huyo kwenye uwanja wa siasa kwisha habari yake subirini mtaona yake,subirini mtaona kitakachoendelea juu yake kwani ninani aliyetoka chadema halafu akawa na kibali kwa wananchi?awaulize covd 19 kama wanaweza wakauzika kwa wananchi kwa habari ya siasa kwisha habari yake
Dada uko vizuri hongera sana
Msigwa hana tofauti na mchungaji Tito
Mtu jasiri ni yule anayepambana na changamoto na sio kukimbia changamoto
Dada unamajibu sahihi sana. 🎉
Dada uko vizr kwakujibu
Acha azunguke watakao mfwata wabovu kama yeye
Kweli kabisa dada
Naona hadi mtangazaji anakosa maswali
Jadilini mambo mengine msigwa achaneni nae.
Sister una akili nyingi. Hongera sana
Vizurii sana Aunt
🤑...Tumbo....
Anatafuta kama atapata nafasii ya ubunge kwa tuketi ya ccm.
Mara nyingi wanachama wa chadema huwa wako imara mno ndiyo maana huwa wakija ccm wanapata uongozi
CCM siipendi! Lakini chadema siipendi kuliko ccm,,, watanzania ndio hawa hawa,, hawata badilika,,hata muasisi wa chadema, alikua fisadi mkuu wa zamani ndani ya CCM, hata kufikia hatua ya kupishana na nyerere. Kwahiyo hata chadema ni majambazi wakuu, walokimbia kutoka mpango wa iba kidogo kutoka CCM, na wamejipanga, kuhamishia bank kuu ya tanzania kuipeleka kilimanjaro. Na wanaoisukuma chadema kwenda mbele, ni kama ngazi ya kuwafikiaha wahusika
Mbona kim Johung raisi waChina n raisi wa kudumu kutokana na wanavyo muamini watu wake na sisi Mboye ndiyo mwenyekiti wetu wa kudumu mpaka MWENYEZI MUNGU aseme basi sio nyinyi wezi wa kura
KIM JOHUNG🤔
Msenge wewe, mwenyekiti adumu milele! Amekua baba ako? Baba ndie atae dumu milele,, chadema ni chama cha matapeli kuliko matapeli wa CCM.
Hv kwann mtu akihama chadema mnaponda, nakubaliana na msigwa hatuna hoja
Wanachadema wa kike na kiume wako vizuri, imara na thabiti wako sawasawa hata ccm wanalijua hilo.
Swali langu Ni hili Msigwa Ni mchungaji wa kanisa gani?
Kama msigwa nimchungaji nashindwa kuelewa waumini wake huwa anawahubiria kitu gani au Alisha mwasi Mungu?
Dada uko vizuli mikono
Wapo wengi wataingia kwenye chama hicho.
🤑
Kujadili mambo ya kina Msigwa ni kukosa mada ongeleeni mambo ya msingi siyo matangopori ya kina Msigwa,zitto aliondoka chadema,Wilbrod slaa aliondoka, na wengine wengi chadema vp imeteteleka?acheni kumzunguzia Msigwa mbona kila wakati msigwa kwani Msigwa nani?kafukia talanta huyo kwenye uwanja wa siasa kwisha habari yake subirini mtaona yake,subirini mtaona kitakachoendelea juu yake kwani ninani aliyetoka chadema halafu akawa na kibali kwa wananchi?awaulize covd 19 kama wanaweza wakauzika kwa wananchi kwa habari ya siasa kwisha habari yake
Uko sawa. Nami suala la Msigwa linanitia kichefuchefu.Ameshaendaaaaaa. To hell with him
mtangazaji umeongwa kila kitu wewe ni Msigwa tu
Dada uko vizr kwakujibu
Kwahiyo chadema imekuwa sakos baada kushindwa uchaguzii inamaana wakati akiwa kiongozi alikuwa ana ongoza sakos