Unamafundisho mazuri ni kweli tupu ALLAH AKUBARIKI Usemayo kweli. Mimi MUISLAM, Nilisoma zamani billiards, yote uliyoyatoa nimeona kwenye methali ya suleiman.shukrani.
Asante sana baba mahubiri Yako Yana ni jenga kila Mara Nike kufata Na miye Na tamani sana niwe tajiri mkubwa sana zaidi ka niombeye ata kama Niko Congo 🇨🇩
Tofauti ya wakristo na waislamu, wakristo wanafundishana sana kuhusu kufanikiwa duniani, waislamu hufundishana kuhusu kufanikiwa mbinguni tu, napita baadhi ya makanisa nakuta mchungaji anaongea hbr za Isack Newton sijui Galilei , mambo ambayo hayahusian na kanisa
Baba nakutazama kutoka Nairobi napenda mafunzo yako naomba ufanye mafunzo maalum kuhusu ndoto na maana zake.
Nitashukuru🇰🇪
Baba naomba msada wa maombi Baba naamini Mungu ajatupa maarifa yanayo fanana Baba nimesha kuandiya WhatsApp ili tuongee I'm Fred Evangelist Bilali
Unamafundisho mazuri ni kweli tupu ALLAH AKUBARIKI Usemayo kweli. Mimi MUISLAM, Nilisoma zamani billiards, yote uliyoyatoa nimeona kwenye methali ya suleiman.shukrani.
Prophet ipm huko sawa kabisa
Atukuzwe Mungu 🙏 unatutoa chini na kutupeleka viwango vya juu sana, barikiwa sana mtumishi 🇦🇪🇹🇿
Asante sana baba mahubiri Yako Yana ni jenga kila Mara Nike kufata Na miye Na tamani sana niwe tajiri mkubwa sana zaidi ka niombeye ata kama Niko Congo 🇨🇩
Amen. ❤❤❤ 🎉🎉
Baba hongera sana zaman walokole walikuwa wavuvi hawaaminiki baba umekuja kubadilisha fkira
Daah umeongea maneno mazito baba kiukwel Mungu atusaidie ma azid kukutunz wew ❤❤
Nami naomba niwe miongoni mwa hao watu mia ktk jina la yesu amina
Mafundisho mazuri saaana allah akuweke mzee
Kaka asante sana maneno yako yananifungua sana
Âmen and amen
Naitwa mussa Abillahi tokea Lindi nakupenda baba
mafundisho mazuri Sana
Aminaaaaaa!!!!!!!.
AMEEE
Shua,
Asante sana.
Heavy message
Kweli kabisa Mtumishi
Asante prophète mungu akubariki
Kweli Mtumishi wa Mungu
Amina prophet
Asante mungu mwema ukitoa uongozi wewe unakipaji chauongozi
Kweli kiongozi wetu
Nikweli pastor uliyoyasema ni kweli Amen
😢😢😢😢 Hapo mwisho umepiga kwenye mshono
Baba nimekuelewa
Mishangazi 😂😂😂😂😂😂😂 haaaaaa
Mm muislam lakin nakusikiliza sana ipm sipend ukristo ila maneno yako kuna vitu vingi najifunza#
Amen 🙏🙏
Ukweli kabisa prophet ipm
❤❤❤❤
baba asante kwa kuwa live
Kweli baba ukisemacho hicho nilikiwona mapema baba nilichukuwa hatuwa.
🙏🙏🙏🙏🇰🇪👍🤝
⚒️
Wewe jamaa Leo umeniliza
Wa shoga niwa nani baba sisi wa congo hatuelewi .kwa kiswahili zetu
Barikiwa
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 jamani baba wambiye vijana wasijiye
Huyu na Nyakia wamekuja kuvuruga ukristo...wanashawishi mambo ya ilimu dunia...
Niko Congo Drc uo rdc
😂😂😂😂😂😂😂😂 kasongo yeyeye
Nitumie namba zakwako mtumishi wa Mungu
Dah usemayo nikweli kabsa wazazi ni Nguzo Pia ya mafanikio.
Tofauti ya wakristo na waislamu, wakristo wanafundishana sana kuhusu kufanikiwa duniani, waislamu hufundishana kuhusu kufanikiwa mbinguni tu, napita baadhi ya makanisa nakuta mchungaji anaongea hbr za Isack Newton sijui Galilei , mambo ambayo hayahusian na kanisa
Hivi baba mchungajii ni kweli yesu alizaliwa tarehe 25 December???
Ila IPM bwana mahubiri yako yananibariki a see ety Wana Hadi jasho la 1980😂😂😂😂
Kweli2pu mjomba
Tumekupata 5/5 Stockholm Sweden iyokweli kabisa walokole tumesinzia sana.Atuwambiye tena Njomana tumekwama kwasababu tumewambia watu siri zetu!
😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊
Baba niko Congo ila naitaji msaada wako kwangu ,unielekeze kwamafanyikiyo yaMUNGU
Mchungaji na wewe tuambie Siri ya mafanikio yako sasa
Asanteni sana
Nataka unielekeze niko goma Congo Drc