SHETANI HAKUSEMA UONGO ALIMWAMBIA EVA UKWELI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 31 ม.ค. 2025

ความคิดเห็น • 239

  • @rickrhymes_tz
    @rickrhymes_tz 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Pastor your too straight "!🎉🎉🎉

  • @WTC492
    @WTC492 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    IPM Leo nimekuelewa

  • @obviousmphande8621
    @obviousmphande8621 3 วันที่ผ่านมา +2

    Hapo mchungaji nimekuelewa kuliko siku zone yaani nakupenda ,nkweli heva hakuzini bali alipokea mafundisho yauongo .Mungu akubariki sana azidi kukutumia.
    Amen

  • @childofgod3216
    @childofgod3216 3 วันที่ผ่านมา +15

    Yesu mwenyewe alisema shetani ni Muongo tokea zamani 😁😁😁😂😂😂😂😂 Muongo wewe Tapel tu

    • @ramamakomola2739
      @ramamakomola2739 2 วันที่ผ่านมา

      Some ueleweee

    • @childofgod3216
      @childofgod3216 2 วันที่ผ่านมา

      @ umeshadanganywa kabisa ndo maana

    • @michaelthobias9967
      @michaelthobias9967 2 วันที่ผ่านมา

      Huyu anatafsiri fikra zake za kibinadamu tu usijaribu kuweka fikra zako kwenye ishu za imani

    • @childofgod3216
      @childofgod3216 2 วันที่ผ่านมา

      @ Mungu ni Roho mambo yake yanaonekana kwa roho ukiweka ubinadamu humpati Anaposema mti wa ujuzi wa mema na mabaya ni torati iliyokua kwa mkono wa musa
      Adamu aliposikiliza hio akatambua dhambi kwa njia ya torati

    • @AlexMshota
      @AlexMshota 2 วันที่ผ่านมา

      MUNGU akubariki 🎉

  • @hudumablack9339
    @hudumablack9339 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Uko sahihi mtumishi. Sisi wanateolojia tunakuelewa vzr.

  • @cornelionfikiri2052
    @cornelionfikiri2052 3 วันที่ผ่านมา +3

    THE PROPHET OF GOD 🌎
    NITAKUPENDA MI LELE BABA❤️🇨🇩💰🙏

    • @8pistons194
      @8pistons194 2 วันที่ผ่านมา

      Which god r u saying

  • @AlexMkwama
    @AlexMkwama วันที่ผ่านมา +3

    Jamaa yupo kimwili na sio KIROHO.
    Mpotoshaji

  • @GodyNsenye-d4j
    @GodyNsenye-d4j 2 วันที่ผ่านมา +2

    Ayaa ujiitaye IPM 😢😢😢 utajilaumu badae YESU ngoja aje utaona vya moto mtete sana huyo shetani utalia wewe😢😢 haya

  • @RehemaTogwa
    @RehemaTogwa วันที่ผ่านมา +2

    Shetani ni Muongo na hayo sio maneno ya mwanadamu ..SHETANI NI BABA WA UONGO. Kusema kwake ukwel Mara nyingine hakumfanyi sifa yake ya uongo ifutike

  • @kenedysebastiani7070
    @kenedysebastiani7070 21 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Amina mtumishi

  • @johnchalahani6924
    @johnchalahani6924 วันที่ผ่านมา +3

    Wew kweli mbulula huna lolote wafundishe mbulula wenzio

  • @RichardRobert-v4u
    @RichardRobert-v4u 3 วันที่ผ่านมา +1

    Hatari sana mwamba IPM

  • @young_mmbaga
    @young_mmbaga ชั่วโมงที่ผ่านมา

    asaaa kumbe YESU HATUPEEEENDI KUMBE
    *Asije akaona akanyoosha mkono akachuma tunda la uzima wa milele*
    KUMBE WANAPENDA TUFE....KWANINI ASITUFANYE TUISHI MILELE

  • @GabrielParaket-r2k
    @GabrielParaket-r2k 3 วันที่ผ่านมา

    Speech Kali Asante ipm

  • @goldenbluez
    @goldenbluez วันที่ผ่านมา

    Ukim skiza vizuri ndo utaelewa....kitu apo.🙏🙏🙏

  • @apostlejacksonkalinga5191
    @apostlejacksonkalinga5191 2 วันที่ผ่านมา +1

    Hivi iraq ni Africa?

  • @sittamanoni7521
    @sittamanoni7521 2 วันที่ผ่านมา +2

    Nipo hapa kumuomba admin apost hyo audio ya huo mziki, naipenda adi basii

  • @PatrickOropto-k6c
    @PatrickOropto-k6c 15 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Wewe ndiye muongo, Bwana Yesu mwenyewe alisema, shetani ni muongo, wewe ninani

  • @PetroFabiankingmwamba
    @PetroFabiankingmwamba 3 วันที่ผ่านมา +18

    😅😂😂😂😂leo ndio nimeamini kwamba kuna watumishi wa shetani wanamtetea kwa siasa kibao kama ukweli vile kumbe ni hatar sana. shetani sio wakutreñdisha hivyo:

    • @StephenMwangi-h5z
      @StephenMwangi-h5z 3 วันที่ผ่านมา +2

      Kuelewa kwako ndio batili kabisa

    • @PetroFabiankingmwamba
      @PetroFabiankingmwamba 3 วันที่ผ่านมา +7

      @@StephenMwangi-h5z sikiliz nikuambie ndugu yangu nuru na giza havitawez kukaa pamoja milele ndio maana inapo fika jion jua linakimbia na inapo fika hasbh giza linakimbia
      shetani atakbali kua baba wa uongo milele kwa mjib wa bible aijàlishi anaijua vipi mbingu...chunguza san pia maubioi yakumtetea shetani huo ni ushetani tu.

    • @MfiriNasawe
      @MfiriNasawe 3 วันที่ผ่านมา

      Aliposema tu shetani sii muongo hapo tu kashawapoteza​@@StephenMwangi-h5z

    • @MfiriNasawe
      @MfiriNasawe 3 วันที่ผ่านมา

      Kwahio wee ulikuwepo kipindi huyo babaaako akisema ?

    • @ivonaevarista4654
      @ivonaevarista4654 3 วันที่ผ่านมา +5

      Ndo maana shetani alimwendea IPM akamwambia aende gym atengeneze body awe na mwonekano flani nayeye akaona nisawa kabisa ona baada yakutengeneza body Sasa anaonekana Kama mtu flani kipofu mpeleka watu motoni,anajua anachokifanya huyuu mjinga,ndo maana wasipotubu YESU KRISTO atawakomesha nakiburi Chao.

  • @kenedysebastiani7070
    @kenedysebastiani7070 21 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Duuu mungu akuongoze watanzania bado tunakuitaji

  • @cacanoelstambuli9067
    @cacanoelstambuli9067 วันที่ผ่านมา +1

    Shetani palepale alisema uongo,Mungu hakumwambia Adam. Asile matunda ya miti yote kama alivyosema shetani,alimwambiia asile matunda ya mti mmoja tuu.soma vizuri wewe mtumishi njaaa.

    • @cacanoelstambuli9067
      @cacanoelstambuli9067 วันที่ผ่านมา +1

      Mwanzo 2:16
      Bwana Mungu akamwagiza huyo mtu, akisema, Matunda ya kila mti wa bustani waweza kula,

    • @cacanoelstambuli9067
      @cacanoelstambuli9067 วันที่ผ่านมา +1

      Mwanzo 3:1 Basi nyoka alikuwa mwerevu kuliko wanyama wote wa mwitu aliowafanya Bwana Mungu. Akamwambia mwanamke, Ati! Hivi ndivyo alivyosema Mungu, Msile matunda ya miti yote ya bustani?

  • @patrickmuli979
    @patrickmuli979 16 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Marko 4:10_12 neno la mungu ni mafumbo wasio wa ufalme wa Mungu hawawezi kuelewa .ili wasije wakatubu wakasamehewa .nyoka ni fumbo sio nyoka wa mwituni .mchungaji kakosa hekima ya kimbingu

  • @wewa7329
    @wewa7329 3 วันที่ผ่านมา +1

    Kwann mungu awanyime maarifa

  • @PatrickOropto-k6c
    @PatrickOropto-k6c 15 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Huyu siye mtumishi wa Mungu, Huyu ni shehe kutoka uislamu, ana elimu ya uislamuhuyu

  • @PatrickOropto-k6c
    @PatrickOropto-k6c 15 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Wewe ni mwislamu wajificha kwa ukristo

  • @PatrickOropto-k6c
    @PatrickOropto-k6c 15 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mkewe mwenyewe akiri akimjibu Mungu,ni shetani ndiye alinidangnya

  • @topaztz7601
    @topaztz7601 2 วันที่ผ่านมา +2

    Mchungaji uko sahihi kwa 100%

  • @shemdoepro
    @shemdoepro วันที่ผ่านมา +1

    The concept is true. the devil spoke the truth but not for good.
    Eg He told Jesus in Matthew 4:6 that "it is written...."
    Which is true.....
    [6]And saith unto him, If thou be the Son of God, cast thyself down: for it is written, He shall give his angels charge concerning thee: and in their hands they shall bear thee up, lest at any time thou dash thy foot against a stone
    THE DEVIL IS A LIER.. HE USES THE TRUTH TO LIE
    HE USES THE TRUTH TO CAUSE PAIN AND DESTRUCTIONS AS HE DID IN EDEN.

  • @wiltorderickmatata3335
    @wiltorderickmatata3335 3 วันที่ผ่านมา +3

    Amina mungu abariki sauti Yako izidi kupaa mataifa yote wasikie sauti ikihuburi neno la MUNGU 🙏

    • @HezbornGichana
      @HezbornGichana วันที่ผ่านมา

      Elewa kinacho semwa apo eti shetani si muongo ama?

  • @VictoryMubelela
    @VictoryMubelela 2 วันที่ผ่านมา +2

    ndunda gani iyo iliyo tuleteya mauti Mungu awezi kuuwa mutu ju ya chakula apana muchungaji

  • @ChrispinKasaza
    @ChrispinKasaza 3 วันที่ผ่านมา +1

    Amen🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🙏🧎🏽‍♂️

  • @samsonmabula
    @samsonmabula วันที่ผ่านมา +3

    Yohana 8:44
    Ninyi ni wa baba yenu, Ibilisi, na tamaa za baba yenu ndizo mpendazo kuzitenda. Yeye alikuwa mwuaji tangu mwanzo; wala hakusimama katika kweli, kwa kuwa hamna hiyo kweli ndani yake. Asemapo uongo, husema yaliyo yake mwenyewe; kwa sababu yeye ni mwongo, na baba wa huo.

    • @childofgod3216
      @childofgod3216 วันที่ผ่านมา

      @@samsonmabula umeiona sasa hio sentensi inavomtambulisha Shetani
      IPM ameupiga mwingi

    • @PetroFabiankingmwamba
      @PetroFabiankingmwamba วันที่ผ่านมา

      @@samsonmabula yes baba wa uongo

  • @malkiarosemuhando3310
    @malkiarosemuhando3310 3 วันที่ผ่านมา +1

    Point!!

  • @kevyusto2954
    @kevyusto2954 วันที่ผ่านมา +1

    Ombi! Tutengenezee watumishi kama ww maana mafundisho yako yanatufungua akili san

  • @MwitaMarwa-s6u
    @MwitaMarwa-s6u วันที่ผ่านมา

    hii vita haituhusu sisi watu wa Proud to be😂

  • @Charlesselelya
    @Charlesselelya 2 วันที่ผ่านมา +2

    Nyoka alianza na uongo ati hivi ndiyo alivyosema Mungu, msile matunda ya MITI YOTE YA BUSTANI? MWA 3:1, rejea MWA 2:16-17

  • @cosmasmilanzi7117
    @cosmasmilanzi7117 3 วันที่ผ่านมา +1

    MUNGU ANASEMA "HAKIKA MTAKUFA!" NA NYOKA ANASEMA "HAMTAKUFA HAKIKA!"- Uongo wa dhahiri wa shetani uko hapa

  • @TheHistoryLocastion-ox9qw
    @TheHistoryLocastion-ox9qw 2 วันที่ผ่านมา +1

    Dah nilikuwa nakukubali lakin kwenye hili umealibu wew sio mtumishi wa mungu wew ni mtafta hela

  • @hamisiismail2577
    @hamisiismail2577 วันที่ผ่านมา

    Mungu alisema mm sifundishwi na ninyi mmmmmm😮

  • @HezbornGichana
    @HezbornGichana วันที่ผ่านมา

    Mwambie huyo kipara awache kudhanganyana maana ninajua vitu viwili tu kwamba mungu awezi kuzini tokea mwanzo na shentani awezi kutenda jambo njema kabsaa

  • @cosmasmilanzi7117
    @cosmasmilanzi7117 3 วันที่ผ่านมา

    YOHANA 8:44- "...wala hakusimama katika kweli, kwa sababu hamna hiyo kweli ndani yake.!"

  • @BartolomeuHenriques
    @BartolomeuHenriques 3 วันที่ผ่านมา

    Ubarikiwe

  • @T-Fellow
    @T-Fellow วันที่ผ่านมา

    Wait whaaaat!..... But kaka, yule nyoka arikuwa Shetani

  • @ProsperKimaro-d9b
    @ProsperKimaro-d9b วันที่ผ่านมา

    Kueni kiroho jaman shetan ni BABA wa uongo kweli lkn ana mbinu zinazo fanana na kweli ila kuna kitu ana winda angalia kwa YESU alivyo kuja baada ya kutoka kufunga alimwambia ukwel lkn ndani yake kuna jaribu

  • @MathewMdaki
    @MathewMdaki 2 วันที่ผ่านมา

    Mungu akubariki tu maana mm sio mtoa hukum

  • @T-Fellow
    @T-Fellow วันที่ผ่านมา

    Wait whaaaat!..... But kaka, yule nyoka arikuwa Shetani. Eti Mungu kuogopa kwahiyo Adam na Eve, walibadirika kama Mungu😂😂😂

  • @bubasha88
    @bubasha88 2 วันที่ผ่านมา +2

    Maandiko matakatifu yako wazi, shetani ni muongo hakusema kweli. Mwanzo 2:17; Mwanzo 3; Mwanzo 3:4-6 Shetani ni muongo, Yoane/Yohana 8:44; Ufunuo 12:7-12; Ufunuo 2:1-2,10-15

  • @michaelmwalimu6057
    @michaelmwalimu6057 2 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂Wakati mwengine watumishi wa shetani wanachekesha, Muongo huyooo mtumishi ni washetani

  • @wilkinssimkoko7920
    @wilkinssimkoko7920 วันที่ผ่านมา

    Yeye ni Muongo na Baba wa Huo...

  • @zakarianyakunga9207
    @zakarianyakunga9207 วันที่ผ่านมา

    DA NIMESHANGAA TU SHETANI KUITWA "mwamba"

  • @tariqkhassim4059
    @tariqkhassim4059 3 วันที่ผ่านมา +1

    APO KWENYE KUMTAMBULISHA YESU AAAH PATAM NYIEEE

  • @MfiriNasawe
    @MfiriNasawe 3 วันที่ผ่านมา

    Mwamba ni mungu pekeyake

  • @MichaelMgallaTz
    @MichaelMgallaTz 2 วันที่ผ่านมา

    Nyoka tunao ndan mwetu kwenye ndoa kwenye biashara Maombi Yawe mengiiii jamani 😂😂😂

  • @juniorkaguo8616
    @juniorkaguo8616 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Ukishindwa kumuelewa IPM unamatope kichwa

  • @zachbula624
    @zachbula624 2 วันที่ผ่านมา +1

    Uongo wake ni pale aliposema mkila matunda hamtakufa.. sasa walipokula hawakuanza kufa!??? Acha kupindisha ukweli wa maandiko... Shetani ni muongo

  • @betjcom
    @betjcom วันที่ผ่านมา +1

    Unafundisha ujinga mzee.. Mafundisho ya kipepo haya.... Siku yenu inakuja . Shenzi sana nyny.. All BENIN , Nigeria e.t.c products mtaangamia vibaya sana with your shrines na ushoga wenu.. Pumbavu.

    • @GakizaGerardine
      @GakizaGerardine 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Unanishangaza sana mafundisho ya kipepo kivip?? Biblia ni ya mapepo mbona vyote alivisoma ndani ya biblia..... Acheni kufuru bila kujuwa

    • @GakizaGerardine
      @GakizaGerardine 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Kuna watu tunafumbuliwa macho kupitiya haya mafundisho asante IPM

  • @nwntz
    @nwntz 3 วันที่ผ่านมา +2

    safi sana hivi vitabu hua tunasoma spidi kali bila kutafakari na ni watumishi wachache wenye kipawa cha uchambuzi kama wewe IPM. Asante

    • @PhimoniMwakalili
      @PhimoniMwakalili 3 วันที่ผ่านมา

      angalia sentensi ya Mungu aliyomwambia eva .afu angalia sentensi ya shetani...afu angalia sentensi ya eva akimwambi shetaniii....ndo utajua kuwa shetani anatumia hila yan uongo unaoendana na ukweli

    • @nwntz
      @nwntz 2 วันที่ผ่านมา

      @@PhimoniMwakalili uongo upi? ule ni umbea

    • @LeoChristianWorships26
      @LeoChristianWorships26 2 วันที่ผ่านมา

      Kumbe wewe pia umekubaliana na shetani

    • @samsonmabula
      @samsonmabula วันที่ผ่านมา

      Yohana 8:44
      Ninyi ni wa baba yenu, Ibilisi, na tamaa za baba yenu ndizo mpendazo kuzitenda. Yeye alikuwa mwuaji tangu mwanzo; wala hakusimama katika kweli, kwa kuwa hamna hiyo kweli ndani yake. Asemapo uongo, husema yaliyo yake mwenyewe; kwa sababu yeye ni mwongo, na baba wa huo.

    • @samsonmabula
      @samsonmabula วันที่ผ่านมา

      ​@@nwntz😂😂 daaah Mungu atusaidie sana, tatizo binadamu ni wazito kusoma biblia
      Warumi 14:11
      Kwa kuwa imeandikwa, Kama niishivyo, anena Bwana, kila goti litapigwa mbele zangu; Na kila ulimi utamkiri Mungu.

  • @espoirshabashaba7985
    @espoirshabashaba7985 วันที่ผ่านมา

    Huyu naye ni mchungaji au muigizaji wa bongo movie?

  • @patricknyamkora1419
    @patricknyamkora1419 วันที่ผ่านมา

    Wewe ni mpinga kiristo Mungu alisema msile shetani aka sema kuleni je nani muongo hapo

  • @loreenchezques523
    @loreenchezques523 2 วันที่ผ่านมา

    mtumishi hapa umenena nimekuelewa haswa

  • @MichaelRubai
    @MichaelRubai 2 วันที่ผ่านมา

    Wewe mwenyewe mtumishi wa shetani

  • @AlbethRugaya
    @AlbethRugaya 2 วันที่ผ่านมา

    Hatari hii Dunia ni ngumu kuelewa mungu ni yupi kwa maana Kila mtumishi anamafundisho yake sasa mm huyu hata afanyeje siwez kumuelewa hata kidogo

  • @cosmasmilanzi7117
    @cosmasmilanzi7117 3 วันที่ผ่านมา

    YOHANA 8:44 "Asemapo uongo,asema yaliyo yake mwenyewe;kwa sababu yeye ni mwongo na baba wa huo.!"

  • @shukurumsebaloli
    @shukurumsebaloli 2 วันที่ผ่านมา

    Mbona huu pasta anakufuru apa anamaanisha mungu akujuwa anacho kifanya 😂😂

    • @greydonalds4286
      @greydonalds4286 2 วันที่ผ่านมา

      Mungu wa Ukristo na Uislam hajui mambo mengi tu.

  • @PatrickOropto-k6c
    @PatrickOropto-k6c 15 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Wewe ni nani kuutangua neno last Mungu

  • @roi2554
    @roi2554 2 วันที่ผ่านมา

    Jaman kumbe iraq iko africa na hamsemi😂😂😂😂 duh
    Huyu jamaa mbona kama simuelewi

  • @yaelitaylor1479
    @yaelitaylor1479 วันที่ผ่านมา

    Shetani alichanganya ukweli na uongo.

  • @mwananjesafari2547
    @mwananjesafari2547 วันที่ผ่านมา

    Shetani alilaniwa pamoja na waliowake

  • @ClaudKitoki
    @ClaudKitoki 2 วันที่ผ่านมา

    Nionavyo Mimi roho wa Mungu hayumo humo maana ndie hutuongoza kwa kutafakari neno

  • @Revelation1412.
    @Revelation1412. 2 วันที่ผ่านมา

    MAPEPO YAMEINGILIA MANABII WAMEGEUKA KUWA WATUMISHI WA SHETANI
    MANENO MATUPU NA UPUMBAVU MWINGI SANA

  • @PatrickOropto-k6c
    @PatrickOropto-k6c 15 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Wewe ni mkora

  • @KhamisMohammed-y9l
    @KhamisMohammed-y9l 2 วันที่ผ่านมา

    Wenzetu wanatengeza simu na nyuklia sie daily ni stori tu

  • @EdwardMoses-d6j
    @EdwardMoses-d6j 2 วันที่ผ่านมา

    Umepewa mkataba Wa kusifia kisa magari na manyumba ila nafsi umeuza inaongozwa na mnyama.
    Yesu kristo aliyehai atashinda hii vita Kwa kishindo tujiandae kwani yu karibu kuja kama ilivyoandikwa kwenye kitabu cha ufunuo hilo jicho la tatu hakika litatoboka

  • @celinamputacelinamputa3577
    @celinamputacelinamputa3577 2 วันที่ผ่านมา

    Inawezekana nawew nishetani ila watu atujui tu😢

  • @arnothjesse2965
    @arnothjesse2965 3 วันที่ผ่านมา

    nimejiuliza sana hili swali.. Yani kwann shetani atake kumtoa binadamu katika hali ya kutojitambua yani kutokujua mema na mabaya na kukaa uchi??? shetani ni kama alitu upgrade binadamu kutoka katika hali ya unyama zaidi. Mungu akawa anataka binadamu aendelee kutojitambua. ILE STORY LAZIMA HAIPO SAWA.
    LAZIMA NIJE KWENYE ILI KANISA

    • @wewa7329
      @wewa7329 3 วันที่ผ่านมา +1

      Story ya kutungatu haina ata maana ina makosa mengitu

    • @paschalinahharis9604
      @paschalinahharis9604 3 วันที่ผ่านมา

      Unajua tungekuwa tunaendelea kuishi kama wanyama ingekuwa raha sana! 😅

    • @wewa7329
      @wewa7329 3 วันที่ผ่านมา

      @paschalinahharis9604 siamini hizo maandiko ata ni za kutungatu hazileti maana kabisa

    • @arnothjesse2965
      @arnothjesse2965 2 วันที่ผ่านมา

      @@paschalinahharis9604 MH hapana angalia wanyama wanavyo ishi😄

    • @dnxvi
      @dnxvi วันที่ผ่านมา

      Tungekuwa kama makaika wema yaani tungejitambua ila tusingefanya uovu na kufa.
      Pia unaweza tafuta kitabu cha yashari kina deep story

  • @ivonsilverster8261
    @ivonsilverster8261 3 วันที่ผ่านมา +1

    Hakikaaa

  • @GladTolage
    @GladTolage วันที่ผ่านมา

    Iv ilo kanisa lina waumini?? Maana Kama unaelewa vzr mambo ya rohoni unakaa apo unasikiliza nini sasa apo

  • @AMEERASAD-ui9fh
    @AMEERASAD-ui9fh 3 วันที่ผ่านมา +1

    😅😅😅

  • @paulkamula9117
    @paulkamula9117 วันที่ผ่านมา +1

    Illuminati huyu na freemason..

  • @rachaelndungekingoo
    @rachaelndungekingoo 2 วันที่ผ่านมา

    Alidanganya alipo kanusha kwamba hawatakufa Mungu alikua amesema watakufa

  • @PaulDeus-p7l
    @PaulDeus-p7l 2 วันที่ผ่านมา

    Nikweli waifundisha biblia LAKINI kwa habari ya ibada unazofundisha watu kuchinja wanyama umepoteza uelekeo na kupitia mafundisho haya ya kutoa kafara za wanyama unawapeleka watu wengi jehanam. Tafadhali rudi ukaulizie njia harisia ya wokovu kwa wenzio kwa kufuata neno la Mungu.Yesu baada ya kuja Duniani sadaka zote za kafara za wanyama zilikoma .

  • @BushurJoel
    @BushurJoel 3 วันที่ผ่านมา +2

    Huyu jamaa niwaz kuwa yeye niwakala wa shetan namafundisho yake nikinyume namatakwa ya Mungu napiah hata iman yakikirsto hayapo kabisa isee Mungu atuhulumie sana😢😢

    • @ramamakomola2739
      @ramamakomola2739 2 วันที่ผ่านมา +1

      Bro huyu jamaa anatoa kichwani ? Au hayo maneno hayapo?? Au we ndio husomi ukaelewa Bali waishi na imani tuu

    • @wilkinssimkoko7920
      @wilkinssimkoko7920 วันที่ผ่านมา

      Mungu amesema Mtakufa hakika, shetani akasema Hamtakufa hakika. Badooo sio Muongo?

    • @ramamakomola2739
      @ramamakomola2739 วันที่ผ่านมา

      @wilkinssimkoko7920 mzee ule mti wa uzima ambao waliambiwa hawatakufa hawakuugusa, ndio mana tunakufa,

    • @ramamakomola2739
      @ramamakomola2739 วันที่ผ่านมา

      @wilkinssimkoko7920 kasome tena uelewe

    • @wilkinssimkoko7920
      @wilkinssimkoko7920 วันที่ผ่านมา

      @@ramamakomola2739
      Mwanzo 2
      16 Bwana Mungu akamwagiza huyo mtu, akisema, Matunda ya kila mti wa bustani waweza kula,
      17 walakini matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya usile, kwa maana siku utakapokula matunda ya mti huo utakufa hakika.

  • @DaudGeshom-y7i
    @DaudGeshom-y7i 2 วันที่ผ่านมา

    Chetan siku zote anaga kweri

  • @MfiriNasawe
    @MfiriNasawe 3 วันที่ผ่านมา

    Jamaa anampenda shetanina kumwamini mpaka kumwita mwamba

  • @godchila8013
    @godchila8013 2 วันที่ผ่านมา

    Sasa mbon mnamsema Ipm yy mbona anaelezea tu story ilivopale mwanzoo kosa lake nini ebu nielekezenii😂

    • @SucceedFuture
      @SucceedFuture 2 วันที่ผ่านมา

      Maandiko yanasema watu wangu wanapotea Kwa KUKOSA maarifa na maarifa ya kiMUNGU yanapatikana katika katika roho wa MUNGU ambaye anayo maarifa ya kiMUNGU lakini pia maarifa ya kidunia yanapatikana katika ndimi za watu WENYE kukupenda ulimwengu huu

  • @louisejeanne8306
    @louisejeanne8306 2 วันที่ผ่านมา

    Amina ❤❤

  • @remmyalfred6736
    @remmyalfred6736 3 วันที่ผ่านมา +1

    🇹🇿MABALOZI WA SHETANI WANAMUWAKILISHA SHETANI NA KUMTETEA BADALA YA KUMTETEA YESU!WATU AMKENI MTAWEKEWA MAROHO YA KILA MAMNA! MAWAKALA WA SHETANI HAWA!!

    • @ramamakomola2739
      @ramamakomola2739 2 วันที่ผ่านมา

      Kwa hiyo maandiko ni ya shetani au we hujui kuelewa??

  • @annastaziakimaro3042
    @annastaziakimaro3042 2 วันที่ผ่านมา

    Wanadamu wanadamu wanadamu kuna nini? Kwani mpaka lini mtakuwq tayari kumuomba MUNGU na kupitia ROHO MTAKATIFU awafundishe ile kweli? Huyu ni wakala wa shetani, ni kizazi cha ibilisi kinadanganya sana, anamsaidia shetani kupeleka watu kuzimu na kuwaweka mbali na MUNGU wao, wanawachafua kwa amfundisho yao ya uongo

  • @immichaelwale5147
    @immichaelwale5147 2 วันที่ผ่านมา

    1 Timotheo 2:14 Wala Adamu hakudanganywa, ila mwanamke alidanganywa kabisa akaingia katika hali ya kukosa. Shetani ni Muongo haijaloshi mtatuambiaje

  • @JAPHETJOSEPH-b6e
    @JAPHETJOSEPH-b6e วันที่ผ่านมา

    Shetani aliondolewa mbinguni , huyu porojo

  • @stanleyguthia7771
    @stanleyguthia7771 2 วันที่ผ่านมา

    SHETANI NI MUONGO

  • @T-Fellow
    @T-Fellow วันที่ผ่านมา

    IPM, are you sure??
    I sometimes like the way you teach but some of your teaching I get confuse lol

  • @alexandertembea5940
    @alexandertembea5940 2 วันที่ผ่านมา

    Usipo mwelewa lpm mwingine hautamwelew anafafanua vema kbsa

  • @RichardAssey-pw9ns
    @RichardAssey-pw9ns 9 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Walio sikia mpaka mwisho wamejifunza.

  • @PatrickOropto-k6c
    @PatrickOropto-k6c 15 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Kwa hiyo, uongo dio ulifanya kazi ya kuleta matengano kati ya Adamu na Hawa

  • @topaztz7601
    @topaztz7601 2 วันที่ผ่านมา +2

    Huyu Mchungaji Mahubiri yake yako beyond zaidi, ni ngumu kueleweka kwa makondoo ambao wamekaririshwa vifungu vya biblia pasina kuwa na ufahamu wa ndani juu ya vifungu hivyo.. Huyu Mchungaji ana ufahamu kama wangu kabisa kweli binadamu ni wawili wawili..

    • @martinegosbert8108
      @martinegosbert8108 2 วันที่ผ่านมา

      Rudia kusoma mwanzo 1 na 2 zote utajua uongo wa shetani. Kwanza alimsingizia Mungu sababu aliyetoa sharti ni Bwana Mungu yeye akamwambia mwanamke ati Mungu amesema..... Tafuta kwanza kujua tofauti ya Mungu na Bwana Mungu.

    • @stanleyandrea5153
      @stanleyandrea5153 2 วันที่ผ่านมา

      Wengine ndo hatuamini katika mungu tupo tupo tu

  • @NafutaryMajogoro
    @NafutaryMajogoro 3 วันที่ผ่านมา

    Hyo nimeikubali,nilikuwaga naisoma juujuu tu

  • @KenzyKenzo-i5p
    @KenzyKenzo-i5p 12 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Na mijitu imekaa tuh kwa viti mkiskiza upumbavu huu

  • @Romne8
    @Romne8 2 วันที่ผ่านมา

    Watu wamekazana mchungaji ni muongo ni muongo kumbe wao ndo wameulaza ufahamu wao hawataki kujifunza na kuelewa

  • @MSELIKISIMBO
    @MSELIKISIMBO 3 วันที่ผ่านมา

    Huyu ni wakala wa shetani