Sabah Salum Mithili Yako Hapana@al ghafri

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 ก.พ. 2011
  • เพลง

ความคิดเห็น • 416

  • @robertfabian8090
    @robertfabian8090 4 ปีที่แล้ว +50

    Kama bado unaisikiliza 2020 gonga like.
    One of my favourite song.
    Kila niuzikilizapo na pata hisia za kipekee sana. Sauti nzuri ya Sabah.

    • @azawahirtoufiq9236
      @azawahirtoufiq9236 4 ปีที่แล้ว

      am here july 2020 💕

    • @fatmaabubakhar7994
      @fatmaabubakhar7994 3 ปีที่แล้ว +1

      Hisia gani wapata si uniibie siri😂😂😂😂😂😂

    • @robertfabian8090
      @robertfabian8090 3 ปีที่แล้ว +2

      Fatma, kuna hisia nadhani hazina neno au maneno ya kuzielezea na ukijaribu kuzieleza utaharibu au utapoteza maana halisi, inabaki kuwa ndani ya moyo wako. Kiukweli naposikiliza huu wimbo ninakuwa kwenye ulimwengu mwingine kabisa.

    • @zuennarashid5630
      @zuennarashid5630 3 ปีที่แล้ว

      2020 september now i am looking

  • @jamaalabubakar1211
    @jamaalabubakar1211 6 ปีที่แล้ว +18

    Maa shaa Allah...Allah Atujaalie wake wema,watakaotupa utulivu na walio na huruma kwetu.....bila shaka mke mwema ndio pepo ya duniani....Rabby yatakabalie maombi yetu...Allahumma Aamiin

  • @ahmadakishingo1935
    @ahmadakishingo1935 4 ปีที่แล้ว +10

    Daaa kidato cha tatu 1996 siku hizo Mungu marehemu shwahiba wangu (Rukia Kaumbwa) alikuwa anapenda kuimba wimbo za Sabah na kuzipata kama zilivo

  • @qaltumsaid3095
    @qaltumsaid3095 4 ปีที่แล้ว +30

    2020 anyone??👌

  • @muslimahmuslimah4894
    @muslimahmuslimah4894 7 ปีที่แล้ว +35

    Duniani Mithili yako hapana, Na peponi tutakutanishwa tena. My favourite song Ma shaa Allah.

  • @mwinyirogoh2389
    @mwinyirogoh2389 6 ปีที่แล้ว +46

    jamani naikumbuka hii nyimbo sana2 baada yakumpoteza mchumba wngu wakwanza! mola aiweke roho yke maalipema insha Allah tutaonana my....!!!

    • @zainabbukari1910
      @zainabbukari1910 6 ปีที่แล้ว

      Mwinyi Rogoh pole sana kifo cha mahaba ya shakila pia

    • @abubakarkeya9634
      @abubakarkeya9634 5 ปีที่แล้ว

      Mola akufanyie wepesi

    • @alialibablly7010
      @alialibablly7010 4 ปีที่แล้ว

      Pole sana Ameen mkumbuke kwa Dua na swalah na sadaka

    • @salimnassor9153
      @salimnassor9153 4 ปีที่แล้ว +1

      Jamani mimi nyimbo sipendi hasa, na nailazimisha nafsi yangu hivyo, lakini nikisikia hivi vinanda vya kuanzia tu kwanza, inanibidi nisimame kama dakika 5 mpaka 10. nafsini mwangu najihisi kua mnafiki, Astaghfirullah.

    • @aminasalim6782
      @aminasalim6782 3 ปีที่แล้ว

      Pole sana wangu Allah ampe kauli thabit

  • @mr.magic771
    @mr.magic771 5 หลายเดือนก่อน +4

    its 2024 and its still my best taarab

  • @abuuswabr1781
    @abuuswabr1781 ปีที่แล้ว +2

    Macho yakisemezana,, nakumbuka ya sirini
    Mithili yako hapana,, umeumbika mwendani
    Wewe kwangu sultana,, unapendeza mathoni
    Alibiiiih! Alibiiiih! Alibiiiih 🙌🙌💝💝💝💝

  • @barkemtika1575
    @barkemtika1575 หลายเดือนก่อน +1

    Ukiisikia huu wimbo lazima usisimke na kama mmeo yupo mbali lazima umpigie cm sabah mashallah

  • @nassoryussuf3639
    @nassoryussuf3639 3 ปีที่แล้ว +5

    Nyimbo tamu sana, inaburudisha ba kufunza pia. Fasihi ndo hii jmn

  • @bigmzazee2961
    @bigmzazee2961 3 ปีที่แล้ว +2

    Nilikua nampenz Wang 2013 2014 alikua mzanzibar halida hajj aliupenda wimbo huu sana dahh alichonifanyia ashkur mungu tu inauma sanaa alikua anaupenda wimboo huuu nikiusikia roho inauma mnooo ngoma tam sn

  • @aminamahmoud8784
    @aminamahmoud8784 5 ปีที่แล้ว +46

    Eeeh jamani kama unaskiza hii 2019 jun,piga like

  • @abdallahmkandambuli4571
    @abdallahmkandambuli4571 6 ปีที่แล้ว +8

    nyimbo hii inanikumbusha mbali sana,majonzi furaha sina upo mwangu mawazoni ni maneno yanayonitowa machozi,mama amejuwa kuimba jamani

  • @ismailmjeshi1984
    @ismailmjeshi1984 7 ปีที่แล้ว +40

    wapenzi wa sabah hamjamboooooooo..............

    • @zainabbukari1910
      @zainabbukari1910 6 ปีที่แล้ว

      Ismail Mjeshi atujambo penda sana sabah

    • @ismailmjesh4707
      @ismailmjesh4707 6 ปีที่แล้ว +1

      +Zainab Bukari Sabah hatar ww...mithili yke hakuna....

  • @haroubjuma5107
    @haroubjuma5107 4 ปีที่แล้ว +26

    This song makes m to feel happy when i was home Zanzibar islands god bless Zanzibar i love Zanzibar

  • @mohammedmkomi9087
    @mohammedmkomi9087 5 ปีที่แล้ว +3

    DAAAH HII NYIMBO INANIKUMBUSHA MBAALI SAANA 2003 NIPE CHEKECHEA BABA ALIKUWA NA REDIO NDOGO HIV YENYE COVER YA MBAO MCHANA AKIRUDI SHAMBA ALIKUWA ANACHUKUA JANVI ANATANDIKA CHINI YA MZINGAFURI ANAFUNGULIA TAMTAM ZA MWAMBAO.

  • @philcoism
    @philcoism 4 ปีที่แล้ว +8

    This is my second best song after Yalaiti ya Bi Malika. "Mpenzi mwenye imani, mimi nakupenda sana."

  • @mkambijuma4327
    @mkambijuma4327 4 ปีที่แล้ว +3

    waw yuko wapi mtoto aliembuka na roho nzuri na heshima zako akaniweka moyoni mwake na nikamuweka moyoni kwa dhat akaniimbia nyimbo kama hii ya allah
    hebu nikutanishe naye.

  • @eddyali8408
    @eddyali8408 6 ปีที่แล้ว +9

    Wanigusa rohoo ynguu kwa maneno yko mwili wote hoi mums sabah lv so much .... hapa Musa chothaz kutoka italy

  • @nugwimpemba3183
    @nugwimpemba3183 6 ปีที่แล้ว +11

    dah yaan huyu mama nyimbo zake sikomii kuziskiliza every day nakumbuka kulee zenji maeneo ya mji mkongwe hukos ngoma hiyo i like this sabah salum

  • @khakeemafro6274
    @khakeemafro6274 8 ปีที่แล้ว +51

    Dahh kitambo kweli kipindi icho najiandaa kwenda madrasa saa nane mchana zinachezwa kwenye kipindi cha burudani sauti ya Zanzibar radio

    • @zenazena9472
      @zenazena9472 5 ปีที่แล้ว

      khakeem afro daaah sabah unazeeka na sauti yako, mwanamama unaipa tasnia ya miuzi ya taarabu raha tupu

    • @mzeemzee2467
      @mzeemzee2467 5 ปีที่แล้ว +1

      Zikipigwa mbili tu muda tayari wa kwenda

    • @Anonymous00018
      @Anonymous00018 5 ปีที่แล้ว +2

      Hahahahaa mbio na mas-haf yako unakimbilia, duh! Alhamdulillah time flies

    • @omaralihamad3785
      @omaralihamad3785 5 ปีที่แล้ว

      Hahaha

    • @greatiq8234
      @greatiq8234 4 ปีที่แล้ว

      Mwanangu wacha tu. Mi nilimtumia cousin wangu kule UK 1998 akaning'ang'ania!

  • @preetyroshylne1475
    @preetyroshylne1475 6 ปีที่แล้ว +8

    Nataman kukuona,majonz furaha cna umo mwangu mawazon dah ...Kazi nzur bi sabah

  • @bittybitty2712
    @bittybitty2712 4 ปีที่แล้ว +1

    Jamani naipenda hii nyimbo sana yana mama kaimba maneno matamu nakumbuka kuee huyu mungu ampe maisha marefu

  • @mohamedshaaban7412
    @mohamedshaaban7412 7 ปีที่แล้ว +36

    my feelings is going deeper,, it reminded of me when I was 8yrs my mom told finish to eat to go madrasa,,,, impressive 👌👌👌

  • @faroukmahmoud8111
    @faroukmahmoud8111 4 ปีที่แล้ว +14

    Reminds me of my wedding night 23 years ago. Lost for words. Beautiful.

  • @hajiomar7026
    @hajiomar7026 6 ปีที่แล้ว +6

    Masha Allah inanikumbusha mbali sana iko wap Zanzibar yetu hii

  • @jumazamani8410
    @jumazamani8410 ปีที่แล้ว +1

    Dah zenji enzi izoooooo nakumbuka tunachambua karafuu dah siku zimepita mungu ailinde Zanzibar yetu

  • @suhaybabeid3115
    @suhaybabeid3115 4 ปีที่แล้ว +4

    Cjaona mwengine km ww sabah salum i like your taraab mashallah love my grand mom for give us good entertainment thanks😀😀 and last that i want to tell you everyday i listen your taraab😭😭 am cry coz of your good taraab. THANKS😍😍

  • @kibibimwaita2438
    @kibibimwaita2438 5 ปีที่แล้ว +3

    Miaka mingi lakini haishi hamu old gold

  • @shabanndabari5958
    @shabanndabari5958 7 ปีที่แล้ว +11

    mpenzi mwenyewe imani,mi nakupenda sana

  • @nassirsafari2338
    @nassirsafari2338 3 ปีที่แล้ว +3

    2020 who's still listening....Swabaha mchacho ameweza sana.... +254

  • @kareemrasheed6997
    @kareemrasheed6997 8 ปีที่แล้ว +4

    Nice song wallah ng`ombe hazeeki maini nyimbo hii inankumbusha udugu wangu diana

  • @kiddatu7
    @kiddatu7 5 ปีที่แล้ว +11

    Them dayz when love was real!!! Sometimes iwish I could go back to those days...it reminds me of my late wife...rip beb when ihear this song icant control my tears oooh!!! sleep well mpenz mwenye ulikua na imani kwangu

    • @farhatfatma12
      @farhatfatma12 4 ปีที่แล้ว

      Pole sana. ALLAH AMREHEMU NA AMPE PEPO YA FIRDAUSI.

    • @biabuali1371
      @biabuali1371 4 ปีที่แล้ว

      Pole xana

    • @shabanially175
      @shabanially175 4 ปีที่แล้ว

      Pole kaka kwa kuondokewa na mpendwa wako, Inshallah mtakutana kesho peponi.

    • @mozasalum9715
      @mozasalum9715 4 ปีที่แล้ว

      Abubakar Ali pole

    • @RioIpo
      @RioIpo 3 ปีที่แล้ว

      Pole sana bro

  • @zubyzubymohamed4103
    @zubyzubymohamed4103 6 ปีที่แล้ว +6

    Me mwezenu feeling beat za uyu mama zote na sauti yakee OMG🎹🎹🎹🎸🎸🎸🎼Nataman! nataman! nataman! kukuona OMG Majozi furaha sina humu mwangu mawazoni ...😘😍😌

    • @zainabbukari1910
      @zainabbukari1910 6 ปีที่แล้ว

      Zubyzuby Mohamed yani sijui nani atamuwezea minamtamani nimuige

  • @emmanuelmasoko1013
    @emmanuelmasoko1013 7 หลายเดือนก่อน +5

    Hizi ndio Taarab Sasa, hizo zingine boringo, gonga like hapa 2023

    • @AhmedAbubakari
      @AhmedAbubakari 3 หลายเดือนก่อน

      Sabaha anajua sana huyu jmn

  • @lailahasan2200
    @lailahasan2200 4 ปีที่แล้ว +2

    Mashaallah,, inaniumiza hii nyimbo kumkosa wa moyon, aise mungu ndo mjuz cha tu....

  • @abdallahalmugheiry8884
    @abdallahalmugheiry8884 7 ปีที่แล้ว +20

    wakti wa Zanzibar raha na mapenzi watu wakipenda na kuheshimiana

    • @allyderossi9742
      @allyderossi9742 5 ปีที่แล้ว

      Abdallah Almugheiry:Sasahv ukitaka H.I.V aahh wala ucwe na wacwac,,kisiwa chote wandengereko wamekiharibu wanatoka kwao na njaa zao wanakj ku2haribia na cc.

  • @wahidahabibu8274
    @wahidahabibu8274 7 ปีที่แล้ว +17

    mashaallah najiona mm ndo naiimba juu yakitanda namumewangu ananisikiliza...mashaallah sabah

    • @zainabbukari1910
      @zainabbukari1910 6 ปีที่แล้ว +1

      Wahida Habibu sana tu wahida atamie nshisi ivyo

    • @halimamajid4042
      @halimamajid4042 5 ปีที่แล้ว

      Hahahahaa....hongeraaaa

  • @mussahaji4598
    @mussahaji4598 5 ปีที่แล้ว +3

    Sabah hapo uliongea vizuri enzii hizooo inanikumbusha siku hizooo tunapanda daladala Chai maharage bububu

  • @duncanmshila3614
    @duncanmshila3614 4 ปีที่แล้ว +2

    Jameni 2020 na bado nyimbo ni hit ...naipenda maana yanipa hisia nzuri ...Love you Sabah Salum

  • @peterjunior6811
    @peterjunior6811 7 ปีที่แล้ว +11

    dah Sabah mkali sana Ila wabongo hatumsifu mtu mpk AFE

    • @zainabbukari1910
      @zainabbukari1910 6 ปีที่แล้ว

      Peter Junior siwashazoea micharuko dar live kaka miaka sabaha penda yy

    • @cpasalma1532
      @cpasalma1532 4 ปีที่แล้ว

      Natamani natamani kukuona

    • @mohamedmgwami5987
      @mohamedmgwami5987 4 ปีที่แล้ว

      naikumbuka Zanzibar ile yazamani Imani nyoyoni mwa Watu ilikuwepo, watu waliheshimiana, kupendana kuhurumiana, Mabaya tunayoyasikia nakuyaona Leo hayakuwapo wakati ule

  • @ra.darai1
    @ra.darai1 ปีที่แล้ว +1

    جدتي مره قالتلي ان كلما اشتاقت لجدي تسمع هالأغنيه🥺

  • @rahmakarama4202
    @rahmakarama4202 11 หลายเดือนก่อน

    Mashaallah ni nyimbo nzuri na ukitulia kuisikiliza ndio ina raha yako heko Sabah nakupenda sana na nazipenda nyimbo zako na sauti pia hongera

  • @circulationnewhabari154
    @circulationnewhabari154 7 ปีที่แล้ว +5

    nampenda sana huyu mama inshaallah Allah akujalie umri zaidi hakuna kama wewe kwenye tasnia yaa taarabu tanzania

    • @zainabbukari1910
      @zainabbukari1910 6 ปีที่แล้ว

      circulation newhabari sana akuna mashauzi tu yamewajaa mavi matupu

  • @jumahamad8075
    @jumahamad8075 4 ปีที่แล้ว +1

    Nataman kukuona jaman sabaha mashallh sauti nzuri

  • @salmamasoudy6842
    @salmamasoudy6842 4 ปีที่แล้ว

    na pepon tutakutanishwa tenaaa mpz mwenye iman mm nakupenda sasa mpk 2020 iko juu vya kale dhahabu

  • @maiyakassim5302
    @maiyakassim5302 4 ปีที่แล้ว +1

    Duh! Sikugani twakutana unitoe adhabuni wallah naumia sana nimekumbuka mbali Sana 😭😭

  • @hamisihamisi5445
    @hamisihamisi5445 6 ปีที่แล้ว +6

    Huu wimbo unanikumbusha Mlandege Mtumbani Zanzibar.

  • @sakinaabd5898
    @sakinaabd5898 8 ปีที่แล้ว +14

    Sister sabah unanikumbusha zamani kwani pendo ni moja tuu wala hamna mithili kama unavyosema

  • @MohdMubaraka
    @MohdMubaraka หลายเดือนก่อน +1

    Kwa mimi nakumba nyimbo hii kipindi cha mchana kwenda chuoni

  • @latahilehsein3749
    @latahilehsein3749 4 ปีที่แล้ว

    Subhanallah hii nyimbo sichoki kuniskilza na ina nifanya niwakumbuke wazazi wangu wote wa 2 saa 8 mchana marehemu mama yangu na baba yangu wakiimba pamoja, Allah awasameh makosa yao ya sirini na dhahir awajalie janat firdaus ya daraja ya juu Ameen YARABBY

  • @abdulkheirmohd2489
    @abdulkheirmohd2489 8 ปีที่แล้ว +15

    This song reminds me soo much about my sweet mama

  • @abdulhamidkificho5768
    @abdulhamidkificho5768 4 ปีที่แล้ว +3

    Salamu! Salamu! Salamu twaleteana
    Mpenz! Mpenzi! Mpenzi hatuonani
    Siku gani tutakutana unitoe adhabuni
    Siku gani tutakutana unitoe adhabuni
    Mapenzi kuridhiana huba zisizo kifani
    Mapenzi kuridhiana huba zisizo kifani

  • @musachotara7412
    @musachotara7412 8 ปีที่แล้ว +5

    mums sabah wanigusa mahali kwangu jamani naumia sana tena sana

  • @leilahassan2046
    @leilahassan2046 3 ปีที่แล้ว +7

    This song make me feel so badly when I remember my ☓, but no way life goes on

  • @aishaimran-xg9de
    @aishaimran-xg9de ปีที่แล้ว +5

    2023 still Love this song

  • @mumsaida7994
    @mumsaida7994 6 ปีที่แล้ว +5

    Full Mahaba..Shukran Maa Sabah Salum...Mola akueke ❤

    • @ismailmjesh7426
      @ismailmjesh7426 6 ปีที่แล้ว

      Mum Saida kabsaaaa mum saida' allah amuhifadhi......

  • @allymuchiri8767
    @allymuchiri8767 4 ปีที่แล้ว +1

    Jamani!!!nikiwa ndani ya boat kismayuuu..huu mziki hatari sana karibu nijitupe baharini.

  • @gshdhshhshs3362
    @gshdhshhshs3362 6 ปีที่แล้ว +3

    I feel home omg jamani nyumbani kwetu 😢2018 i miss home zanzibar mitaa yamchenzani jumba no 3

  • @fatemamudathir6931
    @fatemamudathir6931 7 ปีที่แล้ว +2

    Akheir Zaman.......wallahi wanikumbusha hapo awali ya mapenzi na ya Ayuoni wng. luv it

  • @Sumadobi
    @Sumadobi หลายเดือนก่อน

    jamanii huu Wimbo uwiiiiiiiiiiiiiii natka kama nikamtunze mama sabah ❤❤❤❤❤

  • @abdallakonyezo7197
    @abdallakonyezo7197 6 ปีที่แล้ว +6

    Dah!!!....utamu mtupu Zama hizo taarabu ilikuatamu

    • @ismailmjesh7426
      @ismailmjesh7426 6 ปีที่แล้ว

      Abdalla Konyezo mom anjua jamani.....sauti tuuuuuuuu' nyimbo haramu lakn allah atusamehe

  • @fatmajuma9211
    @fatmajuma9211 5 ปีที่แล้ว +1

    Duniani mithili yko hapana BABA yng mzazi na peponi tutakutanishwa tena inshaallah

  • @nabbeely5295
    @nabbeely5295 หลายเดือนก่อน

    Super star abdallah issa alijua kuandika huu wimbo 🔥🔥🔥2024

  • @omarjumaa9221
    @omarjumaa9221 8 ปีที่แล้ว +8

    kidilu nyimbo zinanikumbusha Zanzibar nilipo zaliwa

  • @faridamkesso97
    @faridamkesso97 4 ปีที่แล้ว

    Sichoki kusikiliza daima , dah nakumbuka mbali sana nilivyopotezana na niliempenda kwa dhati 😢 hadi leo 2020 hanitoki

  • @salwahalisi29
    @salwahalisi29 5 ปีที่แล้ว

    Sabah i love nyimbo zako zote uko juu sana mungu akuweke nakupendaa.duniani mithili yako hapana na peponi tutakutanishwa tena

  • @bahathirashid1856
    @bahathirashid1856 3 ปีที่แล้ว +7

    2021 still glued to the beautiful lavish lyrics ... anyone ? ❤️

  • @ashahaji4936
    @ashahaji4936 7 ปีที่แล้ว +10

    hamna km mume wangu Yussuf Allah bless my hubiy

  • @maisarahakizimana7074
    @maisarahakizimana7074 5 ปีที่แล้ว +4

    Special song for my husband 😍😘😘

  • @afropanorama4730
    @afropanorama4730 7 ปีที่แล้ว +5

    I smell marashi ya karafuu when i listen this nice song,long life my zanzibar
    miss you
    love you

  • @saidamohammed2438
    @saidamohammed2438 7 ปีที่แล้ว +9

    love this song it remind me of someone use to be soo special

  • @sumaboy8105
    @sumaboy8105 9 หลายเดือนก่อน

    Nataman nataman kukuona mpenzi wangu yaan jins navomkumbuka mpenzi wangu bas tu 😔😔😔😪😪😪

  • @eddieelijah9359
    @eddieelijah9359 11 ปีที่แล้ว +3

    Maneno yako sawa sawiyya kaka Bakri....Mie ndo hulala kabisaaa

  • @user-ie1jy4hq3p
    @user-ie1jy4hq3p 4 หลายเดือนก่อน +1

    Maa shaa Allah atujaalie wake wema nawatoto wema

  • @MiqdadHanzwan
    @MiqdadHanzwan ปีที่แล้ว

    Bado Gati .... Ahhh mwatukumbusha mbali wallahi

  • @hadjisoihiri2436
    @hadjisoihiri2436 4 ปีที่แล้ว +3

    Je ne prend pas vraiment votre langue mais j aime tellement cette chanson 🤗🤗

  • @breakfr5549
    @breakfr5549 4 ปีที่แล้ว +1

    HACHIMIA 🇰🇲 : NATHAMANI NATHAMANI MKUWONHA MWENYE HANI MWENYE HANI NATHAMANI MADJOZI FURAHA SINA MKU KWANGU MAHATSONI

  • @werger.yousef1740
    @werger.yousef1740 11 ปีที่แล้ว +3

    Lovely..Sabah MOLA Akupe Umbrii.

  • @sabriaalzadjali9328
    @sabriaalzadjali9328 6 ปีที่แล้ว +3

    Sabah i love you,Zanzibar throwback

  • @shamscookery5989
    @shamscookery5989 8 ปีที่แล้ว +11

    I love I love love ...this song reminds me so mch of my teenage

  • @fatmaali7698
    @fatmaali7698 4 ปีที่แล้ว +1

    Hii nyimbo mume wangu aliniambia niiskize alafu kesho yake akasafiri. Kila nikiiskiza lazima ntalia machozi ya furaha.

  • @salumsaid6455
    @salumsaid6455 6 ปีที่แล้ว +3

    teeeena hapana chezea mambo ya zenj yaaan kweliii natman kukuonaaa

  • @aisshamohamed3452
    @aisshamohamed3452 7 ปีที่แล้ว +12

    natamani kukuona.. nice song...

  • @aishayusuf6648
    @aishayusuf6648 6 ปีที่แล้ว +4

    MashaAllah very nyc song

  • @abouhariatsaid2007
    @abouhariatsaid2007 5 ปีที่แล้ว

    Keuli mach'Allah nzuri kupendana muhimou dro tamou ya moyoni na zayidi raha kuonana ichall'whaou

  • @amanimyolo1478
    @amanimyolo1478 ปีที่แล้ว +2

    Love like war easy to start but hard to end...God is good for evertime

  • @al-khairat63
    @al-khairat63 ปีที่แล้ว +1

    Nyimbo za mahaba kama hizi ndio twazitaka❤😊2023

  • @mejamchenje9785
    @mejamchenje9785 5 ปีที่แล้ว +1

    Daa sina chakusema zaid ya kumshukur mung ailaze roho ya marehem mamaangu panapo staghli ishaalh pepon tutakutanishwa hakika alikua mpen z sana wanyimbo hii data

  • @karemhkaremh4451
    @karemhkaremh4451 4 ปีที่แล้ว

    Nipo hapa MARCH 2020 najiliwaza tu kwa sauty tulivu mashairi yalotulia yamapenzii binafsi nimekua muoga sana sitamani hata kupenda ila nashkur moyo wangu upo na amani na maisha yanaendelea Majonzii furaha sina upo mwangu mawazoni

  • @sailuusaidi2132
    @sailuusaidi2132 2 ปีที่แล้ว

    Hii nyimbo nikisikia nakumbuka
    Na mpenz wangu uko tanga ila sasa ivi
    Hakuna mapenz kabisa yani 2021

  • @salmashee3706
    @salmashee3706 9 หลายเดือนก่อน

    Nice song masha Allah ❤ nice words and very melodious i dedicate this song to my beloved husband wherever he is❤ yes! Will always cherish your love forever❤❤❤ till death do us apart ameen!

  • @abdulhamidkificho5768
    @abdulhamidkificho5768 4 ปีที่แล้ว

    Milele tutashikana yetu kubwa tumaini
    Milele tutashikana yetu kubwa tumaini
    Tuishi tukipendana kwa salama na amani
    Alibiihh!! Alibiihh!! Alibiihhhhh!!

  • @munamuna414
    @munamuna414 5 ปีที่แล้ว +1

    Mashallah natamani kukuona
    Yanikumbusha mpenzi wangu jamani kweli sijaona mithili yake

  • @hamsozain7200
    @hamsozain7200 6 ปีที่แล้ว +6

    I miss you my lovely wife. .see u soon insha Allah

  • @icequeenmake_upartisttz6752
    @icequeenmake_upartisttz6752 2 ปีที่แล้ว +2

    2022 ♥️nmkumbuka kwetu machomane pemba

  • @yusufkibwana5789
    @yusufkibwana5789 2 ปีที่แล้ว

    One of the best songs nishawai sikia Sabah nakupenda you are the best artist I know 💝💝💝💝

  • @maryammussa9735
    @maryammussa9735 ปีที่แล้ว

    Mashaallah nice song.ila huwa inaniliza sana

  • @lahiyahaji9903
    @lahiyahaji9903 6 ปีที่แล้ว +1

    mashallah sabaha nakumbuka kwetu mm znz

  • @gulamabbas371
    @gulamabbas371 6 ปีที่แล้ว +1

    Mashaallah Sabah muchacho sio kwa sauti hii uliotumia