Fatma, kuna hisia nadhani hazina neno au maneno ya kuzielezea na ukijaribu kuzieleza utaharibu au utapoteza maana halisi, inabaki kuwa ndani ya moyo wako. Kiukweli naposikiliza huu wimbo ninakuwa kwenye ulimwengu mwingine kabisa.
Maa shaa Allah...Allah Atujaalie wake wema,watakaotupa utulivu na walio na huruma kwetu.....bila shaka mke mwema ndio pepo ya duniani....Rabby yatakabalie maombi yetu...Allahumma Aamiin
Jamani mimi nyimbo sipendi hasa, na nailazimisha nafsi yangu hivyo, lakini nikisikia hivi vinanda vya kuanzia tu kwanza, inanibidi nisimame kama dakika 5 mpaka 10. nafsini mwangu najihisi kua mnafiki, Astaghfirullah.
Nilikua nampenz Wang 2013 2014 alikua mzanzibar halida hajj aliupenda wimbo huu sana dahh alichonifanyia ashkur mungu tu inauma sanaa alikua anaupenda wimboo huuu nikiusikia roho inauma mnooo ngoma tam sn
DAAAH HII NYIMBO INANIKUMBUSHA MBAALI SAANA 2003 NIPE CHEKECHEA BABA ALIKUWA NA REDIO NDOGO HIV YENYE COVER YA MBAO MCHANA AKIRUDI SHAMBA ALIKUWA ANACHUKUA JANVI ANATANDIKA CHINI YA MZINGAFURI ANAFUNGULIA TAMTAM ZA MWAMBAO.
waw yuko wapi mtoto aliembuka na roho nzuri na heshima zako akaniweka moyoni mwake na nikamuweka moyoni kwa dhat akaniimbia nyimbo kama hii ya allah hebu nikutanishe naye.
Cjaona mwengine km ww sabah salum i like your taraab mashallah love my grand mom for give us good entertainment thanks😀😀 and last that i want to tell you everyday i listen your taraab😭😭 am cry coz of your good taraab. THANKS😍😍
Them dayz when love was real!!! Sometimes iwish I could go back to those days...it reminds me of my late wife...rip beb when ihear this song icant control my tears oooh!!! sleep well mpenz mwenye ulikua na imani kwangu
Me mwezenu feeling beat za uyu mama zote na sauti yakee OMG🎹🎹🎹🎸🎸🎸🎼Nataman! nataman! nataman! kukuona OMG Majozi furaha sina humu mwangu mawazoni ...😘😍😌
Abdallah Almugheiry:Sasahv ukitaka H.I.V aahh wala ucwe na wacwac,,kisiwa chote wandengereko wamekiharibu wanatoka kwao na njaa zao wanakj ku2haribia na cc.
naikumbuka Zanzibar ile yazamani Imani nyoyoni mwa Watu ilikuwepo, watu waliheshimiana, kupendana kuhurumiana, Mabaya tunayoyasikia nakuyaona Leo hayakuwapo wakati ule
Subhanallah hii nyimbo sichoki kuniskilza na ina nifanya niwakumbuke wazazi wangu wote wa 2 saa 8 mchana marehemu mama yangu na baba yangu wakiimba pamoja, Allah awasameh makosa yao ya sirini na dhahir awajalie janat firdaus ya daraja ya juu Ameen YARABBY
Daa sina chakusema zaid ya kumshukur mung ailaze roho ya marehem mamaangu panapo staghli ishaalh pepon tutakutanishwa hakika alikua mpen z sana wanyimbo hii data
Nipo hapa MARCH 2020 najiliwaza tu kwa sauty tulivu mashairi yalotulia yamapenzii binafsi nimekua muoga sana sitamani hata kupenda ila nashkur moyo wangu upo na amani na maisha yanaendelea Majonzii furaha sina upo mwangu mawazoni
Nice song masha Allah ❤ nice words and very melodious i dedicate this song to my beloved husband wherever he is❤ yes! Will always cherish your love forever❤❤❤ till death do us apart ameen!
Kama bado unaisikiliza 2020 gonga like.
One of my favourite song.
Kila niuzikilizapo na pata hisia za kipekee sana. Sauti nzuri ya Sabah.
am here july 2020 💕
Hisia gani wapata si uniibie siri😂😂😂😂😂😂
Fatma, kuna hisia nadhani hazina neno au maneno ya kuzielezea na ukijaribu kuzieleza utaharibu au utapoteza maana halisi, inabaki kuwa ndani ya moyo wako. Kiukweli naposikiliza huu wimbo ninakuwa kwenye ulimwengu mwingine kabisa.
2020 september now i am looking
Maa shaa Allah...Allah Atujaalie wake wema,watakaotupa utulivu na walio na huruma kwetu.....bila shaka mke mwema ndio pepo ya duniani....Rabby yatakabalie maombi yetu...Allahumma Aamiin
Ameen Yaa Rabb
Daaa kidato cha tatu 1996 siku hizo Mungu marehemu shwahiba wangu (Rukia Kaumbwa) alikuwa anapenda kuimba wimbo za Sabah na kuzipata kama zilivo
Pole sn rukia alikuwaa anakaa kwa chimbeni eh
2020 anyone??👌
2022 🎉
Duniani Mithili yako hapana, Na peponi tutakutanishwa tena. My favourite song Ma shaa Allah.
Yah nice song taarab of all time.
Wazamani
jamani naikumbuka hii nyimbo sana2 baada yakumpoteza mchumba wngu wakwanza! mola aiweke roho yke maalipema insha Allah tutaonana my....!!!
Mwinyi Rogoh pole sana kifo cha mahaba ya shakila pia
Mola akufanyie wepesi
Pole sana Ameen mkumbuke kwa Dua na swalah na sadaka
Jamani mimi nyimbo sipendi hasa, na nailazimisha nafsi yangu hivyo, lakini nikisikia hivi vinanda vya kuanzia tu kwanza, inanibidi nisimame kama dakika 5 mpaka 10. nafsini mwangu najihisi kua mnafiki, Astaghfirullah.
Pole sana wangu Allah ampe kauli thabit
its 2024 and its still my best taarab
Macho yakisemezana,, nakumbuka ya sirini
Mithili yako hapana,, umeumbika mwendani
Wewe kwangu sultana,, unapendeza mathoni
Alibiiiih! Alibiiiih! Alibiiiih 🙌🙌💝💝💝💝
Ukiisikia huu wimbo lazima usisimke na kama mmeo yupo mbali lazima umpigie cm sabah mashallah
Nyimbo tamu sana, inaburudisha ba kufunza pia. Fasihi ndo hii jmn
Nilikua nampenz Wang 2013 2014 alikua mzanzibar halida hajj aliupenda wimbo huu sana dahh alichonifanyia ashkur mungu tu inauma sanaa alikua anaupenda wimboo huuu nikiusikia roho inauma mnooo ngoma tam sn
Eeeh jamani kama unaskiza hii 2019 jun,piga like
Kunnipata ndipo!
Top song
2020 still here
2020
2020 juni na bado naiona faya
nyimbo hii inanikumbusha mbali sana,majonzi furaha sina upo mwangu mawazoni ni maneno yanayonitowa machozi,mama amejuwa kuimba jamani
wapenzi wa sabah hamjamboooooooo..............
Ismail Mjeshi atujambo penda sana sabah
+Zainab Bukari Sabah hatar ww...mithili yke hakuna....
This song makes m to feel happy when i was home Zanzibar islands god bless Zanzibar i love Zanzibar
DAAAH HII NYIMBO INANIKUMBUSHA MBAALI SAANA 2003 NIPE CHEKECHEA BABA ALIKUWA NA REDIO NDOGO HIV YENYE COVER YA MBAO MCHANA AKIRUDI SHAMBA ALIKUWA ANACHUKUA JANVI ANATANDIKA CHINI YA MZINGAFURI ANAFUNGULIA TAMTAM ZA MWAMBAO.
This is my second best song after Yalaiti ya Bi Malika. "Mpenzi mwenye imani, mimi nakupenda sana."
waw yuko wapi mtoto aliembuka na roho nzuri na heshima zako akaniweka moyoni mwake na nikamuweka moyoni kwa dhat akaniimbia nyimbo kama hii ya allah
hebu nikutanishe naye.
Wanigusa rohoo ynguu kwa maneno yko mwili wote hoi mums sabah lv so much .... hapa Musa chothaz kutoka italy
dah yaan huyu mama nyimbo zake sikomii kuziskiliza every day nakumbuka kulee zenji maeneo ya mji mkongwe hukos ngoma hiyo i like this sabah salum
Dahh kitambo kweli kipindi icho najiandaa kwenda madrasa saa nane mchana zinachezwa kwenye kipindi cha burudani sauti ya Zanzibar radio
khakeem afro daaah sabah unazeeka na sauti yako, mwanamama unaipa tasnia ya miuzi ya taarabu raha tupu
Zikipigwa mbili tu muda tayari wa kwenda
Hahahahaa mbio na mas-haf yako unakimbilia, duh! Alhamdulillah time flies
Hahaha
Mwanangu wacha tu. Mi nilimtumia cousin wangu kule UK 1998 akaning'ang'ania!
Nataman kukuona,majonz furaha cna umo mwangu mawazon dah ...Kazi nzur bi sabah
Mashaa llah
Jamani naipenda hii nyimbo sana yana mama kaimba maneno matamu nakumbuka kuee huyu mungu ampe maisha marefu
my feelings is going deeper,, it reminded of me when I was 8yrs my mom told finish to eat to go madrasa,,,, impressive 👌👌👌
Mohamed Shaaban z. nnnnnmnsssssmssc
dDZra@#4=sA ¥a
Ahahahaa😆
The same to me
And yet here you are, listening to taarab
@@yusrahamza3208⁰p
Reminds me of my wedding night 23 years ago. Lost for words. Beautiful.
Masha Allah inanikumbusha mbali sana iko wap Zanzibar yetu hii
Dah zenji enzi izoooooo nakumbuka tunachambua karafuu dah siku zimepita mungu ailinde Zanzibar yetu
Cjaona mwengine km ww sabah salum i like your taraab mashallah love my grand mom for give us good entertainment thanks😀😀 and last that i want to tell you everyday i listen your taraab😭😭 am cry coz of your good taraab. THANKS😍😍
Miaka mingi lakini haishi hamu old gold
mpenzi mwenyewe imani,mi nakupenda sana
2020 who's still listening....Swabaha mchacho ameweza sana.... +254
Nice song wallah ng`ombe hazeeki maini nyimbo hii inankumbusha udugu wangu diana
Them dayz when love was real!!! Sometimes iwish I could go back to those days...it reminds me of my late wife...rip beb when ihear this song icant control my tears oooh!!! sleep well mpenz mwenye ulikua na imani kwangu
Pole sana. ALLAH AMREHEMU NA AMPE PEPO YA FIRDAUSI.
Pole xana
Pole kaka kwa kuondokewa na mpendwa wako, Inshallah mtakutana kesho peponi.
Abubakar Ali pole
Pole sana bro
Me mwezenu feeling beat za uyu mama zote na sauti yakee OMG🎹🎹🎹🎸🎸🎸🎼Nataman! nataman! nataman! kukuona OMG Majozi furaha sina humu mwangu mawazoni ...😘😍😌
Zubyzuby Mohamed yani sijui nani atamuwezea minamtamani nimuige
Hizi ndio Taarab Sasa, hizo zingine boringo, gonga like hapa 2023
Sabaha anajua sana huyu jmn
Mashaallah,, inaniumiza hii nyimbo kumkosa wa moyon, aise mungu ndo mjuz cha tu....
Kabisa
wakti wa Zanzibar raha na mapenzi watu wakipenda na kuheshimiana
Abdallah Almugheiry:Sasahv ukitaka H.I.V aahh wala ucwe na wacwac,,kisiwa chote wandengereko wamekiharibu wanatoka kwao na njaa zao wanakj ku2haribia na cc.
mashaallah najiona mm ndo naiimba juu yakitanda namumewangu ananisikiliza...mashaallah sabah
Wahida Habibu sana tu wahida atamie nshisi ivyo
Hahahahaa....hongeraaaa
Sabah hapo uliongea vizuri enzii hizooo inanikumbusha siku hizooo tunapanda daladala Chai maharage bububu
Jameni 2020 na bado nyimbo ni hit ...naipenda maana yanipa hisia nzuri ...Love you Sabah Salum
dah Sabah mkali sana Ila wabongo hatumsifu mtu mpk AFE
Peter Junior siwashazoea micharuko dar live kaka miaka sabaha penda yy
Natamani natamani kukuona
naikumbuka Zanzibar ile yazamani Imani nyoyoni mwa Watu ilikuwepo, watu waliheshimiana, kupendana kuhurumiana, Mabaya tunayoyasikia nakuyaona Leo hayakuwapo wakati ule
جدتي مره قالتلي ان كلما اشتاقت لجدي تسمع هالأغنيه🥺
Mashaallah ni nyimbo nzuri na ukitulia kuisikiliza ndio ina raha yako heko Sabah nakupenda sana na nazipenda nyimbo zako na sauti pia hongera
nampenda sana huyu mama inshaallah Allah akujalie umri zaidi hakuna kama wewe kwenye tasnia yaa taarabu tanzania
circulation newhabari sana akuna mashauzi tu yamewajaa mavi matupu
Nataman kukuona jaman sabaha mashallh sauti nzuri
na pepon tutakutanishwa tenaaa mpz mwenye iman mm nakupenda sasa mpk 2020 iko juu vya kale dhahabu
Duh! Sikugani twakutana unitoe adhabuni wallah naumia sana nimekumbuka mbali Sana 😭😭
Huu wimbo unanikumbusha Mlandege Mtumbani Zanzibar.
Sister sabah unanikumbusha zamani kwani pendo ni moja tuu wala hamna mithili kama unavyosema
Kwa mimi nakumba nyimbo hii kipindi cha mchana kwenda chuoni
Subhanallah hii nyimbo sichoki kuniskilza na ina nifanya niwakumbuke wazazi wangu wote wa 2 saa 8 mchana marehemu mama yangu na baba yangu wakiimba pamoja, Allah awasameh makosa yao ya sirini na dhahir awajalie janat firdaus ya daraja ya juu Ameen YARABBY
latahi Lehsein inshaallah
AMIIN YAA RABBY
This song reminds me soo much about my sweet mama
ABDULKHEIR MOH'D pole brother
Salamu! Salamu! Salamu twaleteana
Mpenz! Mpenzi! Mpenzi hatuonani
Siku gani tutakutana unitoe adhabuni
Siku gani tutakutana unitoe adhabuni
Mapenzi kuridhiana huba zisizo kifani
Mapenzi kuridhiana huba zisizo kifani
mums sabah wanigusa mahali kwangu jamani naumia sana tena sana
This song make me feel so badly when I remember my ☓, but no way life goes on
Me too my x 😂😂
Like me
😂😂
😂😂
2023 still Love this song
Full Mahaba..Shukran Maa Sabah Salum...Mola akueke ❤
Mum Saida kabsaaaa mum saida' allah amuhifadhi......
Jamani!!!nikiwa ndani ya boat kismayuuu..huu mziki hatari sana karibu nijitupe baharini.
I feel home omg jamani nyumbani kwetu 😢2018 i miss home zanzibar mitaa yamchenzani jumba no 3
Akheir Zaman.......wallahi wanikumbusha hapo awali ya mapenzi na ya Ayuoni wng. luv it
jamanii huu Wimbo uwiiiiiiiiiiiiiii natka kama nikamtunze mama sabah ❤❤❤❤❤
Dah!!!....utamu mtupu Zama hizo taarabu ilikuatamu
Abdalla Konyezo mom anjua jamani.....sauti tuuuuuuuu' nyimbo haramu lakn allah atusamehe
Duniani mithili yko hapana BABA yng mzazi na peponi tutakutanishwa tena inshaallah
Super star abdallah issa alijua kuandika huu wimbo 🔥🔥🔥2024
kidilu nyimbo zinanikumbusha Zanzibar nilipo zaliwa
Sichoki kusikiliza daima , dah nakumbuka mbali sana nilivyopotezana na niliempenda kwa dhati 😢 hadi leo 2020 hanitoki
Polee kam mim dah it real hurts
Sabah i love nyimbo zako zote uko juu sana mungu akuweke nakupendaa.duniani mithili yako hapana na peponi tutakutanishwa tena
2021 still glued to the beautiful lavish lyrics ... anyone ? ❤️
Am here
@@ishajuma6485 pamoja 👍🏻
Here too
hamna km mume wangu Yussuf Allah bless my hubiy
Special song for my husband 😍😘😘
I smell marashi ya karafuu when i listen this nice song,long life my zanzibar
miss you
love you
For life
love this song it remind me of someone use to be soo special
Nataman nataman kukuona mpenzi wangu yaan jins navomkumbuka mpenzi wangu bas tu 😔😔😔😪😪😪
Maneno yako sawa sawiyya kaka Bakri....Mie ndo hulala kabisaaa
Maa shaa Allah atujaalie wake wema nawatoto wema
Inshaallah
Bado Gati .... Ahhh mwatukumbusha mbali wallahi
Je ne prend pas vraiment votre langue mais j aime tellement cette chanson 🤗🤗
Amen!
C,est bien
HACHIMIA 🇰🇲 : NATHAMANI NATHAMANI MKUWONHA MWENYE HANI MWENYE HANI NATHAMANI MADJOZI FURAHA SINA MKU KWANGU MAHATSONI
Lovely..Sabah MOLA Akupe Umbrii.
Sabah i love you,Zanzibar throwback
I love I love love ...this song reminds me so mch of my teenage
Hii nyimbo mume wangu aliniambia niiskize alafu kesho yake akasafiri. Kila nikiiskiza lazima ntalia machozi ya furaha.
teeeena hapana chezea mambo ya zenj yaaan kweliii natman kukuonaaa
natamani kukuona.. nice song...
that's fantastic
Aisha Yusuf mambo
utamuona
Goodluck Kweka wwwfnpqker
MashaAllah very nyc song
Keuli mach'Allah nzuri kupendana muhimou dro tamou ya moyoni na zayidi raha kuonana ichall'whaou
Love like war easy to start but hard to end...God is good for evertime
Nyimbo za mahaba kama hizi ndio twazitaka❤😊2023
Daa sina chakusema zaid ya kumshukur mung ailaze roho ya marehem mamaangu panapo staghli ishaalh pepon tutakutanishwa hakika alikua mpen z sana wanyimbo hii data
Nipo hapa MARCH 2020 najiliwaza tu kwa sauty tulivu mashairi yalotulia yamapenzii binafsi nimekua muoga sana sitamani hata kupenda ila nashkur moyo wangu upo na amani na maisha yanaendelea Majonzii furaha sina upo mwangu mawazoni
Hii nyimbo nikisikia nakumbuka
Na mpenz wangu uko tanga ila sasa ivi
Hakuna mapenz kabisa yani 2021
Nice song masha Allah ❤ nice words and very melodious i dedicate this song to my beloved husband wherever he is❤ yes! Will always cherish your love forever❤❤❤ till death do us apart ameen!
Milele tutashikana yetu kubwa tumaini
Milele tutashikana yetu kubwa tumaini
Tuishi tukipendana kwa salama na amani
Alibiihh!! Alibiihh!! Alibiihhhhh!!
Mashallah natamani kukuona
Yanikumbusha mpenzi wangu jamani kweli sijaona mithili yake
I miss you my lovely wife. .see u soon insha Allah
2022 ♥️nmkumbuka kwetu machomane pemba
One of the best songs nishawai sikia Sabah nakupenda you are the best artist I know 💝💝💝💝
Mashaallah nice song.ila huwa inaniliza sana
mashallah sabaha nakumbuka kwetu mm znz
Mashaallah Sabah muchacho sio kwa sauti hii uliotumia