Kama imebaki siku,katika maisha yangu siku Ningependa hiyo siku,ishe na wewe ishe na wewe Mahasid shauri zao,na wavimbe khiyari zao Nimelengwa datia,nimelengwa datia Datia!datia!datia!datiaaaaaaahhhh
Inshaallah! Inshaallah tutaonana Inshaallah! Inshaallah tutaonana Iwe London inshaallah tutaonana Iwe Toronto inshaallah tutaonana Iwe Dubai inshaallah tutaonana Iwe Muscat inshaallah tutaonana
Mashaallah dada sabah . Mungu atulinde sote kwa Amani atuepushie n'a mashetani wanaozunguka mchana kweupe♥️
Wimbo wako wanipa matumaini. Hongera
Kuna nyakati mimi hujiambia huu ndio wimbo bora zaidi wa mahaba uliowahi kutungwa katika lugha ya Kiswahili.
Nakubaliana nawe. Wimbo ni murua sana.
Kama imebaki siku,katika maisha yangu siku
Ningependa hiyo siku,ishe na wewe ishe na wewe
Mahasid shauri zao,na wavimbe khiyari zao
Nimelengwa datia,nimelengwa datia
Datia!datia!datia!datiaaaaaaahhhh
Nice
The song 'tambaa,' is cool and charming just from the beginning kama ime baki siku.... It as some lovely lyrics woow
Si ishi Tama moyoni insha'Allah tutaonana hongera bii mkuu
Masha' Allah quelle belle musique relaxante. Merci East Africa Melody
hii wimbo ni malshallah ,tamu kupita kiasi
Japo mbio za maishaa,zimetutenganushaa ipo siku tutakeshaa😍😍😍
😊😊😊😊😊 Nakupenda
Lovely Sabah salum❤❤❤❤🎉
Beautiful song
Beautiful mom,I luv all ur songs very nice 👌
Wazi wazi mama kama imebaki iyo sikuuuuu. Bwana weee
Lovely voice
Love u Aunty❤️
Thank you.I love you too
Nakupenda bure mamagu my favorit sabah 😍😘❤💕💖👄💝
ni Nouma sana Sabah salum mama La mama uko juu
Asante na mimi pia nakupenda mwanangu
@@nurusehel7068 😍😍😍😍
Nakupenda sana mom
Nice San 2
Hizo ndiyo zilikua taarabu bwana weweeeee
Zanzibar taarab💥💥💥💥
Inshaallah! Inshaallah tutaonana
Inshaallah! Inshaallah tutaonana
Iwe London inshaallah tutaonana
Iwe Toronto inshaallah tutaonana
Iwe Dubai inshaallah tutaonana
Iwe Muscat inshaallah tutaonana
Jaman dj harrry hahaha tuko pamoja
Sabah Salum Ali nakupenda sana
Safi sana
Love this ❤
Japo mbio za maisha zimetutenganisha tamaa mie sijesha ipo siku tutakesha.
Uko vizuri mama michacho
Ahhh mama kipenzi chanqu muimbaji bora kbs wa taarabu ambaye huna mpinzan Asante nakumbuka mbari
Old is qold. Utam hadi rahaaa
Ishe na wewe tukitazamana
datia datia sabar mama uko juu
asante
@@nurusehel7068 pambeee tu swabah
Namkubari sana huyu mama
Namkubari sana huyu mama
Inshallah tutaonana........
Naweza para full video ya huu wimbo
🤗🤗🤗🤗
Siku tutapokutana eeehh,Waovu watatafutana eeehh
Watabaki kunong'ona eehh,Sisi yetu yawe Ng'aring'ari
Habib yetu yawe ng'aring'ari
Habib datia! Habib datiahhh
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Inshaallah tutaonana
Cute
Nimewakataa wenqi wenye ranqi tofauti wenye nywele za mashunqi nasubiri kesho yako
malkia huna mpinzani
Mkewagu
I LOVE YOU MY MOM
Tuwatie tumbo joto..
Inshaallah tutaonana