Duniani duniani mithili yako hapana Na peponi na peponi tutakutanishwa tena Mpenz mwenye imani mimi nakupenda sanaaahhh Ahsante Shangaz sabaha Muchacho @AbdulHamid de Zanzibar
Mithili yako hapana yaaani hakuna kama wewe..... anazungumzia mtu uliemzoea yaani mf'mpnz rafiki ndugu.... ila ndo hayupo tena duniani kwaiyo ndo anatamani kumuona.......hatari hiii kituuuu....... nampenda uyu mom mpk... rahaaa
2024😂❤
asante sana kuandika kwa kingereza💗💗 Sabah kweli amejaaliwa
Mithili yako hapana
Old is gold taarab Zanzibar
Viva Zanzibar taarab,viva Sabah Muchacho
Mithili yako hapana,Old is Gold taarab
Viva Shangaz Sabah,Yaa Salaaam
Mpenzi mwenye imani mm nakupenda sana .....yaan imenigusa sana hii nyimbo🤗
Mashallah tarabu haya yani imetilia mahaba ya mpenzi wangu sauti yako imezidi mahaba ndani ya roho yangu shukurani daa swawaba saloum nakupongeza sana
2022/11/26 still listening to this masterpiece. Kweli old is gold.Mungu Akuwekee mametu Sabah,Akujaalie afya tele na uzima.much love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Si ambari si zinduna... waridi Wala asmini. Adimu hapa hakuna..sijaonapo yakini. Daaaaah!! Maneno kuntu mashallah.
Duniani duniani mithili yako hapana
Na peponi na peponi tutakutanishwa tena
Mpenz mwenye imani mimi nakupenda sanaaahhh
Ahsante Shangaz sabaha Muchacho
@AbdulHamid de Zanzibar
Duniani mithili yko hapana na peponi tutakutanishwa Tena mpenzi mwenye Iman mm nakupendana sana
acha tuuuu
Sijaona kama hubby wangu love you sana
Allah awatunze na kuwaeka mpendane daima
Niusikiapo wimbo hu humkumbuka mpz wangu wa zaman
Masha Allah old is gold 🏆🎖
Natamani natamani natamanii
Natamani natamani kukuona
Mwenye hali,mwenye hali natamaniii
Majonzi furaha sina upo mwangu mawazonii
Mpenzi mwenye Imani mie nakupenda Sana......viva sister sabaha bint saloom
Natamani sana kumuona Japhary milanzi
Wimbo bora wa mapenzi kwangu mm mfano wake hakuna
iko poa
Amazing golden voice
Iko poa
Mithili yako hapana yaaani hakuna kama wewe..... anazungumzia mtu uliemzoea yaani mf'mpnz rafiki ndugu.... ila ndo hayupo tena duniani kwaiyo ndo anatamani kumuona.......hatari hiii kituuuu....... nampenda uyu mom mpk... rahaaa
hapana ukisikiliza beti ya mwisho anasema "Salamu twaleteana mpenzi hatuonani..." maana yake yupo hai lkn yuko mbali tu.
@@salamukadir2588 Yes nakubaliana na wewe... tena mwisho anasema " Milele tutashikana langu kubwa tumaini, Tuishi tukipenda kwa salama na amani"
Yaan huu mwimbo hunifanya nikumbuke mbl sn, ila ndo hivyo no way out 😭😭😭
Natamn
so sweet music and voice
Natafuta ile taarab inayo imba "nampenda lakini simtaji kwa jina "
Nampenda kwa ishara naogopa kutamka?
Nakupenda bingwa
Tubia tena
Siku gani tutakutana unitowe adhabuni
Hhjjj
Iko poa
Hhjjj