Inshaallah naomba MUNGU nipate mke anipende nami nimpende kisha usiku tukae wote kitandani tuisikilize hii nyimbo ili tuzidi kupendana zaidi inshaallah
Jamaniiiiii asante tulio zama kwenye ili dimbwi la huba na wanaotupenda tujuane. Mapenzi ni matam tu ikiwa utampenda anae kupenda.... Hakika raha kupendwa ❤❤
Yani haya maneno ni mazima sisi wengine tumetoka znz mpaka tupo UK kwa kuaathiriwa yani machozi mpaka basi kwa sababu ukiathiriwa na huba la fulani huwa unataka usimuone kila ukimuona huwa kama napata fedheha
Inshaallah naomba MUNGU nipate mke anipende nami nimpende kisha usiku tukae wote kitandani tuisikilize hii nyimbo ili tuzidi kupendana zaidi inshaallah
Inshaaa Allah Allah atakujalia mwenye khery na weye
@@zengeummu9575 amiin
In Sha Allah
Masha Allah
Amin inshallah
Ma sha Allah nyimbo mzuri msma etu sabah salum.mungu akueke❤❤❤
Jamaniiiiii asante tulio zama kwenye ili dimbwi la huba na wanaotupenda tujuane. Mapenzi ni matam tu ikiwa utampenda anae kupenda.... Hakika raha kupendwa ❤❤
Macho kitizama nadhar ya shan,huwa nna hema mapigo ya ndan
Mwili watetema nafungwa lisan,hushindwa kusema yalofuwadin
Yaa Rabbi salama Mola niahumi niahuni
Hatareee
@@saumuabdulazizi8118
Tam tam za mwambao
Cjaona mwengin zaidi yako sabah salum your taraab is so cute😍😍
Raha duniani huba la Mohammed wangu 😍😍😍😍😍
Limeniathirii Huna Lakee jamaniii Mashallah Sabah Manenoo Perfect kabisaaa I am Soo in love jamanii
Sauti mashallah +254 tunakupenda sana...
Raha duniani huba la fulani la fulani aaaa jamani hii nyimbo nzur hongera 😍😍😍
MashaAllah sabah salum utaniua kwa maneno yako matam dadaangu ❤
Kesho tukiwa hai nauzima takua mapema tuskize hzo nyimbooo usiku mwemaa ndugu zanguu kaka zangu dada zangu good night 😴😴😴😴🙏
dada
Jamani hii nyimbo itaniacha nitafute mume niolewe
😂😂😂
Sabaha napenda sana nyimbo zako
Yoooooommmmyyy 🤩😘❤❤❤❤❤❤❤💞🥰😘💯🤣😂🤲ukwl kabisaa wasema somo yngu
Huu wimbo itanifanya nitafute ndoa kilazimaaaaa
Hakuna ndoa ya lazima vinginevyo hautapa hio raha wafikiria utapata.. Take your sweet time to get the right one ndio utaona raha
Umesema ukweli watu wasiharakishe@@Mrs.Mumewangu
Sabah dadang umetesa vya kutosha .rejea kwa Allah sasa
Love u Sabah....😍
Love you Muchacho
Wewe usharudi kwa Allah??
Kabisa, umenena, Allah ATUONGOZE hakika na atupe mwisho mwema Inshaallah
@@lailahasan2200 Amiin
Hii nyimbo haipatikan Google jaman
MashaAllah ngoma haishi tuamu
Dah! Raha sana nyimbo zako zinahamasa
maashaallah #always old is gold
nipate mume anioe sasa jamn😢😢😢
Wasema umekugusa pia ww wimbo
Majina ya sabaah ha aww wajali kusemaa ukwl🤣🤣🤣🤣🙏👍👌💞❤❤❤❤💗
Yani haya maneno ni mazima sisi wengine tumetoka znz mpaka tupo UK kwa kuaathiriwa yani machozi mpaka basi kwa sababu ukiathiriwa na huba la fulani huwa unataka usimuone kila ukimuona huwa kama napata fedheha
Pole dear
😂😂😂😂😊
Pole kk nahid
Pole san kak nahid
Pole sana
Umenikumbusha long time habibty
Mimi kwa mara ingine jamani hapa. I miss my husband... Tuko mbali mbali kwa sasa💔
Mashallah Mashallah Habibty
Nakubali sana nyimbo zako big up
Love u much much 😙😙😗😗😍😍😘😭😭😭
Nice mashaa Allah
Daah hapa nimekamatwa ka hii tarab achatu
Daah that was so feeling💯
Moyoni wa khashiin,na katika langu hili langu hili
Raha duniani huba la Fulani la fulaniii,kwa raha duniani huba la Fulani la Fulani
Limeniathiri huba la Fulani, Sauti hariri nyororo hewan
Kashindwa kanar sauti laini,hamu imekithiri haina mwishoni
Siwez subir! Siwez subir sina afueni afueniiihh
Nawe mkar dah
@@issamashurinyo9609
Kawaida mbona!! Haahaahaaa!!
yani Sabah salum mashallah
Mashallah mama wtu wabaha ur de best haki
Ma shaa ALLAH 💫❣❣
Mimi ni victim no 1
raha duniani huba la furani 😘😘😘
Hatujali kusemaa ukwl
Mashallaah mashallaah
Maneno mazitoooooo
we mkaliiiiiiiiii
MashaAllah mamaa sabah
Masha allah masha allah
❤❤ fahmi wngu
Kweli kabicaaa😘
sabah salum atalii sana momy
Nice voice amazing
Pambeeee
Mashallah
Kwela tena nimethirik na huba la fulan
🥰🥰🥰🥰
Yani napenda izomelod kama za kihinde eti heh
Wawo
wew ukua wala uto kua
Nikweli,limeniadhiri hubalafulani*sabaha weweunakonga nyoyozawatu@wallwah siwezisuburi,siwezi,sinaafueni!!hubalafulani❤️
mungu baba!!!
we unajua xana aloo shidaaaaa
Mashallah
Wallah mashairi haya qiff hongera kwa sauti
Acheni tuuuu
2023🥰🥰❣️
Maashallah maashallh
una baya sabah salum muchacho
Limeniathir huba la Fulani siwez subir Sina afueni
Limeniathiriiiii
Tubu tawbatan nasuha
Hapa mm cjw hata nicmj kwa maumivu
😣😣😣😭😭
2024🦻🦻❤❤
ajatokea kama wewe bado xana
Mashallah