Kama omary kopa angekuwa hai TAARAB isingekuwa imekufa kama ilivyokufa. Huyo ndiye hasa angeshindana na mzee yusuph. Kama unakubaliana na mimi gonga like
Daa wakati anaimba wimbo huu ndo alikua anaumwa masikini nakumbuka siku hiyoo mama yake aliimba wimbo wake omari akiwa hospital magala zakhem enzi hizo aliimba huku analia pole sanaa mama sisi sote wapitaji
May his soul r ip...i used to love him..i loves his songs till today..his voice was good anaghani sijasikia saut yake labda kwa ahmed Mgeni may his soul rip too for now hakuna...wanaimba no kughani na mahadhi...
Kifo chake nililia sana. Nikiwa na mimba 2007. Nilitaka kwenda Tanga lkn jamaa nyumbani walinigombanisha sana. Nitoke Mombasa keenda kumzika mtu hata sio jamaa ya gu. Nyinmbo zake zilinijaza mapenzi sana. Mpk leo huwa naskiza
2023 still loving this song💕💕💕💛💚
Allah akupe kauli thabiti huko uliko
Kama upo 2020 na umeiplay hii gonga like twende sawa
I a
Ampekauli thabiti kwa lipi sasa
Jamani naipenda hiii song love it💯💯💯💯
Kila nikisikiliza hi nyimbo inanikumbusha mbali sana adi sasa naipenda sana2024
2019 love you forever omary sijamuona anajua kughan Kama ww
Kama omary kopa angekuwa hai TAARAB isingekuwa imekufa kama ilivyokufa. Huyo ndiye hasa angeshindana na mzee yusuph. Kama unakubaliana na mimi gonga like
KWA MOTO WA MAREHEMU OMARI HATA MZEE YUSUPH HAINGII KABISA.
Kwanza mzee yusufu alikua amfikii omary kopa kabisaa
Xana mungu ampunguzie adhabu ya kaburi
@@PatrickHebron-ge3xe Ameen😭😭😭
Mzee yusuph huyu angelimuonea kwa mbali sanaa....MashaaAllah alikua anaimba si haba..Allah amfanyie wepesi kwenye adhabu za kabri ,,,ameen yarraby😢
Leo 2021 bado unaishi moyoni mwetu Mungu akuweke sehemu salama omary 😭🙏🙏
2021, Nan tupo pamoja🔥🔥🔥🔥🔥
05/09/2022 12:55 nasikiliza this song😭😭 Allah amrehem Omar kopa
Daa wakati anaimba wimbo huu ndo alikua anaumwa masikini nakumbuka siku hiyoo mama yake aliimba wimbo wake omari akiwa hospital magala zakhem enzi hizo aliimba huku analia pole sanaa mama sisi sote wapitaji
Alikuwa anaumwaaa nini
Omari kopa na mzee yusufu
Dar Aise Kweli Uyu Bwana mkubwa Ndio alikua mfarume wa Taharabu R.I.p .2019 Bado iko good zaid
Duuuuuuuh!...nyimbo inanikumbusha marehemu Amina chifupa alikuwa anaipenda sana kwenye kipindi chake..
KOPAAAAA!!!!!!!alikuwa hatariiiiiiiiii..na Wala hatotokea mwengineeeee
tugombane asubui jion tunaongea kama naimbiwa mm omari mungu akulaze pema pepon
R.I.P OMARI
2020, nani tupo pamoja?
Tupo
Ya mola
2021 still🔥🔥🔥 endelea kupumzika kwa amani
Kaka anasautiii inasisimuaaaa❤❤❤ hii sasa ndo TAARAB 2024 Still inagusaaa
pole Malkia Khadija Kopaaa kwakupotezaaa hiki kifaaaaaa Daaaah huuuu Wimbooo unaniumizaaaa Pumzikaaaa kwaaa Amani Omari Yusuph Kopaaa
Amigo
Jahaz
12/02/2022 still is one of my best of the best songs
Hi ni bahat yngu kanichaguwa yy
Same here
Anacheza mechi zangu number zote hucover yeye 👌 Omar hakuna mwengine wallah
Mungu akurehemu, akuswamehe madhambi yako, akueke palipo na wema amin.
Alikua karithi sauti kwa mamake Huyu mashallah...Mungu amrehemu aliko...
pumzika Kwa amani kaka yetu kipenzi
Ioyuiuppppl my
Yes sauti kama ya mamaake . He was good kwa kweli. Mungu amrehemu
Daah umeenda na utamu wako😭😭😭 hakika huu ni msumari na uliwachoma kotekote
Kama bado uko hapa 2020 leta likes ya marehemu❤⚘
ok
Nani yupo hapa 2020 kama mimi
2021
Pambeeeee mahaba kama yoteee miaka mia name ntakupenda omary pumzika kwa amani baba Allah akuepushe na adhabu za kabri
Pambeeee naipenda sana hii daaaaah
May his soul r ip...i used to love him..i loves his songs till today..his voice was good anaghani sijasikia saut yake labda kwa ahmed Mgeni may his soul rip too for now hakuna...wanaimba no kughani na mahadhi...
minnah minnah hammer q ana ghani Sana pia
Me too I loved him soo much may his soul rest in peace 😥😥😥😥
21/1/2021 naipata kwa uzur kabisa
Omari mi shabiki yako mpaka 2021 japo nnapoisikia napata machungu mashaallah Allah akupe kitabu chako kwa mkono wa kulia.
Wallah nyimbo zake pambe 2022 yni haziishi utamuuu
Swadakta
Daaaah nashukulu Mume Wangu kwa wimbo mzuli nimeupenda sana Mungu tujarie tuzidi kudumu
Saut nzur nimeeanza kumsiliza tangu utoto wang..mpka leo2023 pumzika kwa aman
Nakupenda milele Amina....Mungu akulaze mahala pema peponi Omary Kopa.
2024 nipo hapa natafuta nyimbo ya harusi na sijapata bwana harusi 😂😂💔 inshallah ipo siku ntakuja kueka hii nyimbo nikiwa na mume wangu 🙏❤️
Mungu akurehemu inshaallah
Alla amrehemu jamani huyu mtoto alikua anaimba jamani karithi kweli namrithi huzidi jamani pole mama diiii
Eeeeh ,uliye danganyishwa na dunia ,ukafanya mambo mengi una nguvu una jeur hakika ya umauti unakuja ghafla na karibu ni saduku la matendo yk
Naipenda sana hii nyimbo
@omary copa
Athumani Idd mohammed kamota,, kiukwel Omary Kopa alikua ni mtunz wa mashair na huimba taratiiiib hakua na papara R, p,, Omary Kopa.
Lala kwa amani mwamba wewe ndio mfalme wa Taarabu 2022 tuzo zilikuwa zako
Tugombane asubuhi jioni tunaongea👌👌👌
mambo hayo raha tupu pambeeeee
Ulazwe pema ln shaa Allah,
Ameen in shaa Allah
2021 tupo pamojaa
2021 nipo nasikiliza tena
kugombana si twabia yetu, kupatana kawaida yetu
Vitu kulishana ndio raha kwetu, Kushikana shikana haina shobo kwetu
R.I.P omary kopa.. kamanda wa kughan mashairi.. njia ni moja umetangulia na sisi tunafata.
Allah amlaze pahala pema ampe janna 🤲🌹
I love 💝 this song nice voice mshllh
January 2022 tutaona baadae mfalume wa kughani💕👌👌
2021hapa kwa mfalme wa kughan rest in peace omary
Old is gold listening in 2020 rip kopa
Mungu akuraze mahari pema amin
ameapa hatoki kwangu, mnokerwa mjiueee
daaah kam yupo vile MWENYEZ MUNGU akupunguzie adhabu kaka angu.
Yani mpaka 2023 tunasikiliza mziki mzuri
Kwake khadija kopa.
Pokea salamu kutoka kwa famili yangu kwaujumla.
Ala pia tuna sema pole sana kwa msiba wanguvu ulo kugusa.
regendar Wa taarab rest and piece for ever
Napenda sana huu wimbo
Aisee huu wimbo unanikumbusha mbali saana
Inakumbusha mbali sn hii na machozi hutiririKa nikisikia hii R I P Kopa
Kichuna nineye mie,2020
Nice song love it
mood🔥🔥🙌🏼
Yaitwa timeless music. 2023 tupo kujinafas
Love ❤❤so much this song
Jaman napenda hizi melody 2021 wimbo bado mkali
2021.... Rest easy Omary
Kifo chake nililia sana. Nikiwa na mimba 2007. Nilitaka kwenda Tanga lkn jamaa nyumbani walinigombanisha sana. Nitoke Mombasa keenda kumzika mtu hata sio jamaa ya gu. Nyinmbo zake zilinijaza mapenzi sana. Mpk leo huwa naskiza
Mungu akulaze mahali pema peponi
Naku kubali
Mke wangu
2021 still listening
❤Haishi ladha...🥰Allah Arehem🤲
Lo hatatutoka mioyoni mwetu. Huyu ndiye alikuwa anakuja kuwa kumrithi mama fani yake
Lakini Mungu hakupenda RIP Omary
Ulikuaga hatari mungu akuweke mahali pema
Pumzika kwa amani Omar kopa😭😭😭😭😭
Repose en paix inchallah amina 🤲
💃💃💃
Naomba kujua maana ya neno ushambenga.
Kaa bila kurukaruka baada ya kumchagua mpenziye. Nani amekushurutisha?? Zoea mapema, Kaka wee! Dr. Ogeto International
Akiacha anarud kaowa kwavshindo karud hapahapa huyu niwangu
Dah kitambo xn asee mshikaj alkuw fundi mno km mama ake
Rip omary
Ngoma yamana
Naomba mtu anijuze maana ya ushambenga.
Ushambenga ni kama ufitinishaji, umbea,
legend😭
walotaka kututenganishq wambea
10 Dec 2023 Still listening 🎧❤
Nasema sitaki ushambengaaa
Chini wanaenda watu jamini
Sitaki ushambengaaa😀😀😀😀
2021💋
20/10/20023 bado kwangu nyimbo nzulii
2023👌👌👌 October
tumewaonaaaaaa
Rip
Kweli kabisaaaaa
9/2023 Nasikiliza song rip omary kopa
R.I.P
Hivi Omary kopa ndio mume wa Khadija Kopa? Kama ni hivyo basi walichaguana maashallah
Cyo mume alikuwa mwanae
❤❤❤
Rip
2021
bonge la ujumbe aiseee
3/6/2024 pumzika kwa amani omar kopa
R.i.p