MCH HANANJA ATOA FUNDISHO KWA MWIJAKU, KUHUSU NYUMBA, UTAPENDA MANENO YAKE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 8 ม.ค. 2024

ความคิดเห็น • 74

  • @rashidkihunga2938
    @rashidkihunga2938 5 หลายเดือนก่อน +6

    mungu atulinde umeongea vema .watu wameja wivu wa maendeleo.mwijaku hongera sana kula chuma hicho

  • @ASALABOY
    @ASALABOY 5 หลายเดือนก่อน +6

    Baba asante sana kwa Nondo zako uwa najengea ufaamu Changu🌍🌍

  • @SeewaMwaka
    @SeewaMwaka 5 หลายเดือนก่อน +3

    Mtumiahi uko vzuri,,yaani umekuwa tofauti na muulia maawali,hapo alitaka ujibu tofauti halafu amlete mwijaku kwa Mia ya kuwachonganisha,ubarikiwe sana mtumiishi

  • @joslinchuwa1298
    @joslinchuwa1298 5 หลายเดือนก่อน +12

    Yaani wewe Baba Mungu akutunze una hekima iliyopitiliza

  • @user-ip4fc6et6v
    @user-ip4fc6et6v 5 หลายเดือนก่อน +4

    Napenda mahubiri ya huyu mchunganji ..anahimiza sana Kwa maisha

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw 5 หลายเดือนก่อน +5

    Mungu akubaliki mtumishi wa mungu

  • @user-uh2yu5sp5c
    @user-uh2yu5sp5c 5 หลายเดือนก่อน +2

    Baba Asante kwa mawaidha na wosia fln ndani yake 🤲

  • @user-up2ef7dc6k
    @user-up2ef7dc6k 5 หลายเดือนก่อน +7

    Baba uko very nimekupenda bure Yani umejibu ipasavyo ujakosea hongera cn baba❤🌹💯

  • @williammbuzimai5744
    @williammbuzimai5744 5 หลายเดือนก่อน +7

    Wanahabari wakorofi kwa maswali njooni kwa huyu mchungaji,,
    Hategeki kizembe.

    • @joshuamuro9494
      @joshuamuro9494 5 หลายเดือนก่อน

      Kbsaa kwanza hakupi muda kuuliza maswali ya anakipaji chakujibu kile unawaza kuliza hatimaye unabaki kuitikiatu😂😂

    • @user-ui1qs9yl1n
      @user-ui1qs9yl1n หลายเดือนก่อน

      HUYU BABA HUYU MZEE NI KAMA KOMPUTA ZA CORE NA HARD DISC ZA SSD YUKO SPEED NA KUMBUKUMBU KINOMA NA ANAJUA BIBLIA UKIENDA KUMUHOJI HUYU JITAYA LISHE

  • @emmanuellwinga5686
    @emmanuellwinga5686 5 หลายเดือนก่อน +18

    Huyu ni moja kati ya watumushi wenye hekima ya kufundisha

  • @clevermgedzi4708
    @clevermgedzi4708 5 หลายเดือนก่อน +3

    Baba hananja nimekuelewa Safi sana

  • @christopherjoseph8330
    @christopherjoseph8330 5 หลายเดือนก่อน +6

    Mchungaji nakubariki😊 unajibu swali kabla hujaulizwa na mtangazaji, unampa wakati mgumu 😂😂😂

    • @joshuamuro9494
      @joshuamuro9494 5 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂 hatari Sana

  • @aloycemathew3926
    @aloycemathew3926 5 หลายเดือนก่อน +4

    Pastor yangaa tumekosomaaaa😂😂😂❤

  • @paschaljoseph2412
    @paschaljoseph2412 5 หลายเดือนก่อน +2

    Mchungaji Hanaja kwa nn usigombee uraisi Tanzania baba 😂😂😂!

  • @muhdybrown9083
    @muhdybrown9083 5 หลายเดือนก่อน +4

    Huyu mtangazi yupo vizuri

  • @PhortunataChilumba-dt4dh
    @PhortunataChilumba-dt4dh 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akuzidishie majumba

  • @FridaUrassa-pj7yt
    @FridaUrassa-pj7yt 5 หลายเดือนก่อน +3

    NIMEKUKUBALI KWA 100%

  • @izobinyoizobinyo
    @izobinyoizobinyo 5 หลายเดือนก่อน +2

    Old boy huyu akili kubwa sana kupata new generation yenye upeo hivi ngumu sana bila kujali kiwango cha elimu. Big Up Mch Hananja kila upeo mkubwa sana

  • @mussayusuph6568
    @mussayusuph6568 5 หลายเดือนก่อน +1

    YAN MM KATIKA WACHUNGAJI WOO TE SIJAONA KM HUYU MZEE YAN HAPINDISHAGI MAANDIKO NA HAYUKO KWENYE DINI KIMASLAHI ila MWANDISHI KATAHAYARI HAKUPATA ALICHO KITAKA

  • @bahatimwaigaga5947
    @bahatimwaigaga5947 5 หลายเดือนก่อน +4

    ❤❤❤❤ uko vizuri mtumishi

  • @BrunoMakweta-dm5sb
    @BrunoMakweta-dm5sb 5 หลายเดือนก่อน +2

    Nakupenda baba

  • @musason1680
    @musason1680 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mchungaji wangu bora

  • @paschaljoseph2412
    @paschaljoseph2412 5 หลายเดือนก่อน +1

    Nitano tena mchungaji Hanaja!

  • @moseskulola6913
    @moseskulola6913 5 หลายเดือนก่อน +4

    Muchuganji unasema point kabisa wagine wameubwa kuchekesha tu.ukiziona sura zao tu mfano kingwendu HB

  • @joshuamuro9494
    @joshuamuro9494 5 หลายเดือนก่อน +1

    Amen!!

  • @user-uo5dp7hw8x
    @user-uo5dp7hw8x 5 หลายเดือนก่อน

    Hongera mchungaji

  • @user-sj1ee8of7z
    @user-sj1ee8of7z 5 หลายเดือนก่อน +1

    Sanaaa

  • @abubakarimchani8362
    @abubakarimchani8362 5 หลายเดือนก่อน +1

    Safi sana mkuu uko vizuri sana ubarikiwe

  • @clouartmichael7296
    @clouartmichael7296 5 หลายเดือนก่อน

    Mchungaji ubatakiwa kuonya hao wakidunia hata hivyo wanavyovifany acha kuunga mkono , 2 Thimotheo 3:16 na wamewekew hukumu siku ya mwisho Mithali 19:29 hiyo mizaa Mungu hapendi ,usiunge mkono hao ,Bali waonye hayo wanayoyafanya na kuwasifia wanaume na kujigamba na matukano...usienende kama vile mataifa wanavyoenenda Warumi 12:2 ....

  • @AmaniCosmetix
    @AmaniCosmetix 2 หลายเดือนก่อน

    Ua namuelewa sana ananja kwakweli apewe mauayake

  • @Satier47
    @Satier47 5 หลายเดือนก่อน

    Mzee mch ❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-ui1qs9yl1n
    @user-ui1qs9yl1n หลายเดือนก่อน

    NIMEPENDA HAYA MANENO MUOMBEE ALIYEBALIKIWA UTABALIKIWA MLAANI ALIYEBALIKIWA UTALAANIWA

  • @user-zd5pc5nc9c
    @user-zd5pc5nc9c 5 หลายเดือนก่อน +2

    Mzee kakwepa Kila swali la kinafki,,,,,,! Jamani tusome psychology.

    • @samsonhamery3809
      @samsonhamery3809 5 หลายเดือนก่อน +3

      Kweli Mchungaji hananja huwezi kumtega swali. Kabla hujamaliza swali kisha jua lengo lako,Ishajua unakoelekea,ishajua unachotaka kumaanisha. Ukimaliza tu swali majibu ya hekima yanamtoka kama computer.Mpeni maua yake.

  • @odilomwemeziernest646
    @odilomwemeziernest646 5 หลายเดือนก่อน

    Sasa pasta na mambo ya mwijaku wapi na wapi,mnakosea adabu,alafu pasta si kila utakaloulizwa na mwandishi utajibu

  • @GeraldDanieltarimo-ke3ik
    @GeraldDanieltarimo-ke3ik 5 หลายเดือนก่อน +1

    Lakini umasikini nikitukibaya sn, mbonakunawatu wanapesa hawajitangazi? Waache ushoga wewehatakama inathamani ya tilion,unatangaza nn? Huoniumasikinii

  • @PhortunataChilumba-dt4dh
    @PhortunataChilumba-dt4dh 5 หลายเดือนก่อน +3

    Huyu mchungaji zaidi ya mchungaji

  • @allyndabe2458
    @allyndabe2458 5 หลายเดือนก่อน +1

    hongera mwijaku kwakupiga mwingi kaka mpaka shem kakupa ghorofa dah
    namimi wacha nianze maufundi ili nipate mjengo hamidu city mikwambe kigamboni dar TZ🇹🇿

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 5 หลายเดือนก่อน +1

    Eti ...Mwijaku kama Pacome😅
    Ila ki ukweli namkubali huyu Commentator huwa Interview zake ziko vizuri

  • @KennethMgona-jy4vc
    @KennethMgona-jy4vc 5 หลายเดือนก่อน +1

    🎉🎉

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 5 หลายเดือนก่อน +1

    Imekuwa kizaza a na mediya ya tz

  • @emanuelvenanc8686
    @emanuelvenanc8686 5 หลายเดือนก่อน +1

    salama kabisa

  • @deathrow8004
    @deathrow8004 5 หลายเดือนก่อน +1

  • @caissemalatinho252
    @caissemalatinho252 5 หลายเดือนก่อน +4

    Na nyie wandishi wa habari ayo manbo waulizeni wajinga wezenu sio watu wadini

  • @josephanthon8037
    @josephanthon8037 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mchungaji uko poa sn

  • @mwanjaaseif5229
    @mwanjaaseif5229 5 หลายเดือนก่อน +1

    🎉🎉🎉🎉

  • @AbdulmalikFedrick-ct7nb
    @AbdulmalikFedrick-ct7nb 5 หลายเดือนก่อน +4

    Mchungaji nakupenda sana
    Na mungu akufanyieni wepesi inshallah uwe muisilam ujekuwa
    Shekh mkubwa Tanzania

    • @daudimichael7338
      @daudimichael7338 5 หลายเดือนก่อน +4

      Hapo pakuwa Muislam ndiyo umekosea, amuache Yesu Kristo aliyehai amfuate Muhammad aliyekufa na yupo kaburini mpaka leo? Fikiria upya.😂

    • @elsonkingtz4506
      @elsonkingtz4506 5 หลายเดือนก่อน +2

      😂😂😂😂😂

    • @mangaluzacharia3511
      @mangaluzacharia3511 5 หลายเดือนก่อน +1

      Huko aliko apige kazi ya MOLA haihitaji awe muislam

    • @jpmanotaofficial639
      @jpmanotaofficial639 5 หลายเดือนก่อน

      Anaujuwa uislamu vizuri ndomana hawezi kuja huko

    • @martinmkoba361
      @martinmkoba361 5 หลายเดือนก่อน

      Ata yeye anakuombea wewe uje uijue neema ya mungu

  • @muharamiesther5908
    @muharamiesther5908 5 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤

  • @VeronicaRugoyi
    @VeronicaRugoyi 5 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 5 หลายเดือนก่อน

    Yuko sawa uyu Baba

  • @ramadhanimtiba834
    @ramadhanimtiba834 5 หลายเดือนก่อน +1

    Naomba namba yake

  • @katabaroonlinetv9688
    @katabaroonlinetv9688 5 หลายเดือนก่อน +8

    Hananja hujawahi kukosea pokea Maua yako kwa majibu mazuri

    • @ahmadamohamed1907
      @ahmadamohamed1907 5 หลายเดือนก่อน +1

      Yy si binaadamu ?yuko vizuri 2 Ila usiseme hajawahi kukosea. Mm namkubali Sana huyu mzee sana

    • @katabaroonlinetv9688
      @katabaroonlinetv9688 5 หลายเดือนก่อน

      @@ahmadamohamed1907 huenda hatujaelewana kiswahili ni chetu lakini tunakipa tafsiri tofauti kwenye maisha mkamilifu ni mungu lakini Mimi nazungumzia speech zake wala sio maisha yake bonafsi

  • @francismanda74
    @francismanda74 5 หลายเดือนก่อน +1

    Pacome 😂😂😂😂

  • @khadejarajab8007
    @khadejarajab8007 5 หลายเดือนก่อน

    Vijana na nyie wavurugeni na nyie mpewe nyumba hongera sana mwijaku acha wapige kelele😂😂😂😂

  • @Maryc2G
    @Maryc2G 5 หลายเดือนก่อน

    Hata mimi Nampongeza Mwijaku kwa ujenzi wa nyumba.

  • @user-sw1kn2sv8j
    @user-sw1kn2sv8j 5 หลายเดือนก่อน +1

    Vizuli baba

  • @user-zk7td5bp5i
    @user-zk7td5bp5i 5 หลายเดือนก่อน

    Namkubali sana uyu ananja ira, Namkalibisha kwenye Usilamu

    • @daudimichael7338
      @daudimichael7338 5 หลายเดือนก่อน +3

      Mtafute umuhubirie Uislam ni nini, akufundishe na kukuonyesha Uislam siyo dini ya Mungu, ni ya Muhammad tu.😂

    • @elsonkingtz4506
      @elsonkingtz4506 5 หลายเดือนก่อน +1

      Wanao mjua yesu Raha Sana, sio kama hao majini😊

    • @polycarpykavishe9001
      @polycarpykavishe9001 5 หลายเดือนก่อน

      Yaani atoke sebuleni aende chooni..!?