Aunt Sadaka jitahidi uwe na subira Mr Sukambi anapoanza kuelezea mtazamo wake unadakia haraka sana anapoanza kuongea, kila mtu apewe muda wake bila kuingiliwa mpaka amalize. Asante
Nimekubaliana na huyo mama alivyosema kuna lijamaa lina mkontrol mume au kijana ambae hataki kufanya ushoga ila hilo jamaa lishamfanya mke 😭 ila jamani muwafatilie na wale wazungu wanaingia hapa Tz na kujifanya wanafadhili vijana huko mikoani au vijijini tena wanajenga mahusiano mazuri na makubwa na jamii iliyo wazungukuka kumbe nia yao ni kuwafanya vijana mashoga 😢
Shule za Bweni ziwe tu Kuanzia Sekondari ili Watoto wetu tuwajengee misingi na Hata kazi pia wazazi ikifila Saa 10 wasitishe kazi warudi kwenye Malezi.... watoto wengine wana haribiwa na Mahouse girl au Houseboy
Kijana mwenye miaka 30+ akiamua kua na mwanaume au mwanamke alomzidi miaka mingi let say 15+ hapo ana akili timamu na anajua anachokifanya acheni wavune wanachopanda......... Ila mama au mbaba wa late 30s na kuendelea kuwa na binti au kijana wa kiume wa ealry 20s or even 18,19 yrs hiyo ni typical paedophilia iliyopoa, na kinachotafutwa hapo ni manipulation ya kijana mdogo tu
Wanaume wanaoshinda gym. Wanaume wanaochukia ma gay mpaka huwa wanawaombea wafe. Wanaume ambao wana marafiki wanaitana bro kila sehemu wapo wote. Wanaume walio bakwa na uncle zao... Kama TZ wapo wengi sana na wengi wameoa au wamezalisha wanawake tofauti ili wafiche mapungufu yao utaskia mimi rijali nina watoto kibao😂
Aunt Sadaka jitahidi uwe na subira Mr Sukambi anapoanza kuelezea mtazamo wake unadakia haraka sana anapoanza kuongea, kila mtu apewe muda wake bila kuingiliwa mpaka amalize.
Asante
Kweli yaani
🤔Asanteni kwa majadiliano mazuri yenye mafunzo na uamsho wa maisha yetu ya kila siku 🤝
Kipindi kizuri sana
Asanten mmetufumbua macho mambo mengi
Nimependa ati nyonyo la baba mwanzo baada ya hapo la mtoto😅😅😅😅
Nimekubaliana na huyo mama alivyosema kuna lijamaa lina mkontrol mume au kijana ambae hataki kufanya ushoga ila hilo jamaa lishamfanya mke 😭 ila jamani muwafatilie na wale wazungu wanaingia hapa Tz na kujifanya wanafadhili vijana huko mikoani au vijijini tena wanajenga mahusiano mazuri na makubwa na jamii iliyo wazungukuka kumbe nia yao ni kuwafanya vijana mashoga 😢
Mbarikiwe sana kutuelimisha
All in all Mungu kwanza,hata tukikaa vikao ama tukawa na mada nyingi atutoboi
Mbarikiwe kwa kipindi kizuri.
Uyo mama aliegusia ishu ya simu na kunyonya 2months yani yeye tu ndio amebonga point kubwa mno
yaan mxieew
Konyanya nn?
Nikisummarise walichosema.... behaviour pattern ndo jambo la msingi,
Pay attention to the relationship of your husband and men in his life
Si mfanye research kujua damage upande upi zaidi
Point zote ni za Msingi...,,,Ila ni kweliii malezi na Kufundisha Watoto shule zote za Primary Boarding Zifungwe waweke ziwe Day school
Shule za Bweni ziwe tu Kuanzia Sekondari ili Watoto wetu tuwajengee misingi na Hata kazi pia wazazi ikifila Saa 10 wasitishe kazi warudi kwenye Malezi.... watoto wengine wana haribiwa na Mahouse girl au Houseboy
Kijana mwenye miaka 30+ akiamua kua na mwanaume au mwanamke alomzidi miaka mingi let say 15+ hapo ana akili timamu na anajua anachokifanya acheni wavune wanachopanda.........
Ila mama au mbaba wa late 30s na kuendelea kuwa na binti au kijana wa kiume wa ealry 20s or even 18,19 yrs hiyo ni typical paedophilia iliyopoa, na kinachotafutwa hapo ni manipulation ya kijana mdogo tu
Wanaume wanaoshinda gym. Wanaume wanaochukia ma gay mpaka huwa wanawaombea wafe. Wanaume ambao wana marafiki wanaitana bro kila sehemu wapo wote. Wanaume walio bakwa na uncle zao... Kama TZ wapo wengi sana na wengi wameoa au wamezalisha wanawake tofauti ili wafiche mapungufu yao utaskia mimi rijali nina watoto kibao😂
Hili nalo la baba kua anaomba kinyuma na maumbile mala kwa mala si dalili ya ushoga ???
Mmh
Nina hitaji namba ya huyu anti sadaka kwasababu nna shida sana naitaji anisaidie kuweka akili sawa nahic nachanganykiwa
Unaweza kumtafuta pia deo sukambi akakusaidia, page yake iko TH-cam hapa.
Na Mke jee ikiwa hataki tendo la ndoa huwa ana nini?
Fanyeni video kwanini mume hataki tendo na mkewe sababu ni nini na mke afanyeje
Kama hana shida ya kiafya yeyote basi ni wazi ana mchepuko au michepuko huko nje.... utajua wewe unafanyaje kupambania kombe au kuaga mashindano
Hilo limama lililovaa nuo nyekundu halijatulia linarukiarukia tu mada hovyo hovy
Mungu akusamehe bure.
😢😢😢Mungu akupe ufahamu