![Lillian Mwasha Tv](/img/default-banner.jpg)
- 92
- 295 659
Lillian Mwasha Tv
Tanzania
เข้าร่วมเมื่อ 24 ส.ค. 2016
HEARING, DELIVERANCE & PROPHECY
TPT - Mungu akufanyie Ishara Mwezi huu, WATU WATAMJUA MUNGU WAKO
Time to Pray Together (TPT) June Edition
#prayer #forward #maombi #jesus #yesu #tpt
#prayer #forward #maombi #jesus #yesu #tpt
มุมมอง: 90
วีดีโอ
TPT - TOA HUKUMU KWA WABAYA WAKO
มุมมอง 4914 วันที่ผ่านมา
Time to Pray Together (TPT) June Edition #prayer #forward #maombi #jesus #yesu #tpt
TPT - Hii hali Sio Sawa, USIKUBALI IENDELEE
มุมมอง 7614 วันที่ผ่านมา
Time to Pray Together (TPT) June Edition #prayer #forward #maombi #jesus #yesu #tpt
WOMEN MATTERS - UNAMTAMBUAJE MWANAUME ANAYEHUSIANA KIMAPENZI NA WANAUME
มุมมอง 8Kหลายเดือนก่อน
WOMEN MATTERS - UNAMTAMBUAJE MWANAUME ANAYEHUSIANA KIMAPENZI NA WANAUME
WOMEN MATTERS - NAHISI MUME WANGU ANA MAHUSIANO NA RAFIKI YAKE
มุมมอง 1.8K2 หลายเดือนก่อน
WOMEN MATTERS - NAHISI MUME WANGU ANA MAHUSIANO NA RAFIKI YAKE
WOMEN MATTERS - KUACHANA KWA SMS BAADA YA MAHUSIANO YA MIAKA 3
มุมมอง 2.2K2 หลายเดือนก่อน
Karibu WOMEN MATTERS. Kwenye Episode yetu la leo tunaongelea suala la dada aliyeachwa KWA KUTUMIWA SMS na boyfriend wake baada ya kuwa naye kwenye mahusiano ya mapenzi kwa miaka mitatu #women #womenmatters #wanawake #mahusiano #boyfriend #breakup #marriage #friends #sms
WOMEN MATTERS - JE NI SAWA KUOLEWA NA EX WA RAFIKI YAKO?
มุมมอง 2K2 หลายเดือนก่อน
Karibu WOMEN MATTERS. Kwenye Episode yetu la leo tunazungumzia na kujibu swali, Je ni sawa kuwa na uhusiano na kuolewa na Ex wa Rafiki yako? #women #womenmatters #wanawake #mahusiano #boyfriend #exboyfriend #marriage #friends
LILLIAN MWASHA: Nguvu ya Kukubaliana na Kuombeana
มุมมอง 1193 หลายเดือนก่อน
unaweza kufuatilia ujumbe wote hapa th-cam.com/users/liveZWWwrqc5rvs?feature=share #prayer #gospel #jesus #god #christian #bible #jesuschrist #lilian #mwasha
LILLIAN MWASHA: Hatua ya kuchukua ili kuepukana na magonjwa ya mara kwa mara
มุมมอง 833 หลายเดือนก่อน
unaweza kufuatilia ujumbe wote hapa th-cam.com/users/liveZWWwrqc5rvs?feature=share #prayer #gospel #jesus #god #christian #bible #jesuschrist #lilian #mwasha
LILIAN MWASHA: MWANAKE BEBA POCHI KATIKA MIZUNGUKO YAKO
มุมมอง 1834 หลายเดือนก่อน
LILIAN MWASHA: MWANAKE BEBA POCHI KATIKA MIZUNGUKO YAKO
LILIAN MWASHA: Mwanamke Furaha yako iko ndani mwako
มุมมอง 2654 หลายเดือนก่อน
LILIAN MWASHA: Mwanamke Furaha yako iko ndani mwako
LILIAN MWASHA: KASORO YAKO NDIO UTAJIRI WAKO
มุมมอง 5884 หลายเดือนก่อน
LILIAN MWASHA: KASORO YAKO NDIO UTAJIRI WAKO
LILLIAN MWASHA : UMUHIMU WA POCHI KWA MANAMKE (Happy Women's day)
มุมมอง 1464 หลายเดือนก่อน
LILLIAN MWASHA : UMUHIMU WA POCHI KWA MANAMKE (Happy Women's day)
LILIAN MWASHA: Happy Women’s day ULANGA
มุมมอง 2724 หลายเดือนก่อน
LILIAN MWASHA: Happy Women’s day ULANGA
Lillian MWASHA: THAMANI YAKO IPO KATIKATI YA MIGUU YAKO
มุมมอง 1918 หลายเดือนก่อน
Lillian MWASHA: THAMANI YAKO IPO KATIKATI YA MIGUU YAKO
LILLIAN MWASHA: When I'm 41 years old, what should I or shouldn't I eat to protect me from CANCER?!
มุมมอง 608 หลายเดือนก่อน
LILLIAN MWASHA: When I'm 41 years old, what should I or shouldn't I eat to protect me from CANCER?!
Lillian MWASHA: GIRLS HAKUNA DHAMBI KUBWA DUNIANI KAMA KUTOA MIMBA
มุมมอง 2078 หลายเดือนก่อน
Lillian MWASHA: GIRLS HAKUNA DHAMBI KUBWA DUNIANI KAMA KUTOA MIMBA
Lillian MWASHA: GIRLS UGOVI WA BABA NA MAMA AUKUHUSU
มุมมอง 1768 หลายเดือนก่อน
Lillian MWASHA: GIRLS UGOVI WA BABA NA MAMA AUKUHUSU
Lillian Mwasha: GIRLS MJUWE MUNGU KATIKA MASOMO YAKO
มุมมอง 998 หลายเดือนก่อน
Lillian Mwasha: GIRLS MJUWE MUNGU KATIKA MASOMO YAKO
Lillian MWASHA: GIRLS MAISHA YANATAKA UWE NA KIHEREHERE NDIO MAFANIKIO
มุมมอง 1999 หลายเดือนก่อน
Lillian MWASHA: GIRLS MAISHA YANATAKA UWE NA KIHEREHERE NDIO MAFANIKIO
Lillian MWASHA: GIRLS UTOKUFA BALI UTAISHI
มุมมอง 6839 หลายเดือนก่อน
Lillian MWASHA: GIRLS UTOKUFA BALI UTAISHI
LILLIAN MWASHA: USIMPE MWAUME NAFASI YA KUKUZOWEA
มุมมอง 2.3K9 หลายเดือนก่อน
LILLIAN MWASHA: USIMPE MWAUME NAFASI YA KUKUZOWEA
LILLIAN MWASHA: UNA MIAKA 40 UNASUMBULIWA NA MAPENZI WHY!!
มุมมอง 2.3K10 หลายเดือนก่อน
LILLIAN MWASHA: UNA MIAKA 40 UNASUMBULIWA NA MAPENZI WHY!!
LILLIAN MWASHA: KWANINI UNA TOA MIMBA??
มุมมอง 9810 หลายเดือนก่อน
LILLIAN MWASHA: KWANINI UNA TOA MIMBA??
LILLIAN MWASHA: IJUWE KAZI ANAYO IFANYA MPENZI WAKO
มุมมอง 20810 หลายเดือนก่อน
LILLIAN MWASHA: IJUWE KAZI ANAYO IFANYA MPENZI WAKO
LILLIAN MWASHA: MWANAUME UNA KOPA ILI UMRIZISHE MWANAMKE ACHA UFALA
มุมมอง 28810 หลายเดือนก่อน
LILLIAN MWASHA: MWANAUME UNA KOPA ILI UMRIZISHE MWANAMKE ACHA UFALA
LILLIAN MWASHA: LEO NAKUPA STORY YA MAISHA YANGU
มุมมอง 1.9K10 หลายเดือนก่อน
LILLIAN MWASHA: LEO NAKUPA STORY YA MAISHA YANGU
Naomba namba zakooo my dear
Hiki kipindi nimerudia zaidi ya mara 4
Yaani nyie Leo mmekaa mnaniongelea Mimi kweli sawa bwana what next maana ndio hivyo
Sasa hiyo sms angenitumia mie angekoma nahisi angetuma htr mia na nisingejibu
Wengine hapo hawaja kuelewa. Watoto waskuhizi!?
Love gorgeous women ❤❤
Kwaupande wangu Mimi nisawa
Wanaume wanaoshinda gym. Wanaume wanaochukia ma gay mpaka huwa wanawaombea wafe. Wanaume ambao wana marafiki wanaitana bro kila sehemu wapo wote. Wanaume walio bakwa na uncle zao... Kama TZ wapo wengi sana na wengi wameoa au wamezalisha wanawake tofauti ili wafiche mapungufu yao utaskia mimi rijali nina watoto kibao😂
Una talent nyingi unaweza kuwa msimulizi wa hadithi au content ya maana kwa sababu una sauti nzuri. Umebarikiwa mtumishi
God bless you so much sister
Lilian l love u ,u are awoman of a substance
🤔Hakuna kitu kibaya kama dhana. Dhana hukondesha, hutia wasiwasi, kiherehere hadi pressure kabisa. Chunguza, fanya utafiti halafu muulize mpenzi wako jee ana mtu wa pembeni kama atakubali fanyeji mazungumzo kufikia muafaka na kama atakataa na ushahidi upo iteni wanafamilia ikishindikana kusuluhisha waiteni watu wa dini kama hawa watu wako ndani ya ndoa na wana imani fulani. Mtazamo wangu kila mtu ana mtazamo wake.
Nimekubaliana na huyo mama alivyosema kuna lijamaa lina mkontrol mume au kijana ambae hataki kufanya ushoga ila hilo jamaa lishamfanya mke 😭 ila jamani muwafatilie na wale wazungu wanaingia hapa Tz na kujifanya wanafadhili vijana huko mikoani au vijijini tena wanajenga mahusiano mazuri na makubwa na jamii iliyo wazungukuka kumbe nia yao ni kuwafanya vijana mashoga 😢
🤔Ubinaadam, utu na vitendo ni vitu 3 tafauti. Jambo muhimu ni kujua maisha, mtazamo na uamuzi ni wangu hauhusiani na mtu. Kila mtu na safari yake kimaisha iwe ni x wako au wa rafiki yako ni x tu sasa kupenda au kupendwa kwengineko isiwe ni chuki za marafiki. Ni kufahamiana tu kuwa kila mtu na maisha yake. Mada nzuri asanteni sana kwa elimu 🤝
🤔Asanteni kwa majadiliano mazuri yenye mafunzo na uamsho wa maisha yetu ya kila siku 🤝
😅nyie ni huzuni kwakweli nani anamkula mwenzake mie ningemtumia sms pale pale mamy ur so sexy akinijibu Namie ningejibu Leo tunaweza kuwa pamoja halafu Nampa location fasta akikubari Natoka home na simu ya Mme wangu mpaka eneo la tukio yangu naacha akija najua wanakulana naanza kuhoji
Bro, unatoa code sasa jaman
Nina hitaji namba ya huyu anti sadaka kwasababu nna shida sana naitaji anisaidie kuweka akili sawa nahic nachanganykiwa
Unaweza kumtafuta pia deo sukambi akakusaidia, page yake iko TH-cam hapa.
😢😢
Point zote ni za Msingi...,,,Ila ni kweliii malezi na Kufundisha Watoto shule zote za Primary Boarding Zifungwe waweke ziwe Day school
Shule za Bweni ziwe tu Kuanzia Sekondari ili Watoto wetu tuwajengee misingi na Hata kazi pia wazazi ikifila Saa 10 wasitishe kazi warudi kwenye Malezi.... watoto wengine wana haribiwa na Mahouse girl au Houseboy
Hili nalo la baba kua anaomba kinyuma na maumbile mala kwa mala si dalili ya ushoga ???
Mmh
All in all Mungu kwanza,hata tukikaa vikao ama tukawa na mada nyingi atutoboi
Kipindi ni kizuri sana, hongereni kwa kazi kubwa ya uelmishaji jamii......maoni kama mdau wa women matters, nadhani itapendeza zaidi mkipeana nafasi katika kuongea mawazo yenu, yani mtu asimkate mwenzake akiwa anaongea ili tupate mawazo yake mpaka mwisho tujifunze zaidi, hasahasa mentor Deo Sukambi mnamkata sana, akianza tu kuongea kidogo mnamdakiza,
Au...Sadaka rafiki (best friend)ni saa nyengine anaweza kuwa kuliko blood sister
Kama ww ni best wangu unatakiwa uwe upande wangu
Need to bring back this gem✨Piccola
Si mfanye research kujua damage upande upi zaidi
Hilo limama lililovaa nuo nyekundu halijatulia linarukiarukia tu mada hovyo hovy
Uyo mama aliegusia ishu ya simu na kunyonya 2months yani yeye tu ndio amebonga point kubwa mno
yaan mxieew
Konyanya nn?
Tuombe Mungu dada Lilian Mapenzi ni Mitihani ajuaye ni Mungu Pekee Yake Mapenzi Tumwachie kwanza aliye tuumba ♥️🧎🏾♀️🙇🏽♀️👏🏾
😮😢😢 Oooh Lilian I was like the same like you 😭😭😭😭😭😭😭😭loooo at last I found my metch and worse again my Dad he even though am HIV Postive since I was very skin and I’ll too be blessed 😇 ♥️♥️♥️♥️🧚🏾♂️🧚🏾♂️🧚🏾♂️🧚🏾♂️🧎🏾♀️🙇🏽♀️👏🏾
Na Mke jee ikiwa hataki tendo la ndoa huwa ana nini?
Asanten mmetufumbua macho mambo mengi
Kijana mwenye miaka 30+ akiamua kua na mwanaume au mwanamke alomzidi miaka mingi let say 15+ hapo ana akili timamu na anajua anachokifanya acheni wavune wanachopanda......... Ila mama au mbaba wa late 30s na kuendelea kuwa na binti au kijana wa kiume wa ealry 20s or even 18,19 yrs hiyo ni typical paedophilia iliyopoa, na kinachotafutwa hapo ni manipulation ya kijana mdogo tu
Nikisummarise walichosema.... behaviour pattern ndo jambo la msingi, Pay attention to the relationship of your husband and men in his life
Huyu Dada Ana uhakika iyo namba ni ya huyo rafiki ya mume wake kweli?? Au amesave tu jina??
Mbona ize tu ukiachwa achika ukiona hivyo rizki yako imeisha kwako kwa hiyo usimlazimeshe mahusiano na ukitaka kuumia we ng'ang'ania upendwe
Mbarikiwe kwa kipindi kizuri.
Lilian unasauti nzuri sana kama BBC hivi tunasikiliza
Very wrong 😑 kutembea na bwana wa rafk yako haijalishi mmeachana miaka mia
Natasha and lilian they are very right bwana wa rafk yangu siwez kuolewa naye wala kutembea❤naye yakifika huko ni rahisi hata kuuwana na mtu anaye weza fanya hivyo hakuwa rafk bali alikuwa adui kaa naye mbali
Fanyeni video kwanini mume hataki tendo na mkewe sababu ni nini na mke afanyeje
Kama hana shida ya kiafya yeyote basi ni wazi ana mchepuko au michepuko huko nje.... utajua wewe unafanyaje kupambania kombe au kuaga mashindano
Aunt Sadaka jitahidi uwe na subira Mr Sukambi anapoanza kuelezea mtazamo wake unadakia haraka sana anapoanza kuongea, kila mtu apewe muda wake bila kuingiliwa mpaka amalize. Asante
Kweli yaani
Mbarikiwe sana kutuelimisha
Nilikutana na haya mm 😢niuzuni unalala na mwanaume miezi saba ukimgusa unatukanwa sana
Vipi sasa siku hizi mambo yamekaa sawa ? Kama bado shida ipo nitafute nikusaidie
Mmmmh utamsaidiaje @@sultanaally4397
❤❤❤❤❤mbarikiweee
😢😢😢daaaaaah huyu dada jamn pole yake
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Vipindi navyo vipenda😊
Woow❤