Mashallha msafi kweli mm bwana angu msafi mno mpaka mm mwenyewe naojiogopa 🤣🤣yani bonxa yake nyeupe ukifua auna ata shida ya kufua kwa miguvu yani anafanya adi kukuelekeza jinsi ya kufua jinsi zake ataki ufue na sabuni akiingia kuoga ss🤣🤣😂mnaweza mkachelewa safari mpaka na mwambia anajini itakuwa😁🤪msafi mno
JAMAN NIMESOMA COMMENT ZOTE ZINAUMIZA 😭 AKI MNACHECHA SANA MUNAKAA NAKUMUSEMA ETI OMMY NISHOGA ?? HIONINJAA INAWASUMBUA NAKUMUONEA WIVU 😏 😏 KAMA NISHOGA INAWUSUU? MUACHE NA MAISHA YAKE ATAJUANA NA MUNGU WAKE !! NAKUPENDA SANA OMAR 😍 MUNGU AZIDI KUKUSIMAMIYA SANA KATI KA KIRA JAMBO ROROTE UNARO RIFANYA AMEN 🙏❤️ # OMMY DIMPOZ
Omar hiyo sweta uliyovaa rangi zake zina sifa mbaya duniani !zina saport mapenzi ya jinsia moja !najuwa unajuwa ila umeamua kuvaa sasa watu wakikulaumu usiwaone wabaya
@@edinakyaruzi9226 Halifai huo mchanganyiko wa hizo rangi una maana mbaya sana !hata yeye analijuwa hilo !juzi tu hapa kuna mchezaji wa mpira wa miguu wa team ya PSG raia wa Sénégal alikataa kuvaa jersey yenye hizo rangi kutokana na misingi ya imani ya dini yake !ukitumia hizo rangi dunia nzima inajuwa kuwa ww ni mtu wa haina gani
@@reubenkissinga5802 sisi hatupati shida shida ipo kwa vizazi vyetu wapendwa haitajulikana mme wala mke tumuombe MUNGU sana iliatuepushie kwa pamoja kwaimani tofauti na yenye ofu kwa Mwenyezi MUNGU tutashida
hivi utahudumia wangap?Na akiwa anatoa msaada kimya utajuaje?..Kingine hvi hutakiwi kula raha kwasababu kuna watu wanapata shida? acha kila mtu ashinde mechi zake bana matatizo dunaian hayaishi.
Inshaallah mola akupe mke msafi wa mwili mpka roho...amiin
I really love this man my big fun since I was a kid akiimba na venesa mdee mashallah
msani hana maringo pia haonishi maisha yake mtando hajisifiyi mansha allah
Mashallah unajielewa sn kk nakupenda kwa ajili Allah ❤ 😍 💖 ❣
Mashaallah omy dmpoz congratulation wewe n msaf Sanaaaaa had raha
Ommy kama ikitokeya akawa mtangazaji wa kipindi chochote hakika kipindi hicho kitakuwa more than 🔥
Maashallah allah akulinde na shari za wt na majini 🙏🙏
Amin 🤲
This is really amaizing innfact ommy is my role model na nmekua nkimfatilia sna since wayback
Nyie waandishi kila siku kujaji maisha ya mastaaa mbn hatuoni maisha yenu
Duuuh...!!! This guy is living a life
Jah akujalie upate mke mzur na mwenye hofu ya mungu ommy nakukubali
Mashallah pambee saaana 😍😍
Umekaza kabisa 🥰🥰🥰🥰🥰
Love u ommy mdogoangu
Mashallah mungu akutangulie
The best one so far🔥🔥🔥 So impressive
I real love the lifestyle of dis man
Lifestyle gani hii ya kupewa na vibaba vizee ili wamfire? Mola atuhifadhie watoto wetu wa kiume kama hio ndio maisha, afadhali wangu aishi bila.
@@MrJoshkm unaohakika gani? Chunga mdumu bro
@@mahamedabdi1881 Ulizia watu wa Zanzibar na Dubai, hii kitu lajulikana, siri wazi.
❤❤❤ mashaailah
Hakika msafi mashallah 👍👌😘
This is what we want to see
Big up mtangazaji uko vizr sana nakuona mbali sana
JAMAA Ana pesa lakini ana ji shusha na kuishi maisha ya kawaida anakula mishikaki na mihogo koko each 👍👍🙏
Kweli ivy ndo vizuli kujishusha muhimu
Kwani mihogo si chakula kama vyakula vingine
Huyu jamaa kumbe anamaisha mazuri sana lakini hapnd kujionesha
Yakawainda tuu kkkk
@@brownd8656 Ni wivu tu
@@brownd8656 kibooo,wivu wa nini sasa
@@brownd8656 Ww unayo hata hayo yakawaida?
Mashaallah
Nice
Masha Allah
anaishi vizuri kweli yani, i'wonder familia yake anaishi maisha gani huko kwao
Hayo mwachie yeye hayakuhusu
@@veeJesus 😊
@@veeJesus 😋
Familia yake wata pambana huko walipo
Ndugu zake kina bi khadija wapo marekani hana shida yuko poa
I lv u ommy
Jamaa ana bahati Sana ya kupendwa yani anapewa kila kitu
Clean kwa sana❤
Ommi nakupenda a Sana saut yako hatauongeaj wako
Mashaallah mashaallah wagee naweziyo wasonavo
Kweli kuna watu wanaishi na sisi tunaishiaaa😁😁
Haki nimecheka 😂😂😂
🤣🤣🤣🤣
Khaa🤣🤣
Mashalllah naic
❤❤❤❤
Nilazima yule mzee aumie sio kwa maisha hayo
Ommy ni mtani sana haboi yuko very funny na mchangamfu
Mashallha msafi kweli mm bwana angu msafi mno mpaka mm mwenyewe naojiogopa 🤣🤣yani bonxa yake nyeupe ukifua auna ata shida ya kufua kwa miguvu yani anafanya adi kukuelekeza jinsi ya kufua jinsi zake ataki ufue na sabuni akiingia kuoga ss🤣🤣😂mnaweza mkachelewa safari mpaka na mwambia anajini itakuwa😁🤪msafi mno
Wifiii sijui atakuaje
Jamani msitamani maisha ya watu huyu anajua anachofanya
Nampenda ommy alafu mkweli sana
Nakubali mwanangu
Woow nice
Awe msafi loooooh nmecheka😂😂😂😂😂
ukimaliza interview awo wandiishii watupeleke makwao nawao tukaoneeee
Iwe nyummbayako mwenyewe inshaallah
Apoo kwenye mishikaki ishirini sasa ommy anakumbia umeinaaa
Ommy humuowe
Mtangazaj
Mashallah 💖💖💖💖
mashaallah mashaallah
Happa mjini kwangu now ni summer time lakin body ilijiachia haijawa teyari kwa ajili ya summer ommy kesho naanza gym😁😁😁😁
Ommy
🔥🔥
Sehemu ya kujidai hatariii
Lkn sijui upoje umelegea legea
Hahahaha 🤣 amelegea kma mlenda
Ommy watu wengi hawajui yeye ni shoga wa kujificha.
Good
JAMAN NIMESOMA COMMENT ZOTE ZINAUMIZA 😭 AKI MNACHECHA SANA MUNAKAA NAKUMUSEMA ETI OMMY NISHOGA ?? HIONINJAA INAWASUMBUA NAKUMUONEA WIVU 😏 😏 KAMA NISHOGA INAWUSUU? MUACHE NA MAISHA YAKE ATAJUANA NA MUNGU WAKE !! NAKUPENDA SANA OMAR 😍 MUNGU AZIDI KUKUSIMAMIYA SANA KATI KA KIRA JAMBO ROROTE UNARO RIFANYA AMEN 🙏❤️ # OMMY DIMPOZ
ukiwa napesa utapata kilakitu
❤️
Tumejenga wote 😂😂😂 hiyo ndiyo ishu mzee baba 😁
😁😁
Kama mchafu hawezi kutoboa 😂😂😂
Ivi jamani watu pesa wanatoa wapi?
Haaa mbona umeuliza hivi😁😁😁
Wanapambana kwa jitihada zote my
😂😂😂
Ndo na mm najiuliza sasa
Wanafirwa na vizee wa kiarabu, Ommy na mtandao usiwape presha .
Mbona dada kamtoa mkono begani
Hehe
Kama hakuna kufa jamani
We acha tu😥😥
@@miriamwinston9908 kaka wee acha wengine tunatafuta ila ndo hivyo ila tu furahi tu
Omar hiyo sweta uliyovaa rangi zake zina sifa mbaya duniani !zina saport mapenzi ya jinsia moja !najuwa unajuwa ila umeamua kuvaa sasa watu wakikulaumu usiwaone wabaya
Kumbe khaaaaaa MUNGU wangu kama kweli hayuko ivyo dawa kubwa ni kuoa, bc mimi nimelipenda limemuweka🥰 kangaaaa kweli
@@edinakyaruzi9226 Halifai huo mchanganyiko wa hizo rangi una maana mbaya sana !hata yeye analijuwa hilo !juzi tu hapa kuna mchezaji wa mpira wa miguu wa team ya PSG raia wa Sénégal alikataa kuvaa jersey yenye hizo rangi kutokana na misingi ya imani ya dini yake !ukitumia hizo rangi dunia nzima inajuwa kuwa ww ni mtu wa haina gani
Nikweli kabisa au itakuwa katumwa huyo kubrand biashara ya watu
Sawa lakini sasa sisi tufanyaje kwa mfano???
@@reubenkissinga5802 sisi hatupati shida shida ipo kwa vizazi vyetu wapendwa haitajulikana mme wala mke tumuombe MUNGU sana iliatuepushie kwa pamoja kwaimani tofauti na yenye ofu kwa Mwenyezi MUNGU tutashida
Kwani mihogo sio chakula
Kwaio kigezo ni iko tuu usafi basi nipeni no
Sometimes he looks like davido
Duuu hii yote mapambo ya dunia watu njee watembea bila nguo ww kaka umejaza makabati 😥😥😥😥
Wewe ulishawapa wangapi nguo
hivi utahudumia wangap?Na akiwa anatoa msaada kimya utajuaje?..Kingine hvi hutakiwi kula raha kwasababu kuna watu wanapata shida? acha kila mtu ashinde mechi zake bana matatizo dunaian hayaishi.
Hayo yote makasiliko tu
huyu ni nani anajishughulisha na nini msaada tafadhali!
Ommy Dimpoz mwimbaji
Zina taga maana ukimaliza kushoot unarudisha
Usafi pambee🤣🤣🤣
Mchafu tafuta Chaka 🔥🔥🔥
Sema Ana pigo fulani hivi za kishoga
Usiseme kitu ambacho huna uhakika nacho unajizolea madhambi
Hahahahaaha!eti nilitoa mchozi!
iyo hotel ipo wap kaka
Ati hapendi mwanamke mchafu? na sote twajua wewe ni wakupumuliwa kisogoni
Hahaha nami naskia hivyo
Hhhhhh mtumba tujuaneee
Bass haya mwanamke mchafu tupo tele hata mimi ni moja wao
We kadja que guara! huoni hata aibu
@@johnmichaellukindo21 yaaaani
Nguvu zenyewe hana
Mmh jmn ww ulijuaj
nimependa dressing table... poda za kutosha
Jitu lenyew shoga sasa
Ach ujinga unaushaid wivu tu unakusumbua ovyooooo!
Mmh punguza ukali wa maneno
Shoga km babako
Acha kumnenea mtu mabaya kama huna huakika na unachokiongea
Umekosa chakuongea mpaka umchafuwe dimpoz
Nice