Pastor, nilijikuta nimeoa kwa njia ambayo sikuwa nimetarajia kabsa yaani tulichukuwana tu bila kufata utaratibu, nimekuwa na hangaika na hatia moyoni Japo tunaishi vizuri tu, nimetambua tabia hii ni ya ukoo maana ktk familia hakuna aliefata utaratibu, Je! Niendelee kuishi katika ndoa hii? Pia nawezaje kuvunja roho hii isije tokea kwa watoto wangu? Tayar Nina mtoto mmoja.
Nimeshukuru kwa mahubiri haya ufunguo wa kufungua Mambo magumu, ushuda wangu ni uyu walinipiga vita kanisani Ila mimi kwa Imani na Nia nilikuwa nayo yakumutumikia Mungu Niko imara hapo hapo Asante Muchungaji Mungu aongeze upako wa mahubiri
Nakuelewa sana kila ulichozungumzia n kweli maana mim nayapitia maishani mwangu naona Mungu amekutumia ili mm nijielewe na kuvunja hiz madhabahu asante sana
Pr Mungu akubariki sana sana, hakika masomo haya yananibariki mno na kunikuza kiroho mno, yaana kuna jambo umesema mh, nilipitia kipindi kigumu ki uchumi, basi nikakutana na jaribu la kubembelezewa ajira, tena kwa kusifiwa sana, tunakupenda, wewe ni mchapa kazi mzuri, hapo ni kwenye simu napigiwa na watu nisiowajua, mimi nikaingia kwenye mfungo siku tatu kusemezana na Mungu, kuwa elimu yangu ni ya kawaida sana, wasomi wanazunguka na vyeti wanarudi hola, mimi kwa nini nibembelezewe ajira ya kuwa bilionea kwa muda mfupi? Siku moja nimejisahau nikiwa usingizini nikaota ndoto kuwa tuko ibadani, ibada yenyewe tumekaa shaghala baghala tu, ila mbe ya kibambaza cha hapo tunakofanyia ibada kwa juu kuna kichwa cha mbuzi ndicho tunachokiabu, asb yake ndoto ikawa inanisumbua sana kuwa nn maana yake? Ghafla napigiwa simu kuambiwa Agness njoo sinza mori tunakupenda sana tunataka tufanye kazi na wewe chukua usafiri tutalipia, basi nikasema naenda, nilivyofika wakalipia bajaji vizuri nakapokelewa kwa shangwe sana, lakina hapo na mimi nasali kimoyoyo, ila ule mkao nilioonyeshwa kwenye ndoto ulikua vile vile, , ni makampuni haya yanayofanya biashara za mtandano watu, nilipotoka hakika sikurudi nyuma tena.
Ninakuelewa Sana Pr. David; Mungu akufiche mbawani mwake, uzidi kumuanika ibilisi!
Pastor, nilijikuta nimeoa kwa njia ambayo sikuwa nimetarajia kabsa yaani tulichukuwana tu bila kufata utaratibu, nimekuwa na hangaika na hatia moyoni Japo tunaishi vizuri tu, nimetambua tabia hii ni ya ukoo maana ktk familia hakuna aliefata utaratibu, Je! Niendelee kuishi katika ndoa hii? Pia nawezaje kuvunja roho hii isije tokea kwa watoto wangu? Tayar Nina mtoto mmoja.
Jameni haya mahuburi ya huyu Mchungaji Yani bariki sana 🙏🙏, na ninaamini yatanifungua kutokana na kila vifungo🇰🇪🙌
Pastor ninayaelewa mafundisho, Mungu atupe neema ya kulishika neno la Mungu.
Hili somo ni la kulirudia tena maana tulianguka sana bila hulifahamu hili, Mungu atusaidie sana
Nimeshukuru kwa mahubiri haya ufunguo wa kufungua Mambo magumu, ushuda wangu ni uyu walinipiga vita kanisani Ila mimi kwa Imani na Nia nilikuwa nayo yakumutumikia Mungu Niko imara hapo hapo Asante Muchungaji Mungu aongeze upako wa mahubiri
Amen nimebarikiwa na mafundisho barikiwa pia🙏
Mahuburi Tv Mungu wa mbinguni awaangazie nuru yake ili mtuangazie,nabarikiwa mpaka natetemeka ndani ya moyo wangu.
Nakuelewa sana kila ulichozungumzia n kweli maana mim nayapitia maishani mwangu naona Mungu amekutumia ili mm nijielewe na kuvunja hiz madhabahu asante sana
Hili somo vijana wetu wanatakiwa walielewe,wasikie sauti ya Mungu ikiita
Asante sana mchungaji, umejibu maswali yangu karibu yote. Mungu akubariki wewe na familia yako🙏🙏🙏
Asante sana kwa ukweli wa sasa, Mungu akubariki sana.
Amen bwana akubariki pastor Na akupe afay njema Na ulinzi siku zote uingiiapo Na utokapo nimbarikwa Na somo hii
Pr Mungu akubariki sana sana, hakika masomo haya yananibariki mno na kunikuza kiroho mno, yaana kuna jambo umesema mh, nilipitia kipindi kigumu ki uchumi, basi nikakutana na jaribu la kubembelezewa ajira, tena kwa kusifiwa sana, tunakupenda, wewe ni mchapa kazi mzuri, hapo ni kwenye simu napigiwa na watu nisiowajua, mimi nikaingia kwenye mfungo siku tatu kusemezana na Mungu, kuwa elimu yangu ni ya kawaida sana, wasomi wanazunguka na vyeti wanarudi hola, mimi kwa nini nibembelezewe ajira ya kuwa bilionea kwa muda mfupi? Siku moja nimejisahau nikiwa usingizini nikaota ndoto kuwa tuko ibadani, ibada yenyewe tumekaa shaghala baghala tu, ila mbe ya kibambaza cha hapo tunakofanyia ibada kwa juu kuna kichwa cha mbuzi ndicho tunachokiabu, asb yake ndoto ikawa inanisumbua sana kuwa nn maana yake? Ghafla napigiwa simu kuambiwa Agness njoo sinza mori tunakupenda sana tunataka tufanye kazi na wewe chukua usafiri tutalipia, basi nikasema naenda, nilivyofika wakalipia bajaji vizuri nakapokelewa kwa shangwe sana, lakina hapo na mimi nasali kimoyoyo, ila ule mkao nilioonyeshwa kwenye ndoto ulikua vile vile, , ni makampuni haya yanayofanya biashara za mtandano watu, nilipotoka hakika sikurudi nyuma tena.
Ubarikiwe san Mchungaji David mbaga MUNGU endelea kukupa Afya njema uzid ukuhubir Mataifa yote🙏🙏🙏🇴🇲🇴🇲🇹🇿👈
Mungu akubaliki Sana unaniinua niangukapo umekuwa mrezi wangu wa kiroho ahsante kwa huduma hii jina la yesu litukunzwe sana
Nabarikiwa Sana na mafundisho yako Mchungaji ubarkiwe Sana.
Mungu awabarikini Sana tuko pamoja, katika ibada kila ninaposikiliza, amin
Mungu atukuzwe , Kwa kutujulisha mengi na makuu, ubarikiwe pastor
SANTA YESU NIMEBARIKIWA NIKIWA HAPA KAUNTI YA MAKUENI NCHINI KENYA