Amen,,ubarikuwe sana mchungaji,,,nmejifunza,,maana nlikuwa natoa baadaye nalalamika,,,,,EEee MUNGU muumba mbingu na nchi nisaidie mafundisho haya niyaweke katika matendo
Kila nikifungua Hope channel natamani mafundisho ya PST.Mmbaga mara moja billions event ya KARATU nilibarikiwa sanaa Mungu akuinue zaidi kwa vows go vya juu 🙏
Umenijibu swali langu nilokua najiuliza kila siku, kwanini ombaomba wapo nje ya msikiti tu na wanapita kuomba siku ya ijumaa tu na si jumapili au nje ya malango ya kanisa. Asante sana mungu azidi kukupambanulia neno la utoaji ni pana sana.
Amina Mtumishi wa Mungu. Endelea kutulisha mambo yatupasayo katika maisha yetu ya kiroho pia kimwili. Ninakufuatilia sana kutoka huku nchini Marekani! Barikiwa 🙏🏾
Mutumishi jisaidiye,je murokole aweza towa sadaka yakusaidiya ujenzi wa nyumba ya Mungu kwenye catholic church,wazazi wake wangali wanashiki huko catholic church ❓naomba msada wa shauri
Ndio! Yohana 10:16 Na kondoo wengine ninao, ambao si wa zizi hili; na hao nao imenipasa kuwaleta; na sauti yangu wataisikia; kisha kutakuwako kundi moja na mchungaji mmoja.
Katika habari ya kujenga Nyumba ya Mungu, kuna mibaraka mingi mnoo! Sijawahi kujutia kununua eneo wala kumjengea Bwana Maishani mwangu! Tujitoe kikamilifu kumkopesha Bwana kwa kazi yake!!
ANGALIA SEHEMU YA PILI KWA KUBONYEZA th-cam.com/video/_EBFpKexxE8/w-d-xo.html
Mungu asante kwa neno lako kupitia mtumishi wako mbariki na umpe nguvu AMINA
Amen,,ubarikuwe sana mchungaji,,,nmejifunza,,maana nlikuwa natoa baadaye nalalamika,,,,,EEee MUNGU muumba mbingu na nchi nisaidie mafundisho haya niyaweke katika matendo
Amen Amen Amen asante mtumishi kwa fundisho hili Amina
Mungu akupe nguvu na miaka mingi ili uwendelee kutufundisha pastor 🙏
Uzidi kubalikiwa mtumishi ahsnt sana kwa maneno mazuri
Pastor Mbaga na Pastor paul Semba kupitia nyinyi Yesu kabadirisha sana maisha yangu Mbarikiwe sana
Hallelujah 🙏 mafundisho mazuri Sana nayafuatilia nikiwa uku Saudi Arabia
Pr David; Nîmes barikiwa kwa ma fundisho
Kuna vitu vingi nimepata kuziele sikuwa nimezifahamu... Asante sana mchungaji mungu aliye juu sana na akubari...
Nmekuelewa sana, Mungu atusaidie tuwe watoaji shambani mwake, Mungu akubariki Sana pastor.
Mungu akubariki mchungaji kwa neno,
Amen,
Barikiwa Sana mtumishi wa Mungu,
Kwa kutukumbusha mambo hayo,
Amen 🙏 ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu toka nikufaham sijahi kujuta umenisaidi sana kiroho Mungu akuinuw zaid na zaidi 🙏
Barikiw kwa haya Mungu akupenguvu
Ubarikiwe kwa neno nisomolinalogusa maisha ya kiroho, hakika sijatoka bure.
Amina mutumishi wa Mungu ubarikiwe sana na Mungu akuzidishiye nguvu.
Amen
Nafurahi sana katika mafundisho yako Mungu akubariki
Amina weka chanel azam tv baba wenye njaa ya neno la mungu tupo wengi na mungu akubariki sana
Ombea tufikie huko
Kila nikifungua Hope channel natamani mafundisho ya PST.Mmbaga mara moja billions event ya KARATU nilibarikiwa sanaa Mungu akuinue zaidi kwa vows go vya juu 🙏
@@MahubiriPrMmbaga tutafika kristo Yesu tunaye muamini anaweza ni zaidi ya yote!
Amina Amina pastor uko nyumbani kwetu Mungu awabariki sanaa
Umenijibu swali langu nilokua najiuliza kila siku, kwanini ombaomba wapo nje ya msikiti tu na wanapita kuomba siku ya ijumaa tu na si jumapili au nje ya malango ya kanisa. Asante sana mungu azidi kukupambanulia neno la utoaji ni pana sana.
Amen, barikiwa Sana Kwa somo zuri pastor.
Nabarikiwa sana na masomo yako barikiwa mchungaji nami nakuombea MUNGU azidi kukutumi watu wasalimishe maisha yao kwa maisha ya umilele AMINA
Amen
Mungu na azid kukufunulia mengi kwa manufaa ya wengi
Amina ubarikiwe Mchungaji David kwa masomo haya mazuri
Haleluya bwana akubariki sana pastor somo linenibariki
Amina ua wanibariki sana. Kutoka Kenya mombasa
Amine 🙏🏻🙏🏻🙌🙌
Amen be blessed Pastor 🙌
Amen tunaomba pay bill .ss hatuna uwezo wa kuenda church tko saudia
Salome mm nko Dammam ww uko side gani
Amina pr
Amen. Ubarikiwe pastor Mbaga
Amina Mtumishi wa Mungu. Endelea kutulisha mambo yatupasayo katika maisha yetu ya kiroho pia kimwili. Ninakufuatilia sana kutoka huku nchini Marekani! Barikiwa 🙏🏾
Ubarikiwe sana pr Mbaga nimeguswa na somo lako hasa la uwekezaji wa kwa Mungu
Amen God bless you pastor
Mungu ashukuliwe pr
Amen bless are you
I am so eager to follow the second part of this topic.
Very important
Amina
Amen 🙏🙏🙏
Napendekeza logo design iwekwe pembeni badala ya katikati
Tupo pamoja mtumishi Wa Bwana Wa majeshi!
Nimepata kujifunza utoaji hapa..Mungu akubariki mchungaji
Shukran sana.
Barkiwa
WAPIGAJI WAPO TU hahahahahaaaaa PR.MMBAGA
Mutumishi jisaidiye,je murokole aweza towa sadaka yakusaidiya ujenzi wa nyumba ya Mungu kwenye catholic church,wazazi wake wangali wanashiki huko catholic church ❓naomba msada wa shauri
Ndio! Yohana 10:16 Na kondoo wengine ninao, ambao si wa zizi hili; na hao nao imenipasa kuwaleta; na sauti yangu wataisikia; kisha kutakuwako kundi moja na mchungaji mmoja.
Tunakujea nini unasema mchungaji wetu Mmbaga 🙏
Katika habari ya kujenga Nyumba ya Mungu, kuna mibaraka mingi mnoo! Sijawahi kujutia kununua eneo wala kumjengea Bwana Maishani mwangu! Tujitoe kikamilifu kumkopesha Bwana kwa kazi yake!!
Bwana atusatuweze kujenga nyumba za Bwana wetu
Utoaji mwingine ni matumizi
Pasta nahitaji nisikilize mahubiri haya mupaka mwisho
Rangi nyeupe inafanikiwa kutowa hata roho mbaya
Amen
Amina
Mungu nimwema
Amen Mungu akubariki sana mtumishi unanibariki sana nakuombea UZIMA wa YESU KRISTO uzidi kufungua wengi ZAIDI Amen
Pia ninaomba namba YAKO
APOSTLE DANIEL MWEBRANIA
Amina
Amina
Amina