JOEL LWAGA - USIPIGANE (Official 4K Video) SKIZA CODE 5960596
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 8 มี.ค. 2021
- Another blessing “Hit” Song in his Continuation, JOEL LWAGA the Best East African male Gospel artist of the year 2019.
USIPIGANE is the Song that simply means “The Battle is the Lord’s when you fight he goes to rest and when you rest He(God) goes fight..”
Produced by; HARRY Gb
Mixing and Mastering; Taz Goemi
Video by: Director Yotham Lyobha
#JoelLwaga #Usipigane #NgommaGospel - เพลง
Daaaaaa Joel hii nyimbo itaishi milele aiseeeee ,nipe like jaman hata buku tu
Aminaaa
Kabisa jmn mungu yupo kazin
nimeona niandike ushuhuda wangu hapa
kama utauona jua kuwa wimbo wako umefanyika baraka na maajabu na namshukuru sana MUNGU kwa wimbo
sitaandika yote ............ila kupitia huu wimbo mengi sana nayapitia na nauona mkono wa MUNGU ukitenda maajabu maishani mwangu. kiuhalisia naona nashindwa lakini cha kushangaza niskilizapo huu wimbo tu najawa na furaha na tabasam na mara nijapotabasamu tu....... tatizo linapata saluhisho bila kujua nimepataje
kweli kama maandiko yasemavyo sura ya mathayo mt. huyu ni BWANA WA SABATO
Asante sana JOEL ASANTE MNOOOOOOO👌👌👌👏
Kkkkkkknkkkkkkkkk kk kkk
Kaka kiukwel napenda San yaan unavo imba pia nataman San nam niwe ka wew jmn Yan nyimbo zako zipo Makin San mungu akupe miaka mingi maan umenitoa mbali kupia ujumbe wa nyimbo zako
Brother 🔥 Libarikiwe tumbo lililo kubeba kwasababu unatubariki wengi sana 🙌
Am a Muslim but I like this song.Usipigane.
NAKUAMINI MUNGU WANGU IPO SIKU NITAVAA SHELA NA MWANAUME SAHIHI UTAKAYE NIPA
Mwaka huu mungu hatutuacha lazima tuvae shela
Hakika mwaka huu na sisi tutavaa shela. Ewe Mungu tunakuomba
Kwaimani yote yanawezekana daima tusichoke kimshirikisha mungu kila hatua
Usipigane! Vita ni vya Bwana! Ukipigana anatulia ukitulia anapigana❤️. I needed to be reminded this.🙏 Iwe unaona au huoni yeye anapigana
unayesoma ujumbe huu Mungu atatue tatizo lako leo
AMEN
AMEN
Amen
Amina
Amen🙏
Joel, I am sending this song to the hospital bed of my grandparents. Siogopi kamwe ripoti ya daktari, vita hivi ni vya Bwana. This one was for me and my family. Nimetulia Bwana, pigana mwenyewe ujuavyo. Faith charged!!!!!!
Kweli vita ni ya Bwana!!! Bwana akapigane nao wanaopigana nami
Naipenda sana hii nyimbo kiukweli Tuzo yako ipo mbinguni brother. God bless you.
Barikiwa saana tena sana 🙏🙏🙏nashukuru kwa ujumbe mzuri, na pokeya na piya nasema asante sana Papa Mungu akubariki piya aendeleye kuku tumiya zaidi 🙏🙏🙏🙏💪💪💪💪🥰🥰🥰🥰🥰🥰❤️♥️♥️🇧🇻
Vita niya Bwana,kabisaa vita siyo vyetu hatamimi nimeona kwamba vita siyo vyangu bali nivya Bwana,amen ubalikiwe sana kwawimbo huyuu
Hakika vita ni ya Bwana,Bwana YESU naomba nipiganie maana peke yangu siwezi ninakuomba EE, Bwana usimame unipiganie
Waliokuwa na shauku na video Kama mm tujuane hapa ,Vita Ni ya Mungu hakika
Like Joshua stand camly until I give you victory,says the Lord
1:25-1:40 Kweri Baba 👏👏 Pumziko, Tabasamu katikati ya mapito jumbe tamu na nziri like kama nawe umemwelewa hapo 👍👍
Mungu atupe kutokuogopa katika jina lake kuu takatifu
Usipigane,,,,vita ni ya Bwana,, Hallelujah,,Barikiwa brother
Usipigane,that music,sauti zimepangiliwa na maneno yenye uvuvio.Barikiwa sana kwa wimbo huu
Hujawahi kunishosha, wimbo wa Faraja
Wimbo una ujumbe wa matumaini Sana ,unaganga mioyo,,,VITA NI YA BWANA
Wimbo huu km utamwamni mungu basi ww sio mtu mungu MN unagusa unaponya unakupa kuinuka tena na kusimama kwa kqsi kubwa asant joeli mungu akuweke.kwa injili tamu ya uimbaji
Niko kwenye wakati mgumu sana,Na kuzishiwa habari za uzushi, wakati nipo kwenye matatizo,Vita ni Bwana na kisasi Ni juu ya Bwana ubarikiwe Kaka JOEL
My boyfriend had wronged me and I wanted a revenge on him ,till when I found this song it calmed my soul.i feel healed from the toxic relationship that I was in and was heard healing ...thank heavens for passing through you .
Kweli huu wimbo umenigusa sana nilivyo sikiliza kwa hisia Kali Joel kaka
Once you learn the secret to trust God...you win the war. Great song Joel
Hakika nimemuona Mungu akitenda mambo makuu kupitia wimbo wako wa sitabaki kama nilivo
Namkubali sana huyu bro kwa kweli barikiwa
Sifa na utukufu ni kwa Bwana wimbo mzr sana
Usipigane hakika vita ni ya Bwana sisi tunapiganiwa na Bwana,it blessed
Kupitia wimbo Huu namwachia mungu ndoa yangu ataipigania.
good sana mkuu joel kwel kabisa nimeipenda san hii nyimbo tunazid kukuombea saaaana mungu akuzidishieee siku nyingi za kuishiiiii
Mungu akuinue zaidi na zaidi na kukulinda mtumishi Joel, hi nyimbo sijui hata chakusema ni Yesu mwenyewe alikupa hu ujumbe utufikie
Wimbo mzuri mzuri yaan Ni mzuri sanaa ujumbe wake unatoa Faraja kwenye maisha ya watu ubarikiwe @joel lwaga hakika "Usipigane Vita Ni ya Bwana" Hallelujah
My breakthrough song..... breakthrough from anger and revenge
Kweli vita si Yetu ,Vita ni ya Bwana....Be Blessed Man of God 🙏.....🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
ndugu naomba support yako kwa kusubscribe chanel yangu (baraka ernest up coming gospel artist) chakufanya ni kuclick kiduara chenye picha yangu kisha utaona maandishi mekundu yameandikwa subscribe click tafadhari nakuomba sana mungu akubariki🙏🙏🙏
@@Baraka27 nce
Hakika Roho Mtakatifu ana mbinu nyingi za kuongea na watu, kuna wakati tunatumia sana akili na nguvu zetu na tunaishia kufail vibaya, lkn tunapomwachia Mungu kuwa sasa fanya mwenyewe hakika tunamwona akitupigania! Joel bro, Mungu aendelee kukutumia nyimbo zako zina ujumbe umeshiba!
Also I realy like this song It have taught me something thank you so much may GOD bless U. I think so every body will have to put like🖒🖒🖒
Penda sana,kaka Joel. Endlea kutubariki kwa nyimbo zako nzuri. Ubalikiwe
Beautiful 😍 🇰🇪🇰🇪🇰🇪. Its good to see you young people on fire for Jesus and with such depth.
Vita ni ya Bwana... Representing Africa
Ameen, vita ni ya Bwana, asante Yesu nakuachia wewe unipiganie baba angu
Wimbo mzur nauna ujumbe pia, sema hicho kipande ulichovaa kidunia kimetibua mtumishi
Nimekosa maneno sahihi ya kuandika lkn acha niseme God is faithful
Tunashukuru Mungu kwaajili yako
Ni Wimbo Mzuri, hakika una Ujumbe mzuri.
ukipigana anatulia..ukitulia anapigana...that line encourages me to be patient in the Lord...Amen.
Kupigia wimbo huu .namwachia mungu ndoa yangu ataipigania.
Amen,hatimaye chakula kimefika kwa walaji.ubarikiwe sana.
MUNGU akubariki Joel Lwaga.
Hongera sana kwahatua uliyofikia Mtumishi kazizako nakufatilia sana unafanya vizur sana Mungu Akubariki
I like you so much Joel.You sing The Word itself na that what the gospel is all about, the good news of Christ Jesus.Huduma Yako hata mipaka ya inchi hii haitaweza izuia, you will go places you never even thought of for the God we serve can do beyond that which we can think or pray...Wewe n watofauti Son of Zion
Nmebarikiwa nimehudumiwa nimepokeaaa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🙏🏾🙏🏾🙏🏾 The battle is not minee
I pray that God will fight my battle for me ,I have received bad news from my teacher that I have failed the exams and I feel so sad and low and my only trust is in God ,I pray that God will do miracles for me 🙏
Nimejikuta uchovu unatoka wenyewe..........wimbo umenigusa UBARIKIWE KAKA
Even in my storms ...I know God one day I'll come and testify
Joel nyimbo hii kabisa Inanibariki sana!!! Mungu akubariki ❤❤❤
Barikiwa sana kaka Joel, hakika huwa nabarikiwa sana na nyimbo zako.
Mungu azidi kukuinua, huduma yako ni kubwa sana kaka Joel; unapo takiwa kuwa bado haujapafika ila soon utapafikiatu. utakuwa pale Mungu alipo kuandalia na alipo kukusudia kwa ajili ya kazi yake;Amen
Kwa kwel nyimbo zako zinanitoa sehemu mj na kunipeleka sehemu nyingine mda mwingine nakuwa na uchungu mkubwa san ndani lkb nkskia nyimbo zak najikut nainuka tena nasimama tena jina la YESU limidiwe milele na milele
Mungu ni baba yetu, asante kwa wimbo mitumishi wa mungu Joël mulimbi
Hii ngoma ni balaa imenibariki sana
Philippians 3: 18 For as I have often told you before, and now say again even with tears: Many live as enemies of the cross of Christ. 19 Their end is destruction, their god is their belly, and their glory is in their shame. Their minds are set on earthly things (Berean Study Bible)
This is a deliverance song: The kingdom and nature of our God is of peace. He is a warrior that fights to make peace. Much honour Joel Lwaga.
MUNGU akubariki nyimbo zako zinanibariki sana MUNGU akuongoze daima
Wewe ni kiboko,daaah!!!
Nimeshindwa hata nicomment nini,naona MB zangu zinaishia kwenye huu wimbo tu khaaa!!!!
Hakika Mungu si dhalimu....ukitulia anapigana. ahsante nimebarikiwa mnoo
Barikiw sana kaka joel mungu akubarik kwa wimbo mzur.
🙏🙏🙏🙏🙏
Nyimbo moja tamu sana,kubwa kuliko inaponya na kuburudisha
Nyimbo hii imenifunza Mambo mengi sana kaka❤❤
Vita ni ya Bwana. Tukitulia Anapigana🇰🇪🇰🇪🔥🔥
Ukweli halisi uliosahaulika, Vita ni ya Bwana na si yetu. Good Message...
Wow hapo Kwa kutotazama Uhalisia ni mm na ambia, najua ananipigania
Nimebarikiwa na wimbo huu mtumishi mung azidiii kukuwekaa juu zaidii
Awesome Wani Bariki sana Case yangu naelewa si kwamba ni ya Mungu. Bariki mtumishi wa Mungu From Emirates
Kuna yale ya wewe kufanya na kuna yale ya MUNGU kufanya asante MUNGU
Ubarikiwe sana huu wimbo umenikumbusha vita nazopigana sio zangu
Duuuh kweli ucpigane nao
Utuwekeee namba angalau tutoe sadaka ya shukrani umenigusa joel
The message in this song break me most. I will fight on my knees with my hands lifted high the battle belongs to you Lord. May this song brings peace,hope and Joy to someone in needs of God grace , Love and forgiveness.👐👐😭
🙏👍
🙌🏾🙌🏾💪🏾
@@catherinegeorge34 iii
@@helgerthadeus1139 kmmm
@@helgerthadeus1139 kkkk
Kuna Yale mi natakiwa kufany, alfu kunayare ambayo yesu anatakiwa kumuachia dah🙏🙏nimebarikiwa Sana na huu wimbo siogopi na sitopigan MUNGU wa mbinguni azidi kukubarki kaka
Amen and praise for the lord Jesus bless you all
Mungu azidi kukuinua kwakweli hakuna aja ya kupigana mwenyewe barikiwa sana
Waefeso 6:12
Maana vita vyetu si vita kati yetu na binadamu, bali ni vita dhidi ya jeshi ovu la ulimwengu wa roho; tunapigana na watawala, wakuu na wenye nguvu, wanaomiliki ulimwengu huu wa giza.
Nyimbo zako zinanitii nguvu na kunifanyia mpya Kila siku 🙏🙏🙏🪑🍉😘
MUNGU alikupatia huu wimbo ili utujengee ujasili na kutuvusha,binafsi nimeulewa na souchoki
Usipigane, ukitulia snapigana kwa kwelii,,Mungu akubariki mtumishii
Maana wamisri hao unaowaona leo hutawaona tenaaaa. HALLELUYAH
Hakika vita ni ya Bwana... hatuwezi kubaki kama Tulivyooo... ❤
Huu wimbo ni wabaraka kwangu....kila nikiuskiza nahisi kubarikiwa🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
YESU BWANA WA SABATO...My vains gain new strength after listen this Anointed Song
Nyimbo nzuri sana napokea baraka kupitia wimbo huu
Nakupenda mtumish!
Lkn jifunze vzr hbr za 7to
Vita ni yako bwana❤️
Joel we ni fundi kwa hili goma hatar sana
Sita pigana vita ni ya Bwana nabarikiwa🙋🏼♀🙋🏼♀
Who is enjoying the Love of God oooohh..God bless you Joel
Nifanye Nini ili niweze kukutan nawew brother Joel Naitaj Nikushirikish katik Nyimbo zangu!! 😭😭😭
Kazi nzuri sana Joel na mahubiri ya kutosha ubarikiwe kwa kutubariki!
Wow wow wow message has been taken sir
Nashukuru kaka yangu Mungu abariki kipawa hicho be blessed bro
Asante bwana kwa kunipigania vita ni vyako woowoooo daaa emenigusa sana
Mungu akubariki Joel kwa kweli tukitulia na kumkabidhi yeye atapigana
"vita ni ya bwana"- Joel Lwaga. well said brother