Yani mm hapa kutoka Kenya nausubiri kwa hali na mali...🎉🎉yani naamini kuwa mungu amekuinua kwa ajili ya watu Kama sisi...sirondoki hapa mpaka wimbo uachiliwe❤
KAZI IKO VIZURI SANA SANAAAAA, NA YENYE U QUALITY MKUBWA SANA YANI IKO POWA KABISA NIMEBARIKIWA HAKIKA KAKAA. NAMINI KUTIA HII WATABARIKIWA WENGI SANA KAKAA..MOYO WANGU
Jumbe kubwa sana hasa kama ushapitia mambo magum yakukatisha tamaaa hii nyimbo nilazima ikutoe chozi mwenyewe nishamwaga choz lakutosha wakati nausikiliza ujumbe huuu 🙌🙌🙌🙌
Fanya promotion Kila mkoa omba kwenye matamasha tofautitofauti mfano fiesta , Yale ya wasafi ,mzik mnene ilikuongez fane bas sababu nasem hivyo kunarafik yangu hajaokoka ila nyimbo zako anazipenda sana
Hello. jiandae kubarikiwa na wimbo huu. sina shaka. naamini. utabarikiwa. MOYO WANGU
Mutumish mtumishi🎉🎉🇧🇮
Wangu unapasuka jameni...Dear God listen to my cry oh Lord
Wangu unapasuka jameni...Dear God listen to my cry oh Lord
🎉
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Kiukweli Moyo umebeba maumivu ambayo hata machozi na vilio vyetu havitoshi kuyaelezea...ponhezi kwako kaka wimbo umenibariki💪💪🥰🥰🥰
Ahsante 🙏
Kama kuna wimbo napenda ni huu wimbo god bless you man of god
Ameen leta huo mbaraka mtumishi wa Mungu tunausubilia kwa hamu saana,, wanaongoja kubarikiwaa weka like hapa
Amen
❤❤❤❤❤mungu akutie nguvu katika uduma hii kwani nabarikiwa sana na nyimbo zako.
Kuanzia leo mimi ni shabiki ako mkubwa 💥💥
Amina ndugu Kwa hakika haja Ya Moyo Ni kusifu Kwa kweli , hauwezi jua mioyo Ya watu wangapi ulioinua kupitia wimbo Huu umetubariki zaidi
Amen 🙏
@@komandowayesu3642 barikiwa Sana
@@bonxfle4756 Amen 🙏
Be blessed nyimbo zako zinabariki Tena tuna download
Mimi muislamu nyimbo za uyu kama zanishawishi ❤❤❤
Nyimbo nzuri sana inafariji moyo wangu sana,
Amen 🙏
Pongezi kwa wazazi walio kuleta Dunia hii. Wimbo unanifariji
😢😢😢😢😢😢
Moyo wangu Una mambo mengi 😭😭💔🙏 mungu tu 🧎🏼♀️🔐💃barikiwa Sana nyimbo zuri Sana 🔥👏🙏🙏
Amen
Amen komando wa yesu wimbo wako wanibariki nikiwa nairo
@@joansitoko2654 Amen
Safi sana congratulation brother umeimba vema Kama waimbaji tuna kazi ya kuitangaza Injili watu wapone wamjue vema Mungu 🙏
Yani mm hapa kutoka Kenya nausubiri kwa hali na mali...🎉🎉yani naamini kuwa mungu amekuinua kwa ajili ya watu Kama sisi...sirondoki hapa mpaka wimbo uachiliwe❤
Sijawai guswa kama nilivyo guswa na huu wimbo, pongezi Sana commando
Ahsante 🙏🙏🙏
Kabsa. Nyimbo nzuri❤❤❤❤🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Ahsante 🙏
😭😭😭😭so touching,Bora kulitaja Jina la Mungu wakati WA machozi😭😭 Jehovah interven in my life 🙏
Amen
Wimbo huu umekuja kwa wakati mwafaka kwangu ,wakati napitia mengi pia kufikiria mengi ,heri nikuabudu ww mungu ya dunia ni mengi
Amen 🙏🙏
My everytime song naipenda na inanitia nguvu...barikiwa sana
Your to good bro haki unanibariki na nyimbo zako
Good job
🙏🙏🙏
Aky moyo ubeba mengi ubarikiwa sana from kenya
Waoo! my role model in gospel industry big up Komando.
Wimbo bora sana ..unabariki na unaguza moyo..Barikiwa ndugu
Amen wapi likes zangu 😅kama mtu wa kumi on the comment section
😃😃🙏🙏
KAZI IKO VIZURI SANA SANAAAAA, NA YENYE U QUALITY MKUBWA SANA YANI IKO POWA KABISA NIMEBARIKIWA HAKIKA KAKAA. NAMINI KUTIA HII WATABARIKIWA WENGI SANA KAKAA..MOYO WANGU
Amen
Ameniii good song nipo kigoma nimependa Sana
Wimbo unabarik sana nakutia moyo mungu azid kkutumia kaka
MUNGU azidi kukutumia zaidi, wimbo umenibariki na kunifariji,barikiwa Mtumishi wa MUNGU Komando
Amen
Barikiwasana mtumishi,,KAZI njema!!!🎉
Amen 🙏
Wimbo mzuri umejaa na ujumbe
Amen
Kweli kabisa moyo una mengi sana ila mungu ndie anajuwa yote..much love from Arabs countries
Amen
Amen
Nmebarikiwa sana MUNGU akuinue viwango vingine
Amen
Hallelujah Mungu akupeleke mbali ktk mataifa
I believe that Easter will not pass with this song🙏🏿
Amen
Barikiwa .yesu akitie nguvu zaidi na zaidi
Barikiwa sana nyimbo nzuri sana hii
Ukweli nyimbo nzuriiiii atareeee✨🎁
Ahsante 🙏
Mbez umehama nn mkuu nashida na wee
Barikiwa Sana na Keep 😮 it up kutuliza mioyo iliyio vunjwa na mengi Mola azidikukuonekania😅
Amen 🙏
Barikiwa sana kaka Mimi kwangu nyimbo zako ni mahubiri naaombi tosha.Mungu azidi kukuinua viwango vya juu zaidi
Amen mtumishi
Wimbo mzuri sana🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Ahsante 🙏
Brother 🎉🎉From +254✅💯 You're a blessing to me
Amen 🙏
Hongera mtumishi wa Mungu kwa wimbo mzuri nimebarikia mno
Very nice song🎉🎉🎉🎉nipitie pia🙏
Baraka Teleee kaka ,Mungu akuinua viwango Hadi viwango 🙏🙏🙏🙏
God grace U more am blessed U have sing my heart
Pia vituo vya habari Kila mkoa yaan ishi kwa kutawala nchi sio kwa kusubir neema ya Mungu ma'an tumepew tutawale tumiliki
Amen 🙏
Mtumishi hongera sana kwa wimbo mzur sana
Ahsante
Tuna husubiri kwahamu🔥
Wow..nice song I like it
Barikiwa saana Mkuu tunabarikiwa saana wewe
Wale wa TikTok hii ndio tent 🎉🎉another great one @komando wa Yesu
🙏🙏🙏
Watching after Easter Sunday from Nairobi Kenya,,cool music
🙏🙏🙏🙏
😢😢😢Moyo wangu unapitia mazito acha tu nikusifu Mungu hata kwenye haya mapito
dharau kejeli masengenyo yote namshukuru Mungu
Nijalie moyo wa kukusifu kukuabudu Mungu wangu neema yako isiondoke kwangu
Amen
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
Ahsante Sana. Mtumishi mwenzangu kwa wimbo mzuri Sana,
Ahsante 🙏
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu kwa ujumbe nami nasubiri haja ya moyo wangu
Amen
My heart is heavily burdened by pains and sorrow ,, heartbreaks,,,at my age,, let me lean to God😢😢
Wow !! Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu
Amen
Hii ni haja ya moyo !!! MUNGU akubariki mtumishi
Amen
Nibora TU nimsifu mungu nakumuimbia nmebarikiwa San 🙏🙏
Amen 🙏
Kaka big up....May God lift you on high
Amen
Komando mungu akubariki sana
Amen
Jumbe kubwa sana hasa kama ushapitia mambo magum yakukatisha tamaaa hii nyimbo nilazima ikutoe chozi mwenyewe nishamwaga choz lakutosha wakati nausikiliza ujumbe huuu 🙌🙌🙌🙌
Pole sana. Mungu akuinue zaidi. pamoja na yote Mungu ndio kila kitu
@@komandowayesu3642 kabisa kaka Mungu atabaki kuwa Mungu
Bora kksifu wewe Mungu,Barikiwa mtumishi
Amen
Moyo wangu umebeba mingi umeumizwa na mengi😢😢😢😢respect bro comando wa yesu barikiwe sanaaa
Amen 🙏
Ubarikwa sana kaka yangu 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Nimeparikiwa sana God bless you 🙏💐
Amen
Amen, wimbo nzuri 🙏
Ahsante 🙏
@@komandowayesu3642 karibu
Nimebarikwa na huu wimo Amen
Amen
Fanya promotion Kila mkoa omba kwenye matamasha tofautitofauti mfano fiesta , Yale ya wasafi ,mzik mnene ilikuongez fane bas sababu nasem hivyo kunarafik yangu hajaokoka ila nyimbo zako anazipenda sana
🙏🙏🙏🙏🙏
nyimbo hii ime nipa moyo sana mungu akubariki sana 🙏🙏🙏
Amen
I like every thing in this song
Wow, singing from inside your heart kaka Mungu akubariki sana
🙏🙏🙏
Wimbo mzuri,sana unabariki moyo 🙏🙏🙏🙏
Amen
Mzur sana🙏🙏🙏
Komando kalibu kigomaaaa aise
Wimbo huu umebariki moyo wangu sana,kutoka kenya. Natamani na ni ombi langu pia kama huu wimbo ungeuimba na Mardam Martha. Barikiwa sana.
😃😃😃🙏🙏🙏
Amen god bless u komando kwa kazi nzuri unayofanya
Amen 🙏
Naisubiri iachiwe
Nakupenda sana wimbo huu hunijenga nikiwa na matatizo
I don't know why when i listen your songs I'm feeling so blessed mashida zangu zinaishia hapa be blessed my brother 🙏
Mungu nikumbuke
Wimbo wako umenibariki sana😢
hii wimbo imeniguza sana kwa kweli aja ya moyo wetu nimungu ajuaye, barikiwa sana man of God 🙌🙌🙏🙏🌹🌹
Amen
Very powerful 💪 this song touches
Let me just cry I don't have otherwise 😭😭😭😭😭😭😭
Ameen kwa mungu ubarikiwe sana 🙏🙏🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Amen 🙏
A good message indeed be blessed man of God
Thanks bro for your encouragement 😭😭 machozi ya furaha yananibubujika🙏🙏🙏
🥲🥲🥲 Amen 🙏
Good bless you servant
🙏🙏🙏
Nimeipenda sana mtumshi mungu akubariki
Amen 🙏
🤲🤲ee Mungu bora nikusifu wewe tu
Amen
Ameen ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU, wimbo huu umekuja wakati mwafaka kwangu maana daah
Amen
Aisee mda mrefu siko hewani ndani ya TH-cam Leo nimeingia nakuta na kazi hii ,aisee brother Asante kwa kazi hii #Ibrahimuimani#Nashukuru
Amen 🙏🙏🙏
hallelujah hallelujah hallelujah Jehovah
Let me the one getting that blessing what is happening to me only God knows
🙏🙏🙏
Ubarikiwe mno Man of God...Komando wa Yesu, ufike mbali🙏🙏🙏 Endelea kumshika Huyu Mungu aliye hai.Wimbo umenibariki sana.
Amen 🙏
Mungu azidi kukuinua viwango hadi viwango
Love your songs
Kazi nzuri sana barkiwa bro
Amen
Very powerful
I just want to worship forever
Amen 🙏
One of those musicians that i believe they understood Gods assignment very well....good song be blessed
Amen