Awww.....from TikTok and I had to come listen if Giza na mwezi hazipatani is out.... you're really blessed man of God...keep winning keep serving ....neema zaidi
I'm leaving this comment here so after a month or a year when someone likes it I remember this song what a blessing song be blessed my brother❤️❤️ Baraka zangu zinatoka juu🙏🙏,, hata zichelewe nitazipata tu SINA UENDE🙏
Ni bora kungoja sana au kutokuzipata baraka halisi na matokeo yake kufika Mbinguni kuliko kupata yote ya dunia matokeo ni kwenda jehanamu ndipo kutakua na kilio 😭 na kusaga meno
Hongera Kaka, naomba uhuu wimbo upate Kibali kwa Mwenyezi Mungu na uwafikie watu wengi na kufunua macho yao na mihoyo yao waendelee kumtumaini Mungu. SINA UENDE NICE SONG 🙏
I pray for Spiritual Eyes to notice this Devil's servants more easily ,AMEN. WHEN YOU HAVE JESUS CHRIST- THE SON OF THE MAKER OF ALL YOU GOT EVERYTHING.
Kaka Balikiwa sana kwa nyimbo nzuri hii ningeikosa ila Nimipango ya Mungu tu nimeisikiliza kwanza kanipa uzima adi sasa na pili alikuwezesha ijumaa ya Jana kufika kwenye mkesha pale Sinza na ukatutaalifu nasasa mimi ni miongoni mwawalio sikiliza.
Aki nimebarikiwa na wimbo huu,uhandishi na weledi wa sauti upo sahii kabisa,I feel like this song its all about me and what has been around me with so called friends ...Barikiwa kaka Komando Wa Yesu -SINA UENDE
Hallelujah kwa Jehova God bless you my brother MUNGU akuinue Zaidi utumishi wako unatubariki wengi! (Muwaha yalumbwe dodoma , bwana YESU asifiwe dodoma🙏
Let's reach 1million views Aki,this man is a vibe🥰🥰🇰🇪🇰🇪
😀😀🙏🙏🙏🙏
You have done well Komando we like your songs
@@julianejepkoros3037 🙏🙏🙏
Amen🙏🙏🙏 huu wimbo naomba unirudishe qwenye huduma qw jna LA yesu
Waiting on God is not easy, but His promise are worth waiting. Much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 tufike million views soon.
Amen 🙏🙏🙏
Uy@@komandowayesu3642oitin more.d tttttttttttctttttttttttttttttttttttttttrt
Amen mungu akubariki sana usiache Mambo yko ykaenda
Bila Yesu usijisumbue ati mambo yako yaende...
Waiting... ninajua wimbo huu itakua wa baraka tele 🙏
Amen 🙏🙏🙏
Mungu atafanya muujiza...,sina iende🙏🙏😭😭
Amen
Ni Mungu tu kweli,ngiza na Nuru haziwezi patana...Mungu tu atatufanikisha tunaomtegemea...ya dunia Yana mwisho!!!! Baraka Kaka Komando
Amen 🙏🙏🙏
AMEN
Hapo kwa , namwamini mungu tena na mwamini sana. This is what we call REAL TRUST
Such a blessing song, May God increase you
Amen 🙏🙏🙏
Wow. Enyewe dunia ina mambo......🔥🔥
Hakika
Awww.....from TikTok and I had to come listen if Giza na mwezi hazipatani is out.... you're really blessed man of God...keep winning keep serving ....neema zaidi
🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤️
Wimbo mzuri Sana . Hakika Imana Ishimwe👏
Amen 🙏🙏🙏
Kwa kweli huu wimbo umeanza kunijenga already.wacha mungu abaki kuitwa mungu en be blessed broh komando,milele ubarikiwe na mungu🙏
Amen 🙏🙏🙏
Much love from 🇰🇪 🇰🇪
@@caroc6047 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤️❤️❤️
Umefufua imani yangu...yani nilikua nimefika mwisho walai..barikiwa komando...
Amen Amen Amen 🙏
I'm leaving this comment here so after a month or a year when someone likes it I remember this song what a blessing song be blessed my brother❤️❤️
Baraka zangu zinatoka juu🙏🙏,, hata zichelewe nitazipata tu
SINA UENDE🙏
Amen 🙏🙏🙏
@@komandowayesu3642 be blessed🙏🙏
Naipenda sana hiyo,,inanipa kuamini zaidi
Amen 🙏
I can't get enough of this song
🙏🙏🙏🙏
Hakika na mm ni Mungu tuu wakumtegemea
Amen
I'm so blessed by your songs asante sana kaka...kuna vile maisha yangu yamebadilika juu ya kuskiza nyimbo zako🙏
Ahsante sana 🙏🙏
Mungu akubarikii
@@janetylutego2896 Amen 🙏
Haleluya wimbo mzuri sana sina uendeee
Amen 🙏
Beautiful message. On Christ Jesus I shall wait.
🙏🙏🙏
Ni bora kungoja sana au kutokuzipata baraka halisi na matokeo yake kufika Mbinguni kuliko kupata yote ya dunia matokeo ni kwenda jehanamu ndipo kutakua na kilio 😭 na kusaga meno
Amen 🙏
Sina Mimi la kufanya, Sina Uende!! Wimbo mzuri sana, Mungu azidi kukuinua Komando!!!💯💯💯💯
Amen 🙏🙏🙏
Mungu Akubariki sana. Endelea kunyenyekea utafika mbali.
Amen 🙏🙏
Amazing song God may he expand your territory 🙏
🙏🙏🙏
Dunia kweli imebadilika sana...wachache tuliobaki kwa njia hii ya nuru tujitie nguvu sana...ata mimi ni mungu tu...
Amen 🙏🙏
Amen. Baraka zangu hata zichelewe nitasubiri tu.
Thank you for such a powerful message. God bless you
🙏
Amen 🙏🙏🙏
Safiiiïii sanaa.Atukuzwe Mungu milele.
Wonderful, there's no need to compromise when the one who has our back is consistent and ever so loving .
🙏🙏🙏
Wonderful song
@@gracekim3685 🙏🙏🙏
Mimi na Mungu tu lazima kitaeleweka juu hashindwi ...barikiwa sana mtumishi
Amen Amen 🙏🙏
Message well delivered, be blessed brother!
🙏🙏🙏
Una jumbe kali sanaaa sanass
Barikiwa sana bro,huu wimbo unanitia nguvu sana,kila asubui lazima niusikize na jioni,,be blessed brother God give you strength 🙏🙏🙏🙏🙏
🙏🙏🙏🙏
Kweli tupewe macho tuone
th-cam.com/video/jsa5wT1eB4Y/w-d-xo.html
Kaka uko vzr melody nzur ujumbe mkubwa barikiwa
Ahsante 🙏🙏🙏
Am loving your songs fellow minister, really admiring your progress, so powerful message
🙏🙏🙏
Fukuza hao Freemason Yesu anatosha
Amen 🙏
Very inspiring, educating and spiritual..... God bless you brother,, big ups from.. Bungoma Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
🙏🙏🙏🙏🇰🇪
Komando nakupenda ❤️ saana muimba mzuli hongera kwa ujumbe
Ahsante 🙏
Can't wait
🙏🙏🙏
Hatazichelewe nitasubiri tu.hawaruki pamoja ndege wasiofanana,sina uende.MUNGU ataniinua.ubarikiwe
Amen 🙏
Twende kazi sasa 🇹🇿🇰🇪🇨🇩🇱🇷....
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
🇰🇪🇰🇪🇰🇪
🇱🇷🇱🇷🇱🇷🇱🇷🇱🇷 together big 👏
waoo,Hallelujah, wimbo mzuri
Ahsante 🙏
Nmebarikiwa sana pia kupitia wimbo huu nmejifunza kuwa ukishauliwa kitu kibaya mkataliee .
Hakika 🙏😂
Hongera sanaaaa myfrend komando wa YESU Kaka Yangu unanibariki Sanaa
Amen 🙏🙏🙏
Haleluya....nimebarikiwa
Amen
Hongera sana komando wa YESU. Ujumbe mzuri sana. Mungu aendelee kukuinua
Amen
From Kenya nmeguzwa na huu wimbo 🙏💗
🇰🇪🙏🙏🙏
Ubarikiwe sana mtumishi wa.MUNGU
Amen
Komando Mwenyewe huyo
😃😃😃💪💪💪
Mungu azidi kukuinua
Amen 🙏
Hongera Kaka, naomba uhuu wimbo upate Kibali kwa Mwenyezi Mungu na uwafikie watu wengi na kufunua macho yao na mihoyo yao waendelee kumtumaini Mungu. SINA UENDE NICE SONG 🙏
Nyimbo zako zote ninzuri sana barikiwa sanaa brother
Sawa kaka ujumbe mzuri Hakika MUNGU anakutumia
Amen
Toka enzi za Ebikey paka leo Komando wa yesu niko nawe
Ahsante sana 🙏🙏🙏
Ni Mungu tu.. 🙌🙌🙌🙌Hallelujah... Ni Yesu tu..
Amen 🙏
Mda mwing maskio yangu yanakusikilizaa sanaaaa kakaaa
Ahsante sana 🙏🙏🙏
sina we uende tu bonge la nyimbo kaka Mungu akubariki
Ahsante 🙏
Aisee, Komando umeua😊🔥🙌
😃😃🙏🙏🙏
@@komandowayesu3642 🙏
Amen amen bro sina uende
🙏🙏🙏
Bro hakika huwa nabarikiwa sana na jumbe zako. Endelea kunyenyekea chini ya mkono wa Bwana uliohodari yeye atakuinua zaidi
Amen 🙏🙏🙏
Bwana akubriki ndugu this song blesses my heart
Ubarikiwe sana mtumishi wa mungu mungu amekupa sauti nzuri atukuzwe mungu wetu
Amen 🙏🙏🙏
Nyimbo tam tam sana,Ameeen🙏🙏
Amen 🙏
Wow amazing song,,, n kwel baraka zangu zatoka juu mbinguni.. I'm blessed
Amen 🙏🙏🙏
The song is exceptional, well articulated, nice nice.
i love it!❤❤❤
You are indeed a blessing, had to include this song in my Tanzanian Gospel Mix God bless you🙏
Powerful.. Barikiwa Sana🙏
Ahsante 🙏🙏🙏
The acting part in your videos make me amazed, I just love
🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Ubarikiwe sana kweli 🙏🙏🙏🙏
Amen 🙏
I pray for Spiritual Eyes to notice this Devil's servants more easily ,AMEN.
WHEN YOU HAVE JESUS CHRIST- THE SON OF THE MAKER OF ALL YOU GOT EVERYTHING.
Kaka kazi nzur sana barikiwa
Ahsante 🙏🙏🙏
Bila Mungu usijisumbue ati mambo yako yaende,, God bless you brother
Amen 🙏🙏🙏
Hii ni ukweli mtupu, mafanikio ya mkato sina uende. Much respect and love from +254🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
🇰🇪🇰🇪💪
Ubarikiwe sana, na wengine wa elewe kwamba Mungu njoo baraka yetu
Amen 🙏
Nabarikiwa sana na huu wimbo
Amen 🙏
Mungu akubariki kwa meseji nzuri
Amen 🙏
Love it.. i need to download it
🙏🙏
Asante saana Mungu aendelee kukutumia
Huu wimbo jameni naupenda Sana God bless you brother from Kenya much love ❤️
Ahsante 🙏
@@komandowayesu3642 you're welcome 🙏
Asante Mungu wangu
🙏🙏🙏
Uishii sanaaa
Hallelujah Glory be to GOD be blessed bro I love your songs 🙏🙏🙏
Kaka Balikiwa sana kwa nyimbo nzuri hii ningeikosa ila Nimipango ya Mungu tu nimeisikiliza kwanza kanipa uzima adi sasa na pili alikuwezesha ijumaa ya Jana kufika kwenye mkesha pale Sinza na ukatutaalifu nasasa mimi ni miongoni mwawalio sikiliza.
Nashukuru sana 🙏🙏🙏
Barikiwa sana kaka
Amen 🙏
Exactly what I wanted to listen to 🙏
Still listening today ..I'm blessed
Hongera Kaka Ujumbe mzuuuri jamani 💖💖💖🙏🙏🙏🙏
Ahsante 🙏
Tuzidi na kumgonja mungu
Amen 🙏
Until now I can't get enough of this song
Tunabarikiwa sana na huduma yako
Ahsante 🙏🙏🙏
Aki nimebarikiwa na wimbo huu,uhandishi na weledi wa sauti upo sahii kabisa,I feel like this song its all about me and what has been around me with so called friends ...Barikiwa kaka Komando Wa Yesu -SINA UENDE
😀🙏🙏🙏🙏
Hallelujah kwa Jehova God bless you my brother MUNGU akuinue Zaidi utumishi wako unatubariki wengi! (Muwaha yalumbwe dodoma , bwana YESU asifiwe dodoma🙏
Amen 🙏🙏🙏
Kenya waiting ....
🇰🇪🇰🇪🇰🇪💪💪
Amazing 😍 bro nice song hit 🔥🔥🔥🔥🙌
Wimbo safiiiiiii, Hongera kaka
Ahsante
Very inspiring,educating &spiritual 😅God bless u bro;from 🇰🇪
🙏🙏🙏
Natazama Kenya tumeukubali
🇰🇪🇰🇪🇰🇪💪💪
Shalom kk ubarikiwe san, niko burundi
Ahsante sana 🙏🙏🙏
Amen🙏, Komando wa YESU
Amen 🙏
Unaupga mwing sana kamanda
Ahsante 🙏🙏🙏