The Year has been great 🎉 Let's gather here kama huoni hasara ❤!! There's more God has put in place for Us 😊🙏! From Kenya 🎉😚If you believe like this comment tufanye count down 🎉🎉!!
Wow Amen your songs really inspiring 🎉🎉🎉love from kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪kikubwa uhai asanty yesu wakati wangu waja acha n zidi ku subiri bora nko uhai eeeish blessed
Huu wimbo n🔥🔥nikiwasha redio ndo wakwanza mpk majirani wanasema mmh una Mungu yupi ww et ooh Mungu wako wakuchelewa huyo nasema sana sababu alali wala asinzii,,very nice song
Dadicated to those who were rescued from hazard of landslide and mudflow in Hanang'.. "Kikubwa uhai hakuna hasara" . R.I.P tho those who lost their life.. 😢 KUNA KUSIMAMA TENA
Komando ❤❤❤❤ wapi likes yangu😂😂
Likes ni nyingi mtumishi zidi kuendelea mbele Mungu azidi kukuinua
The Year has been great 🎉 Let's gather here kama huoni hasara ❤!! There's more God has put in place for Us 😊🙏! From Kenya 🎉😚If you believe like this comment tufanye count down 🎉🎉!!
Endelea kubarikiwa na wimbo huu
MUNGU ni YULE YULE aliyewapa amanita na mim😢😢 kikubwa uhai sioni asara❤❤❤❤❤
Barikiwa sana
Iam a very fun of you komando sir
Ubalikiw mutumishi wa mungu komando❤❤🎉🎉from 🇧🇮
Wow Amen your songs really inspiring 🎉🎉🎉love from kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪kikubwa uhai asanty yesu wakati wangu waja acha n zidi ku subiri bora nko uhai eeeish blessed
Amen
Watanzania wenzangu nataka nione🇹🇿lik zenu apo chini❤
Amenipa uhai sioni hasara
Niko na Mungu sioni hasara kikumbwa ni uhai
Wow wimbo wangu . Nakupenda saana. Wimbo mzuli Mungu akubaliki zaidi
Nyimbo zako zina nibariki sana ubarikiwe from uk
From kenya alowapa atanipa na mimi kikubwa uhai sioni hasara Amen Amen
Mungu ni yule yule,aliyewapa atanipa na mimi,niko hai sioni hasara🙏🙏🙏,napenda nyimbo zako kakangu,,,,ubarikiwe ❤❤❤
Hii Ndo Nyimbo Ya Mwaka 💥🎯🎯💯🎯💯❤️
Huu wimbo n🔥🔥nikiwasha redio ndo wakwanza mpk majirani wanasema mmh una Mungu yupi ww et ooh Mungu wako wakuchelewa huyo nasema sana sababu alali wala asinzii,,very nice song
Komando amesema
Pia Mimi sioni hasara. Grateful always to God
Amen
Amen mungu apewe sifa; hata asipo nibariki sioni hasara kwa sababu amenipa uhai; na uhai ni important sana, glory be to God
Sioni hasaraa😢😢❤❤
Ujumbe wa mwaka , bora niko hai najua atanifanikisha barikiwa kwa ujumbe mzuri
Kweli Sioni Hasara❤maana yajayo yanafurahisha, amenipa uhai sioni hasara🙏🙏🙏🙏 Barikiwa kwa ujumbe mzuri#Komando wa Yesu❤❤
Niko Hai sioni hasara 🙏🙏🙏
Ubarikiwe hii nyimbo ina uwepo wa Mungu ndani yake na inainua sana thanks ujumbe nimepokea ❤
Zao la commando music 💪❤️❤️
Wow Wimbo bomba sana na unanifunza kitu
Kikubwa ni uhai 😇🙏
Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu
My Favorite Song 💖💖💖💯💯
I like all of your songs and I make sure that every sings came I have to know it first before someone knows it 👍👍👍👍🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Nice wimbo mzuri sana
Siini hasara ,,, hakika MUNGU akubariki sana kakaaa ❤
Amen mtumishi 🙏
Uhai ndio kila kitu❤❤
Sioni hasara,,, much love from kenya❤
aiseee n wimbo nzur sanaaaaaa ,,hongera sana Mtumishi kwa huduma mzr hii na inayo tubariki wengi
Ongera sana Mtumishi nyimbo nzuri sana ii video ya viwango
Amen mtumishi 🙏
I love all your songs.May the lord bless you with more.
Wimbo mzuri sana mtumishi❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Kazi nzuri sana, ujumbe mzuri sana..... Mungu azidi kukutumia Mtumishi 🙏
Waooo bonge la wimbo nabarikiwa mno🇹🇿🇹🇿
🤝ujiandae nitaimba nyimbo moja nawewe unaimba vizuri
Good work ,,,pajipokuwa na umaskini ila uwai unatosha kumbe sion asara🤩🤩❤
UNAUPIGA MWINGI SANA AB KAY ak KOMANDO WA YESUongera sana 🎉🎉🎉🎉
Amen Amen niko uhai sioni hasara 😁, Asante kwa hii ujumbe mtumishi wa mungu na barikiwa🙏
Ameeen ubarikiwe kwa wimbo wakujenga kweli kikubwa ni uhai be blessed alot
May the almighty God continue using you to bless more. I love the song❤
🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 from Drc Abedi Ahadi
Neema imekubeba mtumishi.. Kenya 🇰🇪 tunakupenda
Ameen to this song, I promise to come back here for I trust in God, kesho yangu ni nzuri
Touching song indeed,yuko mungu anayetoa watu matopeni na kuwafanya jinsi apendavyo
wimbo wa baraka 🔥🔥😍
Dadicated to those who were rescued from hazard of landslide and mudflow in Hanang'.. "Kikubwa uhai hakuna hasara" . R.I.P tho those who lost their life.. 😢
KUNA KUSIMAMA TENA
Amen
Finally, another blessing it is
Sioni hasara Leo🇰🇪my song this January
Much love from 254
👏🏼👏🏼👏🏼🙏🏽🙏🏽🙏🏽 more blessings.🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙏🙏🙏
Ubarikiwe sana mtu wa MUNGU kwa huduma njema
Ubarikiwe endelea kumtumikia mungu wetu
Amen ubarikiwe ❤❤❤❤❤
Kikubwa uhai sioni hasalaaa
Siona hasara.. Kikubwa uhai.
Continue to be blessed my brother, more money and more blessings from the almighty
Barikiwa sana mtumishi wa Bwana 🎉🎉🎉🎉🎉❤
Amenipa uhai sioni hasara
Amen.
MUNGU Awabariki sana ndugu zetu wa kenya kwa kuendelea kutuonesha support zenu hakika najisikia furaha sana kuona munavyo tupenda sisi wa Tanzania
Nice song God bless you 🙏🙏
What a touching song 🎵 brother you are so talented 👏 🙌
Wewe ni mcha mungu kwa kweli do not change bro❤
Nimeikubali huku 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿 God help you and your work.😊
Nasubiri ni kiwa 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Ahsante sana zimebaki sekunde tu 😃
Nakupenda sana
Kikubwa uhai sioni hasara
Kazi nzuri nyimbo nzuri sana
Barikiwa sana Komando nakukubali sana👍
Ameen Mkuu, Barikiwa saana ❤❤
Amen mtumishi 🙏
Much love love🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪God bless you abundantly
Amina barkiwa mtumishi kazi nzuri sana
🎉uhai kitu cha dhamana
Na ninavyoiona mbele ni furaha tele acha nichekwe Leo itakuwa sherehe shangwe vigelegele, naiona kesho yangu....kikubwa uhai sioni hasara
😃😃🙏🙏🙏. uko vizuri sana
Kazi Safi bro,be blessed
Wimbo mzuri sana❤
Uhai kwanza menginé badae
Hallelujah 🙏🙌 glory to God 🙏
Command god bless you 10000 time of all your songs 😇🙏😇🙏😇🙏😇🙏😇🙏😇😇🙏😇🙏😇🙏
Ubarikiwe kaka
Asante natiwa moyo 🙏🙏🙏
Aimee ❤❤❤🎉🎉🎉
Umeua boss congrats sana
Uhai ni muhimu.
Wacha nakae na yesu🎉🎉🎉🎉🎉🎉
The first one. Likes zije sasa. ❤❤
Kazi nzuri mungu akubariki sana❤❤
Hongera komando mungu azidi kukuinua zaidi
Amen mtumishi 🙏
Amen Mungu ni mwema kwa kila jambo
Nice
❤❤❤❤ Mungu akulinde
Apa bro msg safi sana🔥🔥🔥
Good job
Waaaw,amazing ❤❤❤❤ my situation though thnks for the inspirational song
Amenipa uhai sioni hasara🙏
Nabarikiwa sana 🙏🙏🙏
Kikubwa uhai❤❤
Kazi safi sana,barikiwa sana kaka 🙏🏼 🙏🏼