ASHLEY NASSARY - SINA JINA (OFFICIAL MUSIC VIDEO)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 20 ก.ย. 2024
- Booking:
emgrecordstz@gmail.com
+255789242055
@emgrecords
More Play
MSALABA: • Ashley Nassary - Msala...
SHAMMAH: • Ashley Nassary - Shama...
YESU KILA KITU: • Ashley Nassary - Yesu ...
PUMZI: • Ashley Nassary - Pumzi...
SINA JINA: • Ashley Nassary - Sina ...
MASHANGILIO: • Ashley Nassary - Masha...
USIYESHINDWA: • Ashley Nassary - Usiye...
HALLELUYAH: • Ashley Nassary - Halle...
The official TH-cam channel of ASHLEY NASSARY. Subscribe for the latest music videos, performances, and more.
For Bookings & More
Email: emgrecordstz@gmail.com
Call: +255789242055, +255788662333
#AshleyNassary #Usieshindwa #EmgRecords
#EmgRecords #AshleyNassary #Tanzania
Mungu awabariki wote wanaosikiliza huu wimbo ukawe baraka katika maisha yetu. Amen
Ameeeeeen
Naupenda Sana Wimbo Huu Mungu akuinue sana Mdogo wangu na Muona Yeso ndani yako
amen baba
Zidi kumuombea Sana afikie Mahali Kama YESU alivokuinua Sana Kaka boaz nakukubali Sana na wewe YESU ajitukuze kupitiaaa uimbaji wakoo.... Ukaona lugha yangu haitoshi hahahh jaman
Barikiwa Sana mnanibariki
@@AshleyNassaryOfficial habar wimbo wako umenibariki kk
Wao broo sikiliza nahuu basib th-cam.com/video/LORcUwSD2Ug/w-d-xo.html
Huu wimbo nilikuwa napita sehemu nipo kwa gar ukawa unapigwa nje nikashika maneno kama mawil nimetumia kama siku sita kuupata nimefurahi sana leo kuupata barikiwa wimbo mkubwa sana
Leo nimepita kwenye changamoto nimefarijiwa sana na huu wimbo 19/4/2024😢😢😢🙏🙏🙏
Yesterday I become very sick and could not eat anything, feeling nausea and dizzy all day. It went on till midnight at 1pm this song came in my spirit and I started singing while hugging my bible. Just saying sina jina lingine I went to a deep sleep and I woke up today feeling very much better and no more dizziness and no more nausea. Kweli sina jina jingine ila jina lako Yesu.
Wazee wa dislike huwa siwaelew...wimbo una barik kabsa huu...mtumish, Mungu akutie nguvu uendelee kuifanya kazi Bwana
hahahahaha
Huzuni, hofu mashaka na kukata kwangu tamaa kumeyeyuka ghafla baada ya kusikiliza hii nyimbo!! Jina la Yesu linaishi na lina nguvu ya ajabu sana pia! KristoMfalme aendelee kujitukuza ndani yako mdogo wangu🙏
honger Sana Kaka angu nyimbo zako uwazinanibaliki zinatia moyo Sana mungu azidi kukupa maono mapya
MUNGU wa mbinguni akubariki sana kwa wimbo mzuri wa kumtukuza MUNGU,hakika hatuna jina lingine lenye nguvu zaidi ya YESU,,Wengine watataja waganga,wachawi na majina maalufu duniani but no One like JESUS
Napenda huu wimbo sana.. Wimbo wa Manjira yote.. Mungu hakubariki na Akuinue kiwango kipya...
Naiona nguvu ya mungu ndani yakoo ...shetani akupitie mbali na vishawishi vyake uinuke zaid ya hap
Naupenda sana yan ata ninapo fika kazin kabla sijafanya kaz lazima niuimbe kwanza
Unajua nachoogopa kukutazama after few years Hautakua hapaa sababu yn Ashley unajia Kua mnyenyekevu, na Lazima Mungu atakia anakufurahia mnooo, so he must Lift You Up, more than higher..I bless ya
2026
You have said it all. I can't wait to see where God is taking His son
Hongera
🔥
YEEEEEEESU 🔥 🔥 🔥
kaka nimekujua leo. Nyimbo zako zina upako nzito saaana. Mungu azidi kukutumia. Nimebarikiwa
Hongera Kaka yesu akuinue zaidi ya viwango hivi ulivyo namuona yesu ndani yako
Nakupongeza sana wimbo wakumwinua Yesu umejaa nguvu huu wimbo
Nabarikiwa sana kila nikiusikia huu mwimbo una ujumbe mkubwa mnoo..mungu azidi kukupigania kwa huduma yako
Barikiwa sana kwa kutumika vyema kutangaza ufalme wa mbinguni kupitia uimbaji MUNGU aendelee kukutumia sawasawa na mapenzi yake
Ubarikiw San Kaka maan hata kanxan nyimbo. Zake znaalik uwepo mkubwa wa roho mtakatifu
Naupenda San huuu wimbo unabarik maisha yangu San namungu akubarik sanaa
Mungu akubariki mno naupenda sana wimbo huu Mungu akuinue zaid na zaidi ni wimbo ambao unanibariki ❤❤❤❤❤❤❤❤
Nyimbo hii inaningiza san uweponi mwamungu balkiwa sn kaka yangu
Uko vizuri San kaka
Mungu aliyekupa hii mistari yakutubariki azidi kukupa maradufu barikiwa sana ktk huduma yako mungu akuinue ktk viwango vingine
Watu tunajazwa roho mtakatifu, tunapona tunapata nguvu kupitia wimbo huu 😫 ubarikiwe mnooo 👏
Lkn video inaupungufu wa shots na locations.
Mungu akuinue utukufu hata utukufu mdogo wangu.barikiwa kila hatua.nabarikiwa na huduma yako kwa namna ya pekee sana.
Kila mda, Kila Mara nauskiliza sana huu wimbo , mngu akuinue zaid upande katka viwango vya juu
Sijawahi kuuzoea huu wimbo,Mungu akutunze Sana
Huu mchungaji wangu Six Bert anaupenda sana ukipigwa Gitaa Bass daah!
Mtumishi hongeraa kwa wimbo mzur wenye nguvu za roho mtktfu
Ubarikiwe kwa wimbo mzuri! ningepewa nafasi ya kushauri wimbo huu ulipaswa kuwa recorded kwenye ibada ya kusifu na kuabudu iwe kama live vile, ni wimbo uliobeba uwepo mkubwa sana, bado nashauri wimbo huu uwe re-recorded kwenye ibada ya kusifu na kuabudu ninahakika utagusa maisha ya watu wengi sana, utawapeleka watu vilindini kabisa kwenye uwepo wa Mungu
Wazo Zuri aisee. I wish Ashley alione
Ingerekodiwa ibadan ingekuwa nzur zaid.
Ubarikiwe kaka
BABA NISAIDIE YESUUUUUUUU🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻😭😭😭😭😭😭
Ni YESU ni YESU🙌🙏❤
Kweli hakuna jina jingine!! Endelea kumsifu anastahili!
Ninaposikia nyimbo hii nahis kusisimka sana na ninamuona roh mtakatifu ndan yangu
Naupenda mnoo wimbo huu 😘😘👏👏👏umeimba mwanangu na Mungu azidi kukuinua akuepushe na kila kusudi la muovu ukawe mboni la Yesu
Nimeipenda nyimbo hii
Amen
Naupenda sana huu wimbo,unanifariji ninapokuwa na majaribu
Nime farijika sana na huu wimbo nilkua Niki utafuta sana❤❤
Barikiwe sana kaka..kazi kubwa mno..nakubali unachokifanya
Nabarikiwa sana na wimbo huu, GOD BLESS YOU
Huu wimbo bro fanya live utakuwa poa sana
Wimbo 'daki ni mzuri sana,; Maudhui, music arrangement na melody ni supa ispokuwa mtindo wa nywele tu.
Wimbo bora kupita maelezo barikiwa sana
Nimebarikiwa sana
Barikiwa mtumishi songa mbele na Mugu akuinue zaidi
Kwakweli huu wimbo nikiusikiliza najawa na roho mtakatifu gafra jamaniii🖐️🖐️🖐️Mungu azidi kukuinuwa kwakweli
Powerful song!
Kweli hamna Jina lingine zaidi ya Jina Yesu
Kweli sina jina lingine lenye nguvu ni yesu tu. Big up bro
Naupenda sasa huu wimbo...Mwenyezi Mungu azidikkubariki
Unanibariki sana
Amina ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
Moja Kati ya nyimbo yenye Nguvu Sana!
Nafurah kukuona kwenye ibada ya leo BMC Shabach praise
Kwakwel akuna jina lingine zaidi ya Yesu wet
Ni jina lenye nguvu
Ni Yesu Ni Yesu Kristo mwana wa Mungu aliye hai hata sasa❤
Hata Mimi umenigusa sana mungu nimwema
Nimeona Wimbo huu mzuri sana naufahamu sana kumbe umeimba wewe
Nakupenda YESU japo sifat yak yote lakini bado uliniwezesha na ninaimani utaniinua🙏😓
Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu kwa kukubali kutumika kwa viwango hivi. Nabarikiwa sana na huu wimbo. Mungu apewe sifa!!
Am desperate for you Lord.... Jina la Yesu lina nguvu
Hongera sana Ashley My lord God shower more annointing and blessings upon you
Haleluyaa
MUNGU Akubariki uzidi nakuongezeka viwango
Huu wimbo unanibariki Sanaa big up br
Hii nyimbo uirudie video iwe live worship ukipenda mshirikishe Boaz, rehema au Gwamaka
Yesu Anaimba ndani yako Na Anaonekana kabisaaaa🙏
Jina lapita majina yote ni jina la yesu pekee
Mungu Akubariki sana Ashley kazi yako ni njema uwe mnyenyekevu hv hv
Amid corona...naliita jina la yesu.
Mungu wng ni wewe baba uwiii hakina hakuna ni Yesu
Mungu azidi kukupignia ktk uimbaji
Hakika hakuna jina jingine zaidi ya jina LA YESU jina lipitalo majina yote.
Mtumishi hakika wakati unaufikiria huu wimbo bila Shaka roho mtakatufu alitumika sana. Naupenda sana na unanibariki mno. Mwenyezi Mungu azidi kuionekania kipaji chako Ameni
Ubarikiwe sana Mdogo wangu Mungu Azidi kukutumia kwa viwango vya utukufu wake na wewe uzidi kushuka
Munngu awainue katika viwango vya juu
Mungu awabaliki wenye vipaj vyenu
Mungu akuinue Mtumishi...Ila video haijatendewa haki aisee
Mungu akutunze Sana ur such a blessing in this new generation go son mungu akutunze,Holly spirit in in u , hallelujah hallelujah....
Mungu akubariki. Sana inuka na utangaze makuu ya bwana
Ni Moto sana
sina jina lingine mimi, ila Jina Lako Yesu
Ubalikiwe sana Mungu akuinue zaidi na zaidi
Sina sina sina😭😭😭😭😭😭😭zaidi yako wewe YESU sina mwingine😭😭😭🙌🧎🏻♀️🙏
Jina lenye mamlaka na nguvu zote🙏
Nikiusikiliza huu wimbo yani nauona ukuu wa Mungu wa ajabu jamani, naziona nguvu za Mungu za ajabu . kuna mahali nilikataliwa kabisa ila nilipolililia ilo Jina nilipata kibali. Mungu azidi kukuongeza Ashley maana huu wimbo unanitafakarisha sana ukuu wa Mungu
Kuna nguvu katika hii wimbo am blessed,glory to God🙏Jina la Yesu Lina nguvu nyingi 🙏🙏🙏🙏
Shalom shalom, wimbo umebeba ukuu wa Mungu.. God bles u Ashley nassari.
Nina ushauri kidogo kwa upande wa video. kama itawezekana kuirudia video but iwe kwenye location moja na kuandaa kamaa mfumo wa live ivii, ifungwe na taa (lights). Amen
Dogo Mungu akutunze na atunze maono yako ufike ambapo Dunia haikutegemea
Huuu wmbo huwa schok kuurudiarudia barikiwa kak
Wimbo unanibariki Sana MUNGU akuinue zaidi
2020 tunaishi naye kweli? Like watoto wa Kristo
Ni Yesu Kristo pekee Mwokozi wetu wanadamu.Bwana Yesu akubariki sana Muimbaji was huu wimbo
Barikiwa sanaa,upo bzri sanaa mtumishi wa Mungu
mzuri sana rudua kwa live perfomace au new video
❤️❤️naupenda sana huu wimbo barikiwe sana kaka angu
Wimbo huu umenibariki sana nimeusikia leo kanisan nimekujita naimba muda wote mungu akubariki sana
Bro nassary umebarikiwa sana ni Yesu tu
Nimeisikia hii nyimbo uck SAA Tisa ktk radio nikaona niende u tube mpaka nikuone live... Am blessed much ..
Sina jina lingine ni Yesuu jina lenye nguvu wow 🥰🥰🥰🥰
nyimbo ina upako
Ni Yesu ni Yesu.Ubarikiwe Tena na Tena Kwa vipimo vya kujaa na kufurika
Huu wimbo ni mzuri Sana my God bless singer's