Rehema Simfukwe - Chanzo (Official Music Video) SKIZA CODE - *812*786#
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 20 ก.ย. 2024
- Najua kudhiliwa, tena najua kufanikiwa; katika hali yo yote, na katika mambo yo yote, nimefundishwa kushiba na kuona njaa, kuwa na vingi na kupungukiwa.Wafilipi 4:12
Nilipita kwenye nyakati za furaha, nilipita kwenye nyakati za kupendwa, kufanikiwa, kuwa na vingi ila kuna nyakati nilipita kwenye nyakati za giza nene. Nyakati za kukataliwa, kukosa, lakini katika kila HALI Mungu alinifundisha kuwa yeye bado atabaki kuwa ni MUNGU tena ndio CHANZO cha UHAI wangu na atabaki kuwa Mungu wa kuabudiwa. Ni maombi yangu Mungu akamrudishe kila mmoja wetu kwenye kiini/CHANZO halisi cha UHAI wetu hata kama tutapitia nyakati ngumu kiasi gani ila tubaki kumpenda,kumuishia na kumuabudu daima maana yeye ni Mungu wa nyakati zote.
Live recorded at: Shillo Studios
Audio captured by: S&M Entertainment
Mixed/Mastered by : Samuel
Video captured by : Upendo Media
Video Edited by: Fredrick Stephano
Video Directed by : Huruma Charles
Music Directed by; Samuel Yonah
Musicians & Vocals:
Channel Administered by Huru Digital
Instagram: / hurudigital
#RehemaSimfukwe#Chanzo#GospelVideo
September 2024 still listening to this amazing song ...gonga like tukisonga
Nyimbo kama hizi sio za kuandika ni direct kutoka kwa Roho Mtakatifu mwenyewe.....MUNGU akupe kuliishi kusudi lake na kuufikia utimilifu wa wito wako ....
Exactly.
Wewe wasema stay connected!
Yes nakubali, yani ni uhimbaji ulotukuka saana, unaoweza kumwinua Mungu kwenye kiti cha enzi akasema kweli duniani kuna watu.
yes
Amina, na apewe sifa Mungu mkuu
I've never admitted this to anyone but this is the only worship song that moves me to tears, and every morning at work because I'm always the first person to arrive...I put this song on full blast and I loose myself in God's presence...I end up crying my heart out singing this song and God did come through for me by surrendering myself completely to Him and from being a laughing stock for family members, to being unappreciated and underpaid at work God has opened the door for me to fly outside the country and work there during the world cup next year...truly Matthew 6:33 works, never loose hope, never go back to the world, God will come through for you!
Wow i love this
I'm get a power to keep gone even there cross wind ahead May God let me to be safe,not only me but with my family. Thanks My Lord Jesus Christ for the gift give to me 🙏🙏🙏
Powerful testimony Alvin
Congratulations bro,keep going Glory to God ,Glory to God.
Woooow this is awesome God our source of life!!! Blessings to you!
2024 Bado ukiisiliziza unaskia uwepo wa MUNGU ndan yko😢 halleluyaa
Philippians 4:12-13 12 I know what it is to be in need, and I know what it is to have plenty. I have learned the secret of being content in any and every situation, whether well fed or hungry, whether living in plenty or in want. 13 I can do all this through him who gives me strength. AMEN
❤
MUNGU Akubariki Sana Mtu wa MUNGU umenibaliki Sana Glory to Jesus
Amen Amen my kaka
UMENIBARIKI SANA GLORY To GOD
Napenda unyenyekevu wako Boaz Danken. Mungu uwainua wanyenyekevu, Mungu uwapinga wenye kiburi.
I love you my brother
Boaz you are blessing to our generation
Hallelujah
May everyone listening to this song never lack favour before God's eyes.🙏
AMINA MPENDWA..THIS SONG BLESSES AND HEALS THE SOUL.
Amen and Amen. Same to you
Amen. this song is pure unadulterated worship sweet melody to our heavenly father hallelujah!
Amen and Amen
Amen
I'm here in 2024 August ❤ God just did it for me after I listened and sang it all 😂
Yaani nilivyosikia huu mwimbo , nikaanza kulia maana nimepitia mambo mengi ila Bado Yesu ananipigania 😢😭😭😭 kuna muda nakataa tamaa kuendelea ila 🙏🏼
Usikate tamaa Mungu yupo nawe hayo yote ametaka upitie kwa kusudi kabisa na kwa utukufu wake
Usikate tamaa mpendwa, MUNGU yupo nawe, MUNGU Ni mkuu na ni mwaminifu sana
@@upendosanga7044 amina
Barikiwa sana dada
Barikiwa sana dada
Nikikumbuka vile nililala na njaa, nikadharauliwa, nikakataliwa, nikasemwa namengine mengi huu wimbo unaniingia akilin mpk moyoni 😢 Mungu ni mwema sana hata sasa ameniheshimisha 😇😇
Mimi hapa pia.
Tupo wengi
Ubarikiwe
Amen
I can't get enough of this song, so powerful
Nimejifunza kudhiliwa na kufanikiwa Katika yote wewe bado Mungu Ninajua kushiba na kuona njaa Katika yote wewe bado Mungu
Hata upepo nao uvume Mimi nitakuabudu wewe Chanzo cha uhai wangu nakuabudu
Hata giza nalo litande Mimi nitakuabudu wewe Chanzo cha uhai wangu nakuabudu
Nimejifunza kudhiliwa na kufanikiwa Katika yote wewe bado Mungu Ninajua kushiba na kuona njaa Katika yote wewe bado Mungu
Ninajua udhaifu na kuwa na afya Katika yote wewe Bado Mungu
Hata upepo nao uvume Mimi nitakuabudu wewe (Ooh Yesu Yesu) Chanzo cha uhai wangu nakuabudu
Hata giza nalo litande Mimi nitakuabudu wewe Chanzo cha uhai wangu nakuabudu
Nakuabudu Nakuabudu Wewe ni chanzo cha uhai wangu Nakuabudu Nakuabudu Wewe ni chanzo cha uhai wangu Nakuinua Nakuinua Wewe ni chanzo cha uhai wangu
I remember the first time heard this song I was arrested by the Holy Spirit and I cried like a child right in front of my wife and children..... The kids were like Daddy are you crying?... I couldn't control myself. Barikiwa sana Rehema Mungu azidi kukuinua... This is just a glimpse of how things will be in Heaven .... Just worshipping the KING OF KINGS, THE LORD OF LORDS, THE ONE WHO TELLS THE SEA THAT THIS IS THE FAR YOU CAN GO.
thanks I would love to also listen@Follow_JesusDaily
My neighbor just woke me up, with some loud music, instead of being angry, I had to search this song, What a song!.. what a song to wake me up.
Mungu ana njia nyingi
Glory to GOD
Me too, i forgot to close the television,this song woke me up,
Me too this song wake me up I heard it from my sister's phone.
😆😆😆😆😆
My son wasnt feeling okay last night and i and him hardly slept,today morning when i boarded a bus to work,this was the first song that was playing in the bus. I reached the office and quickly searched the song title and cried to God sababu yeye ndio chanzo cha uhai wake,some hours later i called the nanny to know how hes doing and was happy to hear that hes better and just playing around. Lord my heart is full,i will always praise you Jehovah even in the midst of darkness. Holy is your name
amen.bro.We praise God.
We bless God...
@@NkathaP true.
Amen
Praise be to God
Ila niwaambie ukweli jamani Mungu ametubariki saana AFRICA hongera saana dada yangu so proud of you🙌🏾🙌🏾🙌🏾🔥🔥🔥
Revival
yep
@@sylviakisanga7507 dy
Hkk
O
To God Almighty be glory and honor and thanks
17 -06-2024... God you are the source. I'm because you are God..glory
I played this song again and again at a point when my fiance dropped me just like that ...I was on a travel..receiving this trebled heart break text and block..any minute I lost sleep at night.i would play it and cry like never before my mouth wild open full of pains.but I give glory to GOD.this song opened a new door for me.a greater proposal with two great wishes of a man with his own house and a wish to add a second kid.i found all these two.Glory be to God.God bless u siz for such a powerful song.am blessed. Mostly this part of..wacha upepo na uvume.with my wedding cloths in my cupboard..kuna Mungu...God bless u siz..thnks alot
Aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaawsome Testimony....What A Mighty God We Serve.
Might have taken you through hell
We serve a living God, He wanted to separate you from the previous relationship which
God was preparing a way for you after all cries now you can smile
How did u manage to get over I'm going through the same thing n it hurts so much
What a powerful song woman of God 🙌🏾
Very powerful song
Yes
@RehemaSimfukwe you and Kambua may God bless you for blessing us
Amen
😢 nice song
Tears😭😭😭😭😭😭😭😭😭 I just heard this song from our church worship team Karura Community Chapel, Nairobi🇰🇪🇰🇪 and since then I can't stop thinking about it
Hakika bila mungu!!sisi wengine sijuwi ingekuwaje!! Umetutoa mbali mungu wetu!! Katika yote tuliyopitia!! Ulikua pamoja nasi!! Asante yesu!!
Beautiful and powerful 🙌
Eeh nimekulike wa Kwanza mercy nipee like hahaha
Ooh my dear Thank you so much... God bless you so so much ..keep the fire burning in you too sis
Baraka sana watumishi wa BWANA
The two of you can do a piece together that could light up the world with worship
Glory to Jesus. Kweli wewe Yesu ndio chanzo cha uhai wangu. Kama sio wewe ningekuwa nimezikwa nikasahaulika. Asante Yesu kwa kunishika mkono wakati wa majaribu na kunipa ushindi.
In the month of may, God saw me through all I was going through as a house help in Thome estate. He elevated me
From a house help to a credit officer
This was the song
God bless you Rehema
Wow!! Congratulations & God Bless You!!
9:00 - 10:30
God is faithful, Amen Amen. Never forget the experience you encountered in this deep soaking worship, welkam to Citam Thika Rd, on every Wednesday for prayers and on Sundays for our services start
Amen
She's the Tasha cobbs of Africa💯💯
Yes dear and jekalyn karr their voices resembles
❤
in every single way n form,
Wow may God bless you this is so touching my sister,, kwa kweli yeye n chanzo
No! She is Rehema with her own identity from God.
Through it Lord, I will worship You even when it doesn't make sense🙌
I Listened to this song when I was at the verge of giving up due to lack of school fees...and it reminded me that he's the source of my life😭😭😭😭😭dear lord am greatful🙏🙏....keep on touching souls minister of God
Amen He is a faithful God, he'll do it in time
After facing rejection and hatred from the, family from the church, this is where I got my solace..for someone who has experienced pure hatred, I found love in this song 🎵 ❤thank you
Jesus is there for you...he realy love you and his love is sufficient
I read your message, it builds up my spiritual muscles. Thank you.
Amen
This message is one of the quoted verses Paul wrote , kindly read you will see this message.
I think it's the book of Luke tht says woe to those tht are loved by the world but you who is not loved by the world is loved by God.
Jiwe waliokataa waashi Sasa n jiwe la pembeni...
When people reject you know tht God will never reject you n you are highly favoured . I have faced through tht but i learnt to keep God first in everything and i have gained favour infront of him and he brought the right connections so don't mind who is not for you focus on God only if you focus on man you will loose focus on God those tht reject you now are not true people they are fake. B blessed
You are blessed dear❤️
I am addicted to this song. God has revealed great things to me through this song. I pray that it touch a lot of lives and generations. You are always blessed rehema.
Thank you so much my brother im humbled
it will do so brother,its a song with too much anointing
AM TOO ADDICTED TOO,WHAT A BLESSING..
@@rehemasimfukwe dada wew ni kabila gani? I'm so sorry where is your originality?.... I'm so blessed with your anointed and powerful song
@@nickodemsimchimba594Mbeya,Mbozi, Kamsamba
Naupenda sana wimbo huu unanifanya niingie kwenye maombi nikiwa ktk bubujiko zuri
Kila nikipitia Magumu basi hii nyimbo unifariji mana Mungu ndio chanzo cha uhai wangu na anajua kwanini alinileta duniani,Being into hard times and trauma lately as I quit my university studies due to insufficient money to pay for my fee,But I believe in God I'll soon get back.
This song was sung in Nairobi Kenya 🇰🇪 during Rhemafeast 2022..I cried a river as I reflected on how God is the source of my life..He is everything that I have
God is faithful as a Father
Rhema feast is an unexplainable experience.
I was there and now I'm here..
Me too Loise... the song has been an anthem for my spirit since RHEMA FEAST 🙌🙌🙌
God is faithful as a father indeed. His promises and love are true and everlasting❤❤
This is time Tanzania will rise and Worship God who is the source of everything 😭😭😭😭😭
Bless u
Hallelujah ‼️ ninakupendaaa Yesuuu Kristo wa Nazareth's,
Hallelujah Hallelujahs hallelujah ‼️ hongera Sana 🤝
The first day I listened to this song I cried more than I have ever cried in my life remaindering me where God got me from ,my childhood was not easy I grew up like a grown up woman struggled in everything and i realized that God was the source of my life,be blessed more than you think
Halleluya Glory to God
@@rehemasimfukwe Glory to GOD
Right now am not in my right state of mind but i really don't want to complain coz i know God is helping someone else who needs Him more than me i know it's going to be fine 🙏🙏
Am here thinking of giving up and then I go to TH-cam and find this song as a suggestion I can't help but breakdown ,may God remember me and others that may facing a hard time ,He will see us through😭😭😭😭
Who is still here 2024 listening to this song once again
Nikisikiliza huu wimbo kuna namna naona vile Mungu akishughulika na mambo yangu.
Glory to God 🙏
kumbe tuko weng hata mim Ni hvyo kbsa
A loudest amen
Alishughulikia???
Acha upepo nao uvumu
Mimi nitakwabudu wewe
Blessed blessed 🙏🙏🧎♂️🧎♂️
Amen
Listening to this song past midnight amidst thoughts, depression and hopelessness may God provide to anyone struggling and doubtful. Bwana wewe ni chanzo chetu please restore happiness to our faces.
Amen
AMEN
And hearts
Amen 🙏🏿
Rehema mungu aendelee kuinua karama yako endelea kumheshimu mungu
Well im from zimbabwe and im teaching myself swahili .this is going to be on my everyday worship playlist
Glory to God jamaniii we love you Zimbabwe
It's a beautiful song
Nakupenda sana dada natamani siku moja nani niwe kama wewe Mungu akutunze
Nasikiliza kila siku hii nyimbo nikiwa nalia na kumwambia Mungu yeye ni CHANZO CHA UHAI WANGU
Phillipians 4:12
I rejoiced greatly in the Lord that at last you renewed your concern for me. Indeed, you were concerned, but you had no opportunity to show it. I am not saying this because I am in need, for I have learned to be content whatever the circumstances. I know what it is to be in need, and I know what it is to have plenty. I have learned the secret of being content in any and every situation, whether well fed or hungry, whether living in plenty or in want. I can do all this through Him who gives me strength.
Wimbo huu umenifanya nitoe macho zi sababu ya kipindi kigumu ninachopitia, ahsante MUNGU kwa kuwa ww ni chanzo cha uhai wangu.
Uyu ni uwepo wa roho mtakatifu n'a ukuu wa Mungu wetu yeye ambae ni canzo ça uweoo wetu.sifa heshima n'a utukufu viwe vyako milele Mungu muumba wa mbingu n'a ardhi
I'll be ministering with this song in my church this coming Sunday and I'm really praying it'll be a blessing😊🤗
May God bless you Rehema
Where my sister we join you
i have been planning to minister with the song for a month now, the day i get a chance i will do it with my whole heart and i do pray it shall be a blessing to the ppl of God
I can't say more God has shown Mercy in me during delivery oh! was last year I keep singing the song when I have no other option
AMEN 🙏
Na huu ndio wakati wako uliokubalika machoni pa bwana keep up we are together,nice song
Napenda nyimbo zako itwao leo nasikiliza
Blessing
Amen
Amen I love this...
Tupo pamoja
Tangu siku ile niliskiza huu wimbo,kipindi kile nilikua nayapitia magumu sana ila nilipata utulivu,muumba wetu hawezi akatuacha tukateseke,mwenyezi mungu akuzidishie mengi Rehema (wengi wanapata kupona kupitia huu wimbo pata kubarikiwa nawe)
Amen, ubarikiwe pia
Nyimbo nzuri
I'll back voice hamkuwapa spot light yakutosha
But Mungu katenda kama ilivyo ujumbe ulivyo.This is beyond extraordinary.
Zipo wapi like za #WaTanzania
Nakwabudu nakwabudu.WEWE ni chanzo cha Uhai wangu
This is fresh fire 🔥🔥 over my Soul 😭😭😭😭😭 chanzo Cha uhai wangu nakuabudu 🙏🙏🙏🙌🙌🙌🙌
Here in 2021 listening for the first time and tears just flowing freely, deep words, thank you lord😢😢😢
Beloved, I don't know you in person but God knows you. God ministered to me in a revelation when I was on your profile to see things around you,I saw blessings but spiritual attacks holding onto them,in prayers,i saw a woman in the realm of the spirit monitoring and plotting delay in your life, with an evil mirror, and with a motive to destroy. But as I speak to you now her time is up, Render hand of favour with Anything you can afford or give to these motherless foundation (Godstime MOTHERLESS FOUNDATION) in kebbi state nigeria before 2DAYS with faith, as I Rise my hands towards heaven and pray for you they shall serve as point of contact wherever you are, you will receive double portion of grace to excel and total restoration of breakthrough in your life and in the life of your family. Ask for their acct details and help them call the MD in charge of the orphanage to get their details on (WhatsApp or call them now on +2349155255546) tell him I sent an you. For it is not by might nor by in power but of the spirit saith the lord (zechariah 4:6). You shall testify to the Glory of God in your life. God bless you.....
@@ezeenconceptzguc6532 SCAM dont you fear God you people.
It's a touching song
True Amen
For sure Rehema is ablessing... Umebarikiwa dada yangu .... Twakupenda hapa Kenya
Good Morning, Father Lord, today's a new day, a chance for a new start! Yesterday is gone & with it any mistakes, regrets, or failures I may have experience!It's a good day to be glad & give thanks & I do Lord!Thank YOU for today a new opportunity to love, give & be all YOU want me to be! HALLELUJAH!
Whenever am going through crisis in my life I listen to these song,I lost daddy son years ago,I was very young and starting from scratch wasn't easy,as a single mother I have undergone alot of ups and down bt I appreciate God yeye ni chanzo Cha uhai wetu,
Spiritual revelation to all those who have faced rejection and experience hardships in life
Kila nikisikiliza napata matumaini mapya mungu nisaidie pia nijalie kushinda hitaji la moyo wangu🙏🙏🙏🥰 nakuomba mungu wangu 🙏🙏
Miaka miwili sichoki kuusikiliza huu wimbo. Mungu wa mbinguni kupitia wimbo huu naomba Usinipite Mungu wangu, naomba ukanitendee makubwa ndani ya mwaka huu 2023 angalau nifanye hata kidgo ya matarajio😭😭😭🙏🙏🙏🙏NAKUINUA MUNGU WANGU
P
Amina mungu awe katikati yetu katika mafundisho ya wimbo huu
The first day I heard this song,horry spirit spoken to me about my struggling, he said to me he always with me,in the darkness he is my chanzoo
God be with u my ccter good news groly to jesus
Kujua hilo tu mtukuze Mungu endelea kumwomba Mungu atafanya jambo kubwa utashangaa ,mi am testimony Mungu yupo anaishi
Nashukuru mungu hicho ndiyo nacho weza kusema ila dada mungu aku bariki maana nahisi leo ndugu zangu wange pata msiba lakini kupitia this song najikuta nina sababu yaku ishi god bless you dear
The song describes my whole life I have shaded 😭 I have gone thru pain but nothing will ever separate me from the word of God. With God's time, I blv everything will turn out right
Nauona utukufu wa Mungu.
Utukufu kwa Mungu.
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu aliye hai
I heard this song for the first time during my cousin sister's funeral, right there I realised that nothing realy matters in this world except worshiping the author and finisher of my life, Jehova Jireh
What a nice vibe Mama....imagine this is not our home we are just passing by But we need to thank God that He gave us an opportunity to live on this world.Glory be to God our Father.
God have mercy on me🙏🏽 I can't stop crying because of this song.🙏🏽🙏🏽
@@lucimueni9746 dbnmczx ex
Thank you Jesus
Ameeeeeen
Nimeusikia huu wimbo mara moja tu kwenye radio ya mtu mwingine roho yangu ikanihakikishia kuwa ndani ya huu wimbo yupo Mungu barikiwa sana dada😔
I have just lost my loving mum.She is now in heaven but i will still worship Him.The LORD is forever good.I pray for your strength oh God!
May the Lord heal you
May the Lord comfort you in a way that only He can
Ameniiii.ni baraka sana kumwimbia MUNGU KATIKA ROHO SANA
Couldn't stop crying when I first listened to this song, my sister was playing it! God is truly faithful! God bless you Rehema for allowing God to use you.
Glory be to God dear
Nkwel mungu n chanzo cha uhai wetu na jina la bwana limidiwe,,,,mwimbaj hongera yan nimesikiliza iii gospel ad natokwa choz
@@rehemasimfukwe 🙏🙏
I'm from Nigeria.
And i heard this song to the glory of God. I don't even know the country singing,but i just want to worship with you and say that, Jesus Christ is the source of my life too.
I love this God that created so many languages in the world. This one is too super.
God bless you my sister Rehema
Which language are they singing with please
Kiswahili from East Africa
This song from Tanzania, Kiswahili language
@@elegoodness6267Swahili..Tanzania
Swahili
Ubarikiwe sana Dada Rehema
ooh my brother God bless you so much
Amen @Patrick Kubuya, hata nawe una kibali kikubwa. Baraka tele pia
@@ed4Jesus amen and glory be to the Lord Jesus Christ
@@rehemasimfukwe kweli huu wimbo ume kuwa faraja kwangu
@@rehemasimfukwe hakika huu wimbo ume kuwa faraja kwangu
Ubalikiwe Sana na Mungu azidi kukusimamiya kwa kila wakati tunabalikiwa kupitiya wewe
...too much anointing in your ministry my sister,goooooo
mkuu ubarikiwe saaana
is there anyone who's still listenning to this food soul untill now like me? I can't be tired to listen this amazing song. Thank you psalmist Rehema for your sweet songs!
Naitwa langson David nkwamu wa Sumbawanga Rukwa Tanzania.Napenda uimbaji huu.nikisikiliza wimbo nabubujikwa na machozi.Mungu awabariki Dana.real touched
Endelea kuufurahia uzuri wa Yesu
Nimebarikiwa sana,,, Mungu azidi kukuinua katika uimbaji wako uzidi kumtukuza mwakozi ,,
Wewe ni chanzo cha uhai wangu kweli
10 Million Viewers 06/06/2023
Hawa watu wote Million 10 umewabariki kwa Wimbo huu. Mungu AKUBARIKI Mtumishi 🙌
Nitamsifu mungu mpaka kufa kwangu 🙏🙏🤞bila yeye ningekuwa nimekufa
Na mimi nita musifu munga hadi siku ya pumuzi zangu za mwisho apa chini ya jua ame ni rudishia uwai wakati nili kua nime jua nime pata magonjwa ya moyo
Be blessed woman of God you are a blessing to many I being one of them ......yeye anabaki chanzo cha chai wetu🙏
Am going through alot silently, l always pray to God to see me through,,, today l dreamt l was singing this song. Woke to search for it. I have really cried. I feel God in my way. Jesus is real
Hope everything went well with you dear one ❤❤
❤❤
There's something in this lady's voice, i can feel this in my heart.. 😭😭
After being abandoned and rejected at birth, God was not done with me. Every day I am reminded that He had a plan and a purpose for me despite my hurtful past. Kweli yeye ndiye chanzo cha uhai na maisha yangu. Wonderful song, makes me remember all the good God has done in my life. All glory to Jesus!
Amen 🙏I see God's faithfulness in this song.
Grory to God 🥰
GLORY to God
he really is GOD
Glory be to God
Sita kosa kukuabudu una nifanya gisi nilivio ijapokuwa shida na juwa ina mwisho tu mungu wangu 🙏🙏🙏🙏
Much Love 😍❤️💕from ±254🇰🇪
Praise JESUS for this blessed and anointed song🙏🏾God Bless You my sister and take you to greater heights. You are a blessing 😘😘😘
Hallelujah indeed Jehovah Elshadai ni Chanzo cha uhai wangu... Im listening to this song while in the Hospital and The Presence of God is here Gloooooooory
God is realy
I have been going through financial strain and trusting God for a breakthrough but when I heard this song for the first time I started thanking God cause He is still Faithfull no matter what He is STILL GOD!!!!!
Absolutely!!
Sure, HE never changes,HE is God of all ages
Bg up sister wimbo unauwepo mungu akubariki
Deborah
Nakupenda Dada mzur unaimba kwa hisia za rohoni
Mungu akubariki Sana dada yangu wimbo huu ni wambinguni hakika
AMEN
Hakika Mtumishii 🙏
Wimbo wa nyakati zangu zote...... Ur such a blessed ssy, an u make me fll blessd too nakupenda, na nampenda Yesu wangu kwaajili yako
Amen my love... Blessings
Mungu akishuka anaonekana kweli ni baraka na uponyaji
Who is here tonight? January, 2023
What a wow ...
Huu wimbo umenibariki sanaaa
Am here, and still touched
January 2024
Hallelujah, powerful and anointed🙌🙌🙌 worship...this is true worship🙇♀️🙇♀️🙇♀️🙇♀️. God bless you Rehema 🙏🙏
Daaaaa aiseeee, so touching. Why hivi uwa hakuna matamasha ya worship jamani, vifua vyetu vina maumivu mengi ambayo naamini praise n worship Inaweza fungua kabisa
I perceive revelation that I will still boast in lack , trouble etc
🙏katika yote wewe bado ni Mungu.
Hongera sana mtumishi unanibaliki sana!! Nakupenda Sana'a amunaaa sana uishi maisha malef
For some reason...when I listen to this song I find my self deep in the spirit... crying... ... I love this song ... God is the beginner of my life ...may you be blessed the best song 💯
Paul Clement and Gwamaka brought me here ..
This is the song😭😭😭
Gwamaka yupiii
Hallelujah! Philippians 4:12
I know what it is to be in need, and I know what it is to have plenty. I have learned the secret of being content in any and every situation, whether well fed or hungry, whether living in plenty or in want.
🎉❤
I have been looking for this😊
Nakpenda ❤ sna my Sstar Mungu akubariki azidi kuinunua zaidi Amen
Ninajua kushiba na kuona njaa, katika yote wewe bado ni Mungu, ninajua kupendwa na kukataliwa.... naujua udhaifu na kuwa na afya katika yote wewe bado ni Mungu
Acha upepo uvume nitakuabudu wewe.... chanzo cha uhai wangu Yesu ( nakuabudu)
Wimbo huu umenibariki sana nilikuwa nausubiri kwa hamu sana 🙏🏿
The first time I found this song accidentally on TH-cam it has about 200+K views I new it is going to be the big song...and It is !!
Now 13 million views😂😂😂😂
Huu n wimbo wangu wa mwaka thanks rehema for the nice song...naujua udhaifu na kuwa na afya katika yoyote wewe bado ni mungu 🙏 this line speaks a lot to me
Yesu akuonekanie my love
Mungu akuzidishiye vraiment unani bariki sana yeye ni chazo chauhai yanguu kbs
wewe ni chanzo Cha uhai wangu Mungu yupo atakuwepo Wimbo unainua sana kiimaniii😢❤