MISULI YA IMANI BY AMBWENE MWASONGWE (Official Music Video)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 20 ก.ย. 2024
- Ambwene Mwasongwe presents the Official Music Video for "Misuli ya Imani"
Watch All Music Videos by Ambwene Mwasongwe: • Ambwene Mwasongwe All ...
Follow Ambwene Mwasongwe
Instagram: / ambwenemwasongwe_
Subscribe to Ambwene Mwasongwe: / @ambweneobadiamwasongwe
Digital Branding & Marketing By:
Black Ozen Entertainment Limited: / blackozenentertainment...
#AmbweneMwasongwe #MisuliYaImani
Wanaoangalia wimbo huu kwa mwaka 2023 weka like hapa na mungu atakubarik🙏
mm nilimbeba ambwene kipindi naendesha pikipiki mbeya alikuja kijiweni kwetu
Kbisaa
nimekuja kuusikiliza baada ya mama aliyepoteza watoto wake wote wanne Kwa ajali
@@deboralukawe3883Inaumiza sana. August 2023
Hii nyimbo inafunz
Kama na ww Hadi Leo unausikiliza huu wimbo kama mm nipe like
Wimbo huu unatoa machoz kila unapouckiliza haijalish una mda gani leo tareh 17.08.2024 unanitoa choz
20.8.2024 nikiwa napitia jaribu landoa lakini naamini Mingu atanivusha
2024 weka laik hapa
Wangap tunausikiliza huu wimbo leo j5 talee 13/08/2024
Hii nyimbo huwa inaniumiza sana moyoni huwa nikiangalia machozi huwa yanatoka yenyewe nyimbo inagusa sana moyoni
Nimerudi tena hapa 3/02/2023 ajali iliyoua watu 14 family Moja hapo Tanga. Mungu ni mwema amina
Jamani naomba tukiwa katika kipindi iki kigumu Cha msiba wa kutokana na Ndege basi weka wimbo huu utapata faraja jamani na kama unasikiliza basi weka Like kwenye comment hii🤝
Amen naummwa mkono mwaka wa 4 leo naimani ipo siku nitakuwa swa kwa uwezo wa mungu
Sasa huu wimbo umempata mwingine wa uhakika 2023, 02 August
Mungu ampe faraja ya kweli huyu mama
Nipo hapa August 7,2023...Mungu awape nguvu na faraja familia ya MSUYA
Sitasahau huu Wimbo uliniokoa nikiwa nataka kujiua na vidonge mwaka 2014 nilipokuwa nikiishi na mama wa kambo,niliusikiliza kabla ya kutaka kujiua nikaona mimi sina matatizo mazito kuna watu wamefikwa na mitihani zaidi yangu
Tumshkuru mungu kila dakika,wapo wenye matatizo mpaka unasema Afadhali mimi 😢
Uendelee kuwa na misuli ya imani
Hautakufa utaishi kulitangaza utukufu Mungu.
Nimeona msiba huko Mwanza,Mama mmoja kafiwa na watoto kumi kwenye ajali moja wakiwa wanakwenda harusini! Dah! Nilivyoona Mama yao amezimia nikajikuta naukumbuka huu wimbo!!! Dah! Kweli Mungu amefanya siri siku ya kifo ili tumuheshimu kila dakika! Eeh Mungu tujalie mwisho mwema.
daah
Ameen
Mungu amtie nguvu mama huyo Mungu ni mwema siku zote
Amina
Amina
Wimbo huu hakika una namna ambayo ukiusikiliza unaleta faraja na funzo. Kamwe unaesikiliza huu wimbo usije mwacha MUNGU kwenye dunia hii iliyosonga mambo mengi ya Shetani.
Kabisaaa 😢😢😢😢
Nimewakumbuka wazazi wangu na bib zangu wote Leo nipo mwenyewe tu Dunian kana kwamba sikuzaliwa Sina wakumwambia shida zangu Leo mme wangu nimeanza nae kutafuta tulipo yafikia mafanikio akanifukiza na kunisimanga ntaenda wapi Sina kwetu lakin namtukuza mungu Leo kwa wimbo huu maana kanipa mtiani huu kwa sababu anajua nauweza Amina mungu wangu
Pole sana
Me na wewe hatuna tofauti
Pole sana
Mungu akutetee
Usi Kate tamaa mungu yupo😢
Huu wimbo nimeukumbuka kwa ajili ya huyu mama ambaye wanawe wanne wamekufa kwa ajali yaan imeniuma mno huu wimbo una funzo ndan yke Mungu yupo wapendwa😭😭
May 2024 anybody?
Hata nikipatwa na jaribu kiasi gani sitafikiria kumuacha mungu🙏
Huu wimbo nimekuja kuuusikikiza Leo baadae ya kuona Ile familia ya Mzee msuya iliyopoteza watoto wanne ,mungu awape uvumilivu na hao ndo watu mungu huwatumia kumsimangia shetan
NA WEWE NDO MIMI HAPA h.. hivyo hivyo
Hakuna litakalo tutenganisha na upendo wa Mungu. Ndiye mfariji wetu
Japo mi nimuislam lakini mmh hii nyimbo huwa naipenda sana sana🙏
Me mwenyewe muislam naipenda saana
Haijalishi Mwenyezi Mungu/allah/ Jehovah hana Dini. Tumumaini yeye tu. Dini ni njia za kumjua Yeye aliye Mkuu .
Karibu kwa YESU KRISTO.
Wimbo wa taifa
Hata mmm
22-08-2024 nwanangu wa miaka miwili amepatikana na saratani nimweka hii nyimbo iniliwaze nimelia sana... Naamini Mungu ana mpango wake kwa mwanangu😭😭😭😭
Pole sana Mungu akufanyie wepesi
Pole sana, Mungu atafanya njia ktk hili
Pole sana😢
Allah atamponya saratani inatibika akiwahi matibabu na kama gharama zitakua juu tafadhali fata process tuchangie yaan toa namba vielelezo picha na majibu ya daktari ili kiwaaminisha na wote wataoguswa pole sana ndg yangu
Pole Mungu ni muaminifu kila wakati na hutenda kwa wakati sahihi
Mwngne Nani anaitazam video hii may 2024 agonge like
Mm apa mkinga og ina nikumbusha mbali sana may 2024
❤
Nimeitazama tena leo🙌🏾
Hii nyimbo n mpya kla siku
Mungu ni mwema ,
Huu wimbo umenifariji baada ya kumpoteza mtoto wangu 8 years old..but God still been God.
Pole sana 😪😪😪
Mungu ni mkubwa san tuendeleeee kukiaminiii jina lakee
Mungu anishindie hata nipitapo kwenye magumu
Huu wimbo huwa unanibariki Sana hasa pale ninapo kuwa kwenye magumu MUNGU atutie nguvu peke yetu hatuwezi
Yan we acha tu😢
Mwenyezi Mungu kupitia huu wimbo wape faraja familia ya Msuya bwana wape amani ya moyo wape watu wazuri wa kuwatunza wazazi na watoto bwana
Wangapi wakisiliza wimbo huu hupata picha ya kile kinachoimbwa kwa fikra tu?
Mtumishi umefanya kitu kikubwa kwa wimbo huu,ubarikiwe sana.
Till 2023 still it's blessing
Me ni muislam ila hii nyimbo inanigusa sanaa💔
Hata iweje wimbo huu hautapoteza nguvu hata siku moja.Wimbo una nguvu ya ajabu kwelikweli.Mungu akubariki kwa maono yako yakutunga huu wimbo Ambwene🙏🏻
Baada ya Ile ajali nimekuja kusikiliza huu wimbo
Nifalaja kubwa sana ninapo sikia huu wimbo
Nakumbuka 2014 nilipata changamoto ya Kodi Mungu akaniinulia msaada mkubwa. Nilikuwa nasikiliza sana nyimbo za mtumishi katika kujenga Imani yangu. Siku ya mwisho wa Kodi yangu Bwana akaniinulia msaada masaa machche kabla ya deadline.
Nani anaskiliz 2021 kwenye ichi kipind kigumu watanzania😭cha msiba
Npo hapa 2021 Ameen
🙏🙏🙏❤
Nasikiliza 2022 nafarijiwa sana
2022
@@peterissa7992 pppp
Kama una bwana ndani yak naukaskiliza wimbo huu nilazima utasisimuka kutoka moyoni.
Yaani huu wimbo nimeusikiliza nikajikuta natokwa machozi nikawakumbuka wazazi wangu waliofariki kwa kupishana mwezi mmoja kwakweli nilipata wakati mgumu sana
Pole sana , Bwana Yesu akupe faraja ya kudumu mpendwa.
Pole sana Mungu akupe nguvu
Pole saana mi dia Mungu aendelee kukuyatamia🙏
Mungu ana sababu njema mbona kawachukua.....ata Enoch na Elijah hawakuishi miaka mingi
Wakati unauelezea huu wimbo leo TBC nikabaki najiuliza maswali na kupata jibu kwamba Mungu anaruhusu jaribu ambalo mtu analiweza.
Kabisa
Jmn watumishi wa Mungu mnatutia Moja kwa ss tuliojeruhiwa Mungu Akubariki Mwasongwe
2024 and I'm here
Kaka Ambwene Mungu akubariki sana, nimefiwa sana, lkn richa ya kufiwa nikipita kwenye magum nakumbuka huu wimbo naanza kuusikiliza unanitia Moyo sana, na kujua Mungu anakusudi NAMI tunaweza pitia magum lkn kumbe Mungu anajivunia sisi na tupitapo kwenye jaribu Mungu anatupa jaribu akiju tunaweza
Ambwene Mimi nilipita kwenye kipindi kigumu sana nashukuru sana nyimbo zako zote zimenibariki sana
Mungu awafanyie wepesi katika magumu mnayopitia 🙏
Wimbo unanigusa rohoni. Mungu ndio anajua🙏
Huu wimbo umenibariki sana 2024
Leo tarehe 11/10/2022 ndo nime elewa huu wimbo nime poteza ndugu zangu watano kwa ajali ya gari
Pole sana 😔😔😔Mungu akutie Nguvu
@@emmanuelsamwel741 Asante sana
😢😢😢😢😢
Huu wimbo umekuwa faraja yangu niliposhiriki ibada ya mazishi ya familia ya msuya majeneza yamepangana hapo wazazi wako hapo nimelia sana sana.Lakini nikakumbuka mtetezi wetu yu hai.Katika kupita kwenye magumu wazazi waone mkono wa neema.
😢😢😢isee Mungu utabaki kuwa Mungu
2023 October ,Yesu ni mwema wimbo unaendelea kunifunza .
Asante sana kaka ambwene napitia kipindi kigumu cha kumsindikiza nimpendae nina imani na ili litapita
Pole sana Mungu awe mfariji wako
Kwakweli ambwene you are a gift to the body of Christ. 1st Dec 2023 still here. Mungu akuinue juu na juu na ibada yako ya miaka 20 ikawe ya mafanikio katika jina la Yesu
I’m watching this today
I’m heartbroken 💔
Nimefikiria Hata kufa but this song changed my whole mindset
Najua nitavuka tuu katika hili
Thank you Lord 🙏
Sorry Mungu ni mwaminifu
Have Faith In The Lord. He is Faithful.
God Loves You... He will never Leave you nor forsake You🫶
Watching in 2023
Mungu ndo anaejua maumivu niliyopitia ya kuondokewa na dada angu kipenzi ester mungu akupe pumziko la milele huko uliko mdogo wako nakumbuka sana
Huu wimbo nmeukumbuka leo familia imeungua ndan baba na watt3 wamefalik amebak mama na mtt1, mungu amtie nguvu mama aliebak
Polen Sana Majiran Mungu Awatie Nguvu Mama na Mtoto
Mie huu wimbo sitokuja kuuchoka💐💐💐💐💐💐💐❤️❤️❤️❤️
6/8/2023 Ajali ya Chalinze rah 😢😢😢😢😢😢😢
😭😭Mungu baba wapokee watawa mapadre wetu
Twende sawa 2020 nahuu ugonjwa wa Corona mungu wetu aturehemu
Pendo Raphael Amen Mungu yupo hakika
Amen
Kabsa
Dadangu alikua na corona...amepona sasa.
Baba yangu aligongwa na anachuma mguuni na mkononi..mungu nani Kama wewe sasa hivi anatembea.❤❤😢😭😭Mungu mkuu...
Shukrani zangu zifike kkkt kariako. Dar es salaam. Na pia Kwa Mchungaji Mshihiri (Mongo LA Ndege)
Nipo Kenya nitarudi...
Jina Langu Herman ,Miaka 20! Nimeokoka nampenda Yesu!
@@10xtradingkenya49 ooh wow Mungu ni yote tena mzuri sana kwa wale wamtumainio
Wangap wamekuja hapa baada ya majanga yaliyotokea katesh manyara
Aisee Hakika Wimbo mzito saana na unatutia Moyo❤
September 2024
Miongoni mwa nyimbo zangu pendwa ni pamoja na hii inashika namba 1
Nyimbo hii huwa inanifaliji sana ubalikiwe sana ambwene
Napenda sana nyimbo zako barikiwa
November,2023.
Mungu bado ni mwema sana.🙏🏽❤️
Sana Kila wakati Mungu nimwema
Nyimbo Kama hizi zinasisimua maisha ya kiroho.
Wimbo umenibariki katika ya the storm l am going through, thank you Lord for intervening 🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾💌🙏🏾🙏🏾
Le23_3_2018 💔💔😭😭😭 Mume wangu alifaliki wimbo unanitia nguvu Mungu niMungu tuu
Mashujaa wa imani siku zote hurudisha utukufu kwa Mungu
Leo nimelia sana baada ya kusikia huu wimbo nimekumbuka mengi sn😢
Pole❤
@neema wimbo huu unahuzunisha sana pia unatufundisha kuwa mungu ndiye kila kitu
tumuombe mungu sana atusaidie katika haya maisha inauma sana iyo tupendane tukiwa hai nawapenda wote wamama wote duniani ilove you mom❤🥀
Najkutaga nalia na ndev zangu napousikiliza . 1 love ambwene . umeimba kwa uhalisia wa maisha yetu
Nice
Ameen
Ameen
Powerful Song, this song deserves a 100 million views, wakristo muko wapi jamani mubarikiwe na huu wimbo
Huu wimbo unaniinua sana wakati huu mgumu katika maisha yangu,mtumishi Ambwene Mungu akubariki sana
Nafarijiwa na wimbo huu wakati ninapohisi mateso ambwene MUNGU akubariki
Huu wimbo huwa inanifarija sana
Nitaitizama mara na mara hata mpaka 2025.
Usije kufikiri kumuacha Mungu🙏🙏. Mungu aendelee kukuinua kwa viwango vingine mtu wa Mungu
2023❤❤❤
Nikoapa wimbo Umekaa kiloho kabisa❤
2023 mshukuru Mungu kwan yeye atabaki kuwa Mungu
Aksanti ndungu wa tanzania zaidi sana pasta ambwene kututuliza na huu nyimbo ya misuli ya imani huko Congo ya mashariki tunapo vamiwa na magaidi wa kinyarwanda na M23 kuuwa kaka na baba zetu huku ruchuru,beni goma masisi na pengine masharikini.
Poleni sana hili linauzunisha san
Pole Kaka jmn😢Mungu anaona yote
Misuli ya imani in ujumbe mzito Sana ambao wakati wote nikipita kwenye jaribu lolote huwa naona hili linanikusha kuamini
Wimbo wenye mafunzo makubwa kwangu asante Mungu kwa hali yangu
2022 Nazidi kujengwa na hii nyimbo ,Uzao wangu hii nyimbo ikawe ya baraka kwao pia ikawe fimbo ya kumchapia shetani🙏🙏
Mzee msuya na familia yake utazani ambwene mwasongwe aliwaimbia wao hii nyimbo inaumiza sana kupoteza watoto wote Kwa wakati mmoja 😂
Pole mama musuya
Inaumiza mno
We unajua matumiz ya emoj kweli
Duniani tunapita
RIP watoto wa mzee Msuya MUNGU awatie nguvu wazazi wao inaumiza ktk yote MUNGU anaweza
Ambwene nyimbo zako nimezikubali huwa unanigusa sana ubarikiwe sana
Huu wimbo umekuwa faraja yangu mchana na usiku.
2024 nipo apa
Mungu ni mkuu kweli kweli jinalake litukuzwe maana matendo yake ni makuu na hatuachi kabisa
Sikiliza nyimbo ya Awilo kidume Cha mbeya inaitwa Ajali ya mto kyela aliimba miaka ya 2006 sijajua kati ya mwasongwe na Awilo nani kamkopi mwenzie, all in all kazi nzuri
Hatuna haja ya kusikiliza...wala haituhusu
@@philipoburton3450😂😂😂😂😂😂😢
@@philipoburton3450😂😂😂😂😂jibu zur ss hatuko kushindanisha
Wimbo huu nimzuri sana unafariji na kuwa tia nguvu walio kosa tumaini gonga like kama na ww ni mmoja wapo
Mungu awasaide kwenye magumu awabarik ❤ 2023
June 2024 hakika Mungu mwema
forever song 2023
Kiatu cha mamangu mkubwa watoto watatu wa kiume kwa siku moja na mjuukuu wake alijikuta alii ila amechanganyikiwa aelew nn kimetokea mpaka leo ayuko sawa kuna muda unaweza kuwaza vibaya ila tunamuchia mungu mana yeye ndio anaju kwann ilikua vile
MUNGU amtie NGUVU, KIBINADAMU NI ngumu ninyi😢😢
Twende pamoja 2021
Hai
Huu wimbo nimeanza kuusikia mda saana tangu kiwa namiaka 17 love you so much napenda saana nyimbo zake
Ameimba kutoka Rohoni lazima watu waguse , maana mtu warohoni haimbi biashara Yuko kazini mtumishi wamungu Abarikiwe Sana Kwa hii Ibada njema kabisa 🙏🙌🙌
Baada ya kupoteza baba na dada ndani ya mwaka mmoja nasikiliza huu wimbo kila wakati lkn najipa moyo na kuamini yupo Mungu mfariji wetu na sijawah Acha kuomba.🙏🏾🙏🏾
Mungu anahaja nawewe mi dia endelea kumuamini ndugu🙏
@@elizabethSonga-q3u Amina dear
It's August, 2023. Still watching this song😥💔🙌
Mungu anasababu ya kukupa jaribu
MUNGU pekeyake ndiye atakaye kufariji
@@sofiaarianaayeba491 kweli hakuna mwanadam atoaye faraja ya kweli zaidi ya Mungu