Usitoe amri kwenye vyombo vya usalama wanajua kazi yao acha kupandikiza chuki acha polisi wafanye kazi yao huna ubavu toa tu ushirikiano kama unajua lolote kazi njema😅 10:53
Huhusika wa kwanza wa utekaj tusizunguke ni lais na wazili mkuu na wazili wa mambo ya ndan na igp ndo wakuwajibika ok kama bwana aishivyo wahusika wote wajambo hili wasishi nao bwana ahughulike nao tumechoka kusikia
Subhanallah wewe moperosamson mshenzi dhalim mmoja hata kama anakosa ndio auwawa au akakanatwe namna hivyo mbona Watanzania wengine kama wewe mnakosa imani Hasbunallah Waniimal
Mungu amsaidie ndugu ally muhamed huko aliko pelekwa asizurike kwa chochote na aachiwe akiwa salama
Tulimsema saaaaana Magufuli. Sasa hayupo na yanatokea ...
Huyu mama ..tumuangalie vizuri....haiwezekani ikulu haijui. Candid speaking.
Dah kiboko mtatekwa sana kama watanzania mtaakimya mtakwisha
Tanzania Sisi raia ndo wasenge sana yaani mtu anachukuliwa na nyie mnashangaa tu kweli sisi bado matahila sana
Mbona nyie ndyo wa kwanza kupata taarifa
Sasa uletewe wewe utasemea wap na ana kujua nani
Vi unajitambuwa kweli wewe
Tunaelekea wapi
wewe usicheze na serikali
Du hii ni hatari sana
CCM ni ovyo Sana umepoteza mwelekeo Kila kitu kikomo wazima Arusha abari zimevuja Mtwara na yule chinjachinja
Hivi huku kutekwa raia wa Tanzania kutaisha lini? Jamani mbona siioni Tanzania ya mwaka 90 mbona mnanitisha. 😭😭
Watu awamtaki mamayenu wanmfanyia ivyo
Usitoe amri kwenye vyombo vya usalama wanajua kazi yao acha kupandikiza chuki acha polisi wafanye kazi yao huna ubavu toa tu ushirikiano kama unajua lolote kazi njema😅 10:53
Wanajua kazi Yao ya utekaji
Me nashangaa watu wanauwa kila siku Rais yupo kimya tu na ss tuna rais kweli?
Tz kuna rais kweli
Manyumbu msizingue nyinyi ndio mnayafanya kwa kutaka kuisingizia serekali genge la wahuni
Mhuni wewe nyumbu wewe dhalim mmoja au wewe ndio katika hao sasa unjikosha shenzi type Hasbunallah Waniimal Wakiil
Wewe hujitambui yangekupata ww
Swali langu kwani abiria awakuwaona sura
rip mzee wetu dah watu hawana huruma kabisa.
Watu kimnyaaaaaa
Ingieni road acheni kelele
Mungu hayani yanayoendelea Tanzania sioamani niuwoga Tanzania 😂😂😂
Huhusika wa kwanza wa utekaj tusizunguke ni lais na wazili mkuu na wazili wa mambo ya ndan na igp ndo wakuwajibika ok kama bwana aishivyo wahusika wote wajambo hili wasishi nao bwana ahughulike nao tumechoka kusikia
Mimi sielewi
Atua mtaichukulia dola au rais au nani mbona hamko real
Jamani muwe wa kweli msiteke watu kwa masilah yenu
Mbika na wewe pia uwe mkweli muadilif unauhakika gani kama wamemteka wao wenyewe ngoja uje utekwe na wewe au atekwe mtu wa familia yako
Waliomteka anawajuwa MMungu walomuuwa anawajuwa MMungu na atawafedhehesha
Hivi ww unaongea ninani
Yaani mtu akiwa mwanachama wa chama chenu akifanya kosa hawezi kukamatwa?
Yaani nyie mfanye kosa ukikamatwa nikosa
Anakosa Gani na kwann wamemua
Subhanallah wewe moperosamson mshenzi dhalim mmoja hata kama anakosa ndio auwawa au akakanatwe namna hivyo mbona Watanzania wengine kama wewe mnakosa imani Hasbunallah Waniimal
Police wanafiki wakubwa Allah awalaani loo
Na wewe usicheze na Allah mpumbavu mmoja usojijuwa Hasbunallah Waniimal Wakiil
Tuamuke tuwateke piya wanaccm nanikotayari kufanyaivo
Watu watende zambi wewe usiwafuate Allah yupo
Ivi kwanini msiwe wakweli mnachukuana wenyewe ilimpatekiki nakuichafua nchi mnasema kutekwa muwe wakweli kwaiyo katekwa kwenye basi
acha usenge ww watuwanauliwa halafu ww wazingua wasema Wana tekana
Ndi hivyo mishenzi kama hiyo Allah awalaani kwa kukosa imani
@@HanafiSaidi-v4gMAIGIZO YANAENDELEA 😢