Rais gani unaemjua wewe ambae ametawala nchi hii na raiya walistarehe nakumpongeza rais alie madarakani? Acheni chuki nyinyi wenzetu wa mrengo mwengine
Mpaka Mungu aruhusu kuwa rais ni nani Mungu anajuwa nani atachukuwa nchi mwenyezi mungu tusaidiye narudia tena mapaka mungu aruhu mwenyezi mungu asipo ruhusu akuna kitu apo mungu atusaidiye
Kama yupo anaehisi anauwezo zaidi wakupamba na kero za wananchi basi aruhusiwe kama katiba ya ccm inavyosema kila mwanachama apewe uhuru tuone sera zake
Na umeonyesha udhaifu mkubwa sana. Kwahiyo hatukutaki kabisa kwa sababu umeinyesha udhaifu mkubwa. Tutakuwaje na raisi chura? Nani anataka Chura tena mzanzibari? Na Zanzibar imejitenga?
Kwani mhura wa raisi Magufuli ambao umekaimiwa na Raisi samia si unaishia 2025? Wasira anazingua sisi mh.raisi Samia hatujamchagua hivyo 2025 wanaruhusiwa kugombea wengi
Mmmh sio kweli , binadam huw wana ham ya Uongozi lakini hivi mtu anawezaje kuchukua form wakati Mwenyekiti wa sasa anaendelea na Uongozi? sidhani kama kuna mtu au kikundi kitachukua form
Hizo zitakua ndoto kutaka urais sijui nani sijui nape sijui ñani hakuna hivi Rais kwani hamumjui na ataendelea 2025- ataendelea 2030 ni SAMIA S HASSAN MJUE HIVYO
Hao ndio wenye uchu wa madaraka na chuki binafsi na M . Mungu halo nao pamoja nao na ndio maana wanaadhirika , hawajui watokako wala waendako pia hawajui walifanyalo . Wakafie Mbeki na kwa dalili hizi watausikia redioni . Ninavyoelewa CCM wana utaratibu kama si Sheria ni Kanuni kwa miaka kumi wanachokifanya wanajua wenyewe , jee yanageuka kwa kua yupo huyu Mama ? Mkifanya mtakavyo nahisi tutagawana mbao
Kipimo kikubwa cha ushindi kiko kwa mungu mengine tutadanganyana
Kwa maoni yangu mama ungejiuzuru ili upate heshima ya maisha na utaheshimika milele daima
😂😂nakuunga mkono kauli yako👏🏾👏🏾
Me naona mama ajiudhuru tuh apunzike maana asilimia kubwa mama hatakiwi
Mliharibu kabisa
Rais mwanamke ni shida tu
Sijaona aliyefanikiwa n
Watu wanateseka tu humu
Rais gani unaemjua wewe ambae ametawala nchi hii na raiya walistarehe nakumpongeza rais alie madarakani? Acheni chuki nyinyi wenzetu wa mrengo mwengine
Mpaka Mungu aruhusu kuwa rais ni nani Mungu anajuwa nani atachukuwa nchi mwenyezi mungu tusaidiye narudia tena mapaka mungu aruhu mwenyezi mungu asipo ruhusu akuna kitu apo mungu atusaidiye
Tundu lisu anatosha kututoa hapa tulipokwama
Kumbukumbu hizi zinatugawa CCM inapolejea Ku trend mitandaoni.
Mavi ya zamani hayanuki.Tusahau yaliopita tugange yajayo.
Hata mimi nakupa hongera sana January Makamba. Ni afadhali wewe kuliko Samia. This time wewe pia uombe ili ukatatuwe matatizo tuliye naye.
Sema neno simba jike wa tanzania wasikutishe raisi wetu mpaka mwisho wa katiba yetu
Huyu mama hajali wanyonge hata kidogo. Siyo kiongozi sahihi kwenye taifa kama hili.
Wewe rais gani aliekuwa anajali wanyonge? Acheni chuki na fitna nyinyi wenzetu wa mrengo mwengine
Wazo la mwanamke Sasa roho ya ubagzi inaanza angeomba kura TU kwa watanzania je wanaume nao wakisema hivyo nchi haitakua saws
Kama yupo anaehisi anauwezo zaidi wakupamba na kero za wananchi basi aruhusiwe kama katiba ya ccm inavyosema kila mwanachama apewe uhuru tuone sera zake
Hakika , wanasimama na hoja dhaifu , watoe uhuru Kwa wenzao humo humo wapo wanaweza zaidi ,
Msiwazuie wana CCM wanaotaka kugombea. Mkifanya hivyo hakuna democrasia CCM.
Mpina
Wapeni nafasi Wana CCM nafasi ya kugombea uraisi
Ccm itashida kwa vishindo
Mmmmmmmmm NOOOOOO , JIONGEZENI
Halafu leo hii mtu anapewa ukatibu mkuu.
Ajabu na kweli
Huyu January ni kibaka hapaswi kupewa nchi
Haswaaaaaaa
Kabisaaa
Kabisa, mama
Na umeonyesha udhaifu mkubwa sana. Kwahiyo hatukutaki kabisa kwa sababu umeinyesha udhaifu mkubwa. Tutakuwaje na raisi chura? Nani anataka Chura tena mzanzibari? Na Zanzibar imejitenga?
Wewe. Mama hufai
Ccm ifanye uchaguzi samia hajachaguliwa na ccm kapita kwa katiba tunaomba uchaguzi ccm
Nyamaza ww huijui ccm
Kuna wakat habar mpya huwa hakuna nn? Mbona habar mpya hazipo
Kwani si democracy kwahiyo democracy ni inje ya CCM tu. Wanainchi hatumtaki Samia kabisa
Makamba umesema kweri
Mzee wasira ni aibu unayoya6tafuta
Viuno jamani daaaaaaaaaaaaaàa
CCM tumeyataka wenyewe viongozi wanaiba pesa wanajilimbikizia mnawaangalia pesa zina wazuzua tusiwalalamikie
Mambo hayooooooo tuyasubiriiiiiiiii.
Mama ana tosha 2025
Baraka gani?
Kikwete nakukubali sanaaa Rais wangu mstaafu
Kwenda kuleeeee, hovyo kabisa
Hivi ikulu huwa kuna nini?
Mhhhh
Kwanini kuna kosa utulivu dhahiri ndani ya CCM ?
mambo ya uongo ufisadi tu
Kwani mhura wa raisi Magufuli ambao umekaimiwa na Raisi samia si unaishia 2025? Wasira anazingua sisi mh.raisi Samia hatujamchagua hivyo 2025 wanaruhusiwa kugombea wengi
Kura hukomesha mashindano! Natamani nione mchujo ukifanyika ndani ya ccm kila mtu ashinde mechi zake.
Sàhihi kuliko kumwachia mmoja tu.
Mama mama kumbe jau
Wamekustukia mapema
Hizo nindo
Mmezowea kudhulumu, wallaahi na nyinyi mtadhulumiana. Mzowea kula nyama ya mtuu............
Mama kweli mm Ni chadema lakini usiachie kiti tunaimani na ww kuliko wanaume wa CCM wenzako.
Hii ya makamba mbona ya zamani sana
Mbona unampigia kampeni Makamba wewe mtoa post?
Mama ndo anatosha peleka huko ujinga wenu.mama piga kazi waun wapo kila kona
Mmmh sio kweli , binadam huw wana ham ya Uongozi lakini hivi mtu anawezaje kuchukua form wakati Mwenyekiti wa sasa anaendelea na Uongozi? sidhani kama kuna mtu au kikundi kitachukua form
Lkn ni haki ya mtu so kosa
WATANZANIA MAKAMBA NI MTANGA MWEZAGU LAKINI MSIZANI NIMTU MWEMA KATIKA UWONGOZI NIHATARI NAKWANINI ANAULILIA URAIS NAKUTUMIA PESA NYIGI ANATAFUTANINI WATANZANIA MKIMCHAGUWA MAKAMBA MEKWISHA
Acha unafiki hakuna mwenye kitambulisho Cha utanga kama pembeni
Hiyo ndiyo kwaheri
Muda wako umefika toka hatujakuchagua
Samia yupo sahihi maana yake 25 naye aombe kura
Mungu nusuru Tanzania bara yetu,wageni wanaimilikiswa ardhi ya mababu zetu,ikiwemo ngorongoro na sehemu nyigine mengi.
Babu yako Ana ekari ngapi ngorongoro tukupiganie zirudi bro
Mama tupo nyuma Yako na Wala usijione upo pekeako hao wataka shibe watatusumbua sana
Sema mama nipo nyuma Yako sio tupo nyuma yako
Salute
Wasiza kashazeeka na siasa zake za zamani ccm inamvuka sasa
Kwa kutaka uraic ni dhambi?
Suala kuomba kugombea ni ni la kanuni si hisani kanuni zifuatwe kama 25 wote tuchukue fumu kama tutavunja kanuni ni hatari kwa siku zijazo
Kama nfani ya chama cha ccm wenyewe mnabana demokrasia je njeya chama itakuwepo?
Mama hao sio watu wazuri.watanganyika ni wajinga.katiba ndio tatizo
Hizo zitakua ndoto kutaka urais sijui nani sijui nape sijui ñani hakuna hivi Rais kwani hamumjui na ataendelea 2025- ataendelea 2030 ni SAMIA S HASSAN MJUE HIVYO
Mimafikiri demokorasia ianze na c c m wawe buru kugombea kama mnavyo hubiria wenzenu tunue mmekomaa kisiasa
Ndio democracy ilovyo waache tuu wagombee
Hao ndio wenye uchu wa madaraka na chuki binafsi na M . Mungu halo nao pamoja nao na ndio maana wanaadhirika , hawajui watokako wala waendako pia hawajui walifanyalo . Wakafie Mbeki na kwa dalili hizi watausikia redioni .
Ninavyoelewa CCM wana utaratibu kama si Sheria ni Kanuni kwa miaka kumi wanachokifanya wanajua wenyewe , jee yanageuka kwa kua yupo huyu Mama ? Mkifanya mtakavyo nahisi tutagawana mbao
Nchi iko mikono mibaya tutauzwa bora kila kiti kiuzwe kuokoa nchi
Nafkiri kuna time mpaka wanyama wengi tuu wameuzwa hapo Tanzania Bara.
Mpina