7. Kuinuka kwa Mpinga Kristo ( The Rise of Antichrist )

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 18 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 287

  • @MercylineBonareri-vw6yu
    @MercylineBonareri-vw6yu 5 หลายเดือนก่อน +2

    Mung u Wetu Wa Utatu( Mungu Baba Mungu Mwana Mungu Roho Mtakatifu )Pekee Aishiaye Juu Mbingu Azidi kuinuliwa Milele na hata Milele Amina

  • @florencemalima9265
    @florencemalima9265 3 ปีที่แล้ว +2

    Ubarikiwe mtumishi, uyu ni Roho wa Baba wa mbinguni anatenda kazi ndani yako sio akili za kibinadamu , mwenye masikio asikie ,,Ameeen

  • @karishs3956
    @karishs3956 2 ปีที่แล้ว +1

    Barikiwa Sana na usikome Elimu hii inatembea sana na kubadilisha pakubwa ndani ya wengi endele zaidi utabarikiwa

  • @benpius3076
    @benpius3076 4 ปีที่แล้ว +2

    Mwinjilisti machota Mungu akuinue zaidi uko vzr

  • @meshacknyandongo577
    @meshacknyandongo577 ปีที่แล้ว +1

    Kwa kusoma na kutangaza hii kweli ninaona ule wakati wa wakristo wa kweli kuitetea Imani kwa damu zao Bwana Wetu Yesu kristo atusimamie tutaisema kweli daima

  • @moseschacha684
    @moseschacha684 3 ปีที่แล้ว +2

    I agree believe and receive in the name of our Lord Jesus Christ ..chacha from KURIA WEST KENYA God bless you man

  • @mathuasmathuas703
    @mathuasmathuas703 5 ปีที่แล้ว +2

    Mwinjilisti machota
    Mungu wa Mbinguni,Mungu Muumbaji Akubariki mnooooo
    Nabarikiwa sana na mahubiri haya

  • @mulimbifataki8627
    @mulimbifataki8627 2 ปีที่แล้ว

    Barikiwa umepiga vita nzuri

  • @frickkwamesa9943
    @frickkwamesa9943 2 ปีที่แล้ว

    Very true servant of God, indeed you preach the reality about Bible, never be discouraged by those who hate the truth,

  • @peterhaule8131
    @peterhaule8131 6 ปีที่แล้ว +11

    A louder amen to that a faithful servant of the living God, i will share this to others

    • @MwinjilistiMachota
      @MwinjilistiMachota  6 ปีที่แล้ว +3

      Amen, barikiwa sana Peter Haule

    • @eddiemsongelanzi5395
      @eddiemsongelanzi5395 5 ปีที่แล้ว +1

      Why can't we wait till the next episode so we can be clear with everything as it were

    • @peternjeru5057
      @peternjeru5057 4 ปีที่แล้ว

      @@MwinjilistiMachota )?

    • @zebrakacole5822
      @zebrakacole5822 ปีที่แล้ว

      ​@@MwinjilistiMachota mtumishi wa Mungu ubarikiwe sana umenisaidiya vyakutosha. Uko msabato ao kkt ?

  • @euniceeunice7680
    @euniceeunice7680 5 ปีที่แล้ว +6

    Nashukuru nimebatizwa kwenye usabato ingawa sasa ivi nipo out of Tanzania nasari j2 lkn nilikua najiuliza nikiludi tz nitasari kanisa gani.?mungu akanitokea kwenye ndoto akanionyesha kitu kuusu sabato nikaamlishwa kanisa la kweli ni sabato namuomba mungu anibariki niludi tz salama na niludi ktk kanisa langu asante mungu kwa kujifungua kwangu maana nilikua najiuliza sana lkn mungu aliambia kupitia ndoto.mungu yu mwema

    • @MwinjilistiMachota
      @MwinjilistiMachota  5 ปีที่แล้ว +1

      Mungu awabariki Sana ndugu

    • @gloriachristian1470
      @gloriachristian1470 3 ปีที่แล้ว +1

      Sasa kwani ukisali sabato ndo tikeeeti ya kwenda mbinguni hata usali wapi mungu atakupa hukumu si kwa kutumia dhehebu lako bali amali yako

  • @selfaakinyi512
    @selfaakinyi512 5 ปีที่แล้ว +1

    Mungu tufunguwe macho ya rohoni. Tuweze kuielewa kitabu chako kitakatifu

  • @nikitumarthinne8909
    @nikitumarthinne8909 6 ปีที่แล้ว +10

    kwa kweli hapo umeweka ukweli wazi MUNGU nimwema kutupa ukweli wote.na ubalikiwe sana.

  • @patrickamos4006
    @patrickamos4006 2 ปีที่แล้ว

    Barikiwa sana mtumishi

  • @veronicabenezeth6602
    @veronicabenezeth6602 3 ปีที่แล้ว

    Umeanza vizuri sana na nimekuelewa sana usipokuwa umemalizia vibaya sana kwa kushindwa kujua ni kwa namna gani YESU ameweza kuitimiliza sabato kwa Sasa pia umeshindwa kusema kweli katika kitabu Cha mwanzo kinachosema kutakuwa na kusanyiko takatifu kwa siku ya Saba na siku ya Kwanza ya juma Bali umedili na rejea za wanahistoria na magazeti tu.

    • @wilsonlugutu5747
      @wilsonlugutu5747 2 ปีที่แล้ว +1

      Hapo biblia haikusema siku ya kwanza ya juma, soma vizuri biblia inasema siku ya kwanza na siku ya saba maana yake siku waliyo ondoka misiri hadi siku ya saba inamaana kama waliondoka ijumaa wahesabu siku saba toka siku hiyo wafanye kusanyiko takatifu, na ninakushauri ndugu ukitaka kujifunza using'ang'anie kile ulicho aminishwa bila kuki hakiki katika biblia.

  • @joniajohn4716
    @joniajohn4716 5 ปีที่แล้ว

    Amen Mtumishi, nataamani kujua kwa nini wanawake wa zamani katika kanisa la sabato walikua hawavai mapambo ...Ubarikiwe sana

  • @leonidashatungimana6850
    @leonidashatungimana6850 3 ปีที่แล้ว

    Mtumishi , Mungu Akubarriki saaana

  • @florahmwikali8837
    @florahmwikali8837 3 ปีที่แล้ว

    ubarikiwe sana mwijilisti machoka kufichua siri mingi sana,,,,,,,,,the spirit of prophecy am florah kenya

  • @johnfaustinechannel746
    @johnfaustinechannel746 5 ปีที่แล้ว +1

    Nbarikiwa sana naunabii endelea hivyo hivyo Mtumishi wa Bwana

  • @peteruhuru2010
    @peteruhuru2010 5 ปีที่แล้ว +7

    Mungu akubariki sanaaa Mtumishi ata Mimi nimejifunza mengi

  • @bonfacemakan7972
    @bonfacemakan7972 ปีที่แล้ว

    God bless you abundantly

  • @rosminnjau603
    @rosminnjau603 5 ปีที่แล้ว +7

    Hii ni Kweli Kweli Kweli mtupu!! Nimekupenda Kaka kwa jinsi ulivyo deep in truth!!

  • @fatmafa1896
    @fatmafa1896 5 ปีที่แล้ว +3

    AMEN MUNGU NI MWEMA KWELI BARIKIWA SANA MTUMISHI WA MUNGU KWA JINA LA YESU KRISTO MAANA YEYE NDIYE NJIA PEKEE YA UZIMA WA MILELE, NASHUKURU SANA KWA KUNIPA UKWELI MAANA NILIKUA SIKUI CHOCHOTE LAKINI LEO NIME CHUA ASANTE MUNGU AGULINDE NA KUKUPA NGUVU NA UZIMA NA PIA AENDELEE KUKUINUA NA AKUTAWALE NA KUONGOSA KATIKA KAZI YAKE UNAYO YIFANYA ILIUENDELEE KUOKOA WATU WAKE MAANA HAWA JUI UKWELI

  • @mathayopapiasi8872
    @mathayopapiasi8872 4 ปีที่แล้ว +1

    Kweli Bwana anavyombo vinavyo m2mikia, nimebarikiwa Sanaa Bwana Yesu akubariki.

  • @lilianluhasi311
    @lilianluhasi311 5 ปีที่แล้ว +5

    Barikiwa sana kwa elimu uliyotoa, ameen

  • @matilderfurahafuraha2488
    @matilderfurahafuraha2488 5 ปีที่แล้ว +1

    Amen Amen Amen ihumbiriwe injili ya yesu

  • @graceteo9388
    @graceteo9388 5 ปีที่แล้ว +4

    ubarikiwe sana Mtumishii endelea kutuelimisha....nimejifunza mengi sana..naomba uendelee kusema nasi wakati mwingine tena..

  • @carolinetalam5832
    @carolinetalam5832 5 ปีที่แล้ว +6

    May God bless you pastor watching from kenya nice preachings

  • @LowaeliDAMALU2015
    @LowaeliDAMALU2015 ปีที่แล้ว

    Amina

  • @upendoedward1651
    @upendoedward1651 5 ปีที่แล้ว +6

    Barikiwa sana mwinjilisiti Machota Mungu akupe uhai mrefu ili upeleke kazi yake mbele. Mwenye masikio amesikia. Mungu apewe sifa.

  • @moseschacha684
    @moseschacha684 3 ปีที่แล้ว +1

    May God enlarge and protect you in Jesus name

  • @mangamanga3124
    @mangamanga3124 5 ปีที่แล้ว +4

    Mtumishi Mungu akubariki na akutumie sawasawa na mapenzi yake...umenena iliyokweli.

  • @timbafabian2266
    @timbafabian2266 3 ปีที่แล้ว

    Hii ndiyo Injili inayoishi🙏 Mungu atubariki na atusaidie sana katika kipindi hiki kigumu kinachotukabili

  • @GodahMartin
    @GodahMartin 5 ปีที่แล้ว +3

    Mwinjilisti asante kwa kutufungua nimeweza kupata uhakika halisi leo kwako ila nilishajifunza mengi kupitia channel inaitwa "bible flock box" hapa hapa youtube na nilikuwa nashauri ni vizuri ungetoa link ya vile vitabu vya historia na kateksim za roma hapo chini ili watu wakajipakulie wenyewe wasije wakapata cha kulalamika na kukosa uhakika wa kuvisoma wao wenyewe! UBARIKIWE SANA BIG BRO!

  • @fridamugure5472
    @fridamugure5472 2 ปีที่แล้ว

    Vip mtumisi

  • @user-wl7dl7ik2j
    @user-wl7dl7ik2j ปีที่แล้ว

    AMEN AMEN

  • @bonifacekinyua1742
    @bonifacekinyua1742 2 ปีที่แล้ว

    Mtumishi ubarikiwe

  • @karishs3956
    @karishs3956 2 ปีที่แล้ว

    Bwana asifiwe mchungaji hivi vitabu vinapatika aje Niko Kenya Nairobi

  • @jameslucas5748
    @jameslucas5748 3 ปีที่แล้ว +1

    Napenda sana mtumishi uko sawa sana, MUNGU akubaliki, lakini je así walokole tunamwabudu Nani??

  • @aloycesteven5998
    @aloycesteven5998 6 ปีที่แล้ว +24

    Nimeipenda hii Mimi ni mzaliwa katika Imani ya kikatoliki lakini nimeuona ukweli muda mrefu na siwezi kufata mambo Yao kamwe

  • @epiphaniemugwaneza1259
    @epiphaniemugwaneza1259 4 ปีที่แล้ว

    Ansante man of God

  • @eliekakurumelchior8535
    @eliekakurumelchior8535 3 ปีที่แล้ว

    Mungu akubariki

  • @simonkamau2250
    @simonkamau2250 4 ปีที่แล้ว

    pope is the Antichrist....kazi nzuri mchungaji....maarifa unayo mchungaji....Mungu aendelee kukutumia na kukulinda siku zote za maisha yako

  • @josephpharles8548
    @josephpharles8548 4 ปีที่แล้ว +1

    amen pastor machota

  • @elijahomwenga4850
    @elijahomwenga4850 5 ปีที่แล้ว +4

    the book of Daniel provides all the insight together with revelation

    • @MwinjilistiMachota
      @MwinjilistiMachota  5 ปีที่แล้ว +1

      Amen

    • @Baloozi123
      @Baloozi123 3 ปีที่แล้ว

      @@MwinjilistiMachotaHujambo katika Kristo?
      Napenda mafundisho Yako naomba email Yako Mtumishi ili ni kueleze nikiwazacho.Amina

    • @Baloozi123
      @Baloozi123 3 ปีที่แล้ว

      john.ogoi@radiovuna.co.ke

    • @MwinjilistiMachota
      @MwinjilistiMachota  3 ปีที่แล้ว

      @@Baloozi123 machota.spe@gmail.com

    • @MwinjilistiMachota
      @MwinjilistiMachota  3 ปีที่แล้ว

      @@Baloozi123 machota.spe@gmail.com

  • @barakaalex3480
    @barakaalex3480 3 ปีที่แล้ว

    Nimekujua leoo mtumishii your very powerful..

  • @yakobomkristo872
    @yakobomkristo872 5 ปีที่แล้ว +2

    Amina, Ubarikiwe Mwinjilist.

  • @juliusmusyoki9118
    @juliusmusyoki9118 4 ปีที่แล้ว +4

    Am a Catholic na nimependa hii mafundisho,

  • @epiphaniemugwaneza1259
    @epiphaniemugwaneza1259 4 ปีที่แล้ว +1

    Thank you Jesus

  • @mazikuraphael5935
    @mazikuraphael5935 5 ปีที่แล้ว +1

    Mungu ni mwema kwetu anatufunulia na kutufafanulia kwa lugha nyepesi sana kama tukishindwa basi ni kwa uzembe wetu wenyewe

  • @yvonneamekakaombeniwimbomu8312
    @yvonneamekakaombeniwimbomu8312 5 ปีที่แล้ว +2

    Amen amen nabalikiwa sana

  • @naninana13346
    @naninana13346 4 ปีที่แล้ว +1

    Mwinjilisti Mashetani, una fundisha ama una hukumu
    Tumacho twauongo, Mungu na akulani

    • @MwinjilistiMachota
      @MwinjilistiMachota  4 ปีที่แล้ว +2

      Luka 6:28
      [28]wabarikieni wale ambao wawalaani ninyi, waombeeni wale ambao wawaonea ninyi.
      Mungu akubariki Sana, nakuombea Bwana akufungue macho yako uone ukweli wa Biblia ambao upo wazi kabisa, akusaidie na akuepushe na laana ya milele kwa kuuacha ukweli wa neno la Mungu

    • @gadimula50gadi20
      @gadimula50gadi20 4 ปีที่แล้ว +1

      Afu acheni kujikuta nyie mpo perfect j.pil Mungu anaabudiwa wakati wote aina jpl wala jmoc

    • @KennedyLyanda-ez1kw
      @KennedyLyanda-ez1kw หลายเดือนก่อน

      ​@@gadimula50gadi20 maamuzi ni mtu hukumu ni ya Mungu keeping the commandments is the whole duty of man

  • @patrickmtui4343
    @patrickmtui4343 3 ปีที่แล้ว

    Mafunzo mazuri, ila kufuru ni pale unasema Yesu ni Mungu. Yesu anasema ajiitae Mungu na alaaniwe duniani mpaka mbinguni

    • @samuelkimaro5138
      @samuelkimaro5138 3 ปีที่แล้ว

      Soma isaya9:6
      For unto us a child is born,unto us a child is given;and the government eill be upon his shoulder.and his name will be called wounderful ,counselor,Might God,Evalasting Father,Prince of Peace.

  • @petrochacha2414
    @petrochacha2414 5 ปีที่แล้ว +3

    amen amen mchungaji

  • @emmanuelsonminja9137
    @emmanuelsonminja9137 5 ปีที่แล้ว

    Amen Pastor

  • @evelyneernest8854
    @evelyneernest8854 5 ปีที่แล้ว +9

    TUNAISHI KATIKA NYAKATI ZA MWISHO
    NYAKATI ZA UFALME HUO WA NNE
    TUWE NA TAHADHARI NA KUOMBA BILA KUCHOKA MAANA HIZI FALME NA HAYA MAANDIKO BAADHI YAMEKWISHA TIMIA
    TUPO NYAKATI ZA MWISHO GUYS BELIEVE ME OR NOT
    NA IKIWEZEKANA THIS GENERATION YA KWETU SAIVI IT THE LAST GENERATION !
    Before the returning of our LORD AND SAVIOR JESUS CHRIST AMEN 🙏🏿 TUSALI JAMANI SOTE MENGI YANATOKEA SIKU HIZI MUNGU ATUFUMBUE MACHO MNIELEWE AMEN 🤗🤗😊😊😊😊😊

    • @stevensosipita2851
      @stevensosipita2851 3 ปีที่แล้ว

      Ubarikiwe

    • @love98910
      @love98910 3 ปีที่แล้ว

      acha kupotea kasome Biblia vizuri siku za mwisho ni kuja kwa Kristo na kumkumboa mwanadamu na ukimwamini unahesabiwa haki bure milele

  • @stanslausmteme8455
    @stanslausmteme8455 5 ปีที่แล้ว +2

    upo vzr mwinjilist

  • @hurumasalyanda6032
    @hurumasalyanda6032 5 ปีที่แล้ว +4

    ameni

  • @hamisdefestor8301
    @hamisdefestor8301 5 ปีที่แล้ว +3

    Ubarikiwe sana tena sana

  • @methodshimalo2681
    @methodshimalo2681 5 ปีที่แล้ว +2

    Bwana akpe maisha marefu na usimame katka kweliyake

  • @zahaljamal4520
    @zahaljamal4520 6 ปีที่แล้ว +4

    Amen

  • @deusmjinja5883
    @deusmjinja5883 5 ปีที่แล้ว +1

    Ubarikiwe

  • @janesuma2193
    @janesuma2193 5 ปีที่แล้ว +3

    Ameeeeen

  • @agnessevarist499
    @agnessevarist499 5 ปีที่แล้ว +3

    Mungu akutiye nguvu

  • @wisdomnafsiinayomjuamungub2649
    @wisdomnafsiinayomjuamungub2649 5 ปีที่แล้ว +2

    Aaaaaaaaajamani......ivi yesu ni mungu, unajitahidi lakin bado hujui yesu siyo mungu weweeeeee......

    • @emmanuelzani502
      @emmanuelzani502 5 ปีที่แล้ว +1

      Wisdom, usiwe mvivu wa kujifunza, soma Biblia yako vizuri na utajua kwamba Yesu ni nani. Maana hilo liko wazi.

    • @paskaljoseph8402
      @paskaljoseph8402 5 ปีที่แล้ว +1

      Wisdom Nafsi inayomjua MUNGUBABA ,,ndg Yesu ni mungu maana aliyomwona yesu amemwona Mungu ,,yoh,14:1_12

    • @sarahthadei5830
      @sarahthadei5830 5 ปีที่แล้ว +1

      Ndugu yangu Yesu ni mungu soma yohana 1:1pia yohana 1:14 utaamin

    • @goldmansun5859
      @goldmansun5859 5 ปีที่แล้ว +1

      jiulize,kwa nini kuna mpinga kristo na cyo mpinga alah,coz Antichrist ni mpinga Mungu na anajifanya Mungu

    • @thetruthtvtriplet4855
      @thetruthtvtriplet4855 5 ปีที่แล้ว

      Hawa akina wisdom ndo wapinga Kristo

  • @camisolaboss8773
    @camisolaboss8773 3 ปีที่แล้ว

    Hata wewe unakufuru mungu yesu sio mungu

  • @efathaministrysingida5273
    @efathaministrysingida5273 5 ปีที่แล้ว +3

    Aaaaaameen.

  • @johanneswambura5070
    @johanneswambura5070 3 ปีที่แล้ว +1

    Soma ebr4:4-10, na KOL 2:16-19.upate ukwel kuhusu sabato au jp

  • @davidmwiniko6941
    @davidmwiniko6941 6 หลายเดือนก่อน

    Kilichonifurahisha ni reference zake za kisomi

  • @kabojamalugu8174
    @kabojamalugu8174 5 ปีที่แล้ว

    Mwenyesikio asikieeeeeee mwenye moyo wajiwe akae kusali lozali

  • @linosjohn9020
    @linosjohn9020 6 ปีที่แล้ว +1

    Amina mtumishi

    • @jacksonbenson395
      @jacksonbenson395 3 ปีที่แล้ว +1

      Be blessed

    • @johanneswambura5070
      @johanneswambura5070 3 ปีที่แล้ว

      Tumsifu Yesu Kristi !! Ndg waamini hasa wakatoriki hawa ndo wapinga kristo ni kw nn kulishmbulia kns la Mungu? Kuhusu siku ya kuabd Jp au Jmos soma Mk 16:9,' Ebr4:4-10,' kol 2:16-19,' Rum14.na ndo sbb wasabato hawasomi haya mandko ktk Bible why?

  • @pierretembele8129
    @pierretembele8129 2 ปีที่แล้ว

    unatisha baba

  • @mshindivictor1690
    @mshindivictor1690 5 ปีที่แล้ว

    Asante

  • @andrewmgonja3893
    @andrewmgonja3893 ปีที่แล้ว

    Mm nilikuli huko katoliki
    Iakin kuisoma na kuijua biblia nilijua baada yalitoka na kusali katika TAG
    Ndo nikaanza kujua biblia kule KWA wakatoliki ufundishaji wa biblia ni mdogo Sana KWA kua kilakitu wannacho fanya hupangwa kutoka juu na nimamlaka ya juu hata nfundishaji was biblia unapangiwa leo usome kifungu flani na ni dunia nzima wanafundisha hicho hicho

  • @brightonwashira5420
    @brightonwashira5420 5 ปีที่แล้ว

    We kwenda iyo maneno yako si mzuri

    • @MwinjilistiMachota
      @MwinjilistiMachota  5 ปีที่แล้ว

      Maneno yangu au ya Biblia ndugu yangu?

    • @ezrommkambati2948
      @ezrommkambati2948 5 ปีที่แล้ว +1

      Mtumishi hawa wasioutaka ukweli usihangaike nao, la msingi ni kusema ukweli basi, anayesadiki na asadiki na wa kukataa na akate tu maana Yohana 4;1-6 imeshamaliza kila kitu

    • @selestinealfonce8466
      @selestinealfonce8466 5 ปีที่แล้ว

      Brighton washira auna akili

    • @ongaobeangalia8608
      @ongaobeangalia8608 5 ปีที่แล้ว

      Uyu ni mwislamu tu

    • @pastorseniordukeoyugi3627
      @pastorseniordukeoyugi3627 3 ปีที่แล้ว

      You are chosen don't listen agents of Satan commenting bad on you

  • @makoyekelvin
    @makoyekelvin 5 ปีที่แล้ว

    Naomba kuuliza... Nini maana ya Vita ya Hermagedon...

    • @MwinjilistiMachota
      @MwinjilistiMachota  5 ปีที่แล้ว

      Angalia katika list ya mahubiri yangu kuna hubiri nimeelezea habari hizo

  • @estonmnthali3719
    @estonmnthali3719 5 ปีที่แล้ว +1

    kweri kabisa point

  • @georgealexiou4851
    @georgealexiou4851 2 ปีที่แล้ว

    jeremiah 23:11-16
    jeremiah 14:14
    Jeremiah 27:15
    Jeremiah 29:9
    Ezekiel 13:6
    Ezekiel 13:7
    Jeremiah 28:15
    Jeremiah 23:21
    Nehemiah 6:10-13
    Jeremiah 29:31
    Ezekiel 22:28.
    Uzuri moja ulisema munyewe umesema kitu kinacho rudiwa kuna sababu . Sababu ni mungu hajawatuma hawa so called prophet's.

  • @frankmkama5169
    @frankmkama5169 4 ปีที่แล้ว

    Ameeen

  • @amimusuleiman8076
    @amimusuleiman8076 ปีที่แล้ว

    Nimekupata Over!

  • @deustutu1162
    @deustutu1162 5 ปีที่แล้ว +14

    mm ni mkatorik ila leo nimeijua kwel nayo kwel itaniweka huru

    • @MwinjilistiMachota
      @MwinjilistiMachota  5 ปีที่แล้ว +1

      Amen katika jina la Yesu uwe huru

    • @leminakasindi9232
      @leminakasindi9232 5 ปีที่แล้ว

      Mapendo kuambudu jumapili wakatolikii hatujabadilisha Bali siku ya juma tunaanza na Mungu ndo maana tunasali jumapli mpendwa nazani kama unaijua sala nasadiki kanuni ya imani na baba yetu zitafakali sala hzo usiaminii kila Roho dini haimupeleki mtu mbinguni je kwann kanisa katoliki linapingwa na mazehebu mengine?

    • @samuelmussa4809
      @samuelmussa4809 5 ปีที่แล้ว

      Mungu akubariki

    • @rosemutinda4671
      @rosemutinda4671 5 ปีที่แล้ว +1

      @@leminakasindi9232 sio madhebehu Inapinga katoriki,Bali Biblia inasema.kwani hauna maskio na macho uone maandiko??Baba mtakatifu ni nani kikatoriki?na Biblia?utafuata biblia ama Pope? Chaguo ni lako utasimama peke yako mbele za Mungu

    • @rosemutinda4671
      @rosemutinda4671 5 ปีที่แล้ว +1

      @@leminakasindi9232 wasema dini haipeleki MTU mahali.kwani katoriki si dini.

  • @gadimula50gadi20
    @gadimula50gadi20 4 ปีที่แล้ว

    Au mjuai yakuwa saivi tupo zama za mfumo kristo?

  • @petercat9686
    @petercat9686 5 ปีที่แล้ว

    Kaka mungu akubariki.

  • @Baloozi123
    @Baloozi123 3 ปีที่แล้ว

    Mafunzo mazuri.
    Je,ninaweza pata email ya Mwinj.Machota?

  • @nicodemusaboki7831
    @nicodemusaboki7831 4 ปีที่แล้ว

    Wonderful

  • @ياسمينالدرويش-خ8د
    @ياسمينالدرويش-خ8د 3 ปีที่แล้ว

    Pastor namuelewa vilivyo..waaah sa itakuaje??🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️

  • @WAKRISTOKANISALAMUNGU
    @WAKRISTOKANISALAMUNGU 5 ปีที่แล้ว

    Hao waali walipinga mafundisho ya roma yapi?.

  • @MjumbeAgano
    @MjumbeAgano หลายเดือนก่อน

    Mnaweka mambo ya UONGO katika roho hiyo hiyo ya mpinga kristo, mpinga kristo ni dini na madhehebu yasiyofikia cheo cha ukamilifu wa kristo, jifunze kwa Mjumbe wa agano duniani uingie kwenye ufalme uepukane na dhiki kuu inayoujilia ulimwengu wote fuatilia you tube MJUMBE AGANO upate semina ya ukamilifu wa kristo.

  • @kombadavid9169
    @kombadavid9169 3 ปีที่แล้ว

    Wewe hujasoma Bibilia Acha kudanganya

    • @stvkun8438
      @stvkun8438 3 ปีที่แล้ว

      Amesoma mamako

  • @chancekambale3498
    @chancekambale3498 3 ปีที่แล้ว

    umeongea point yote kweli kabisa

  • @lugembesimon7035
    @lugembesimon7035 3 ปีที่แล้ว

    Hakuna Cha unabii. Hapo mabo hayo unaliongezea kanisa umaaalufu tu.

  • @love98910
    @love98910 3 ปีที่แล้ว

    hata Kristo haumjui , unafundishaje juu ya mpinga Kristo kasome Biblia yako vizuri umjue kwanza kristo

  • @FaithKifani-yo5hh
    @FaithKifani-yo5hh ปีที่แล้ว

    S

  • @peterkabogo7946
    @peterkabogo7946 5 ปีที่แล้ว +1

    Wewe ni kanisa gani? Mbona kwetu hayo hayapo?

    • @edwinwamungu5987
      @edwinwamungu5987 5 ปีที่แล้ว

      Wachungaji wako wamekupoteza wana hubiri juu ya ubatizo WA watoto na kipaimara kinyume na bibilia soma yeremia 50:5

    • @florahmwikali8837
      @florahmwikali8837 3 ปีที่แล้ว

      you dont read bible read daniel 7 verse 1 kuendelea na revelation

    • @love98910
      @love98910 3 ปีที่แล้ว

      ubatizo wa yesu ni kumwamini tu unapokea Roho yake na anakufanya upya kwa kukuza kwa Mara yapili kwa kumpokea Roho yake kwa Imani katika kazi aliyo fanya yesu ya kufa na kufuka na matokeo yake ni kuondolewa dhambi kwa wote watakao mwamini

  • @nduwimanamoses363
    @nduwimanamoses363 2 ปีที่แล้ว

    Tatizo lako udini ndo unakusumbua Sana

  • @mjumbewaaganoduniani
    @mjumbewaaganoduniani ปีที่แล้ว

    Wapinga KRISTO walikuwepo tangu kipindi cha mitume wa YESU, na ndio waliliua kanisa la kwanza,wewe nawe ni mpinga KRISTO, jiufunze kwa mjumbe wa agano Duniani upate ukweli wa NENO la MUNGU.

  • @josephatlaban1514
    @josephatlaban1514 5 ปีที่แล้ว +7

    umeniweka huru sasa bwana apewe sifa

  • @johanneswambura5070
    @johanneswambura5070 3 ปีที่แล้ว

    Soma:Ebr:4:4-10:siku ya Bwana, KOL2:16-19:Rum14', uone jinsi mtume Paul ameleza mabadiliko ya siku ya sabato na kuwa jp na inadhihlisha ulivy miongn mw manbii wa UONGO! Wainjilist someni haya mafungu na wala msiwadanye waamini.

    • @lusanikaseke4117
      @lusanikaseke4117 3 ปีที่แล้ว

      fatilia alivyo fundisha vizuri uelewe na Mungu akusamehe

  • @patrickmunishi2277
    @patrickmunishi2277 4 ปีที่แล้ว

    Asielewa hata awezi kuelewa tena

  • @eliekakurumelchior8535
    @eliekakurumelchior8535 3 ปีที่แล้ว

    Ninahitaji kujuwa vema siri za unabii ama kujuwa tafsiri unabii