Nashukuru Mungu kwa kunijibu swara langu kupitia vidio hii.Pia Mimi huwa najijza Daundi na Miriam walimsifu Mungu nguo zikaanguka.Huwa najiuliza kwa nini wana SDA huimba mbila kurukaruka..Asante Mungu kwa kunijibu.🙏🙏
Mtumishi Mungu akubariki sana Ila nina ushauri kidogo hio back ground mnayoyatumia kwenye kosoma mafungu na nukuu mbali mbali 🌈 msiitumie maana kwa sasa inatumika vibaya tafuteni nyingine
Baba angu alikua mlokole na mama angu nimezaliwa kwenye ukristo baadae wakaamia sabato nikabatizwa kwenye usabato na mpaka leo wazeee wangu WaPo sabato.but mimi nikawa nasali makanisa tofauti miaka mingi mnoo nimeacha sabato na sasa nipo out of Tanzania so nilikua nimepanga kuokoka nikiludi Tanzania na kumtumikia bwana ila nilikua nawaza mnoo kanisa gani nitasali ilo lilikua linaniumiza na mchumba angu kasema nikiludi lzm nijiunge nae kanisani kwao ata ndoa tutafungia kanisani kwao ila niliwah mgusia kama mimi msabato akasema yy awez usabato ata kidogo inabidi akinioa nimfate yy ambae ni Roma ingawa sikuwah kukubali lkn swali likawa linanisumbua kanisa gani nitasali.siku moja usiku nimelala kwenye ndoto mtoto wangu kapotea nikawa namtafuta mala ghafla nikamkuta na watu weupe kama wazungu ivi wamemshika wale watu wakanikalibisha sana wakasema wao ni wasabato na mimi natakiwa kumtumikia mungu kupitia ili kanisa nikaambiwa niache pombe na sigara ili niwe mkamilifu mala nikaamka .kwaiyo apa nikifika tz Nina kazi kubwa ya kumuelekeza mwezangu kuusu kanisa la kweli .nampenda yesu sana
Amen, ushuhuda una nguvu Mungu akusaidie kusikiliza sauti yake na amsaidie mchumba wako, lakini hata akigoma ni heri kumsikiliza Mungu kuliko mwanadamu
@@MwinjilistiMachota amen mtumishi wa mungu nitafanya kama mungu alivyo niambia barikiwa sana kwa mafundisho yako akika najifunza mengi sana kutoka katika vipindi vyako barikiwa sana
Nashukuru Mungu kwa kunijibu swara langu kupitia vidio hii.Pia Mimi huwa najijza Daundi na Miriam walimsifu Mungu nguo zikaanguka.Huwa najiuliza kwa nini wana SDA huimba mbila kurukaruka..Asante Mungu kwa kunijibu.🙏🙏
BWANA Asifiwe, samahani dada siulizi kwa ubaya,, unaweza kunipa andiko katika Biblia linalosema daudi aliimba Nguo zikaanguka, Barikiwa unapo jivu
Barikiwa sana kaka
Amen Jacline David
Amina.nabarikiwa sana
YESU wangu tusaidie
huyu ndio ukweli wa Biblia upende usipende kwakweli MUNGU akubaliki sana tena sana
Muongo anawadanganya
ubarikiwe naomba Mungu akusimamishe zaid na zaid kutufikia kwa masomo haya...
unatufungua ktk vifungo Vya usingizi mzito vya ujinga..be blessed
Naona unakosoa TU...Bali masahihisho hujatuonyesha
Barikiwa sana
Mtumishi Mungu akubariki sana
Ila nina ushauri kidogo hio back ground mnayoyatumia kwenye kosoma mafungu na nukuu mbali mbali 🌈 msiitumie maana kwa sasa inatumika vibaya tafuteni nyingine
Baba angu alikua mlokole na mama angu nimezaliwa kwenye ukristo baadae wakaamia sabato nikabatizwa kwenye usabato na mpaka leo wazeee wangu WaPo sabato.but mimi nikawa nasali makanisa tofauti miaka mingi mnoo nimeacha sabato na sasa nipo out of Tanzania so nilikua nimepanga kuokoka nikiludi Tanzania na kumtumikia bwana ila nilikua nawaza mnoo kanisa gani nitasali ilo lilikua linaniumiza na mchumba angu kasema nikiludi lzm nijiunge nae kanisani kwao ata ndoa tutafungia kanisani kwao ila niliwah mgusia kama mimi msabato akasema yy awez usabato ata kidogo inabidi akinioa nimfate yy ambae ni Roma ingawa sikuwah kukubali lkn swali likawa linanisumbua kanisa gani nitasali.siku moja usiku nimelala kwenye ndoto mtoto wangu kapotea nikawa namtafuta mala ghafla nikamkuta na watu weupe kama wazungu ivi wamemshika wale watu wakanikalibisha sana wakasema wao ni wasabato na mimi natakiwa kumtumikia mungu kupitia ili kanisa nikaambiwa niache pombe na sigara ili niwe mkamilifu mala nikaamka .kwaiyo apa nikifika tz Nina kazi kubwa ya kumuelekeza mwezangu kuusu kanisa la kweli .nampenda yesu sana
Amen, ushuhuda una nguvu Mungu akusaidie kusikiliza sauti yake na amsaidie mchumba wako, lakini hata akigoma ni heri kumsikiliza Mungu kuliko mwanadamu
@@MwinjilistiMachota amen mtumishi wa mungu nitafanya kama mungu alivyo niambia barikiwa sana kwa mafundisho yako akika najifunza mengi sana kutoka katika vipindi vyako barikiwa sana
Amina
Mtumishi nimekuelewa lakini hujatuonyesha jinsi gani ya kusali...
Huu ni ukweli mtupu kutoka kwa roho wa mungu kupitia kwako mwinjilisti Machota
Amna ukweli apo
Mtumishi kweli mengi tunayaona endelea kutuelimisha ile kweli !
Amen
ev
Barikiwa James Mgonda
36:20
Barikiwa Sana mtu wa MUNGU
36:20
Am really blessed by your teachings, Do you have dvds for this teachings and where can I find find them in Kenya?
amina sana mtumish
amina Sana mtumish
Amen that's true, good preaching
endelea kutuerimisha
Sabato ni siku sio din
Sawa wewe wasema ila waroman wanakiri wao ndio walibadili sabato kutoka jumamos kwnda jumapili
enderea kutuletea ukweli.
Hapo kuna tatizo gani
Naona unakosoa TU...Bali masahihisho hujatuonyesha
Barikiwa sana