Asante tena Mr Gangana. Ningependa mtaalam wetu, Thabit. Aongelee kuhusu Christianity na Islam, hizi dini mbili zinahusika kwa kiasi gani kwenye maendeleo ya nchi zetu za Africa. Maana dini mbili zote hizo, zimechangia kwa kiasi kikubwa kuyaendeleza ma taifa yao. Christianity in the western World, and Islam in the middle east. Maana nchi kama Uhindi na Uchina, wanadini zao na maendeleo yao yanaonekana. Pia dini mbili hizi, ni chanzo kikubwa cha vurugu Africa, kwa nini tunazitumia dini zilizoleta matatizo Africa kwa kuyatatuwa matatizo hayo hayo? Kuna njinsi tutaweza kuenzi dini zetu za kale na ubuntu spirit kwa kuyatatua matatizo? Maana Mungu yeye kila kabila Afrika inamjuwa tangu enzi za mababu zetu.
Taifa lamungu nilipi taifa lisokuwa la mungu Hauna akili mayahudi sio wa islam wala sio wa kristo hao namashetwani wewee wa uwajii wakubwaa mungu awalaaanii
Daaah. Tunapo lazimishwa kuelewa lugha tusiyo ifaham hali yakua mzungumzaji mwenyewe haifaham vyema hapa kuwa makini mno . Mgogoro huu upo kinafiki saana na unafiki huu umepandikizwa na umoja wa mataifa na si vinginevyo. Wanao dai inchi walipewa na mungu bado wanakikwazo kikubwa kutoka utra othodox jew ambao wanaamini baada ya kupinga amri za mungu waliharamishiwa pale. Wanacho tafautiana ndugu kinatokana na gubu si vinginevyo. Swali langu hawa watu wasio na dini wala kuamini vitabu vya kale je wanashawishika vip kiamini mungu aliwapa ardhi hawa mazayuni. Ukilijuwa hili ndio utafaham kuwa huu umoja wa mataifa una mapungufu mengi zaid ya matobo ya chandarua. Roho ya mwanadam inapo halalishiwa mauti kirahisi kuliko roho ya kuku amini wanao ongoza hawajuwi majukum yao. Tatizo ni umoja wa mataifa.
Kuna Jambo hulielewi, ni lini mzungu aliwahi kwenda utumwani, myahudi wa kweli ni mtu mweusi ambaye biblia ilisema nitamtawanya ulimwenguni mwote ili awe mtumwa Ni wapi mzungu aliwahi kua mtumwa, wayahudi hai ni wa mchongo Soma if 2.9 na 3.9 Halafu mzungu eti auwawe ulaya hahahaaaa.
Haipo hata siku moja eti Israel itapigwa na waarabu kwasababu Mungu aliwaahidia atakuwa pamoja nao hadi mwisho wa dunia,Mungu na asidi kuwalinda waisrael siku zote Amina
Uko mbali sana na historia. Tangu lini wayahudi wakawa wazungu. Kama kweli wayahudi walikuwa wazungu, mbona wana wa yakobo wakashindwa kumtambua ndugu yao 'mweupe' yusufu walipokuja misri. Wacha kutuambia hadithi ya kuskia
Wakiristo wanajikomba kwa mayahudi Israel Wakiristo haikuhusuni kabisa na uboya wenu Italy na Vatican ndio yenu na dini yenu yakuungaunga hiyo Wakiristo hehehe
Yesu alikana dini ya kiyahudi na aliwakana ku jiita uzao wa Ibrahim yohana 8:39-58, pia hawa mayahudi wanaojinasibisha na uzao wa yakobo Mungu alikataa akimwambia yesu katika ufunuo wa yohana 2:9; ufunuo3:9
Maandiko yanasema itakieni amani Yerusalem..na wafanikiwe wote waipendao Israel na Yerusalem..Hivo ukristo wa mtu unathamani na mafanikio makubwa kiroho na kimwili ikiwa atatenga muda wake kuiombea mema Israel..maana ndipo kuna chimbuko la wokovu wake...kumbuka Yesu Alisema wokovu watoka kwa Wayahudi(Yesu Kristo)..Na wote tuliookoka tunamwabudu Mungu wa Israel na si vinginevyo!
Upo vizuri, je mbona kama uongozi wa Tz Una akisi unachosema utawala wa strategic thinker syo great thinker kwa kuangalia chanzo. Je huoni unafeli pale bapo unangalia na kuzungumzia Israel na Palestine wakati kwako kunaungua na Tz ni kwetu kinacho Tu ila kiakili na kimawazo no? Je Tz kiakili na kiroho upo kwako? Mmmh tumepigwa upofu?
Wanaotoka mapovu humu wanahisia za kidini tu.....wengi hata hawajui chanzo kwsbb hawana taarifa sahihi...na kama wanataarifa basi wamezipata kwa viongozi wao wakidini😆😆 tujifunze kusikiliza hata yale tusio yapenda alf ndo baade tuamue kufuata au la! Mbn ni jambo rahisi tu
Fuatilia vizuri vita haijaanza leo wala 1948 ni vita ya milele narudia tena ni vita ya milele.. itaisha yesu akirud... Soma biblia upate maarifa kwani history ya mashariki ya Kati ni bc
Mwenye eneo kabisa ni myahudi ,wapalestina walijichomeka baada ya wayahudi kwenda kuzurula sasa waliporudi wale waliokuwa wamejichomeka wakajifanya kuwa wao ndio wenye eneo
Hapo ukisema wamarekani ni wakiristo ni uongo. Njoo marekani ujionee. Hawana dini. Vile vile wayahudi sio wakiristo. Na kwa kweli ukiristo katika bibilia ni jina la kupangwa na wapagani (watu wasiokua na dini). Sasa kwa taarifa yako wamarekani na wayahudi ni wapagani. Wamewakataa manabii na Mungu
Akili hauna na hii ndio shida ya wabongo , Kwanzaa haumfahamu maana ya ukristu na ata pia hamfahamu maana ya dini ni nini wewe ni mkundu na wewe ndiye kafir ambaye una abudu mwezi na jua na kwenda kuliabudu kabur jeusi huko makka pamoja na mafunzo yenu yakikafir kuswali majini ndani misikitini, Mungu hawezi kusikiliza watu wanao shirikiana na mashetani
Al Masjid Al-Aqsa was founded forty (days or months or years) next to the Ka`bah. Historians believe that Prophet Ibrahim, peace and blessings be upon him, was the one who built or ordered Al-Aqsa to be built. It was demolished during the conquests of Jerusalem. `Umar Ibn Al-Khattab, may Allah be pleased with him, is the first one then who restored Al-Aqsa. He recognized the sight but nothing was built. When abdul-Malik Ibn Marwan held the office in the year 66 A.H., he rebuilt Al-Aqsa and the Dome of the Rock. Al-Aqsa is one of the largest and most important mosques in the Muslim world, and the earlier Palestne.
Habari . Niwape hongera kwa uchambuzi wa mchambuzi mahihiri sana . ndugu Thabit, umezungumza kuhusu maendeleo ya Hamas wamepata wapi ? Ukiangalia wamezungukwa na wazayoun pande zote na hawana msaada wowote wa kijeshi kutoka kwa nchi za Kiarabu ?
Huyu muyahudi ataitesa sana dunia,tusione leo kwa palestine,inaonesha hana hata chembe ya imani,dunia ishirikiane imuangamize kabisa,au mwenyezi Mungu amuangamize nchi ya izrael ibiruke chini juu hapo itakuwa salama,vinginevo dunia nzima hakuna amani
Ukweli hupimwa kwa yale yanayojulikana kutokea kwake na kila kilichotokea kipo documented kwenye vitabu, magazeti na makala mbalimbali. Jambo lolote ambalo halikuandikwa na waliokwepo nivigumu kushuhudia ukweli wake
@@salimmapande4668 Mimi sizani Kama kwa kauli hiyooo Uko sahihi. Kwasababu Kuna Mengine yaliyo andikwa na Walio Kuwepo lakini Ni Uongo Unaacheje Kumwamini Mtu anaye udhihilisha Ukweli Mbele ya Umma, Na labda Una mtazamo binafsi na Upande wako
Alikuwa mje wa pili. Sara alimony Ibrahim hajira kijakazi wake ile awe mke wa Ibrahim. So Ibrahim alizaa na mke mdogo at mke wa pili. Kasome vizuri maandiko
Mungu aliambia Israel kuwa nenda vitani na hakikisha unaangamiza kabira hilo na mifugo yao yote uimalize, sasa walipo enda vitani wakawahurumia hawakuuwa kitu chochote, jioni wamerudi Mungu akawauliza mbona mmewaacha na mifugo yao? Wakajibu, Tuliwahurumia, Mungu akawaambia hivi: niliwaambia kuwauwa wote na hamkufanya hivo basi itakuwa kama mwiba ubavuni mwenu maisha yenu yote
Ukiichambua Israel kisiasa huwezi ukapata ukweli wote, kwa sababu Taifa la Israel linaonekana dogo, dhaifu kwa macho lakini kwenye ulimwengu wa roho ni Taifa kubwa tena teule la Mungu wa Ibrahim, Isaka na Yakobo. Mungu ibariki 🇮🇱
Hodari sana kwa kupanga story. Hivo vita vya yuomkipur,kama ingelikuwa sio Marekani kupeleka msaada wa kivita,baada kuona Israel imeelemewa kivita, basi leo tungekuwa na story ingine.
Sivyo hayo ni mawazo yako Israel mpaka leo wamewekewa vikwazo na umoja was mataifa kwa utengenezaji wa silaha Kali za kemikali .. Kumbuka Wayahudi ni Wavumbuzi wa mambo mengi na akili zao zinacheza kuvumbua vitu vipya kila leo na wanajua tecknik kubwa za kivita.. Osama bin Laden ni myahudi wala si Mwarabu tafit vizur usiwahi kubisha ... Ila ameishi Saudi kwa miaka mingi na kusomea din ya kiislamu huko.
@@z.nalnabhani7194 mmh ulizia vizuri au fanya utafiti .. Yule ni myahudi .. Kumbuka wayahudi na waarabu ni watu wanaofanana kasoro desturi za dini ni tofaut.
Vita ya wayahud na waparestina ...M/Mungu ndio jaji wa haki atakae kata hyo kesi kwa haki , mana yeye ndio anayejuwa ya zahiri na yaliyojificha vifuwani mwa watu kwani tulionalo kubwa kwa Mungu ni dogo na mwenye kusubiri yupo pamoja na M/Mungu ..Allahu Akbaru ....
Ktk vita ya siku 6 kati ya Israel na baadhi ya mataifa ya kiarabu, Israel alipewa Askari, pesa, chakula na siraha kutoka hasa Marekan na Wingereza ndo maan walishinda hiyo vita
Ukitaka kufahamu ukweli wa waislam, angalia mpaka leo wameshindwa wayahudi kugeuza msikiti wa al’Aqsa kua kitu chengine. Sababu Quran inasema msikiti ni nyumba ya Mungu. Ukweli ndio huo
Jinsi wazungu walivyo shirikiana kubadilisha taifa LA Israeli halisi kwenye kitabu cha. Zaburi 83:4 YESU alitabiri ukoloni ulio isha kipindi cha Nyerere kwenye kitabu cha luka21:20-24. Ona MUNGU akiongelea juu ya Israeli halisi na feki iliyo jiweka kwa mpango wa umoja wa mataifa Mwaka 1947. Ufunuo 2:9--> Ufunuo 3:7-13 Mtu mweusi ndio myahudi halisi Maombolezo5:10 {maombolezo ya yeremia myahudi} Ayubu 30:30. Wimbouliobora 1:5 {wimbo wa Suleiman myahudi}
Lakini Inshaallah wakati unakuja wayahudi watauwawa wote Hadi wakijificha nyuma ya nyumba, ile nyumba itasema yupo hapa njooni mummalize. Ná uislamu utashinda. Ipo kwenye vitabu
@@bonifaceirungu5594 myahudi amepinga yesu na kutaka kumuua. Mzungu aliwateka na kuwafanya watumwa mababu zako. Lakini bado wawapenda na kuwatetea. Mwafrika amka. Fungua macho. Unakataa uislamu Lakini utajuta ukifa bila kuukubali. Ukiristo Si dini. Hamna ushahidi huo katika vitabu vyote ndugu
Asnte Sana ndugu gangana, naomba bwana thabit atueleze yeye Kama mtaalam "ni athari zipi zinaeweza kuikumba dunia Kama hii migogoro ya mashariki ya Kati ikiendelea kushamiri" je inaweza kuja kuwa ni chanzo moja wapo Cha Vita kuu ya tatu ya dunia?
Sio “wanasema, wanasema..” usieleze hivo. Wayahudi waongo. Mababu zao kina nani? Palestine ndio kwao kwanzia wakati na nabii suleiman (Solomon). Na kabla hapo tayari walikuwepo kwanzia wakati wa nabii Ibrahim. Wayahudi maisha yao walikua wakitawaliwa na hawakua na kwao maalum. Hata misri walikuwepo chini ya utawala wa farao
@ Moza Zagalo; wewe unaongea ulichokaririshwa. Kwani Suleiman alikuwa wa taifa gani kama siyo mhebrania (myahudi)? Wanaoitwa Wapalestina wa sasa ni jamii ya mataifa yaliyokuwa jirani na nchi ya Israel baada ya kuchukuliwa mateka na wakatawanyika duniani hasa ulaya na marekani baada dola yao kuangushwa na hawakuwa na uwezo wa kurejesha taifa lao kwa sababu ya kugawanywa. mpaka walipoamua kulirejesha baada ya kuwa na uwezo.
@@jimmypeter5667 suleiman alikua muislam. Na wote Ibrahim, musa, isa mpaka mtume Muhamad (saw) walitumwa kufundisha uislamu. Ndio maana utapata yesu (isa) alifundisha katika sinagogi. Yani msikiti. Soma bibilia vizuri Wacha kudanganywa na wachungaji. Yesu mwenyewe kasema yeye ni mtume Lakini wachungaji wanakudanganya ni Mungu. Soma vizuri bibilia na sikiza midahalo (debate) uone ukweli
@@jimmypeter5667 yesu kwanza alisema “sikutumwa ila kwa wana wa Israel “. Ukisikia “ila” manake hamna kabila nyengine. Nyie leo mnasema eti alitumwa kwenu. Nani kawaambia? Nyie ni wa’israel? Hamna dini ukiristo. Maana ya kristo ni nabii. Iko wazi katika bibilia. Sasa mtasemaje kristo ni dini? Mlipata wapi? Bibilia yasema wakiristo ni jina lilotolewa na wapagani. Yani maana yake ni washirikina manake kusema Mungu ana mtoto kisha hapo hapo museme huyo mtoto ndie Mungu kisha hapo hapo museme Mungu alivaa ubinadamu 😳 hebu tieni akili ndugu zangu
mayahudi hawakutangaza bali walipelekwa na waingereza iliyokuwa nguvu kuu ya dunia zama zile. Mayahudi walikuwa wakitangatanga bila kuwa na sehemu, walikataliwa uganda , italy, na kwengine.
Namuombea Sana Thabiti siku Moja Mungu amjaliye awe nafasi za juu sana ktk taifa Ili
Elimu nzuri sana. Hongera sana Gangana na Thabit.
This guy is so informed. Kudos!
Thabit! unajua sanaa ,upo vizuri.
Huyu Bwana Thabit amebobea Sana katika medani siasa, uchumi na jamii. Na anachambuwa Kwa undani mnoo kihistoria na kifalsafa.
Asante tena Mr Gangana. Ningependa mtaalam wetu, Thabit. Aongelee kuhusu Christianity na Islam, hizi dini mbili zinahusika kwa kiasi gani kwenye maendeleo ya nchi zetu za Africa. Maana dini mbili zote hizo, zimechangia kwa kiasi kikubwa kuyaendeleza ma taifa yao. Christianity in the western World, and Islam in the middle east. Maana nchi kama Uhindi na Uchina, wanadini zao na maendeleo yao yanaonekana.
Pia dini mbili hizi, ni chanzo kikubwa cha vurugu Africa, kwa nini tunazitumia dini zilizoleta matatizo Africa kwa kuyatatuwa matatizo hayo hayo? Kuna njinsi tutaweza kuenzi dini zetu za kale na ubuntu spirit kwa kuyatatua matatizo? Maana Mungu yeye kila kabila Afrika inamjuwa tangu enzi za mababu zetu.
Hujielewi
Umeonge point sana. Ubarikiwe. Wewe ni kati ya wale watu wachache walio elimika juu ya dini.
@@kaundasutikaunda7769 Asante ndugu, nawe pia ubarikiwe
Uko vizuri sana katika kufikiri!
@@salesiasebastian6670 asante, nawe pia
Duuu ahsante kwa elimu,
Japo maumivu ya moyo bado ninayo kwa kuona watu wakitaabika pia na kufa.
Mimi ndo nimejua leo jamani tupende kusoma historia da kaka ubarikiwe sana huna mbambaa❤❤❤
Maweee tupu..thanks brothers 🤝
Big up sana Thabit we ni kichwa
Ukweli thabit nimekubaliana Sana,pamoja kwamba maelezo yako yabeba mb zetu nyingi lakini yanafundisha
This man is 🔥🔥🔥🔥
This man is a sellout
Taifa la Mungu linapiganiwa na Mungu mwenyewe
Taifa lamungu nilipi taifa lisokuwa la mungu
Hauna akili mayahudi sio wa islam wala sio wa kristo hao namashetwani wewee wa uwajii wakubwaa mungu awalaaanii
mbona maadhimisho ya mashoga hufanyika telaviv kama ni watu wa mungu
@@furahandabadugitse2659 pumbavu heshimu maoni ya mwingine Israel ni taifa la Mungu
Ume eleza vizuri ndugu!
Salute,♥️♥️🙏🙏🙏💯🥂
🏹 naomba hizo vita zifike mwisho
Hazitafika mwisho maana hilo ni kusudi la Yesu kurudi
Kwani Pregnant mother wanateseka pamoja na watoto pia wagonjwa je hilo c Tati I?
Mtaalamu yuko vzr
Daaah. Tunapo lazimishwa kuelewa lugha tusiyo ifaham hali yakua mzungumzaji mwenyewe haifaham vyema hapa kuwa makini mno . Mgogoro huu upo kinafiki saana na unafiki huu umepandikizwa na umoja wa mataifa na si vinginevyo.
Wanao dai inchi walipewa na mungu bado wanakikwazo kikubwa kutoka utra othodox jew ambao wanaamini baada ya kupinga amri za mungu waliharamishiwa pale. Wanacho tafautiana ndugu kinatokana na gubu si vinginevyo.
Swali langu hawa watu wasio na dini wala kuamini vitabu vya kale je wanashawishika vip kiamini mungu aliwapa ardhi hawa mazayuni.
Ukilijuwa hili ndio utafaham kuwa huu umoja wa mataifa una mapungufu mengi zaid ya matobo ya chandarua.
Roho ya mwanadam inapo halalishiwa mauti kirahisi kuliko roho ya kuku amini wanao ongoza hawajuwi majukum yao.
Tatizo ni umoja wa mataifa.
Jamaa ana mawe sana.
Jamaa yulo vzr bro asante sana brooo
Vizuri sana Thabit
Kuna Jambo hulielewi, ni lini mzungu aliwahi kwenda utumwani, myahudi wa kweli ni mtu mweusi ambaye biblia ilisema nitamtawanya ulimwenguni mwote ili awe mtumwa
Ni wapi mzungu aliwahi kua mtumwa, wayahudi hai ni wa mchongo Soma if 2.9 na 3.9
Halafu mzungu eti auwawe ulaya hahahaaaa.
Well organized and with confidence. Good narration mkuu
Safi sana ndugu wachambuzi mmchambua vizuri
hongera yake blother kaichambua mada kiasi kwamba sasa nnafaham chanzo cha vita huko islael
Blother ndio nn
Hii vita ataimaliza Yesu pekee.Huyu ataleta amani
Wewe wacha ushilikina mungu ndie atamaliza matatizo cyo yesu
@@hamdincatalonia3272 mbona yesu ni MUNGU
Hii ni ishara ya kurudi kwa nabii Issa
@@evangelist_gaitani sio kweli
Israer nitaifa la mungu mungu hupo katiyao watashinda tu hata jesh lawatuwachache
Shukrani sana kaka,nakukubali mno 🙏🙏
Hello Chris Masozi
Haipo hata siku moja eti Israel itapigwa na waarabu kwasababu Mungu aliwaahidia atakuwa pamoja nao hadi mwisho wa dunia,Mungu na asidi kuwalinda waisrael siku zote Amina
Acha upoteshaji mkuu.
Anasema kweli
Hapoteshi chochote vyote kweli kabisa
Uko mbali sana na historia. Tangu lini wayahudi wakawa wazungu. Kama kweli wayahudi walikuwa wazungu, mbona wana wa yakobo wakashindwa kumtambua ndugu yao 'mweupe' yusufu walipokuja misri. Wacha kutuambia hadithi ya kuskia
Jamaa mungu akupe maarifa
Someni biblia vizuri
Waislam wagonvi sana yani
ACHENI UONGO, UYAHUDI UPO MBALI SANA NA UKRISTO. YESU NI ADUI WA MAYAHUDI NDIYO MAANA HAWA MKUBALI NA HAWAKUBALI BIBILIA WANAKITABU CHAO
Wakiristo wanajikomba kwa mayahudi Israel Wakiristo haikuhusuni kabisa na uboya wenu Italy na Vatican ndio yenu na dini yenu yakuungaunga hiyo Wakiristo hehehe
@@abrahamhassan351 ujinga ni mzigo,ukristo umetokea kwa wayahudi hakuna kujikomba na Yesu alikuwa myahudi
Nan amekwambia
Kitabu cha imani ya mayahudi kinaitwa "Talmud" na mayahudi hawanaga mpango na ukristo wao wenyewe mayahudi ndio wale waliotaka Ku mwua yesu
Yesu alikana dini ya kiyahudi na aliwakana ku jiita uzao wa Ibrahim yohana 8:39-58, pia hawa mayahudi wanaojinasibisha na uzao wa yakobo Mungu alikataa akimwambia yesu katika ufunuo wa yohana 2:9; ufunuo3:9
Umelezea Vizuri Sana Broo.
Maandiko yanasema itakieni amani Yerusalem..na wafanikiwe wote waipendao Israel na Yerusalem..Hivo ukristo wa mtu unathamani na mafanikio makubwa kiroho na kimwili ikiwa atatenga muda wake kuiombea mema Israel..maana ndipo kuna chimbuko la wokovu wake...kumbuka Yesu Alisema wokovu watoka kwa Wayahudi(Yesu Kristo)..Na wote tuliookoka tunamwabudu Mungu wa Israel na si vinginevyo!
Muongo hakuna mabomu ya dizaini hiyo huwo ni uwongo wa myahudi feki anaotumia kuidanganya Dunia......😊 FREE PALESTINE 🇵🇸.... FROM THE RIVER TO THE SEA
Hata mkiambiwa ukweli huwa hamkubali hebu tuambie wewe ilikuwaje? Hao WAYAHUDI pale ndio kwao
Umesema ni uwongo ukweli ni upi
Upo vizuri, je mbona kama uongozi wa Tz Una akisi unachosema utawala wa strategic thinker syo great thinker kwa kuangalia chanzo. Je huoni unafeli pale bapo unangalia na kuzungumzia Israel na Palestine wakati kwako kunaungua na Tz ni kwetu kinacho Tu ila kiakili na kimawazo no? Je Tz kiakili na kiroho upo kwako? Mmmh tumepigwa upofu?
Naomba tu utaft historia pia aliyoelezea DR Suley n ushauli tu msikiliz n ujifunz kitu
Mpo juu sana juu sana Gangana nilitaka mzungumzie juu ya kitu kinaitwa Freemason je IPO au ni hadithi za kutishana ?
Soon
Wanaotoka mapovu humu wanahisia za kidini tu.....wengi hata hawajui chanzo kwsbb hawana taarifa sahihi...na kama wanataarifa basi wamezipata kwa viongozi wao wakidini😆😆 tujifunze kusikiliza hata yale tusio yapenda alf ndo baade tuamue kufuata au la! Mbn ni jambo rahisi tu
Fuatilia vizuri vita haijaanza leo wala 1948 ni vita ya milele narudia tena ni vita ya milele.. itaisha yesu akirud... Soma biblia upate maarifa kwani history ya mashariki ya Kati ni bc
Mwenye eneo kabisa ni myahudi ,wapalestina walijichomeka baada ya wayahudi kwenda kuzurula sasa waliporudi wale waliokuwa wamejichomeka wakajifanya kuwa wao ndio wenye eneo
Daaaa! Kuna watu wanajua vitu. Kipindi kimenoga Sana, keep on #Ganganainfochannel
Wew muuongo munguu anakuona
Yaan namkubali sana saudia kumchana amasi kuwa walichofanya israel hakikubaliki
Hapo ukisema wamarekani ni wakiristo ni uongo. Njoo marekani ujionee. Hawana dini. Vile vile wayahudi sio wakiristo. Na kwa kweli ukiristo katika bibilia ni jina la kupangwa na wapagani (watu wasiokua na dini). Sasa kwa taarifa yako wamarekani na wayahudi ni wapagani. Wamewakataa manabii na Mungu
Akili hauna na hii ndio shida ya wabongo , Kwanzaa haumfahamu maana ya ukristu na ata pia hamfahamu maana ya dini ni nini wewe ni mkundu na wewe ndiye kafir ambaye una abudu mwezi na jua na kwenda kuliabudu kabur jeusi huko makka pamoja na mafunzo yenu yakikafir kuswali majini ndani misikitini, Mungu hawezi kusikiliza watu wanao shirikiana na mashetani
@@Mpakauseme please Nipe mkundu nakuomba. Nitakupa pesa. Nikutie kende upate raha please tuonane majengo
Naipenda Israel sana
Una imani ‘mpende Israel ubarikiwe’ kwa sababu ni taifa teule?
Naipenda Israel namie
Napenda Tanzania sana
Naipenda israel Mungu ibariki
Wewe mkundu sana unaipenda Israel imekufanyia nini
Yuko vizur
Al Masjid Al-Aqsa was founded forty (days or months or years) next to the Ka`bah. Historians believe that Prophet Ibrahim, peace and blessings be upon him, was the one who built or ordered Al-Aqsa to be built. It was demolished during the conquests of Jerusalem. `Umar Ibn Al-Khattab, may Allah be pleased with him, is the first one then who restored Al-Aqsa. He recognized the sight but nothing was built. When abdul-Malik Ibn Marwan held the office in the year 66 A.H., he rebuilt Al-Aqsa and the Dome of the Rock.
Al-Aqsa is one of the largest and most important mosques in the Muslim world, and the earlier Palestne.
Mungu akusaidie Mr. Gangana upate wireless Microphone Ili iweze kusaidia katika interview ndefu kama hizi.
🙏
Jamaa yuko vzr.huyu jama anatishaa
Habari . Niwape hongera kwa uchambuzi wa mchambuzi mahihiri sana . ndugu Thabit, umezungumza kuhusu maendeleo ya Hamas wamepata wapi ? Ukiangalia wamezungukwa na wazayoun pande zote na hawana msaada wowote wa kijeshi kutoka kwa nchi za Kiarabu ?
Mambo fireee
Kwel
Wote wamekutana vichwa ,anaadithia kama anasoma kwenye kitabu hongera kaka .
Kwani wewe ukisoma,baadae huwezi kuelezea 😀
Huyu muyahudi ataitesa sana dunia,tusione leo kwa palestine,inaonesha hana hata chembe ya imani,dunia ishirikiane imuangamize kabisa,au mwenyezi Mungu amuangamize nchi ya izrael ibiruke chini juu hapo itakuwa salama,vinginevo dunia nzima hakuna amani
Haya mambo watu hawajui wachache sana wanao Jua Huyu Bwana anajua Kweli
Ukweli hupimwa kwa yale yanayojulikana kutokea kwake na kila kilichotokea kipo documented kwenye vitabu, magazeti na makala mbalimbali. Jambo lolote ambalo halikuandikwa na waliokwepo nivigumu kushuhudia ukweli wake
@@salimmapande4668 Mimi sizani Kama kwa kauli hiyooo Uko sahihi. Kwasababu Kuna Mengine yaliyo andikwa na Walio Kuwepo lakini Ni Uongo Unaacheje Kumwamini Mtu anaye udhihilisha Ukweli Mbele ya Umma, Na labda Una mtazamo binafsi na Upande wako
Na Kwanza naona Huyu Ananichanganya Tuuu….. Brooo Halid Mimi Ninashida nawewe Broooo Whatsapp 0766836355
amini kwamba
Naomba nambar ya mtafiri tuwasiliane tuongee kuusu Vita ya Israeli na Palestina Asante
Safi
Dunia ikija kujua Israel ni Taifa la Mungu,alilochagua mwenyewe kwasababu zake mwenyewe ta ngu Ibrahim.Watu someni Maandiko matakatifu mtajua.
Mtalaamu 😎
Mpango wa MUNGU ni hili wote wamwabudu YEYE katika roho na kweli.
Kwa kuwa na viongozi tofauti, ya Mungu makubwa
Waarabu wazurii bwana
Pls elezea miaka ya nyuma zaidi usianzie kurdish today ulaya
Gangana nawapenda bure,,,maana huyu jamaa namfuatilia sana ,,ananipa elimu ya kutosha
a
Hata Mimi nawapenda, ila wengi wamezoea 'UDAKU' si rahisi kuwaelewa.
Chimbuko la Vita Ibrahim kuzaa na msichana wake wa kazi hajir na kumzaa ishmail
Alikuwa mje wa pili. Sara alimony Ibrahim hajira kijakazi wake ile awe mke wa Ibrahim. So Ibrahim alizaa na mke mdogo at mke wa pili. Kasome vizuri maandiko
Mungu aliambia Israel kuwa nenda vitani na hakikisha unaangamiza kabira hilo na mifugo yao yote uimalize, sasa walipo enda vitani wakawahurumia hawakuuwa kitu chochote, jioni wamerudi Mungu akawauliza mbona mmewaacha na mifugo yao? Wakajibu, Tuliwahurumia, Mungu akawaambia hivi: niliwaambia kuwauwa wote na hamkufanya hivo basi itakuwa kama mwiba ubavuni mwenu maisha yenu yote
Ww na hairuhusikii
Ukiichambua Israel kisiasa huwezi ukapata ukweli wote, kwa sababu Taifa la Israel linaonekana dogo, dhaifu kwa macho lakini kwenye ulimwengu wa roho ni Taifa kubwa tena teule la Mungu wa Ibrahim, Isaka na Yakobo. Mungu ibariki 🇮🇱
Na ww nitaifa la shetani sio ???
kweli sasa nimeamini uafrica ni uasirika kweli
Ni kweli lakini wamelaaniwa na Muumba wao na maisha watateseka na Ulimwengu
Hamjui chochote kuhusu myahudi , mnatafuta rangi ya myahudi , wakati myahudi ameenea dunia na ameweka ujasusi kwa serikali zote duniania
Ningeomba mtaalam Thabit aonelee pia kwann Hiltler aliwachukia sana wayahudi? Nini kipo nyuma ya pazia kuhusu hili?
Hii vita imeelezwa hadi kwenye vitabu vya dini wala sio magen kwa sisi Waislam imani yetu hizo ni dalili za kiama
Walio pale si waisrael halisi wale ni khazar from Europe COUNTRIES...taifa la ISRAHELL lilibuniwa 1943 baada ya kikao cha BALFOUR DECLARATION 1917
Naam habibi swadakta
Myahudi alisaidiwa na marekani. Bro ameacha vitu vingi
Hodari sana kwa kupanga story.
Hivo vita vya yuomkipur,kama ingelikuwa sio Marekani kupeleka msaada wa kivita,baada kuona Israel imeelemewa kivita, basi leo tungekuwa na story ingine.
Sivyo hayo ni mawazo yako Israel mpaka leo wamewekewa vikwazo na umoja was mataifa kwa utengenezaji wa silaha Kali za kemikali .. Kumbuka Wayahudi ni Wavumbuzi wa mambo mengi na akili zao zinacheza kuvumbua vitu vipya kila leo na wanajua tecknik kubwa za kivita.. Osama bin Laden ni myahudi wala si Mwarabu tafit vizur usiwahi kubisha ... Ila ameishi Saudi kwa miaka mingi na kusomea din ya kiislamu huko.
@@elijahsolomon7961 Hayo pia ni mawazo yako.
Bora tuyaache mambo ya watu,kama lipo la kuchangia la hapa kwetu basi lete.
Nimejibu kutokana na sentes yako
@@elijahsolomon7961 uongo osama mwarabu
@@z.nalnabhani7194 mmh ulizia vizuri au fanya utafiti .. Yule ni myahudi .. Kumbuka wayahudi na waarabu ni watu wanaofanana kasoro desturi za dini ni tofaut.
Ukovizori ndugu
Bibilia gani inayo sema wayahudi niweusi acha kupotosha soma vizuri bibilia hakuna muyahudi mweusi
Hawawezi kuiondoa Israeli kwenye ramani ya dunia amini usiamini itawapa tabu maana n Mungu kainua,maandiko ayo
Wewe unaesema hivyo wewe Ni mpinga Kristi Soma mathayo 21:43 yeah aliwanyang'anya ufalme
Vita ya wayahud na waparestina ...M/Mungu ndio jaji wa haki atakae kata hyo kesi kwa haki , mana yeye ndio anayejuwa ya zahiri na yaliyojificha vifuwani mwa watu kwani tulionalo kubwa kwa Mungu ni dogo na mwenye kusubiri yupo pamoja na M/Mungu ..Allahu Akbaru ....
Ktk vita ya siku 6 kati ya Israel na baadhi ya mataifa ya kiarabu, Israel alipewa Askari, pesa, chakula na siraha kutoka hasa Marekan na Wingereza ndo maan walishinda hiyo vita
Ukitaka kufahamu ukweli wa waislam, angalia mpaka leo wameshindwa wayahudi kugeuza msikiti wa al’Aqsa kua kitu chengine. Sababu Quran inasema msikiti ni nyumba ya Mungu. Ukweli ndio huo
But soon Ill See. Mwislamu pale siku hizi haingii
Mungu wakipagani ambaye anapiganiwa nakuamrisha watu wawachinje binadamu wasio mwabudu yeye sasa huyo ni Mungu au ni shetani tu
@@Mpakauseme Nina hamu kukufira tuu please Nipe utapata raha za dunia ntakufira upige kelele tuonane temeke
Duh
Yaan hawa waarabu vichwa maji kweli yaan kila vita yanapigwa hafu hayakomi
Jinsi wazungu walivyo shirikiana kubadilisha taifa LA Israeli halisi kwenye kitabu cha.
Zaburi 83:4
YESU alitabiri ukoloni ulio isha kipindi cha Nyerere kwenye kitabu cha luka21:20-24.
Ona MUNGU akiongelea juu ya Israeli halisi na feki iliyo jiweka kwa mpango wa umoja wa mataifa Mwaka 1947.
Ufunuo 2:9-->
Ufunuo 3:7-13
Mtu mweusi ndio myahudi halisi
Maombolezo5:10 {maombolezo ya yeremia myahudi}
Ayubu 30:30.
Wimbouliobora 1:5 {wimbo wa Suleiman myahudi}
Sio Marekani wameshindwa, Bali Marekani Pamoja na Europe wanamuunga mkono Muisraeli
Hata kama kaka ila Waisrael wanajua tecknick za kivita..
Wamarekani & Europeans matajiri wakubwa asilimia kubwa wana damu ya Israel, kwa hiyo watake wasitake lazima wawasupport ni kama ndugu
Gangana, ukitaka watu wakufuatilie sana fanya Interview nyingi na huyu jamaa THABITI.
Muyahudi anasaidiwa na marekani na France wale wamepandikizwa tu kutoka Ukraine na Poland
Mgogoro Kati ya Israel & Palestine kama hujaigusa baytul muqadas bado hujatatua tatizo
Lakini Inshaallah wakati unakuja wayahudi watauwawa wote Hadi wakijificha nyuma ya nyumba, ile nyumba itasema yupo hapa njooni mummalize. Ná uislamu utashinda. Ipo kwenye vitabu
Sahau
Ndipo Yesu atateremka kukomesha hilo na mwisho wa Almagedon war
Hapo ndipo mtatangaza waziwazi kuwa uislamu si dini ya Mungu bali ni dini ya kigaidi iliyoudwa dhidi ya wayahudi
@@edsonndomba1049 Sasa unakubali yesu hakufa 😂 mwafrika wewe mzungu alivokutesa na bado wampenda. Anakupeleka pabaya 🤪🤪🤪
@@bonifaceirungu5594 myahudi amepinga yesu na kutaka kumuua. Mzungu aliwateka na kuwafanya watumwa mababu zako. Lakini bado wawapenda na kuwatetea. Mwafrika amka. Fungua macho. Unakataa uislamu Lakini utajuta ukifa bila kuukubali. Ukiristo Si dini. Hamna ushahidi huo katika vitabu vyote ndugu
SASA ITAKUWAJE HUO MSIKITI UTAVUNJWA AU INAKUWAJE MAANA KAMA WAMEUTEKA INAKUWAJE
Mbona wanakutemeeni mate
Asnte Sana ndugu gangana, naomba bwana thabit atueleze yeye Kama mtaalam "ni athari zipi zinaeweza kuikumba dunia Kama hii migogoro ya mashariki ya Kati ikiendelea kushamiri" je inaweza kuja kuwa ni chanzo moja wapo Cha Vita kuu ya tatu ya dunia?
Mpaka kesho hana nguvu hivi ss anasaidiwa
Mungu watetee taifa lako Israel, maana ulimwambia Ibrahimu,Isaka na Yakob
Walimtusi na kumkejeli yesu halafu sio wakristo
Walau elimu kidogo hakika sijapoteza mda kabisa kukusikiliza ganganas
N wengin jmn mjarb kuskiliz watu mbal mbl msisikilz upand mmoj taften hoj mbl mbl af mchanganuw nazan mtanielew
Jamani jaribuni kuangalia sehemu ilio mwagaka damu ya kif7 n8ngumu kisaha7
naamuwa ku sbsb mnatowa habari vizurii
Sio “wanasema, wanasema..” usieleze hivo. Wayahudi waongo. Mababu zao kina nani? Palestine ndio kwao kwanzia wakati na nabii suleiman (Solomon). Na kabla hapo tayari walikuwepo kwanzia wakati wa nabii Ibrahim. Wayahudi maisha yao walikua wakitawaliwa na hawakua na kwao maalum. Hata misri walikuwepo chini ya utawala wa farao
@ Moza Zagalo; wewe unaongea ulichokaririshwa. Kwani Suleiman alikuwa wa taifa gani kama siyo mhebrania (myahudi)? Wanaoitwa Wapalestina wa sasa ni jamii ya mataifa yaliyokuwa jirani na nchi ya Israel baada ya kuchukuliwa mateka na wakatawanyika duniani hasa ulaya na marekani baada dola yao kuangushwa na hawakuwa na uwezo wa kurejesha taifa lao kwa sababu ya kugawanywa. mpaka walipoamua kulirejesha baada ya kuwa na uwezo.
@@jimmypeter5667 suleiman alikua muislam. Na wote Ibrahim, musa, isa mpaka mtume Muhamad (saw) walitumwa kufundisha uislamu. Ndio maana utapata yesu (isa) alifundisha katika sinagogi. Yani msikiti. Soma bibilia vizuri Wacha kudanganywa na wachungaji. Yesu mwenyewe kasema yeye ni mtume Lakini wachungaji wanakudanganya ni Mungu. Soma vizuri bibilia na sikiza midahalo (debate) uone ukweli
@@jimmypeter5667 yesu kwanza alisema “sikutumwa ila kwa wana wa Israel “. Ukisikia “ila” manake hamna kabila nyengine. Nyie leo mnasema eti alitumwa kwenu. Nani kawaambia? Nyie ni wa’israel? Hamna dini ukiristo. Maana ya kristo ni nabii. Iko wazi katika bibilia. Sasa mtasemaje kristo ni dini? Mlipata wapi? Bibilia yasema wakiristo ni jina lilotolewa na wapagani. Yani maana yake ni washirikina manake kusema Mungu ana mtoto kisha hapo hapo museme huyo mtoto ndie Mungu kisha hapo hapo museme Mungu alivaa ubinadamu 😳 hebu tieni akili ndugu zangu
Mbona hueleweki hapo ni kwao au si kwao?
mayahudi hawakutangaza bali walipelekwa na waingereza iliyokuwa nguvu kuu ya dunia zama zile. Mayahudi walikuwa wakitangatanga bila kuwa na sehemu, walikataliwa uganda , italy, na kwengine.
Hkn anayemuweza muisrael, amn usiamn
Huyo mu Israel kwani ataishi milele jamaa yako firauni yuko wapi sahiv alifikia hadi kujiita mungu yuko wap firaun
Yy ninan haswaaa yupo Allah
Hao wayahudi walipigwa sana na hitla ujerumani wamekimbia vita ndipo wakafikia Palestina wakupora ardhi ya watu ndipo wakaanzisha makaazi
Rudia kusikila vizuri au ndui imekutia uwendawazimu maanake wabongo wengi vichwa vibovu
Hyuy jamaa anajua Sana historia za kimataifa