Duet ya Abubakari Hamza na Neema Swai
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 19 ธ.ค. 2020
- Tazama Full Episodes mpya za BSS SEASON 11 kwa wakati kwenye ST Swahili kila Jumapili saa 3 usiku, kupitia dikoda ya Startimes au App ya Startimes ON
:Vionjo vipya (BSS EXTRA) ni kila jumatatu, jumatano na Ijumaa saa 2:30 usiku ndani ya StarTimes Swahili Channel
Bongo Star Search
Follow Our Pages
Facebook: / bongostarsearch
Twitter: / bongostarsearch
Instagram: / bongostarsearch
SnapChat: BongoStarSearch
TikTok: bongostarsearch
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz - บันเทิง
Kama na wewe umegundua jamaa ndio mshindi wa Tuzo gonga like twende sawa
Duuuu hatal sanaa
Bruce🎻🎻🎻
Jaman Kila siku naangalia hii clip wanaimba dada anajua kuimba kwa feeling sijawai kucomment ila imenibidi tu daah 💗💗
🔥🔥
M.
Nikusameh kwa lip
Huo wimbo wa kwanza ni WA nani....naomba ni download
@@zamzamalima5354 barnaba
Kaka ni noma💙💙💙
Dada pigo za ruby kdg💛💛💛
Edit : hiyo wooow ya ommy😅😅👏👏
Ila hawa watu wasipopewa tuzo bas bss siangalii tena Like twende sawa
Mme Tisha Sana barnaba njoo uone huku Mambo ni 🔥
Neema unaumwa mafua mpendwa saut yako leo sio hio kbs..unajua mama🔥🔥
jamani LIKE za wapiga Drums
For real in this season the winer will from TEAM CBO😉
Wafundi wa sauti bongo star 👇👇
th-cam.com/video/xRuuX0u64Cc/w-d-xo.html
Hao jamaaa wametisha sana aisee wametendea haki huu wimbo na zaidi na zaidi🔥🔥🔥🔥🙏🙏🙏🙏🙏🎆😘Love this song
Aise ame mlamba Kofi kama umelisikia like tuwe wote
Jamaaa hakuwa anategemea kabisa😂😂😂
Bss ya huu mwaka iko levels tofauti saana
Huyu mdada wamrudishe kama walivyo mrudisha hamisi.. anajua sanaaa
Kwani ametolewaaaaa????????
Pendo Ndossy ndio
Hawa Ni hatari n'a nusu wameimba vizuri n'a Pia wamejua kumiliki stage poa snaaaaaaaaa 🔥🔥🔥🔥🔥
Neeemaaa....Neeeeemaaaa Neeeeemaaa mdogo angu ... umeuaaaaaaaaa😋😍😍
Sanaaaaa
Nzur mno nic performance neema u have unique voice
Kuna. KAZI kumpata mshindi mwaka huu💥💥💥💥
Sana
Yaani ngumu na nusu
Napenda Huyu kijanaaa🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Hata mm nampenda cjui kaoa jaman coz namfeel kwel
Daaah wapiga magiter wamewatendea haki kwa kweli wameua kizazi zaidi🔥🔥🔥🔥
Vijana wametisha100% majaji angalieni
Wa Congo tunapenda Bss... watching from USA 🇺🇸
#randykinamber
I'm watching from Kuwait the show was Soo wow.nimeipenda mno
Hi
@@abedkarume9088 indeed yes 😂
Hi @@janekemunto2347 how are you doing
@@janekemunto2347 hi too I hope you are very fine
Maswai nakuona nakuona, kaka zako tupo hapa mashati na useri tunafarijika sana kwakutuwakilisha. Tunagonga cheers na chupa zetu za banana kiroho safi. Aika Vavae.
that lady!!!! anafanya nifeel goosebumps
Huyu Kaka yupo good
One of the best performance ever seen
kuna watu wako serious na maisha
Ahahhaha 😂😂🤣🆘️
Kwel kaka wako serious knoma na hela hawa nqbal
🤣🤣🤣
😄😄😄
Tunasaka pesa yan😄
Safii Sana mashaallah oman 001
Chemistry is 🔥 ♥️❤️
Much respect they doing well number one couple I like that
This girl is something else
Good chemistry
And physics also 🤣🤣🤣
Beautiful performance. Wow!!!
Mpiga bass kauaaa likes nyingii kwakee
Wow! I love this performance
Jamaa anajua sanaaaaa
I love this duet
team bella ni 🔥🔥🔥
Issa ndo alikuwa moto
This duet is my favorite,,,eeish🔥
Hiyo ni kavukavu daaah so amaizing sana
Wow wow the Best in all....BELLA tu es le grand Arangeur!!!
Outstanding 🔥🔥🔥🔥🔥
They nailed it waow
Moree tarented this people
Najivunia Sana tz nch kubwa vipaj vikuu japo mavaz haya sanifu tamaduni zetu ila elimu tutatoa nakufika
Daah nimeangalia zaidi ya mara nne this guys u kill me
Waaoo nice kbx nimependa hy 👍👍
Naipenda sana hii aisee walijua kuinogesha sichokagii kuingalia
Mwaka huu n on fire asee Mimi mwenyewe sijui atashinda nani
Nakubal hiyo kaz 👊👊👊👊👊
Waaaaaau so touching so lovely anavyio imba nahisia huyo kaka
Daah Dada anasaut nzr huyuu
sikiza sasa mafundi wa music na sauti 👉👉 th-cam.com/video/xRuuX0u64Cc/w-d-xo.html
Sauti Nzuri Sana na anajituma sema ndo kametoka sasa jamani.
Aki ya mungu wanajuwa balaaa
Abubakar ni 🔥🔥🔥
Hako kakofiiii kanalia vzuri 😂😂😂
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥from Kenya hii imeweza sana
Aboubakar anajua sanaa
Mmmh mwaka huu balaa Kuna watu wanavipaji jaman Yan Hadi unaenjoy ....this is music
Just wow 🔥🔥🔥🙌🏾
Wew team christian Bella Oyeee ❤️❤️❤️❤️❤️🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Damm thats beautifully done ✅
I love this song ❣️ ❣️ ❣️
Haya majaji mnaoshindia kuponda pondeni sasa .. Dadeckh... You got dat yesssss..
Kwenye group hili hawa wakalii wapite wote
Huyu mtoto ni Chakula ya WAKUBWA ndomana tunamuacha kidogo but anaimba vizuri
Na huo ndo ukweli c unaona kifua kimeongezeka kidogo😉😉
Perfect combination
Wameuwa show! 🙏🙏🙏🔥🔥🔥🇰🇪✅
Uneza sema nyimbo niyao 🎉🎊🎊🎊🎊🎊
Jaman jamaniiiiiiiiiiii💯
Wameweza sana kwa kweli.
Team christian Bella washindi
noma sana dada and bro
Huyu kaka anakipaji salute
Such amazing voice 💞💞💞
Jaman huyu kaka noma
Neema swai🤩😍😍 rwanda
Waooow mmeua wanang 😍
best duet soo far
Dahhh mpka rahaaaaa😘😘
Mafundi wa musiki ndio hawa sasa
👇👇👇👇
th-cam.com/video/xRuuX0u64Cc/w-d-xo.html
Hatari sana season 11
Mko vzr ,sauti tamu
wooow wooow woooow!!khaaa they are good aisee
Uuuuwiiiii jamen hongereni
Fantastic amaizing
Wasanii hawa🙏🙏🙏 kila kitu perfect duh
Wapo vizuri
Jamani hyumdada ni🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 anajuwaaa
Afu huyu dada mbona kama ana kitu Maalum ni vile wengi hamuoni
Ata mi nimeona..she's the best
Yes anakitu special ndan yake
Sukumaa ndani
Huyo Dada noma sana
😁😁😁😁
Chura
Awweee team Bella wote wabaki jamani
Hongera sana 🙌🙌
Uko juu sana
Mbn nzurii sana
Jamani mwiteni Barnabas aje watu wanaua huku 😂😂😂😂
weeh jamaa unaona kama mimi
Sauti kali mafundi👇👇👇
th-cam.com/video/xRuuX0u64Cc/w-d-xo.html
😂😂😂
😂😂😂😂
Kinomanoma
Nimeipendaje
They all the best 👍 ❤
Kazeni buti mmefanya vizuri sana ,
Wooow ni nomaaa 💥
It's fantastic show
Big fan of you two❤❤❤
Very sensitive i like it
Uyu msela vox zake ziko na mzuka...uyu dada pia yuko sawa...
Band pia iko vizuri
Iyo ngoma naipenda kwakwel 🔥🔥🔥
Best show ever
wow....so lovely 😘😘😘