Duet Ya Margaritha Patrick Na Yusuph Nizar
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 26 ธ.ค. 2020
- Tazama Full Episodes mpya za BSS SEASON 11 kwa wakati kwenye ST Swahili kila Jumapili saa 3 usiku, kupitia dikoda ya Startimes au App ya Startimes ON
:Vionjo vipya (BSS EXTRA) ni kila jumatatu, jumatano na Ijumaa saa 2:30 usiku ndani ya StarTimes Swahili Channel
Bongo Star Search
Follow Our Pages
Facebook: / bongostarsearch
Twitter: / bongostarsearch
Instagram: / bongostarsearch
SnapChat: BongoStarSearch
TikTok: bongostarsearch
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz - เพลง
Kama unamkubaliii rapa we2 gonga like
Ok
Nakbal rapa
Sana tu 🤗
Appreciate YUZZO
😍😍
Alooh! Wanaomkubali huyu fundi gonga like hapo💪💪🇹🇿
Kama unajua huyu ndiye mshindi wa bss gonga like tumsapoti 👌👌😻😻😊
Daaaah this is one of my favorite electric performance I ever seen,unajua hii kitu wamefanya mpaka zaidi ya Coke studio🔥🔥👊👊
Kabla ya kifo Cha mende ujue kuna mbuz kagoma kwendaaa🤣🤣🤣🤣mwambaaaaa🔥🔥🔥@yusuph nizar daaa🙌🙌🙌
🤣🤣🤣🤣
Ni Hatari
gonga like kama unaamini Yusuph ndie mshindi wa BSS2020
Oyaa wanajuaa saana...Kali kuliko ata official music... Wanae niunga mkonoo..Leo ndo nimejua hi I ngoma kallii..master
Sikiza hawa mafundi
👇👇👇👇👇
th-cam.com/video/xRuuX0u64Cc/w-d-xo.html
Nam ndo knkadanload baaada ya hapa
@@priscamlyuka5531 yaapp ipoo
@@priscamlyuka5531rrrrrrrr rrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr
Team master ni fire moto 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🥰😍🇰🇪
Yusuf na magaritha nawakubali Sana na mungu awe pamoja nanyi,like zangu zote ziende kwenu,by lemali nnko from arusha
Aseee wameimba vizuri na ngoma imesikika kuliko hata song Original waloimba Nandy na Nenga
Kama unaamini hilo dondosha comment lako hapa twende sawa
Wajua hawa walimu wa music?
👇👇👇👇
th-cam.com/video/xRuuX0u64Cc/w-d-xo.html
Kweli aise
@@calvinkapinga8341 amini
Hiyo bangi unayovuta hebu iache mara moja
Rap si kitu Cha mchezo kitendo Cha rapper huyo yusuph nizar a.k.a yuzzo mwamba kuwashawish majudge na sio majudge hata me na ww katushawish an kitu kikubwa jamaa anaweza saana 🔥🔥🔥🔥
Mkali sanaa 👊🏻👊🏻👊🏻
Jamaa anatisha
So wakawaida aisee
Sanaaaa
Jamaa ingekuwa maamuz yang bas ningempatiaaa ushind tu mapema aseee maana anajua had anakeraaaa namaneno yake duuu😂🔥🔥🔥🔥🔥
Huyo jamaa anarap had nashindwa kutype. Anajua
Ume sikiza hii?
👇👇👇👇
th-cam.com/video/xRuuX0u64Cc/w-d-xo.html
Jamani na mimi nipeni likes zenu wote mnao mkubali huyo kaka 🥰
Estre nimekupenda
Sikiza hizi sauti zama fundi
👇👇👇👇
th-cam.com/video/xRuuX0u64Cc/w-d-xo.html
Kaka anajua jmn
Mbona nimewapenda bule uyo dada namjuwa namuaminia uyo kaka naye katisha, hakafu hendsame
Kumbe nyimbo ya bilinas na nandy nzur Lakin nimeiona nzur walivyo imba hawa
Yusuf umetisha bro❤️💯💯
Safiiii sanaa Yusuph aka Yuzzo Mwamba wewe kwangu ndie mshindi mpk sasa 👏👏👏🙌🙌🙌
Yec💥
Yeeees
Yuzzo mwamba the best rapper on the shaw ever
Tunaosema hy ndo mshindi wetu 2021 tujuane kwenye like👇👇
Yaan nairudia kil wkt
Kam unamkubali yusuph nizar bas usipite bila kugonga like
Huyu jamaa yuko vizuri sanaaa🔥🔥🔥
Kaimba kumshinda bilinasi nikweri like hapa
Yaan hii show jmn naipenda sana bahati mbaya kwetu hakuna hata TV jamn
Hawa wa2 nawapenda hatare nimekuja kurudia hii k2 baada ya kuona mpo kwny 4 bora wanao amin yusuph na margarita wanajua comment plz
Watching from Ukraine nice boy flow good...this show is hot...
Jomoni nampigiaje kura Yusuph mkaka ni mkaliiii jamaniii 💗💗💗
Download app ya StarTimes then ukifungua utaona sehemu imeandikwa kura za jumla bonyeza hapo itakupeleka moja kwa mpk washiriki.
Cha kufanya nenda mpk group D utamuona kwa picha na jina la Yusuph Nizar then gusa neno kura na utaweza kumpigia kura Tano kwa kila siku 🙏🙏🙏
@@princeibra2042 ngoja na mm niende chap
@@beautyibrahim8428 ❤️❤️
Noma aisee...kura zitaamua maana daa wote mafundi
This duet was lit.. Walikiamsha sanaaaaa...
yani uyo kaka more 🔥🔥🔥🔥🔥penda yeye sana
Yussufa mkali saaana waku raper 🔥🔥🔥
Duet kali🔥🔥🔥
Oyaa weee billnenga akasome mzee huyu jamaa anachana mpaka mistari inachanika
Noma sanaaa,jamaaa amechana mixtari kuntu sanaaaaaaaaaaaaa
Sijawahi comment kwa kweli @masterJ bigup sanaa
Nyie ni 🔥🔥 nyie ndo wasanii wakubwa mjao TZ
My Favorite Performance from Yusuph Nizar 🎉
Daaaaaa yuzoo n fireeeee
Huyu kaka yusuph Ni moto wa kuotea mbali hongera sana kaka mshindi wa bss
Yuzooooo ur the best...u know...u do en u feel the music
These guy's are lit 🔥🔥 what???
Hawa watu wameua jana Yan kl mda narudia daah kwel master j alkuwa n vipaji tupu nngetmn wote wawe top ten il mshnd n mmoja tu , ila kiufup show ya yn ndo imefunika saana hongeraaaa. Master
Anh bela kachukua waimb kwaya kaacha vkpaji
This year's bss is 🔥🔥🔥
Waoooo wanaimba kuriko wenye wimbo
And Yusuf won...congratulations Yusuf I loved you right from the start may you shine
My Gee yuzzo mwamba✊
They nailed it.......
Fire 🔥
Niatari hiyo duet more than other
I feel for the judges coz.. The game is so tough.. I pray for them to make the right decision.. Coz.. It is very hard to decide for the best artist.. Coz.. Everyone is talented
That's right
Kabisaa
Huyu magaritha ako na kipaji tangu advance alkw anaimba kwaya ya ukwata go go mommy 😍😍😍😍 u killed it wallah🔥🔥🔥
They killed this show
Yaani brother Yuso Anajua mpaka anakera
Sana
Yusuph nizar anajua sana hd majudge wanatambua hilo moto wakuotea mbali sana wew
Mi mumeo kama umeme, nikiondoka nikirudi hakikisha unasema uooo😂
Huoooo
😂
🤣🤣🤣
Kabxa
Kabxa
Huyu rapa ni genius ase🔥🔥
All the way from 254 kali sana
Dah..... Grt more good performance...... Excellent guys keep it up
Namkubali uyo kaka mungu akupe ushindi
We Mdada umefunika balaa Ongeza bidii Mbn Upo ✔️
Waoooh so funny guy's😘😘😘😘🔥🔥🔥
Daaaah Kali nimewaelewa sanaaaaa duet yao
Sina kitu yakulongea mumeuwaaa🔥🔥🔥🔥🔥
Sasa hii ndoile inayotakiwaga 💟💟💟
Dahh!! Huyu jamaa noma sana
Wa Congo tunapenda Bss... watching from USA 🇺🇸
#randykinamber
Yusuph🔥🔥
The rap was dope 👌
the first verse was his own writings as well, wow!
Sanaa
Hawa ndio walimu wao...
👇👇👇👇
th-cam.com/video/xRuuX0u64Cc/w-d-xo.html
Talent of magnitude he is on high level i believe he is a waiting star soon to flourish.
Idriss unanifurahisha sanaa wallah😂😂😂
kijana wakiume unajua sana weweeeeeee
I proudly of that.....wako juu sana Masha Allah.....Allah bless her....nimependa sana
Corrabo nzuri mdada anakiuno feni had raha😂
Moto🔥🔥🔥🔥🔥
Waoooooo dah jamaa anaeza
Idris na Ommy wanaichangamsha sana bss
Kumbe uliona broo nacheka mpaka naskia kulia
@@lailatuyusuf9131 yani saivi nikiwa stressed nskuja kuangalia bss😂
Wallay inachangamsha sanaaaa
They kill it ,
This year is 🔥🔥🔥🔥
#randykinamber bss 2020 ni damn 🔥🥰😂
Whaaaaw they killed it
Hatariiii kubwaaaa na Nusu🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
From 254 ...this show is damn lit....
Huyo brother duh next level anajua sana
Kama kuna mweny kumbukumbu kama mm master J alisema kuvaa kitambaa ni wakina mama yeye kavaa nn😂😂
Ndo hapo sasa me nakumbuka
@@marthadaudi3340 😂😂😂😂
Utajuaje kama ni mama
@@matridalule6477 kumbee😂😂
😂😂
These guys are on🔥🔥🔥much💕
Wallah wanajuaa khaaa. 😘😘😘😘😘😘😍😍😍
Naqubal sanaaaa keep it up keep shining
They're amazing
MNMA we support you yusuph
Waooo!!!
Patrick na yusuph nyinyi mue washindi 2020
Big up, CONGRATULATIONS 👏👏
Wametisha sanaa
Mnajua mpaka mnakera bigup yuzoooooo
Yusuph katisha iyo duet mmeuwa sanaaa
Wameimba vizuri🔥🔥
Thiss guy he is so tallented
Wameuaaaaaa yan ni fireeee
Wow kipaji wametisha htr yan ni 🔥🔥🔥🔥🔥
Fire inaamsha🔥🔥🔥
yaan cjawahi comment humu ila hii clip kila cku lazima niangalie daah mkaka anajua kurap
Wow!! Best i had never see!!!😍😍
Wow I love the performance
The rapper killed it
Kali san🔥🔥🔥🔥❣️
amaizing ❤❤❤
to be honesty mwaka huu kuna vipaji sana daaah🙌🙌🙌
Oooyoooooo🔥🔥🔥🔥🔥🔥