#Bright Ft. #KhadijaKopa & #Jumakakere & #Karen - Ndoa Audio Produced By Mocco Genius Video Production By Mr Ligo Follow Us / brightmusictz / brightmusictz
Daaaaaaaaahhh ngoma kali sana bright ma mzee wameua kwani bright anakwama wap ngoma kali sana hii mpaka nimeidownload et Kama unaokubali gonga like twend sawa
Daah Bonge la ngoma! Maana nilichoka na kujidhuru na kufanya mazoezi, mara chuchumaa, timua vimbi nk. Ujumbe kwenye hii ngoma ni konk. Kama nawaona wale wanaojuana Leo na wanataka kuvuana Nguo!!
Mbona uyu mzee anazeeka na utamu wake kama na wewe umeligundua ilo weka like twende sawa juma kakere upo vizuri mzee 1/4/2020 corona janga la dunia kikubwa dua
Ngoma nimekaa nairudiya mara zote yani haiishi kiwi istosti imeimba wa sanii wangu niwapendao Kareen na bi Hadidja kopa hongera sana imetuliya ngoma yenu
Hongera sana Bright x Caren kwanza kwa ujumbe mzuri na pia kuwashirikisha hawa maLegend humu. Hii ni kazi tofauti na tamu mno na ndio muziki utakaoishi. Safi sana tunahitaji sana content za kipekee zinazoandaliwa vyema namna hii. Nautabiria makubwa huu wimbo 🙌👏👏👏 Mungu azidi kuwaongoza kufanya miziki yenye kuisaidia na kuburudisha jamii positively.
Daaaaaaaaahhh ngoma kali sana bright ma mzee wameua kwani bright anakwama wap ngoma kali sana hii mpaka nimeidownload et Kama unaokubali gonga like twend sawa
dogo anajua mpaka anakera
Nimeipenda inamafunzo mazuri,wazazi wanaotamani wawaone watoto wao wakifunga ndoa,mola tujaalie nasie tuje tuzishuhudie ndoa za watoto wetu inshallah
Amiin 🤲
Jamani baba napenda huyu
Amin
Aamin Amiin Yarabilalaalahmiin duaa na iwe Makboul kwa sooote
Amen
Angekuwa Mond Like Kibao Views 2M
Ila kwa kuwa Bright Ila ngoma Kali Mno
Nalinga Comedian waooo mashaallah
Nalinga Comedian tumejuwanareo anataka kunivuanguooe
These are the kinda songs we need sio matusi kila siku, tekenya, chuchuma, zibua mtaro, chuchu saa 6 seriously.. wat a lovely song!!
Yeah fine as hell, these are all ages songs man!! Story telling beautiful. Atleast watu wazima wanaweza wakaburudika.
😂😂😂😂😂
Nakuunga mkono ndugu,matusi ya rejareja sasa basi
Nyimbo nzuri sanaaaa..... Nimeikubali tuu sanaaa.... Kazi safi Sanaa... ✔️
Wimbo wenye maadilili. 🙏🙏🙏🙏🙏🔥🔥🔥🔥🔥
Sichoki kuusikiliza huu wimbo duh, u killed this 💓💓
Combinaison nzuri saaaaaana produ kukua african. 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🐆
Nzee JUMA KAKERE nampenda huyu baba. Nyimbo inawatu wenye masauti mashaallah. Nimeipenda.
nyimbo kama hii uwezi kukuta inapewa tunzo yaani sijui hao watu wamuziki cjui wanajua nn. what a lovely song❤️❤️
Mama niombeee kwa Mungu nipate sitirikaaaaa.........safi sana hicho kipande
Muda unaendaaa Hilo uzingatie muweke Maulana da!! Bonge la ngoma big up bright & karen na wakongwe hao
Mungu atusaidie kweli mda aisubiri.
Nyimbo nzuli sana eeee mola wangu nisaidie na mm n8weze kumupata atakae nistili
Kaliiiiiii mnoooo narudia mara ya pl 👌👌👌
Likes kwa wingi tumsaport bright jamaa yuko vzuri
yuko vizuri th-cam.com/video/-fZAkB55DNg/w-d-xo.html
Kabisa
“Wanaume wa sasa surwali ku shuka wanataka kuvuana Nguo..... that’s deep some real teachings here 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
uyu kaka anajua ❤❤❤❤❤❤❤
Jaman dah ngoma hii tamu hataree..kila kitu on point na Mzee wetu kakere long tym sana aisee,naipendana sana nyimbo yangu ya February
Ngoma tamu sana ina viungo vyote muhimu, wamekutana wasanii wote mahir na ninaowapenda, hingeren sana kwa kazi nzur
Jamaa hajawahi kuniangusha Yani ni noma big up Bright
Bright nyimbo Kali sana iiii kaka daaaa
Hii ngoma ni ya heshima kwa bright umefany Kaz kubw na wat wakubw safi,🔥💪
daah bonge la ngoma congregation bright
Daah Bonge la ngoma! Maana nilichoka na kujidhuru na kufanya mazoezi, mara chuchumaa, timua vimbi nk. Ujumbe kwenye hii ngoma ni konk. Kama nawaona wale wanaojuana Leo na wanataka kuvuana Nguo!!
Juma kalele duuuuhh nakubali mzeeeeeee kwa kakaz yak
Yaani huyu Mzee Juma Kakere alivyoanza kuimba nimetamani angemaliza mwenyewe😋❤
Hizi ndo nyimbo zenye ubunifu na ujumbe ...👍👍👍nimekapenda karen 🔥
Wimbo mzr sana unaelimisha kwa jinsia zote 😘😘😘
Inshallah pia mm ombi langu nipata mume mwema
Nipo hapa mume mwema
Mungu atatijaaliatu wajina… tuzidishe subra.
Mungu akupesawa na hitaji lako maanausipompata aliyesahihi nichangamoto katika ndoa
Allahumma amin
Aminaa kikubwa uzima mume mungu atakuonesha
Dooh vipawa vyakuimba mungu kawapa nawapenda nyote
awww😍😍😍😍`niletee mjukuu nilee aje anikojolee'😁😁😁
Safi sana bright umetisha sanaaaaa
Nyimbo nzuri sana big up kwa bright
Bright we mnyama sanaa💪💪
Nampenda sana bright yuko vizur na kareen
Bright hongera sna kwa hili unapata bahati ya Khadija kopa
Duh mbona ngoma kali ni-like mara ngapi
Wimbo mzurii...Caren kafanana na Khadija Kama mama yake kweli na Bright kanana na juma kakere
Haki l'm having Goosebumps kusikia this voice's nyimbo kama hizi ndio tume Miss kusikia Tanzania jamani.Nyimbo hii inaelimisha jamii welldone 🙌👍👏
Nataka tufanye futuring mi nawewe
Twende mbele turudi nyuma hawa wazee wanasauti nzuri sana Mungu awabariki
Blood nakubal sana ngoma Kali vbaya collaboration bomba
Eeeh baba ifunga kz kichupa kiboko
Ubunifu wa hali ya juu
Khadija na Karen utasema mtu na mamake kweli kweli. Wako na sura flan hivi nzuriiii, baby face yani. Ngoma nimeipenda sana kwakweli.
Mzeee kakere ameua balaaaaa 💥🔥
The Karen girl souding like Nandy...amazing song, love from Kenya.
Mashallah.
Nuksi mbayaaaaaaaa,umetisha bright
Nzur Sana huyu baba Jamani kumbe yupo daha niwasiku nyingi mno❤️❤️❤️
Wimbo mzuri Sana, nausikiliza ht hauchoshi, kwa sisi mabachala unatuhusu Sana.
Mbona uyu mzee anazeeka na utamu wake kama na wewe umeligundua ilo weka like twende sawa juma kakere upo vizuri mzee 1/4/2020 corona janga la dunia kikubwa dua
Yani mziki mzuri siku zote huwa watu wachache sana ndio tunaoelewa tuuh..
Ni bonge la nyimbo kama umelikubal twende na like
Woow mzee wangu Mungu akubariki Sana
Ngoma nimekaa nairudiya mara zote yani haiishi kiwi istosti imeimba wa sanii wangu niwapendao Kareen na bi Hadidja kopa hongera sana imetuliya ngoma yenu
Sikuizi hamna mapenz .. mwapendana wakati washida akipata wasalitiwa live ..
Nice nimeipend sana kukaza roho ipo siku chaguo sahihi litakuja
Bonge moja la ngoma, Like hp km umeielewa hiii ngoma
Khadija kopa we ni fundiiii aiseeee
Juma kakere ana sauti nzuri sanaa, imejaa u legend... Khadija Kopa ndio sisemi... They should do a song, Juma & Kahadija
braza ngoma kali bongo fleva is back
Umewaza mbali kaka big up Sanaa.👍
Nyimbo kubwa sana...Ndani yake kuna ujumbe mkubwa
E bhana e hii nyimbo ni nzuri sana wasanii wamepita vizuri pia producer kafanya mix na beat nzuri hongereni
Nimependa hii chemistry ya humu🔥🔥🔥..jimbo kubwa.. what a song🔥🔥
Mamb
Daaàaaah ngoma limekaa poa sana
Jamani khadija kopa kafanana na Kareen macho yao rang utasema mama Na mwanae
Alaaaaaaaa!!!!! Na views, likes ziwapi banaeh!
Ngoma Kali saanaaaaaa
Nyimbo nzuri sana ubunifu wa hali ya juu umeutumia kaka ..big up bro ...
up
th-cam.com/video/-fZAkB55DNg/w-d-xo.html
Kama umemuona aloimba pole sana mama kwa safar bibie tuonane hapa
Kijana yuko vzr Sana 🔥🔥🔥
Shikamoo mzee wangu Juma kakere
Nimependa. Love from kenya
Ngoma kali sana ni ya nyumbani kabisa tanzania mafundi wa muziki wamekutana
Ni nzuri kama umeilewa kama mi hebu nipe like
Vip
Kareen uko vzr mwanangu umependeza haki kipande yko mko vzr kwa kweli
Kama uko single kama mm pls weka likes hapa tumuombe Mungu 😥
Amiiiin👏👏
Nipo apa
Amina
☺☺☺nitumie no.yako tushee upendo
Ndoa
Love it❤❤.
Bonge moja la pin bright big up🙌
Daa bonge ngoma dogo anajua sana
🔥🔥🔥🔥🙌
Sana msukumaaaa
Imekaa poa sana,
Tangu mazonge, unga unga mwana na sasa tunatembea na Ndoa
EZEKIEL M DAVID kuna morogoro pia ya braght
Kaz nzurii sana 👏👏
Bright alikuwa level ya kina Marioo. this is great to start 2020 for him
😍😍😍🔥🔥🔥🔥
Mziki mzuri😘😘
Mwanangu bright hii ngoma 🔥
WaTanzaNia Hatupendan HII NYIMBO NI KALIII JAMAN LAKN LIKE CHACHE HAPA JAMN
Hawapend nyimbo zenye maadili kama hii unasikiliza hata na wazaz na watoto imafunza washazoea matus ndio wanalike upuuz
@@maryammaram2612 yeah mama wanapenda yope na dochido
Nimeipend xan
@@maryammaram2612 kwel walo weng matus ndo nyimbo ila hii hainag matuc lakin balaa
Saanaaaa
Jamani nimeukumbuka wimbo wa huyu mzee safari ☺☺☺☺
Dah katika nyimbo Kali kwangu hii ipo top 3 walahi walahi
Kaz nzuli sana
Kazi nzuri na yenye ujumbee Safi Sana
Kazi nzuri sana ,ina ujumbe
Kazi nzureee.... Kila mtu kaitumia vyema part ake
Aixeeeeeh umetxha xana had nakoxa neno la kufananixhwa na ubora uliopo
Hongera sana Bright x Caren kwanza kwa ujumbe mzuri na pia kuwashirikisha hawa maLegend humu. Hii ni kazi tofauti na tamu mno na ndio muziki utakaoishi. Safi sana tunahitaji sana content za kipekee zinazoandaliwa vyema namna hii. Nautabiria makubwa huu wimbo 🙌👏👏👏 Mungu azidi kuwaongoza kufanya miziki yenye kuisaidia na kuburudisha jamii positively.
Keep the Good Music 🎶🎶🎶🎶🎶 aLive hongEra #brightmusic
Daaah ngoma nimeikubali
So nice, J kakele kitamboooooo