SIJAWAHI KUHONGWA, KUPEWA PESA, KUNUNULIWA GARI AU NYUMBA, KWANINI? | HARD TALK..
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 3 ก.ค. 2021
- SIJAWAHI KUHONGWA, KUPEWA PESA, KUNUNULIWA GARI AU NYUMBA, KWANINI? | HARD TALK..
'HAR TALK' ni Kipindi Kipya kutoka GLOBAL TV kinachoongelea mambo mazito sana ambayo mwanadamu hajawahi kuyawaza wala kuyafikiria..
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
You are the first man who explains about this material love problems. I like how you are wise and calm and a gentle man. you always honest in everything. big respect for you brother
Baba wewe ni mwalim mzur unatufundisha mengi tusiyoyajuwa, mungu akubariki na akulinde.
Dr.Elie V.D Waminian na Lilian Mwasha Mungu azidi kuwabariki sana, maana mnatupatia vitu vya gharama kubwa bure.
The level of wisdom he has......Shkamoo baba Mungu akutunze akiiiiii.......
Dr kwakweli wewe ni mwalimu mzuri sana ubarikiwe ,suala la kupenda na kupendwa ni suala la kimaumbile na kama ukilikosa unaweza ukakosa furaha Katika maisha.Yeyote anaetumia Mali yakekwa mwengine huwa anataraji kupata mrejesho kulingana na nia yake isipokuwa kwa wale ambao hutaraji kupata malipo kwa Mungu na njia huleta utulivu katika nafsi.
Swadakta
I love you Both but Dr Elli your a special human I have watched all your episodes on Chomoza I have learnt a lot from you , all the way from Manchester. You inspire me a lot . Intellectual being ❤️🇬🇧❤️🙏
Share with us a little bit what you have learned from them please
Lillian unaongea vizuri sana na nakupenda Ila naomba utumie lugha yetu ya Taifa moja kwa moja maana unanipunja baadhi ya maneno kwa kingereza, Mbarikiwe sana
Jamani jifunze hata kidogo basi twende sawa dada🤣🤣🤣
@@ilovejesus9303 sawa ndugu nitajitahidi kujifunza maana Elimu haina mwisho Ila lkn ni vizuri pia tukijivunia lugha yetu ya Taifa 😊
@@faridamkesso97 upo sawa nlikuwa nakutania bwana. Tujivunie lugha yetu
🤣🤣
Safi mbarikiwe kwa kutubarki.
Asante Mume wangu kwa kunipa mbegu mashallah nimefahamu Leo nna mbegu4 alhamdulilah
This Dr talk the real principles of the world
Nikifikia level of understanding ya Doctor Elly nitakua nime serve my purpose of being alive
Ni kweli mtu mwema ni yule anayekuwazia mema na sio kufanya mambo mema 😃😃😃😃
huyu Dr ni hatariii anajua vitu sanaaaaaaa.thanks
Hard talk hichi kipindi kiiishi milele such inspire and opens our mind my sister gOod questions and the Doc with the best answer we never expect 🙏🙏🙏🥰🥰🥰
Asante sana Sis Lilian Mwasha na Dr.kwakweli Dr yupo vizuri sana huwa najifunza vingi kupitia yeye na kipindi Hiki,usiache kutuelimisha sisi vijana haswa kwenye maswala Kama haya .
"I like your details and information of your understanding the culture and environment, and time we are in.
I called you Profesor of new generation.
Great job,Sir.
Hiki kipindi kinanibariki mno Mungu awatunze sana. Hongera sana Lillian nakufuatilia mamii, Kuna kitu kikubwa sana cha kiMungu nimejifunza kwa huyu dr kipitia haya mazungumzo Lilly. Barikiwa sana.
Shukran kwa maarifa kwa timu nzima ya Hard talk.
Thanks you Dr. El & Lilian
Good job sir Nina jifunza mengi
Asante mtumishi.
Nakuelewa sana Doctor, maswali nliyo nayo napata majibu nkirudia kuskliza. You man you are so potencial
Hk kipindi kina nichanua kweli thanks all
THE BEST TOOK EVER....
I love and admire this woman ❤️
Lilian mwasha and doc eli the best combination and much wisdom and such a great knowledge you share out here
Lilian tuko wengi usijali Tupo imaraa
Asante sana kwa maada zuri imenisongeza sana kiimani
Be Blessed
Nakupenda sana Lilian
I learn something
This is Dr. Elly. Bravo
Thanks for the knowledge u share doctor God keep on blessing u on a Good work Ypy do keep on empowering and bring the light in out life watching this from overseas ❤❤❤🔥🔥🥰🥰🥰
Dr Elli anasikiliza kwa makini sana
Mada Nzuri saaaaana nawafurahia
Great philosophy.
Hivyo eee nimeelewa asante doctor
Oh My God...this man is so spiritual
Sure
Asante dr
Real hard in one side but real soft in another side.
All in all God Bless you Hard Talk Team.
I understand you Doctor"
Thnks
Wise words
Wooowh! This is aeesome. I love you guys!
My dada akuna tatizo kutoa kama unatoa bila sababu kuna mtu anaweza kua anatoa ila ukitazama kwa undani anatoa kwasababu anahisi kama hana kigezo chakumfanya aliyenae ampende iyo ni akili ya unyonge ilo ni tatizo
Was a nice talk and I learnt a lot from Dr
Shukran 🙏 🙏 🙏 🙏 sana
Nimejifunza kitu kikubwa sana🙏
Asante liliane
Dada nimeipenda hii topiki nakupenda sana unamaono ya mbali sana na hii inatuhusu wanawake.
Thanx my dear❤🔥
Nimejifunza kitu..,nimepata Amani ya moyo ghafla. My husband is like what are you doing today witch😂😂😂
Dr Eli akili kubwa Sana ww
GOD bless you my dear
Na Mimi ni ivo kweli yani sija wayi kupewa pesa na Mwaume ila Mimi njoo Mina towaka pesa za kila kitu kwa Mwanaume ata awenazo njoo ivo na Mimi Mungu tu njoo nikicha achiya kweli
Manshallah nimekuelea🧏♀️🙏
Mtangazaji kichwa ngumu haelewi😂😂😂😂
Dr. Una akili mingi sana
Mungu awabariki watumish wa Mungu ! Mnakitu cha tofaut ndan yenu!
Somo zuri sana
Oooh umenifundisha hasaaaa😊😊
the bible says, enyi wanaume wapendeni wake zanu,hii imekaaje da mwasha hapo doctor anaposema hakuna kupendwa?
Soo happy to see him again,soo spiritual, soo genius
Dr Elia namkubali Sana kipindi Cha cliurds tv chomoza very nice
Siyo cliurds Ni Clouds Tv
Lilian unamkatisha Sana doctor alafu punguza kingereza
Wooooooow m'trully happy for this..chuki ipo kwa unaempenda..absolutely YES!!!!!!
Waoooo
Swali hili nikama mumeniona mm Yani natoa lakin mm awanipi lakini hua nasema mungu yupo najua ipo siku moja nitapewa t
Nakipenda hiki kipindi
Thanks God, nimepona
Hard tolk.., hard talk, sijaelewa lakini tuendelee
06.06.2021
Waoooh🙏🙏
🤔❤❤❤
Anza channel yako unatuchanganyaa
Kwani kahama wasafi
wanawake wengine wame ishi kauli za nabii hana heshima kwao wanaume wengi wana ishi hivyo chanzo chawengi ni wanawake zao
Ningeshauri mtumie kiswahili moja kwa moja ili kuwafikia walio wengi kuliko mnavyochanganya na kizungu.. Namwelewa sana Dr huyo.
Napenda Dr Elly anavosikiliza na kujibu🥰🥰
Ila for my man i have to recieve 😆😆
Nice point😘
🔥🔥🔥🔥🔥🙏
you are very good 👍👏
Daaaaaah 🤔
❤❤❤❤❤🌍🙏
Lilian ndugu yangu huyu Dr katumia psychology kukufunga bao la mkono
😂😂😂
Yaani haingii akilini kuwa mtu anakuzalisha/mke halafu huduma anatoa kwa hawara eti wewe mke ndio anakupenda zaidi. Ndio maana wanawake wa ndoa wanahangaika kulea watoto peke yao wakikopa huku na kule wakati mume anagawa na kumwaga pesa kwa mchepuko. Yaani nimeamini kuwa kusoma sana nako kuna tatizo la kufahamu mambo na kubabaisha watu kuwafanya mbumbumbu.
Wenye akili wame jifunja
Naomba Dr. afafanue kivipi unamchukia unayempenda?
Huyu ni kaka y'ako buana Lilly
Ni TH-cam tuuu wasafi Veep Dada lili
Nimeona leo nimefurai,ivi nyie ni binadamu wa kawaida?!! Nani aliewazaa? Mbona mnatuacha taabani mko imala Kama yesu!
Amazing 🤯
Mimi pia na hii shida dada lilian
Tumia kiswahili
Dr. asant
Pointed
Kwa hiyo hujui Ni kwa Nini wenzako Wana pewa halafu wewe una toa!
Hawatunukiwi bure hao
Sehemu ya Utamu ndiko uchafu unapotokea 💥💥💥💥
Usifurahi mpk ujue wewe unafanya nini
Jamani nahitaji namba ya Dr. Elie, please alienae.anaweza.nisaidia
Lili Dada vingereza
mbona kama kipind mmecopy hardtalk ya bbc
Nyie ndo mlikuwa mnafeli darasani yaan humelewi tu hadi unasema amecoppy bbc?
Duuh. Hard talk kweli and really hard. Aise Dr amenimafanya nielimike kwakweli maana mambo mengi tunayapeleka ndivyo sivyo.
Maneno mawili yenye hekima na busara kutoka kwa Dr. Panapotoka uchafu ndo pana utamu, afu ukipenda unakula na kinachopendwa kinaliwa duh.
Utamu unatk uchafu unapotokea
Women matters iliishia wapi? 😔
Sijui kwann wamekiacha kile kipindi
Kwasababu mwenye kipindi kahama station aliyokua anafanyia hicho kipindi
Mapenzi sio pesa na pia km unataka utuniwa ni tatizo dongo toa TIGO uone utapata nini lkn nyerere alisema uchumi unao lkn unaukalia.
Nimecheka Hatari
🤣🤣🤣🤣🤣hatar kwli
Hahahaha uchumi unao lkn umeukalia
Khamis kwann lakini😂😂😂😂😂
Nimekusomaa doctor