Carry mbona husikiki? 😂😂😂😂😂Niffer bora usinge jibu umezidi toa majibu yakuonekana something fishing hakuna cha kuwa upo na mama mchungaji hapo or wala nini 😊
Niffer which God? Mungu hazihakiwi, apandacho mtu ndicho avunacho. Watu wengi wapo karibu na wachungaji mbona hawaandikwi. Mange yuko very smart chunga pengine ni rafiki zako, mtu anaesali anajulikana, mara Ally K, mara umeolewa umetoka huyo ndio mwombaji mwogope Mungu wewe
Uyu dada hajielewi mala ooh namka usiku naswali tahajud namuomba Allah mala ooh mi naitwa Jenifa jovin sasa tukueleweje😮 Aliachwa na shilla akaachwa na patrik kanumba akaachwa na Alikiba kaachwa na mumewe yaan kunakitu hakikosawa kwake anakasoro kubwa tu anayo mmxxiuu kichwa kikubwa kama tikitik kichwan hamna kitu
Unayeonekana kichwa kubwa kama tikiti ni wewe kila wewe ushaachwa na wangapi na haujaongelewa??? Usiukumu dada usije ukahukumiwa na kusali ni self freedom yaani is non of ur business
Carry mbona husikiki? 😂😂😂😂😂Niffer bora usinge jibu umezidi toa majibu yakuonekana something fishing hakuna cha kuwa upo na mama mchungaji hapo or wala nini 😊
Nimeandika kwa maelezo coz nilikuwa narekodi na simu kumbe sauti ya njee haiingii
Niffer which God? Mungu hazihakiwi, apandacho mtu ndicho avunacho. Watu wengi wapo karibu na wachungaji mbona hawaandikwi. Mange yuko very smart chunga pengine ni rafiki zako, mtu anaesali anajulikana, mara Ally K, mara umeolewa umetoka huyo ndio mwombaji mwogope Mungu wewe
Carry haijatendeka kwetu juu ya sauti😢😢😢😢nmelia😂😂
😂😂😂Niffer kaona bora atoke tuu hiyoo live basi na wewe niffer uzae sasa halafu mganga anakwambia ukizaa pesa uzioni tena duuh 😢😢
Kwani huyo Tony ni nani haswa!? Mbona ni mtu wakawaida sana😢. Alafu mbona sauti yake Carry hakuiachia!😅
Hapa mtaan kwetu kuna jamaa ameoa leo watu wamekula had sio poa
Hayo ndo manemo ya maana, haya mengine upuuzi tu.
Sijamuelewa hata
Nifa kunavitu usipende kuongelea
Mke wa Pastor Tony asije kulia tu.............
Eeeh na mkewe kmb hy pastor kaowa aibuu jmn😂😂😂😂
Huwezi kua na dini mbili kwa wakati mmoja. Amua ww ni Jennifer jovial au niffer yule muislam
Sasa hiyo Sala ya zanzibar ni Sala gani za kiislam au kikristo
Niffer ni muongo huyuuajua kupanga watu
Mmmmh michezoo hiyooo😂😂
Anajielezs sana 😅😅😅hii ni questionable
Uyu dada hajielewi mala ooh namka usiku naswali tahajud namuomba Allah mala ooh mi naitwa Jenifa jovin sasa tukueleweje😮 Aliachwa na shilla akaachwa na patrik kanumba akaachwa na Alikiba kaachwa na mumewe yaan kunakitu hakikosawa kwake anakasoro kubwa tu anayo mmxxiuu kichwa kikubwa kama tikitik kichwan hamna kitu
Heee jmn mumewe kamuacha na hamsemi
Unayeonekana kichwa kubwa kama tikiti ni wewe kila wewe ushaachwa na wangapi na haujaongelewa??? Usiukumu dada usije ukahukumiwa na kusali ni self freedom yaani is non of ur business
Huyu niffer kapotelea wap
Mmmmh hovyoo
Huna nyimbo dada
Kwaiyo anamaanisha karitadi? 😅😅 Haya mambo bwana
Mim nashangaa mama ake masikin anamuombea dua kila siku lkn anaamini hao matapeli 😢😢
@@maryamm7765 mume wake nae tia maji nini kwenye maswala ya imani
Huyu niffer huwa ni dini gani
Anyone can answer me
Anasemaga wangine mbona yeye kaza alafu anajificha, na kusema zuchu kila siku yeye kaoleo samezalishwa tu 😏
Nilithani Niffa ni muslin??
Sasa huyo niffer ni muislam Sasa kwa nn anajihusisha na pastor Tony na mke wake. Ama amekua mkristo
Carry mbn atukuskii
Nilikuwa na rekodi na simu ikawa inachukua saut ya ndani tu
Mh😂