EXCLUSIVE: BABA LEVO AKUTANA NA RAFIKI YAKE MWANAJESHI WA MAREKANI MTANZANIA MCHAGA KUTOKEA MOSHI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 ต.ค. 2024
  • #7MEDIA #SUBSCRIBE

ความคิดเห็น • 110

  • @collinsnyoro1450
    @collinsnyoro1450 49 นาทีที่ผ่านมา +4

    Baba levo naomba ukirudi upitie Kenya+254. Kazi yako safi sana tunaipenda

  • @paschalsafari9747
    @paschalsafari9747 6 นาทีที่ผ่านมา

    Baba Levo umetisha kinoma

  • @souvenirweber7169
    @souvenirweber7169 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +13

    Baba levo fursa ya marekani uko ki professional kama mwana habari katika jamii kuongea na watanzania ambao sio kiudaku na ushamba ushamba wa kelele kama mwijaku.umetulia ukichekesha watu yaani interview za watu wako ni burudani kusikia.mwijaku ni majungu na kujisifia huku akiponda watu.big up Mwijaku

    • @SevenMediatz
      @SevenMediatz  3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +3

      Nashukuru sana

    • @SevenMediatz
      @SevenMediatz  3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +3

      Usisahau kusubscribe na kushare

    • @IbniAbbas-yz3kt
      @IbniAbbas-yz3kt 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

      Sasa umemponda Mwijaku alafu tena unampa big up mbona hauleweki😮

    • @Lulualshagri
      @Lulualshagri 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Mimi mwenyewe nimeshangaa au kakosea kuandika alitaka kuandika bblevo akateleza😂😂😂😂​@@IbniAbbas-yz3kt

    • @fettiemaganza1484
      @fettiemaganza1484 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      Kaka hana hta majivuno ma sha Allah Mungu ampe uhai mrefu

  • @Yangaone-h8j
    @Yangaone-h8j ชั่วโมงที่ผ่านมา +4

    Elimu yadarasani aliyenayo mwijaku kama angeipata Baba Levo , angekua mtu mwingine sana, bigup bmajumba

    • @georgelyimo5349
      @georgelyimo5349 37 นาทีที่ผ่านมา +1

      Meona eeee

    • @Yangaone-h8j
      @Yangaone-h8j 23 นาทีที่ผ่านมา

      @@georgelyimo5349 Yaani sana tu

  • @ReaganHaule-c8e
    @ReaganHaule-c8e 12 นาทีที่ผ่านมา

    Hapa ndiyo unapojua tofauti ya baba levo na mwijako

  • @DeborahSichone-b9c
    @DeborahSichone-b9c 21 นาทีที่ผ่านมา

    Baba levo nakupenda niletee zawadi

  • @methodluoga8483
    @methodluoga8483 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +12

    We baba levo kaa na huyu jamaa umfanyie interview kuna mambo mengi tutajifunza huku tz 🇹🇿🇹🇿

  • @nzitogondwe9976
    @nzitogondwe9976 11 นาทีที่ผ่านมา

    Nimependa

  • @DeborahSichone-b9c
    @DeborahSichone-b9c 23 นาทีที่ผ่านมา +1

    Mwijaku alidhani marekani amtaweza yeye peke yake akamnanga baba levo eti oo awezi kwenda marekani mbona kaenda sasa na rafiki anao

  • @johnmwaisunga2339
    @johnmwaisunga2339 9 นาทีที่ผ่านมา

    Kimsikiliza Mlay Na kama una ndugu ulaya unaweza kulia Watanzania Ni watu Wa ajabu Sana wapo tayari kukutumia Hela Na Sio kukuvuta na uwende, pili mley kama angempata MTU Wa kumuuliza maswali ya udadisi angeongea mengi ya kutusaidia, changamoto Baba levo anauliza swali alafu anabishana Na majibu ya Mlay. Thanks hata hivyo

  • @imanuelzakayo8703
    @imanuelzakayo8703 46 นาทีที่ผ่านมา +1

    Asante sana baba levo kutuletea uyuu jamaaa wetuu

  • @isacktemba551
    @isacktemba551 ชั่วโมงที่ผ่านมา +3

    Io ndio tofauti ya baba levo na mwijaku,baba levo anajua nn kimempeleka usa kua n silent ocean na kuitangaza kwa wana sio matuc

  • @MsafirGervas
    @MsafirGervas 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +5

    Mlay safi kaka🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @vicentmapunda3146
    @vicentmapunda3146 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +12

    Mtu anaisha marekan miaka kibao lakin kiswahil kinapigwa kma hajui kizungu😂😂 /kutana na hizi mbuz sasa za kibongo... zikienda siku moja wiki mbil tu/ngoja warud😂😂 you knw you kno izo zinajaa bus zima kina konde😂😂😂😂yan ad kichefu chefu

    • @fettiemaganza1484
      @fettiemaganza1484 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Wengine wanasoma kwa ras simba tu lkn hatupumui😂😂😂

    • @alzawahirabdallah2299
      @alzawahirabdallah2299 41 นาทีที่ผ่านมา +1

      Akikuona mtu anajifanya kasahau asili yake huyo anakuwa km samaki wa maji ya chumvi ukimuweka maji ya kawaida mara anakufa

  • @Kevworx
    @Kevworx 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +3

    Mwamba yuko safi sana, Babalevo akili nyingi sana

  • @VenancyMorice
    @VenancyMorice 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +10

    Mwamba Yuko vizur sana havimbi kama wengine

    • @hamiduOmar-o8r
      @hamiduOmar-o8r 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Sna ameongea pwent wanajesh wetu wao wapo chini ya sheria kz yaoo kupiga raia

  • @yohanakateko
    @yohanakateko 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +7

    Ukweli hatupendani as watanzania ndo shida

  • @boniphacejohn2981
    @boniphacejohn2981 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +13

    Baba levo uwa anaakili kuliko mwijaku

    • @georgelyimo5349
      @georgelyimo5349 32 นาทีที่ผ่านมา

      Sana tu na hajasoma kama yule kichwa mviringo

    • @DeborahSichone-b9c
      @DeborahSichone-b9c 28 นาทีที่ผ่านมา

      Kabisa

  • @tasukutechnologies2573
    @tasukutechnologies2573 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Hiyo night kweli Mlay, lakini watanzania haina kupeana opportunities

  • @bustabruce480
    @bustabruce480 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    I like it❤

  • @shaabanramadhan6770
    @shaabanramadhan6770 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Ukweli ndo huo watanzania tunaroho mbaya sana wabinafsi san kwenye swala la rizq na ukipambana ukafanikiwa pia wanataka kukurudisha nyuma

  • @MohamedHassan-k6m6g
    @MohamedHassan-k6m6g 51 นาทีที่ผ่านมา +1

    duuuh wa tz wote wangekua kama huyu mwamba tungesha fika mbali sana

  • @elitorokaa4858
    @elitorokaa4858 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +5

    Baba levo muda mwingine anakuwa mtu wa maana kabisa😂😂😂

    • @Saidi-x4h
      @Saidi-x4h 21 นาทีที่ผ่านมา

      Hakuna mtu hasiekua wa maana alafu akawa maarufu, sema tu wabongo tunazalau sana

  • @abuubakary4848
    @abuubakary4848 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +13

    mwamba ana nyodo kabisa mwanangu like kama umemkubali mwamba

    • @McBaraka-tz
      @McBaraka-tz 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      Sio kwamba mwamba ana nyodo ila hana nyodo kabisa sio kwamba ana nyodo

    • @ndukulusudikucho_
      @ndukulusudikucho_ 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      ​@@McBaraka-tz😂😂😂alimaanisha hivyo

    • @McBaraka-tz
      @McBaraka-tz 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      @ndukulusudikucho_ 😄🙌🏽 Ooh sasa shida kuna maneno ukishalitolea herufi hata moja tu linabadilisha maana ya kile ulichokusudia, yeye kasema "ana nyodo" badala ya kutumia "hana nyodo" ila kumbe alimaanisha HANA NYODO... Duuuh 🤣🤣

    • @FredMwamgogwa-td6ni
      @FredMwamgogwa-td6ni 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      Nyodo gani sasa

    • @fettiemaganza1484
      @fettiemaganza1484 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      Watu waswahili lkn hawajui kiswahili chao

  • @startwithginegine1891
    @startwithginegine1891 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Jamaa nimemkubali sana

  • @enezacleopa6272
    @enezacleopa6272 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Nakubalii Sana 🫡🫡minimwitemwamba CHUMA✊

  • @BinSultan-t5g
    @BinSultan-t5g ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Angekua ni mmarekani kapata kazi tanzania ungewasikia wabaguzi wa kiswahili

    • @AbdullhaAbdullha-c5p
      @AbdullhaAbdullha-c5p 27 นาทีที่ผ่านมา

      Ndio mjifunze raia Pacha wapo kila inchi ulimwenguni

  • @providencekusinza7122
    @providencekusinza7122 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Mtu wa camera wa ovyo sana

  • @MsafirGervas
    @MsafirGervas 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +4

    Mwamba kabisa play USAarmy

  • @josephchuwa1206
    @josephchuwa1206 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mlay mimi ndugu yako kabisa nitafutie connection😂😂

  • @methodluoga8483
    @methodluoga8483 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Weee baba levo unatetea uhuni wanaoufanya wanajeshi wa bongo

  • @kasongombuyu3407
    @kasongombuyu3407 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Mwambie babalevo kama yupo Pennsylvania Pittsburgh ha nitatafute ninamuzigo wango wakutuma hafrican frenk

  • @mmassyferguson4959
    @mmassyferguson4959 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Mlay nimekuelewa kuhusu wanajesh

  • @HarunaHamisi-d5l
    @HarunaHamisi-d5l 58 นาทีที่ผ่านมา

    Siri zikifichuka kwakuliwa ndogo mnajifanya ilikuwa siri 😊

  • @MohamedHassan-k6m6g
    @MohamedHassan-k6m6g 48 นาทีที่ผ่านมา

    sito sahau kuna met wangu mpoja alitoka depo ile kaniona kwa mbali ananambie dogo apo apo ulipo shuka chini njoo kwa kichula na sijamkosea kitu ili tu nijue kasha kua soja tayali

  • @FILAMUMEDIATZ
    @FILAMUMEDIATZ 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Habari naitwa Sadr promoter naomba namba yababa levo kwa ajili promotion

  • @TangaMashewa-qe8kk
    @TangaMashewa-qe8kk 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    tatizo mchukua camera ni wa hovyo hachukui video panapohitajika pachukuliwe kasemama kama moja hashushi shini hapandijuu yeye uso uso kama mtu uliemuambie nipige paspot size

  • @hamidudigogo5863
    @hamidudigogo5863 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Hapa kwenye jambo la watanzania kuto kupendana nikweli Yani hatupendani VIBAYA sana tuna roho mbaya hatupendi kuona mtanzania mwenzie anafanikiwa

  • @AlksvJshd
    @AlksvJshd 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉

  • @paschalsasagu5610
    @paschalsasagu5610 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Babaake na levo

  • @g-makangarealitymbunge9290
    @g-makangarealitymbunge9290 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Babalevo matko kabisa jeshi la Tz ili linalo mtafuta nay na roma kika kukicha?

  • @Wazir-y5k
    @Wazir-y5k 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Angalia tu asiku pididi huyo jamaa😂😂

    • @Yangaone-h8j
      @Yangaone-h8j ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Una mawazo yakindezi ile mbaya mwanangu wenziyo tunavitu tunapata hapo tena vamaana sana

  • @richkaja3317
    @richkaja3317 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Levo unakili nyingi sanaa

  • @witnesskagirigiri3763
    @witnesskagirigiri3763 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Amazing

  • @providencekusinza7122
    @providencekusinza7122 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Nime penda tu ana vyo ongeya luga yake safi sana

  • @AlexKakilanya
    @AlexKakilanya 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Sana mwamba

  • @EspoirBudade-on9ef
    @EspoirBudade-on9ef 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mwaambiye Akulete Lancaster pa Wana tunakuitaji angalao pictures nawewe tu?

  • @PatrickPazza-kr3vm
    @PatrickPazza-kr3vm 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Interview ya babalevo n huwaga n madini matupu dadek sio wengine n udaku tu na kujisifu juuu

  • @MakameMufadhil
    @MakameMufadhil 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Kweli hatupendani

  • @danfordkyando7863
    @danfordkyando7863 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Sasa hapa kati ya baba levo na mwijaku nani hajasoma

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Kweli watanzania unamuliza mtu duka tu hakujibu

  • @omanhh2875
    @omanhh2875 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Afrka bado washamb tu

  • @goromamussatvonline
    @goromamussatvonline ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Kila mwanajeshi Marekani nmtu wa Arusha. mda mwingine tuache uongo

    • @julianapeason6254
      @julianapeason6254 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      tofautisha Moshi na Arusha. Moshi ipo mkoa wa Kilimanjaro Arusha ni mkoa wa Arusha kwa wameru na Wamasai. Kilimanjaro ni kwa wachaga na wapare. Wachaga wapo wa Machame , Marangu, Kibosho, Old Moshi, Uru, Siha, Rombo na wapare wapo Same na Mwanga. Actually watu wa knjaro wapo mbele sana kwa mambo mengi japo mimi ni mgogo

  • @slimpirate6020
    @slimpirate6020 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Ama mwijaku alikuwa Uganda😂🤔🤔

  • @EliudiJastini
    @EliudiJastini 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Nanikweli kenya wanaumoja sana

    • @kazikazini1042
      @kazikazini1042 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Halafu huku tunapigwa propaganda eti hawapendani

    • @EliudiJastini
      @EliudiJastini 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Kenya wanabebana sana fatilia wakenya wengi walio nje ya nchi ya kwao wanabebana sana ila sisi watanzania majungu tuuu ndotunaweza​@@kazikazini1042

    • @EliudiJastini
      @EliudiJastini 35 นาทีที่ผ่านมา

      Kenya 🇰🇪wanaumoja fatilia wakenya wengi walioko ulaya uwone wanavobebana tofauti na wabongo wako fasta hata kwenye matukio

  • @MtiliCharles
    @MtiliCharles 43 นาทีที่ผ่านมา

    Pdidy

  • @kasongombuyu3407
    @kasongombuyu3407 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mwembie baba kama yopo peannslvania pittsbugh hanitafute

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Ulaya hawana choyo njoo kwetu uchawi wivu choyo

  • @aud548
    @aud548 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Unamuhoji juu juu...kama kichaa ...unacheka cheka sana

    • @babalaujamaa7131
      @babalaujamaa7131 7 นาทีที่ผ่านมา

      Umeeelewa maana ya maswali mafupi lakini au hujaelewa 😂😂

  • @badendavid8456
    @badendavid8456 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Kaka mwanao Levo ana umri gani?

  • @erickjosephat863
    @erickjosephat863 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Nilidhani naieshimu ISRAEL pekeangu

  • @ramadhanimpapalika7131
    @ramadhanimpapalika7131 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Baba Levo anaogopa kuponda kwa sababu anajua atarudi bongo

    • @ChoroTesla
      @ChoroTesla 52 นาทีที่ผ่านมา

      Kwa sisi wenye mentality za kikoloni ndo hvyo tena.

  • @rogerabdallah439
    @rogerabdallah439 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Tumerogwa na nyerere

  • @khamismtoma4902
    @khamismtoma4902 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    PhD

  • @Jumalokole2-rt8cd
    @Jumalokole2-rt8cd 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    ❤❤😂❤😂

  • @godfreydaniel6818
    @godfreydaniel6818 49 นาทีที่ผ่านมา

    😂😂😂😂

  • @EdwardSancho-dq4lp
    @EdwardSancho-dq4lp 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mwamba halingi kabisaa

  • @SaidMwendabwillah-v3z
    @SaidMwendabwillah-v3z 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Respect

  • @MakameMufadhil
    @MakameMufadhil 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Jeshi wetu tunawaogopa hasa

    • @SufoWazir-s4q
      @SufoWazir-s4q 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Sio uko tu kwenu adi uku kwetu wanaogopesha sio kitu raisi kupiga nae story 🇲🇿

  • @ashrafunangay201
    @ashrafunangay201 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    hivi marekani kuna nzi kumbe

    • @dab8859
      @dab8859 55 นาทีที่ผ่านมา

      😂😂😂😂

    • @IssacNtacho
      @IssacNtacho 54 นาทีที่ผ่านมา +1

      Yule ni nyuki

  • @shedrackshaibu1986
    @shedrackshaibu1986 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Shem kama Shem haaaaaaaaaa

  • @aediayumgo8546
    @aediayumgo8546 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    We baba levo tafuta rangi nyingine kwenye media yako una fanana sana na Max tv online

  • @alphoncewilliam4325
    @alphoncewilliam4325 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    😂

  • @SaidTsuma-je8dv
    @SaidTsuma-je8dv 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    baba levo uko ft

  • @angeldecute6694
    @angeldecute6694 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Kuna vitu vingingi vya kumuhoji huyu mtu Watanzania tupate ufahamu na faida ila Baba levo hana hiyo taaruma.

    • @svt3
      @svt3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Baba Levo anayo taaluma ila taaruma haana kabisa