PST TONY AVUNJA UKIMYA JUU YAKE NA NIFFER |MKE WANGU ALIKUEPO WAKATI NIKO NA NIFFER, MUNGU ANIADHIBU

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 281

  • @sweeper9524
    @sweeper9524 2 หลายเดือนก่อน +14

    Asee,,kama Hekima ni vazi..basi limekufit vizuri pastor,,hayo maneno tu uliyoyasema ni hekima ya Hali ya juu..Be blessed so much

  • @CharlesBett-jg5xj
    @CharlesBett-jg5xj หลายเดือนก่อน

    I am Victor Osborn from Nakuru-Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪napenda pastor Tony sana, ni Baba wangu wa Kiroho na sipendi umbea Mwache Baba aenese upendo wa Mungu

  • @GloriousMshingwe
    @GloriousMshingwe 2 หลายเดือนก่อน +7

    Pastor Tonny MUNGU wetu ni mkuu sana....ipo sababu maalumu yawewe kuwepo Duniani.....ipo sababu ya wao kuzungumza juu yako kwa jinsi waonavyo......Umechaguliwa wewe ni wa kipekee sanaaa.....Acha waseme wamepewa vinywa na aliyekupa wewe kibali....MUNGU na akuwekeee mpaka kusudi lake litimieee ishi sana mtumishi ❤❤❤

  • @SelpherAkala-ue2fr
    @SelpherAkala-ue2fr หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akuinue zaidi pst tunakupenda, kupitia kwako nasikia sauti ya Mungu.

  • @lucymsalila2436
    @lucymsalila2436 2 หลายเดือนก่อน +15

    The Best Pastor of this last dispensation especially kwa vijana ❤

  • @Eshy-m9o
    @Eshy-m9o 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akubariki Pastor kwa kutopoteza muda na hao wa dunia hii nimependa ulivyosolve ni hekima ya Mungu peke yake ndio iko hivyo na kupitia hii nimemwona Mungu kupitia huduma yako aliyokupa Mungu. God bless you Pastor

  • @GodfreyMhela
    @GodfreyMhela 2 หลายเดือนก่อน +3

    YESU AMESHINDA!!!
    I LOVE JESUS####I LOVE PT

  • @neemamgowole5227
    @neemamgowole5227 2 หลายเดือนก่อน +20

    We don't care pastor.. Unayonifundisha naelewa na yananisaidia that's enough maisha yako mengine ni wewe na Mungu wako.. Keep teaching us pastor wazidi kutushangaa.. From 🇬🇧

  • @salomemwamwaja1841
    @salomemwamwaja1841 2 หลายเดือนก่อน +8

    Mungu alivyo wa ajabu Mungu kainyamazisha kimya kimya kabisa na iwe ivyo milele wanapenda sana kuchafua watu wa MUNGU

    • @JoyceJohn-dr5kl
      @JoyceJohn-dr5kl 2 หลายเดือนก่อน +1

      Haupo Kwa app ndo maana

  • @salomemrembo7482
    @salomemrembo7482 2 หลายเดือนก่อน +5

    Washindwe katika jina la yesu. Wacha mungu Hawafunge midomo milele..mungu hawape show!!!

  • @LucyLuciana-x5z
    @LucyLuciana-x5z 2 หลายเดือนก่อน

    Barikiwa sana pastor......tunakupendaaa🥰🥰

  • @GraceofGodTelevision
    @GraceofGodTelevision 2 หลายเดือนก่อน +10

    Pole sana Dady, najua jinsi unavyojisikia, najua maumivu hayo, neno langu kwako, Songa mbele ewe shujaa, Mungu yupo pamoja na wewe, achana na walioshindwa nenda na walioshinda.

    • @lulanjamd3886
      @lulanjamd3886 2 หลายเดือนก่อน +1

      Hivi vidada vimalaya vinawaita mapastor dady😂😂

    • @rehemamajaliwa
      @rehemamajaliwa 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@lulanjamd3886vinakera😐

  • @bahatirobert1009
    @bahatirobert1009 2 หลายเดือนก่อน +28

    Mtumishi naomba ongea mara nyingi kiswahili,siyo wote tunajua English,nakupenda MUNGU aendelee kukusimamia, asante

    • @romanilyimo
      @romanilyimo หลายเดือนก่อน

      Umesema kweli uzungu mwingi ata kama unata kusikia ujumbe wa neno la Mungu kupita Kwake unashindwa sio vzr kabisa anavyofanya kwa kweli.

    • @rhodasamwel2485
      @rhodasamwel2485 หลายเดือนก่อน

      Kabisa, tunampenda ila tunapata tabu sana 😂😂😂

  • @MaryLaizer-zy6nm
    @MaryLaizer-zy6nm 2 หลายเดือนก่อน

    Pole sana Mtumishi wa Mungu, Mungu akupe amani moyoni mwako na katika familia yako usimpe adui nafasi kwa sababu unafanya kazi kubwa sana kwahyo lazima adui ainue vita na siku zote mti unaopigwa mawe ni uwe wenye matunda Songa mbele achana na walimwengu

  • @billionaireoswardkanyala1307
    @billionaireoswardkanyala1307 2 หลายเดือนก่อน +21

    Sasa pastor we mwenyewe unaona kazi unayoifanya afu usiguswe amna itakuwa hujafanya kazi bado ukishakuwa juu lazima ujue unaangaliwa na wengi choxhote unachokifanya kitaonekana kwa ukubwa sana kwasababu uko juu so hayo yanayoendelea Mungu anajua ni saiz yako... songa mbele tu.

    • @felistermombo7340
      @felistermombo7340 2 หลายเดือนก่อน

      It is well with you Pastor songa mbele

  • @claraMilanzi-xe5bt
    @claraMilanzi-xe5bt 2 หลายเดือนก่อน +63

    Bora umuhubir Yesu....😊 me nampenda sana Mwl. Mwakasege mambo kama hayo huwa hana mda wa kuyajibu

    • @HappyMwaigwisya
      @HappyMwaigwisya 2 หลายเดือนก่อน +3

      Kabisa kabisa. Mwakasege anamjua Yesu

    • @gwamakamwasongwe8053
      @gwamakamwasongwe8053 2 หลายเดือนก่อน +4

      Vita sio vyake ni vya Bwana Efeso 6

    • @agapemahenge7731
      @agapemahenge7731 2 หลายเดือนก่อน +4

      Na sijawah ona kakutwa nayo. Nampenda sana Mwalim Meakasegr na mkewe Diana Mwakasege

    • @olivergwahemtse9930
      @olivergwahemtse9930 2 หลายเดือนก่อน +1

      Kabisa sema kabisa. Sema tena kabisa

    • @anajoycejames5250
      @anajoycejames5250 2 หลายเดือนก่อน +2

      Kabisa hata mm natamani pastor asijibu Kila kitu

  • @mariakabonga2
    @mariakabonga2 2 หลายเดือนก่อน +3

    hapo ndipo mi najivuniaga Yesu umeshinda zaid ya uwazavyo na ujuavyo umemwaibisha shetani na huo ndio msuli wa imani barikiwa, mama tony usivunjike moyo mungu amewapa hiyo huduma lakini kumbuka kuna watu hawaifurahii, kama ilivyokuwa kwa masanja alisimama kiume na simama kumuombea mume wako na MUNGU wa mbinguni asiwaache wala kuwapungukia

  • @eliafileakyoo9972
    @eliafileakyoo9972 2 หลายเดือนก่อน +27

    Hizi hekima zinapatikana kwa Yesu tu❤

    • @eliafileakyoo9972
      @eliafileakyoo9972 2 หลายเดือนก่อน

      Asanteni kwa likes I've been surprised surely

  • @kabobajeanclaudenaftali6608
    @kabobajeanclaudenaftali6608 หลายเดือนก่อน

    Amen amen amen God Bless you ❤❤❤

  • @tegemeareuben7618
    @tegemeareuben7618 2 หลายเดือนก่อน +13

    I'm so proud of pastor Tony a true man of God

  • @NeemaSilayo-g7f
    @NeemaSilayo-g7f 2 หลายเดือนก่อน +1

    Songa mbele Mtumishi wa Mungu, mwangalie huyo aliyekuita na alichokuitia, vita IPO Kwa nafasi Mungu aliyokupa, Si wote watakukubali piga kazi Roho Mtakatifu atawashuhudia ya Mungu Yuko pamoja na wewe. Nakupenda Pastor, nakuelewa...

  • @chrissmichaelmashouda1726
    @chrissmichaelmashouda1726 หลายเดือนก่อน

    God is good, hautatahayarika Sababu Mungu yu pamoja nawe...na wakristo sijui kwanni hua wanapenda kuona anguko la mchungaji yaani,... Mwl Mwakasege amesemwa sana vibaya ila Mungu amekua akimtetea na huduma yake iko strong sana, so na wewe pia utafanikiwa na utakua salama so please ikibidi acha tu hata ukaribu na huyo dada

  • @ChristinaAbraham-i6u
    @ChristinaAbraham-i6u 2 หลายเดือนก่อน +5

    Mungu akutie nguvu na ujasiri pastor wetu

  • @ebenezermbena2894
    @ebenezermbena2894 2 หลายเดือนก่อน +2

    GOD BLESS YOU MAN OF GOD HIZI NDIO HEKIMA ZA MBINGUNI...YAANAI NIMEFURAHI ILIVYOJIBU NAJISIKIA RAHA❤

  • @olivergwahemtse9930
    @olivergwahemtse9930 2 หลายเดือนก่อน

    Some thing,to advice Mr. Pastor you are a really man of God , wachana na haya mambo , keep pushing ahead. Hasantakabradeshiyata.

  • @leahsamwel1931
    @leahsamwel1931 2 หลายเดือนก่อน +6

    Mti wenye matunda ndo unaopigwa mawe...Yesu alitukanwa alipigwa mpka kuuwawa kwasababu ya kazi yake njema....the OSBORN's we moveeeeeee❤🎉

  • @helicious9402
    @helicious9402 2 หลายเดือนก่อน

    Jesus... Tupe neno Mtumishi w Mungu

  • @MwajumaMwakijolo-b5w
    @MwajumaMwakijolo-b5w 2 หลายเดือนก่อน

    Amen, Mungu akutangulie mtumishi wa Jehova aliyehai

  • @bozeydayana4920
    @bozeydayana4920 หลายเดือนก่อน

    Mmmmmh mungu atuhurumie.🙏

  • @pastorheri715
    @pastorheri715 2 หลายเดือนก่อน +3

    Pastor, kuna mambo ukijiambatanisha nayo tu, lazima uchafuke. Soma 1 Yohana 2:15 "usiipende dunia na mambo yaliyomo ndani yake". Pole sana

  • @ReginaMapunda-v5j
    @ReginaMapunda-v5j 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu akutetee❤❤

  • @Maryc2G
    @Maryc2G 2 หลายเดือนก่อน

    Usiwasikilize wanaotaka kukukatitisha tamaa, songa mbele na kazi ya Bwana wetu yesu christo. Atakushindia. Mimi nakushukuru kwa Maombi kutoka ktk madhabahu yako na ministry yako. Unawajibika kwa Mungu na familia yako, na watu unawahubilia . Ubarikiwe na bwana

  • @Peterstanley-p4r
    @Peterstanley-p4r 2 หลายเดือนก่อน

    A true man of GOD..........PT

  • @Neema-qm9kk
    @Neema-qm9kk 2 หลายเดือนก่อน +39

    Mtumishi achana na mange.ingia kwenye maombi Mungu atakutetea.mambo ya kusingiziwa huwa yapo tu kuwa mtulivu achana nayo songa mbele .

    • @upendommbaga7070
      @upendommbaga7070 2 หลายเดือนก่อน +2

      Pastor wangu acha kabsa kumuongelea au kuongelea hilo suala maana unampa muda na ushindi... sisi tukaendelee na maombi acha MUNGU ndo atakutetea

    • @gosbertmuta5421
      @gosbertmuta5421 2 หลายเดือนก่อน

      Aingie kuomba nn saa

    • @Neema-qm9kk
      @Neema-qm9kk 2 หลายเดือนก่อน

      Kwani haufahamu nafasi ya maombi kwa binadamu. Maombi yanatumika ktk kila hali ,kutubu,kuomba uponyaji wa magonjwa, unapitia ktk huzuni au hali yoyote ya kukatisha tamaa ukiomba Mungu anakupa hekima, amani na kisha unavuka. Sasa unauliza maombi ya nini sasa? Unamaanisha nini

  • @bettykinyami5096
    @bettykinyami5096 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kuweni na maarifa watu wa Mungu, sio mnashangilia Tu Kila kitu mwambie I Roho mtakafifu awaongoze

  • @MikeseOffice
    @MikeseOffice 2 หลายเดือนก่อน +3

    Let's go sir🤝

  • @ConstanciaShangali
    @ConstanciaShangali 2 หลายเดือนก่อน +7

    Ur a Really mtoto wa MAJOR ONE💪

    • @eliasdaffie6436
      @eliasdaffie6436 2 หลายเดือนก่อน

      kumbe ni mtoto wa major one

    • @winnieexavery3304
      @winnieexavery3304 2 หลายเดือนก่อน

      Major 1 tena 😮😮😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳 I don’t want to believe this one!

  • @elijahsaro6611
    @elijahsaro6611 2 หลายเดือนก่อน +2

    I pray for you man of God haya ni mawimbi ya muovu

  • @zenamwaisaka
    @zenamwaisaka 2 หลายเดือนก่อน

    Short but clear

  • @petrokapinga2201
    @petrokapinga2201 หลายเดือนก่อน

    Ingefaa Aweke siku ya ibada kingereza na Ibada kiswahili
    Sio kiswanglish ibada zote

  • @everychildcounts7041
    @everychildcounts7041 2 หลายเดือนก่อน

    You are the hero man of God keep going, hata Yesu mwenyewe walimtupia mawe

  • @EddyMwangwale
    @EddyMwangwale 2 หลายเดือนก่อน +1

    Pastor tony barikiwa zaid

  • @KatarinaKalisti
    @KatarinaKalisti หลายเดือนก่อน

    Kabisa lina wadhungu tu nasikia wite nooo, yeeea

  • @HappinessMasolwa-nm2to
    @HappinessMasolwa-nm2to 2 หลายเดือนก่อน +13

    Tony tony tony pasta achana na mitandao fanya kazi y mungu

  • @josephwarioba5203
    @josephwarioba5203 2 หลายเดือนก่อน

    Kwa jinsi ninavyokufahamu kwa undani kiuhalisia usingetumia nguvu yoyote kujieleza au kuwapanga philosophically eti umuelezee Yesu au malaya mbaya upo MADHAHABUNI hiki kitu sio kizuri na ushauri wangu CAG is a pillar kwako jiulize Archbishop huwa anapataga huo muda wa kutega watu philosophically??

  • @smartonlinetv5144
    @smartonlinetv5144 2 หลายเดือนก่อน +22

    Mtumishi tumia kiswahili zaidi may be kuna baadhi ya kondoo unawaacha njiani kwa kutoelewa neno.

    • @cletusbaraka2045
      @cletusbaraka2045 2 หลายเดือนก่อน +1

      Mpaka akatumia kingereza anawajua kondoo wake 😂😂😂 Akuna mchungaji asiyejua kondoo wake labda jisemee wew neo huelewi tukusaidie usitumie mwamvuli wa wengine😂😂

    • @gotafostv7305
      @gotafostv7305 2 หลายเดือนก่อน +7

      ​@@cletusbaraka2045sijajua kama umetumia nini kufikiri,kwani anaporusha hapa mtandaoni ,wote wanaelewa kiingereza?? ,ingekuwa anafanya ibada kanisani kwake na harushi mtandaoni huenda ungekuwa sahihi,lakini je na hapa mtandaoni wote wanaelewa kiiingereza??

    • @happysakuya7394
      @happysakuya7394 2 หลายเดือนก่อน

      Hapa anafanya hvyo kwa faida pia ya wasiojua kiswahil dear❤hopeful umeelewa

    • @smartonlinetv5144
      @smartonlinetv5144 2 หลายเดือนก่อน +2

      Mimi nadhani Kwa nchi yetu hii sidhani kama Kuna watu ambao hawafahamu kuzungumza kiswahili, ni wachache sana ambao unakuta hawakifahamu kiswahili sema yeye anakaulimbukeni Fulani hivi.
      Especially asilimia kubwa ya watu wanaotumia mitandao hii wanafahamu zaidi kiswahili kuliko kingereza.
      Kusoma sio tija, wapo wasomi kabisa na degree lakini kuzungumza kingereza ni mtihani wanamung'unya maneno tu.

    • @petermanala6138
      @petermanala6138 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@gotafostv7305SIo hata kanisani sio wote wanajua kiingereza aliyejibu hiv amekosea ni kama dharau hata yey SI Kila kitu anakijua Mungu atusamehe Kwa majivuno

  • @josephinelukweto6442
    @josephinelukweto6442 2 หลายเดือนก่อน

    Good pastor

  • @naomidavid6390
    @naomidavid6390 2 หลายเดือนก่อน +1

    Angekaa kimya n kumuomba Mungu wake siyo kila jambo linaloibuka mtandao ulitolee ufafanuzi ajifunze kupitia Mwamposa mbona hajibu chochote

  • @rachelmuhehe7789
    @rachelmuhehe7789 2 หลายเดือนก่อน

    Mnhuh naogopa kutamka neno juu ya watumishi wa Mungu but Mungu aturehemu sana

    • @MtuSafi
      @MtuSafi 2 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂

  • @eogratiuso5828
    @eogratiuso5828 หลายเดือนก่อน

    Akili kubwa uwezo mkubwa hausumbuliwi na akili ndogo za wapenda Kiki. Safi sana Mtumishi.

  • @perpetuampita5018
    @perpetuampita5018 2 หลายเดือนก่อน

    songa mbele kumtumikia bwana achana na mambo ya mitandaoni Pastor!

  • @flashmextv
    @flashmextv 2 หลายเดือนก่อน +1

    Aisee Noma Sana😂

  • @enocklazaro8175
    @enocklazaro8175 2 หลายเดือนก่อน

    True identity of JESUS deciple. Yesu akisha mkubali Mtumishi wake hakuna wa kumtikisa.

  • @DadaKuona
    @DadaKuona 2 หลายเดือนก่อน

    Tumia kiswahili tunajua umesoma punguza swaga za kuzungumza tumia kiswahili acha ushamba

  • @malkiarosemuhando3310
    @malkiarosemuhando3310 2 หลายเดือนก่อน +9

    Ongea kiswahili

  • @ElineWilson-ou8wm
    @ElineWilson-ou8wm 2 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu atadili tuu na hawo wanao mchafua mtumishi wa mungu

  • @RebeccaMalale
    @RebeccaMalale 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu atakupigania

  • @Mery-st4nu
    @Mery-st4nu 2 หลายเดือนก่อน

    Malibu mazuri sana pastor

  • @neemarwamugira1168
    @neemarwamugira1168 2 หลายเดือนก่อน +9

    mti wenye matunda hupigwa mawe,,ukifanya mazur usitegemee wattakusema mazur

  • @floridasimkonda1779
    @floridasimkonda1779 2 หลายเดือนก่อน

    Piga kazi ya Mungu pst achana na watu wa ulimwenguni hao

  • @ChrisSiwale-kl8nv
    @ChrisSiwale-kl8nv 2 หลายเดือนก่อน +3

    Ingia rohoni this is not ordinary

    • @malopemaliyamungu5243
      @malopemaliyamungu5243 2 หลายเดือนก่อน +2

      Kila Jambo linaanziaga kiroho, prayer warriors na yeye alipaswa awe amelijua na angekuwa ana-prove ujumbe.. na hao Clouds Media akae nao kwa akili na kiroho mno na MUNGU amsaidie

  • @joycemakanyaga
    @joycemakanyaga 2 หลายเดือนก่อน

    Bora umhubiri yesu vita vyetu si vya dam na nyama hata yesu ilizushiwa maneno lakini hakujibu kutoka 14:14 bwana atawapigania nanyi mtanyamaza kimya

  • @annaBenkras
    @annaBenkras 2 หลายเดือนก่อน

    piga kaz mtumish wa Mungu

  • @BeatriceDismas
    @BeatriceDismas 2 หลายเดือนก่อน +12

    Jaman achen ajitetee kila mtuu ana namana yake ya kupunguza maumiv ndan ya moyo wake......
    Mwingine atalia, mwingine atapiga kelel, mwinginè atatakaa kukaa peke yakeee......
    Obviously PT kaumia ndoo maan unaona anaongea sna mwachen aongeèe aseee mm namuunga mkono

    • @sakinamuulage1395
      @sakinamuulage1395 2 หลายเดือนก่อน

      Songa mbele mtumishi wa Mungu....

  • @givenessdavid3743
    @givenessdavid3743 2 หลายเดือนก่อน +14

    Pastor ni Pastor tu hata uwe na Miaka miwili so Unatakiwa kuwa mtu mzima kiakili pia......Kaeni mbali na hao ma super star ukaribu uishie kwenye huduma za kiroho na sio urafiki, mnatuvuruga tunaowaamini na kuwaombea....Kueni acheni drama za mtandaoni😢😢😢

    • @JudithObassy
      @JudithObassy 2 หลายเดือนก่อน

      Sawa sawa

    • @ForgiveSatrin
      @ForgiveSatrin 2 หลายเดือนก่อน

      Wew unauhakika umekua zaid yake dear

  • @gabililta
    @gabililta 2 หลายเดือนก่อน +16

    Anajitetea sana pastor Angekausha tu kama hiyo ishu haina ukweli wowote

    • @janemwenda-ec2oh
      @janemwenda-ec2oh 2 หลายเดือนก่อน +4

      Kabisa Ilibidi ache kabisa

    • @DerickNgowi-mf5pe
      @DerickNgowi-mf5pe 2 หลายเดือนก่อน +1

      @@gabililta anatumia nguvu nyingi kwakingereza

    • @smavilifestyle2471
      @smavilifestyle2471 2 หลายเดือนก่อน +3

      Sasa amejitetea wapi jamani,si ametoa option ajielezee au amuelezee Yesu watu wamechagua Yesu na ameendelea na mahubiri

    • @pacificaredemptory6269
      @pacificaredemptory6269 2 หลายเดือนก่อน

      Kuna watu angewaacha njiani na kuwavunja imani

    • @manpierre571
      @manpierre571 2 หลายเดือนก่อน

      Mbona kama umekereka mzee, amefika hapo kwa jitihada alizofanya na neema aliyopewa na anachagua yeye nini aseme ...na Wala hajajitetea hapo

  • @ZawadiMadede-ft6ms
    @ZawadiMadede-ft6ms 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ifike mahala hawa wanaojiita watumishi wa Mungu waachane na mitandao bhana
    Wao wenyewe ndo wanajisababishia maskendo yasomaana

  • @RebeccaMalale
    @RebeccaMalale 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu mwema

  • @JuliethJapheth-ov3kt
    @JuliethJapheth-ov3kt 2 หลายเดือนก่อน +2

    Naomba uzidi sana mtumishi.

  • @DorethMselem
    @DorethMselem 2 หลายเดือนก่อน +3

    Kwanza had ye aamue hivi kwan wa kwanza peke yake?mange anamsema had Mwamposa mange anamsema hadi rahis tunakuomba ukae kimya tu maneno kwa maneno ni kelele lkn maneno na ukimya ndo jibu

  • @dstarclassic9490
    @dstarclassic9490 2 หลายเดือนก่อน

    Haleluya

  • @shijacharles
    @shijacharles 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu azidi kukutunza.

  • @manpierre571
    @manpierre571 2 หลายเดือนก่อน +4

    Keep Provoking their reaction pastor mpaka waseme huyu ameshindikana 😂

  • @annamwakibinga527
    @annamwakibinga527 2 หลายเดือนก่อน

    Mtumishi achana na hawa watu wameona unainuka wanataka kukuangusha. Bali hawapambani na wewe wanapamba na Mungu.

  • @aminanchimbi-eb8ee
    @aminanchimbi-eb8ee 2 หลายเดือนก่อน

    daaah napenda san mahubir yk jamsn

  • @marwajuma8054
    @marwajuma8054 2 หลายเดือนก่อน

    Ww angalia hao wasaidizi eheee

  • @alakomba6830
    @alakomba6830 หลายเดือนก่อน

    Hakuna utumwa mbaya kama utumwa wa fikra. Hivi Tony unafikiri kuongea kingereza nchini mwako mbele ya watanzania wasiojua kingereza ni maendeleo? Tunajua umesoma lakini ni busara kutumia kiswahili

  • @RebeccaMalale
    @RebeccaMalale 2 หลายเดือนก่อน

    Aiseee

  • @bettykinyami5096
    @bettykinyami5096 2 หลายเดือนก่อน

    Sasa we mtumishi wa Mungu unawezaje kwenda kufunga saluni, wakati masaluni sio mango wa Mungu, funguo makanisa kama kweli, mi sijamuelewaga

    • @marykarebeti9410
      @marykarebeti9410 2 หลายเดือนก่อน

      Masalon sio mpango wa Mungu kwani unataka tuwe wachafu?

  • @amashamwankuga
    @amashamwankuga 2 หลายเดือนก่อน

    Sijawahi kucoment ila mchungaji nimekuelewa sana Mungu akuongeze zaidi

  • @kanankirannko6174
    @kanankirannko6174 2 หลายเดือนก่อน +4

    Elezea Yesu achana na masikini Wa akili kazi kuwaza ngono tuuu mi nakuelewaga sana unafundisha uchumi huyo dada anainspire wapambanaji wenye akili na wanaotaka kufanikiwa Mwanamke from zero to heroo

  • @zakiamseka9698
    @zakiamseka9698 2 หลายเดือนก่อน +7

    Achana na Visichana hivyo vihubirie wokovu tu basi

  • @YohanaRichard-e6p
    @YohanaRichard-e6p 2 หลายเดือนก่อน

    Pastor Tony kapola, ulitaka mashetani wakusifie? Ndani yako Kuna ufalme wa mungu aliye hai , kwahiyo kuzushiwa uovu wewe nisawa dhahabu kuipitisha motoni itazidi kung'aa tuu. Endelee kunyenyekea mbele za mungu na ulifikie kusudi alilo kuitia muumbaji wako.

  • @cleartzboy
    @cleartzboy 2 หลายเดือนก่อน

    Jaman uislam uko wazz

  • @francisngwale4567
    @francisngwale4567 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mtangazaji nmekuelewa sana

  • @MtuSafi
    @MtuSafi 2 หลายเดือนก่อน

    kwahyo bwana tony unaowqhubiria wote wanajua kiingereza mana mahubiri yako yote ni kiingereza tu.

  • @matronmkenda3510
    @matronmkenda3510 2 หลายเดือนก่อน +3

    Sis wengine kizungu hatujui pia kuna ambao wapo hapo hajui ue unaongea kiswahili tuelewe mtumishi

    • @smavilifestyle2471
      @smavilifestyle2471 2 หลายเดือนก่อน

      Kama hujui jifunze na waliopo hapo wote wanajua kingereza,simple tu

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 2 หลายเดือนก่อน +2

    Hivi watu mna nini? Kwnn tunahukumu watu kuhusu upuuzi ambao ni vitu vya ajabu ajabu as if nyie wahukumu ni wasaaafi na mmemkuta. Mxiiiuuuu. Pastor songa mbele Mungu ashughulike nao wazushi na watesi. Nakerwaaa na judges mimi

  • @joyceallute6727
    @joyceallute6727 2 หลายเดือนก่อน

    Hekima ya Kimungu kabisaaa nimependaaaa pastor Tony ni mmoja tu😂😂😂😂😂

  • @MaryjoyceTarimo
    @MaryjoyceTarimo 2 หลายเดือนก่อน

    Mtumishi wa Mungu kumbuka wewe ni jalala kumbuka hilo, upaswi kuji chochote acha Mungu atawajibu mbona ni vema zaidi

  • @annawinstone9426
    @annawinstone9426 2 หลายเดือนก่อน

    Tupo nje ya muda mtumishi lete neno😂😂

  • @agathahasote9894
    @agathahasote9894 2 หลายเดือนก่อน

    HIVI NI KIFUNGU GANI KWENYE BIBLE KINACHOSEMA TUSIWASEME VIBAYA WATUMISHI WA MUNGU? MANGE SIJUI ANA SHIDA GANI😢

  • @sesiliasalleko2013
    @sesiliasalleko2013 2 หลายเดือนก่อน

    Tony jifunze kiswahili sWa sawa unatuvuruga

  • @gracengunga348
    @gracengunga348 2 หลายเดือนก่อน

    Napenda sana ukiongea kingereza pasta😅

  • @gmentertainmentcompany9353
    @gmentertainmentcompany9353 2 หลายเดือนก่อน

    piga KAZI tony watanzania tunakuelewa bado Sana

  • @Mrs.naturalez
    @Mrs.naturalez 2 หลายเดือนก่อน

    Even if anything happened. I'd still stick with Baba.

  • @elrachum3866
    @elrachum3866 2 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu aliposema kuishi na wanawake kwa akili sio tu mke hata hao wanawake waropokaji waongo waongo kama mange ... ishi nao hapa duniani kwa akili ... Achana naye YULE ALIYEKUCHAFUA ni kibaraka wa shetani . Mungu ata dili naye... maana vita ni ya BWANA WA MAJESHI.

  • @peterlujuo1640
    @peterlujuo1640 2 หลายเดือนก่อน

    Sema hata kama pastor kapita na niffer wala sio Big deal she’s beautiful na ana roho kama sisi. 😅

  • @justinemasse28
    @justinemasse28 2 หลายเดือนก่อน

    Ilo kanisa lipo nchi gani

  • @elizabethraphael-n4y
    @elizabethraphael-n4y 2 หลายเดือนก่อน

    Yani hakuna nchi ambayo watu hawana heshima kama Tanzanía mara wawa vamie adi wamama watu wazima