GHARAMA ZA BANDA BORA NA NAFUU LA KUFUGIA KUKU | poultry farm Kenya

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 14 มิ.ย. 2024

ความคิดเห็น • 20

  • @MethodNdekele
    @MethodNdekele 11 วันที่ผ่านมา

    nami niunganishe

    • @KingoFarm1
      @KingoFarm1  11 วันที่ผ่านมา

      Njoo what app Kwa hii namba! 0712188239

  • @jompoultryfarm7012
    @jompoultryfarm7012 22 วันที่ผ่านมา +1

    Gharaa za fundi hujasema..pia hiyo miti.

    • @KingoFarm1
      @KingoFarm1  22 วันที่ผ่านมา

      Miti sijainunua ila fundi nilimlipa shilingi 70000 yaani wa kuweka sakafu na kujenga banda

  • @DonataIrigo
    @DonataIrigo 17 วันที่ผ่านมา +1

    Bei gani kanuni

    • @KingoFarm1
      @KingoFarm1  17 วันที่ผ่านมา

      Elfu tano

  • @shilangiabbas7830
    @shilangiabbas7830 18 วันที่ผ่านมา

    Kazi nzuri sana mkufunzi lakini Vipi kuhusu chicken perches zile mbao au miti ya kuku kukaa kwa juu yake ndani ya banda lako.?

    • @KingoFarm1
      @KingoFarm1  18 วันที่ผ่านมา

      Hiyo tumeweka kwenye Manda ya kuku wakubwa, ukiweka kwenye Vifaranga watakuwa hawali, maana wanapenda sana kukaa kwenye Ile miti , na humu tunaingiza Vifaranga

  • @RenaldaMunishi509
    @RenaldaMunishi509 16 วันที่ผ่านมา

    Naomba vipimo vya banda la kuku100

    • @KingoFarm1
      @KingoFarm1  16 วันที่ผ่านมา

      9 foot × 9 foot

  • @AnethKauzen-yz1ws
    @AnethKauzen-yz1ws 23 วันที่ผ่านมา +1

    NAMI niunganishe pia

    • @KingoFarm1
      @KingoFarm1  23 วันที่ผ่านมา

      Tutafute 0712188239

  • @DonataIrigo
    @DonataIrigo 17 วันที่ผ่านมา +1

    Sakafu itabaki mchanga

    • @KingoFarm1
      @KingoFarm1  17 วันที่ผ่านมา

      Unaweka rafu

    • @DonataIrigo
      @DonataIrigo 16 วันที่ผ่านมา

      @@KingoFarm1 Asante sana barikiwa

  • @ayubumitiakimitiakikivuy-fo3yp
    @ayubumitiakimitiakikivuy-fo3yp 23 วันที่ผ่านมา +1

    kingo farm niunganishe basi kwenye group la WhatsApp nilipie chap ili unipe proses ya ufugaji wa kuku

    • @KingoFarm1
      @KingoFarm1  23 วันที่ผ่านมา

      Tutafute WhatsApp 0712188239

    • @malila4582
      @malila4582 23 วันที่ผ่านมา

      Mashaallah mtaarama wangu

    • @nomattersorry6732
      @nomattersorry6732 23 วันที่ผ่านมา

      Hongera sana . Maasha Allah.

    • @PaskaliCharles-pz8ds
      @PaskaliCharles-pz8ds 22 วันที่ผ่านมา

      Asante kwa elimu