Kaka yupo vizuri sanaaaaaa
Gooooooooood. Mpaka Raha. Ok
Huu wimbo unanikumbusha mbali sana ila umetisha sana umenishawiahi kufuga sungura
RADIO TANZANIA enzi izooo niko mtoto (1989) nilikuwa napenda saana, Daah, NAWAOMBENI MWENYE HUU WIMBO anisaidie kwa watsup
We jamaa nimekuelewa maelezo yako yananishawishi kufanya huu mradi
Br0 nina sungula 59 madum 23 ya mkojo sina soko ...
Bwana Malembo, naomba kujua namna ya kuchanganya mkojo wa sungura kama kiatilifu na mbolea pia
Napenda sana mafasirio yako.
Tupatieni huu wimbo nyie tbc ..eboooo
Umeeleweka kaka.
naomba kujua Jins Ya kuandaa chakula cha sungura
Pia una tumia ngozi ya sungura kwenye kidonda kinatokana na kuungua
Pamoja
Naomba namba zenu
Naomba mawasiliano yenu nami nafuga
Hizo plastiki za dumu naomba mziondoe make sungura wana tabia ya kuzitafuna na mwishowe wanakufa
Hongera weka number yako
Je tunawezaje kupata soko la sungura kama tukianza kufuga
Kwa anawauza naomba namba nipo dar nataka wa kufuga
Dah mie wimbo tu
Nawezaji kupata namba zako,maana kuna vitu ningependa kukuuliza maana na mimi nimefuga sungura
Kaka kama kakaa
MAFANIKIO:-
Fanya mambo haya matano (5) kabla hujaingia mwaka 2021👇👇..
www.mrbunduki.com/2020/12/fanya-mambo-matano-5-kabla-hujaingia.html?m=1#more
hallo, swali yangu ni mtu anaeza pandisha kutoka kwa califonia white male to schinchira female?
Huu wimbo wa shambani unaitwaje?..naweza upata wapi
i realize I am kinda off topic but do anyone know a good place to watch newly released movies online ?
@Julian Armani Thank you, signed up and it seems like they got a lot of movies there :) I appreciate it !
Duh huu wimbo umenikumbusha mbali
Huu wimbo unanikumbusha nilipo kuwa mdogo enzi hizo radio Tanzania dar es Salam baba yangu alikuwa habadili station ni tbc tu
Ina mana wimbo huu una ukumbusho mkubwa sana kwako. Mie nae nimeupenda kwa kweli.
Asante Sana Kwa Maelezo yako Mazuri na yakueleweka.
Nahitaji Sana kujifunza kwako zaidi, Kwa Sababu nami nimeanza kufuga.
Naomba Mawasiliano yako.
Huu wimbo unanikumbusha nilipo kuwa mdogo enzi hizo radio Tanzania dar es Salam baba yangu alikuwa habadili station ni tbc tu