KISOMO KIKALI MAJINI WAKO SASA WATATOLEWA MARA UKISIKILIZA KISOMO UMEPONA INSHALLAH!

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 37

  • @ASHURAASHURA-jx2if
    @ASHURAASHURA-jx2if 8 หลายเดือนก่อน +3

    Yaallah ninakuomba mola wangu mlezi kupitia dua hii yarabi ninakuomba utuondoshee kila jini masheitwan maradhi uchawi khusda kijicho fitna mimi na watotowangu yarabi kwauwezo wako tufunguliwe milango ya kher kwenye maisha yetu napia tushibishe subra imani uwakuze watoto wangu kwenye maadili yakupendezayo yakuisoma dini nakufanyia ibada inshaallah

  • @saumusulaiman4742
    @saumusulaiman4742 7 หลายเดือนก่อน +2

    Maashaalah.Shukuran jazira .Allah baariki shekhe🙏🙏🙏🥰

  • @ASHURAASHURA-jx2if
    @ASHURAASHURA-jx2if 8 หลายเดือนก่อน +3

    Yaallah ni nakushukuru mola wangu nilikuomba sana unijaalie nipate kazi nnje ya nchi NA inshaallah mungu hukuniacha ulinijaalia nikapata kazi ni kasafili alhamdulilah nikaaza kaz lkn kidog kaz hio inachangamoto vikwazo kwa bos wangu lkn inshaallah ninaamini yaallah iko siku zitakwisha NA nitasahau inshaallah kwan hakuna kisichowezekana mbele yako kikubwa subra NA imani tu nami ninaamini kupitia dua hii yarabi nitaondokewa NA hizi changamoto zote inshaallah🤲🤲🤲

  • @ASHURAASHURA-jx2if
    @ASHURAASHURA-jx2if 8 หลายเดือนก่อน +1

    Bismilah rahman rahim hakika nakushkulu allah allah kwakila jambo naamuni kila kibaya kilicho kuwa kwenye mwili wangu kimeondoka mana hali niliokuwa naiskia baada yakuskila hiki kisomo wewe allah ndie ujuwae inshaallah mpe maisha malefu shekhe OTHMAN MICHAELL azidi kutusomea dua amiina

  • @BintiAmina-kh9oh
    @BintiAmina-kh9oh 9 หลายเดือนก่อน +2

    Asalamaleikum warahmatuhllai wabarakatuh,nauliza mtu akitaka kuja kupata kisomo uwaeza kuja.

  • @saudayahaya639
    @saudayahaya639 6 หลายเดือนก่อน

    A.alekum. Ahekh Othman allah azidi kukupa kheri zaid kwakuwa jisomo hiki jiwa kinanisaidia sana. Ktkmaradhi ya kishetwain

  • @buhitexmohamed4785
    @buhitexmohamed4785 10 หลายเดือนก่อน +2

    Allahuma Amiin

  • @WachajiWaForo
    @WachajiWaForo 7 หลายเดือนก่อน

    Assalam alaykum sheikh. Alhamdulilah alhamdulilah alhamdulilah nina imani kwamba nimepona. Sheikh nilikuwa nakwenda nyayo sana inaashiria nini. Na alhamdulilah ametoa salaam. Allah akulipe kwa kila wema wako

  • @user-pz8qk7ke4h
    @user-pz8qk7ke4h 8 หลายเดือนก่อน +1

    Allah aqbar tabaraqallh 🤲🤲🙏

  • @user-fs5zu9pq5e
    @user-fs5zu9pq5e 7 หลายเดือนก่อน

    Amin cheikh wetu Osman Michael. Mwenyezi Mungu ukulinde uzidi tusomeya ili tupone..inshAllah.

  • @user-rt5vq5vc3k
    @user-rt5vq5vc3k 7 หลายเดือนก่อน +1

    Amiiin amiin🤲🤲

  • @HamyarMohd-vb1qv
    @HamyarMohd-vb1qv 10 หลายเดือนก่อน +2

    Asalam aleykum naomba kuiliza je ukomtaja allah kimoyoni na kumswalia mtume kimoyo moyo au kwa saut vip nzur zaidi

  • @user-qm5ut3yp9p
    @user-qm5ut3yp9p 10 หลายเดือนก่อน +1

    Yarab molla wangu niondoshee maradhi yanayonisumbua katk maisha yangu kupitia kisomo iki

  • @user-kz7qt8qr8z
    @user-kz7qt8qr8z 10 หลายเดือนก่อน

    Yarabi kwa kisomo hk ukanioshee matatizo yote ktk maisha yangu na umifungulie milango ya rizki

  • @user-xg7bj6qg5r
    @user-xg7bj6qg5r หลายเดือนก่อน

    Asallam aleykum mm nipo oman kikazi nimesikuluza dua hii kupitia kuweka von masikion maajabu niliyoona shee nilianza kucheza mwili kicha tumbo kuvuluga nakaanza kupinga miayo sana uku mwili ukinicheza sana wakati unamalizia dua nikajikuta mmdomo uko wazi mate yanatoka kisha nikaona ulimi unatoka inje ukawa mlefu kabisa ulipokuwa unamalizaduwa ndio ulimi ukalundi ndani wenyewe mpaka ukawa unaniuma kweri shee nimeona miujiza asant shee laken namba za sim sikuziona nilikuwa nasikia vibaya nikajilaza chali nikawa najiyoisha tu viungi

  • @zawadi-mz2nr
    @zawadi-mz2nr 10 หลายเดือนก่อน +1

    Assalam aleikum warahmatullah wabarakatuh ya shk. Shukran kwa kisomo hiki kizuri. Mm nauliza us who stays far from your country, can you pray for us through the phone? If yes ! On which exact number? BarakaAllahu fikum may Allah ta'ala continue to bless you for us In Sha Allah.

  • @halimakenya3632
    @halimakenya3632 10 หลายเดือนก่อน +1

    Amina

  • @janetmutua4275
    @janetmutua4275 2 หลายเดือนก่อน

    mungu akubariki sana 🙏,pia nitume sadaka kwa number ngani pls,niko kenya njina ni Janet minoo mutua

  • @sabahabdallah5791
    @sabahabdallah5791 10 หลายเดือนก่อน +1

    Kisomo kizuri saaana sheikh, MashaAllah 👏

  • @ElizabethLizzy-pk3zj
    @ElizabethLizzy-pk3zj 10 หลายเดือนก่อน

    Assallam walky warakumatullah wabrakatullah Allahmdulillah,,mm naisikiliza lakini malaika ya simama🤲

  • @ElizabethLizzy-pk3zj
    @ElizabethLizzy-pk3zj 10 หลายเดือนก่อน

    AMIIN 🤲

  • @AsiaNassoroMpili
    @AsiaNassoroMpili 10 หลายเดือนก่อน

    Amiiiiiin 🙏

  • @wardagogodigo1111
    @wardagogodigo1111 10 หลายเดือนก่อน +1

    🙏

  • @user-xg7bj6qg5r
    @user-xg7bj6qg5r หลายเดือนก่อน

    Sasa mm nipo mbali nifanyeje kuusu dawa

  • @ElizabethLizzy-pk3zj
    @ElizabethLizzy-pk3zj 10 หลายเดือนก่อน

    Amiin yaraby 🤲 Allah muondolee kila ugonjwa 🙏🤲

  • @user-zc6ky6si8r
    @user-zc6ky6si8r 10 หลายเดือนก่อน +1

    Waalekum salam sheikh. Kusema la ukweli nlipoanza kuskiza tokea mwanzo usingizi ghafla ulinijia japo nlijikaza nisisinzie mpaka mwisho wa kisomo ukatoweka

  • @geradybahati3127
    @geradybahati3127 10 หลายเดือนก่อน

    Nimetoa hewa na mwili umesisimuka

  • @user-kz7qt8qr8z
    @user-kz7qt8qr8z 10 หลายเดือนก่อน

    Shehe mm nimetowa sn hewa mdomoni na nilijinyosha sn naomba unipe maelekezo nije

    • @othmanmichaelonline2866
      @othmanmichaelonline2866  10 หลายเดือนก่อน

      Njoo buguruni rozana ukifika tupigie

    • @user-kz7qt8qr8z
      @user-kz7qt8qr8z 10 หลายเดือนก่อน

      @@othmanmichaelonline2866 ijumaa natakiwa kuja muda gani

  • @ElizabethLizzy-pk3zj
    @ElizabethLizzy-pk3zj 10 หลายเดือนก่อน

    Sheikh ukitaka dawa na uko kenya twazipata vipi

    • @mwanamisiramadhan4773
      @mwanamisiramadhan4773 10 หลายเดือนก่อน

      Guraya majengo pale alipofikia wakati yupo msa kama wakumbuka

    • @othmanmichaelonline2866
      @othmanmichaelonline2866  10 หลายเดือนก่อน

      Guraya iko brunch yetu napia waeza tumiwa na tawakkal bus