Yaallah ninakuomba mola wangu mlezi kupitia dua hii yarabi ninakuomba utuondoshee kila jini masheitwan maradhi uchawi khusda kijicho fitna mimi na watotowangu yarabi kwauwezo wako tufunguliwe milango ya kher kwenye maisha yetu napia tushibishe subra imani uwakuze watoto wangu kwenye maadili yakupendezayo yakuisoma dini nakufanyia ibada inshaallah
Yaallah ni nakushukuru mola wangu nilikuomba sana unijaalie nipate kazi nnje ya nchi NA inshaallah mungu hukuniacha ulinijaalia nikapata kazi ni kasafili alhamdulilah nikaaza kaz lkn kidog kaz hio inachangamoto vikwazo kwa bos wangu lkn inshaallah ninaamini yaallah iko siku zitakwisha NA nitasahau inshaallah kwan hakuna kisichowezekana mbele yako kikubwa subra NA imani tu nami ninaamini kupitia dua hii yarabi nitaondokewa NA hizi changamoto zote inshaallah🤲🤲🤲
Bismilah rahman rahim hakika nakushkulu allah allah kwakila jambo naamuni kila kibaya kilicho kuwa kwenye mwili wangu kimeondoka mana hali niliokuwa naiskia baada yakuskila hiki kisomo wewe allah ndie ujuwae inshaallah mpe maisha malefu shekhe OTHMAN MICHAELL azidi kutusomea dua amiina
Assalam alaykum sheikh. Alhamdulilah alhamdulilah alhamdulilah nina imani kwamba nimepona. Sheikh nilikuwa nakwenda nyayo sana inaashiria nini. Na alhamdulilah ametoa salaam. Allah akulipe kwa kila wema wako
Asallam aleykum mm nipo oman kikazi nimesikuluza dua hii kupitia kuweka von masikion maajabu niliyoona shee nilianza kucheza mwili kicha tumbo kuvuluga nakaanza kupinga miayo sana uku mwili ukinicheza sana wakati unamalizia dua nikajikuta mmdomo uko wazi mate yanatoka kisha nikaona ulimi unatoka inje ukawa mlefu kabisa ulipokuwa unamalizaduwa ndio ulimi ukalundi ndani wenyewe mpaka ukawa unaniuma kweri shee nimeona miujiza asant shee laken namba za sim sikuziona nilikuwa nasikia vibaya nikajilaza chali nikawa najiyoisha tu viungi
Assalam aleikum warahmatullah wabarakatuh ya shk. Shukran kwa kisomo hiki kizuri. Mm nauliza us who stays far from your country, can you pray for us through the phone? If yes ! On which exact number? BarakaAllahu fikum may Allah ta'ala continue to bless you for us In Sha Allah.
Yaallah ninakuomba mola wangu mlezi kupitia dua hii yarabi ninakuomba utuondoshee kila jini masheitwan maradhi uchawi khusda kijicho fitna mimi na watotowangu yarabi kwauwezo wako tufunguliwe milango ya kher kwenye maisha yetu napia tushibishe subra imani uwakuze watoto wangu kwenye maadili yakupendezayo yakuisoma dini nakufanyia ibada inshaallah
Maashaalah.Shukuran jazira .Allah baariki shekhe🙏🙏🙏🥰
Yaallah ni nakushukuru mola wangu nilikuomba sana unijaalie nipate kazi nnje ya nchi NA inshaallah mungu hukuniacha ulinijaalia nikapata kazi ni kasafili alhamdulilah nikaaza kaz lkn kidog kaz hio inachangamoto vikwazo kwa bos wangu lkn inshaallah ninaamini yaallah iko siku zitakwisha NA nitasahau inshaallah kwan hakuna kisichowezekana mbele yako kikubwa subra NA imani tu nami ninaamini kupitia dua hii yarabi nitaondokewa NA hizi changamoto zote inshaallah🤲🤲🤲
Bismilah rahman rahim hakika nakushkulu allah allah kwakila jambo naamuni kila kibaya kilicho kuwa kwenye mwili wangu kimeondoka mana hali niliokuwa naiskia baada yakuskila hiki kisomo wewe allah ndie ujuwae inshaallah mpe maisha malefu shekhe OTHMAN MICHAELL azidi kutusomea dua amiina
Asalamaleikum warahmatuhllai wabarakatuh,nauliza mtu akitaka kuja kupata kisomo uwaeza kuja.
A.alekum. Ahekh Othman allah azidi kukupa kheri zaid kwakuwa jisomo hiki jiwa kinanisaidia sana. Ktkmaradhi ya kishetwain
Allahuma Amiin
Assalam alaykum sheikh. Alhamdulilah alhamdulilah alhamdulilah nina imani kwamba nimepona. Sheikh nilikuwa nakwenda nyayo sana inaashiria nini. Na alhamdulilah ametoa salaam. Allah akulipe kwa kila wema wako
Allah aqbar tabaraqallh 🤲🤲🙏
Amin cheikh wetu Osman Michael. Mwenyezi Mungu ukulinde uzidi tusomeya ili tupone..inshAllah.
Amiiin amiin🤲🤲
Asalam aleykum naomba kuiliza je ukomtaja allah kimoyoni na kumswalia mtume kimoyo moyo au kwa saut vip nzur zaidi
Kimoyo moyo ❤
Yarab molla wangu niondoshee maradhi yanayonisumbua katk maisha yangu kupitia kisomo iki
Yarabi kwa kisomo hk ukanioshee matatizo yote ktk maisha yangu na umifungulie milango ya rizki
Asallam aleykum mm nipo oman kikazi nimesikuluza dua hii kupitia kuweka von masikion maajabu niliyoona shee nilianza kucheza mwili kicha tumbo kuvuluga nakaanza kupinga miayo sana uku mwili ukinicheza sana wakati unamalizia dua nikajikuta mmdomo uko wazi mate yanatoka kisha nikaona ulimi unatoka inje ukawa mlefu kabisa ulipokuwa unamalizaduwa ndio ulimi ukalundi ndani wenyewe mpaka ukawa unaniuma kweri shee nimeona miujiza asant shee laken namba za sim sikuziona nilikuwa nasikia vibaya nikajilaza chali nikawa najiyoisha tu viungi
Assalam aleikum warahmatullah wabarakatuh ya shk. Shukran kwa kisomo hiki kizuri. Mm nauliza us who stays far from your country, can you pray for us through the phone? If yes ! On which exact number? BarakaAllahu fikum may Allah ta'ala continue to bless you for us In Sha Allah.
+255784122858
Amina
mungu akubariki sana 🙏,pia nitume sadaka kwa number ngani pls,niko kenya njina ni Janet minoo mutua
Kisomo kizuri saaana sheikh, MashaAllah 👏
Assallam walky warakumatullah wabrakatullah Allahmdulillah,,mm naisikiliza lakini malaika ya simama🤲
AMIIN 🤲
Amiiiiiin 🙏
🙏
Sasa mm nipo mbali nifanyeje kuusu dawa
Amiin yaraby 🤲 Allah muondolee kila ugonjwa 🙏🤲
Kila aliye mgonjwa*
Waalekum salam sheikh. Kusema la ukweli nlipoanza kuskiza tokea mwanzo usingizi ghafla ulinijia japo nlijikaza nisisinzie mpaka mwisho wa kisomo ukatoweka
Rudia tena kuckiliza
Nimetoa hewa na mwili umesisimuka
Shehe mm nimetowa sn hewa mdomoni na nilijinyosha sn naomba unipe maelekezo nije
Njoo buguruni rozana ukifika tupigie
@@othmanmichaelonline2866 ijumaa natakiwa kuja muda gani
Sheikh ukitaka dawa na uko kenya twazipata vipi
Guraya majengo pale alipofikia wakati yupo msa kama wakumbuka
Guraya iko brunch yetu napia waeza tumiwa na tawakkal bus