NEEMA YATOSHA - KWAYA YA MT ALOIS GONZAGA, KIGAMBONI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 26 ส.ค. 2024
- Wimbo huu umetungwa na P.P. Fubusa na kuimbwa na Kwaya ya Mt.Alois Gonzaga kutoka Kigamboni, Dar es salaam kwaajili ya kumshukuru Mungu kwa zawadi ya Neema yake katika safari ya maisha yetu sisi tulioviumbe wake.
Mungu hutujalia Neema yake si kwasababu tunastahili bali ni kwasababu ya huruma yake kwetu sisi tuliowadhambi.
Namna njema ya kupata neema ya Mungu ni kumuamini,kulishika na kuliishi neno lake na kumuomba anene nasi nafsini mwetu.
Hakika, Neema ya Mungu yatosha kwaajili ya wokovu wetu.
WIMBO : NEEMA YATOSHA
MTUNZI : P.P.FUBUSA
AUDIO : The Galaxy Pro
VIDEO : The Galaxy Pro
#NeemayaMunguInatosha #shukrani #asante #kwayakatoliki #gospel
Hongereni sana. Kazi nzuri, Mungu awabariki
Naisubiria kwa hamu na gamu. #GalaxyProPerExcellence😊
Nasubiri niinjilike
Hakika #neema yatosha ni maneno mazuri yameimbwa vizuri na kwaya nzuri katika video nzuri...
Namshukuru kuwa wa kwanza kuangalia huu wimbo
Hongera
Hakika ni kwa neema yako Mungu, hongereni sana na Mungu aendelee kuwa tia nguvu ..najivunia sana 😍😍😍💗😊😘😍🙏🙏🙏🙏🙏🙏 tuko pamoja🙏🙏🙏🙏 nawapenda
Wimbo safi sanaaaa
Hongeren sana wana wa mungu kazi nzuri sana🙏
Asante sana Ndugu! Mungu akubariki katika kazi zako pia hasa utumiapo karama ya sauti yako
Hongereni Sana. Kazi nzuri Munga aendelee kuwasimamia utume wenu.
Heshima kwenuuuu Sana yn
Mpo vizuri mno jamani
Asante ndugu!
Sifa na utukufu ni kwa Mungu. Tafadhali,Washirikishe na ndugu ,jamaa na rafiki watazame na kusubscribe
th-cam.com/video/UWbuppK_p78/w-d-xo.html
Hongerani wimbo mzuri,video iposawa pia🙏
Naona amani ,upendo na furaha vinatiririka moyoni mwangu ,,, Amina sana Mungu awaongoze na kuwatunza zaidi na zaidi ,,am blessed
Asante ndugu!
Sifa na utukufu ni kwa Mungu. Tafadhali,Washirikishe na ndugu ,jamaa na rafiki watazame na kusubscribe
th-cam.com/video/UWbuppK_p78/w-d-xo.html
Hongera sana uimbaji mzuri.. Asanteee saana kwa kutuuinjilisha...
Mwanangu Frank Mwambi - Wakili Hongera Sana...
Asante Wakili Msomi👏
kazi nzuri mnooo, mbarikiwe sanaaa!!!!
Asante ndugu!
Sifa na utukufu ni kwa Mungu. Tafadhali,Washirikishe na ndugu ,jamaa na rafiki watazame na kusubscribe
th-cam.com/video/UWbuppK_p78/w-d-xo.html
Hatari mnoo. Kimya tunaingojea Kwa hamu
Kali Sana. Wyma producer nikiwa Kenya
Ahsante na karibu sanaaa
Tumshukuru Mungu,tafadhali subscribe katika channeli yetu bila kusahau kushare link na ndugu na jamaa
Kabisa
Naisubiri kwa hamu sanaaaaa
Imeshatoka, umetazama?
Nabarikiwa sana aseeee
Asante ndugu!
Sifa na utukufu ni kwa Mungu. Tafadhali,Washirikishe na ndugu ,jamaa na rafiki watazame na kusubscribe
th-cam.com/video/UWbuppK_p78/w-d-xo.html
Hey Mimi naisubir hiii nyimbo niione naipenda Sana kwenye album yenu mungu awabariki
Hongera kwenu Alois Gonzaga, mnaweza kila idara, Mungu awalinde.
Asante sana,sifa kwa Mungu wetu!
Tafadhali, subscribe channel yetu, kisha washirikishe wengine pia kwa kuwatumia link th-cam.com/video/UWbuppK_p78/w-d-xo.html
@@kwayayamtaloisgonzaga-kiga60 Tayari nilikwisha subscribe, tuko pamoja.
Mungu awabariki sanaaa
Asante ndugu!
Sifa na utukufu ni kwa Mungu. Tafadhali,Washirikishe na ndugu ,jamaa na rafiki watazame na kusubscribe
th-cam.com/video/UWbuppK_p78/w-d-xo.html
Asanteni wote kwa maoni yenu , ni wazi yanatutia nguvu.
Yote yamewezekana kwa Neema ya Mungu!
Nilisikia kanisani kiongozi wa kwaya akituambia tuje TH-cam tuangalie ila kwa kweli najiona kuchelewa lakini nawashukuru kwa nyimbo nzuri
Asante ndugu!
Sifa na utukufu ni kwa Mungu. Tafadhali,Washirikishe na ndugu ,jamaa na rafiki watazame na kusubscribe
th-cam.com/video/UWbuppK_p78/w-d-xo.html
Waiting
Nice one Fellaz🎵👋
Kweli Upendo na wema wangu tumeuona.. mmetubariki sana
Wimbo mzuri sanaaaaaaaa hongeren kwa sauti zilizotulia
Asante ndugu!
Sifa na utukufu ni kwa Mungu. Tafadhali,Washirikishe na ndugu ,jamaa na rafiki watazame na kusubscribe
th-cam.com/video/UWbuppK_p78/w-d-xo.html
Hengereni mnoo.. Mungu awee nanyi daima mfike malengo. Hiyo sehemu ya shooting ni njema sana sjajua shida ilikuwa studio au edits... kazi ni njema zana
Mimi kama mimi, naisubiri hii kitu😊
Kazi nzuri bro domi
Asante ndugu!
Sifa na utukufu ni kwa Mungu. Tafadhali,Washirikishe na ndugu ,jamaa na rafiki watazame na kusubscribe
th-cam.com/video/UWbuppK_p78/w-d-xo.html
Video nzuri sana ina ujumbe mzuri hongeren
Asante ndugu!
Sifa na utukufu ni kwa Mungu. Tafadhali,Washirikishe na ndugu ,jamaa na rafiki watazame na kusubscribe
th-cam.com/video/UWbuppK_p78/w-d-xo.html
Wimbo wa kubariki
Tumshukuru Mungu,tafadhali subscribe katika channeli yetu ikikupendeza bila kusahau kushare link na ndugu na jamaa
Son Max I see you 🔥
Wimbo mzuri WA sifa... Hongereni Sana kutufunsisha....
Hongereni sana nawapenda mno
Asante ndugu!
Sifa na utukufu ni kwa Mungu. Tafadhali,Washirikishe na ndugu ,jamaa na rafiki watazame na kusubscribe
th-cam.com/video/UWbuppK_p78/w-d-xo.html
mbarikiwe sana
Marcus Mndamshimu kazi nzuri saana
Amina pia tuwape link ndugu na jamaa tuendelee kuinjilika
Asante ndugu!
Sifa na utukufu ni kwa Mungu. Tafadhali,Washirikishe na ndugu ,jamaa na rafiki watazame na kusubscribe
th-cam.com/video/UWbuppK_p78/w-d-xo.html
Hongereni wapendwa....
asante ndugu,tafadhali subscribe kwenye channeli yetu
Mbarikiwe, wimbo mzuri sana. Wanakwaya wapo smart na wamechangamka sana
nyimbo ni nzuri nmeipenda,na hongereni kwa kaz nzuri
Hongereni sana regina
Asante ndugu!
Sifa na utukufu ni kwa Mungu. Tafadhali,Washirikishe na ndugu ,jamaa na rafiki watazame na kusubscribe
th-cam.com/video/UWbuppK_p78/w-d-xo.html
Hongereni rafiki zangu.. Kazi nzuri sana...mmefikia level nzuri sana...shikilieni hapohapo msirudi chini tena.Wengi tutajifunza kupia nyie...nawaona mbali sana siku sio nyingi...
Asante ndugu
Hongereni Mmeimba vizur Pia Ujumbe ...mzr
Tunaomba usubscribe tafadhali kisha Watumie link ndugu jamaa na rafiki
Good job
Hongereni Sana wimbo ni mzuri Sana kwa kweri
Tumshukuru Mungu,tafadhali subscribe katika channeli yetu ikikupendeza
Nyimbo nzuri sanaaa sichoki kusikilizaaa 😍
Barikiweni Sana waimbaji kwa kazi nzuri
Asante ndugu!
Sifa na utukufu ni kwa Mungu. Tafadhali,Washirikishe na ndugu ,jamaa na rafiki watazame na kusubscribe
th-cam.com/video/UWbuppK_p78/w-d-xo.html
"Neema zako na Fadhili zako ndizo zaniongoza"
Hongeren sana kaz nzuri Mungu awabariki sana na azid kuwapa maneno matamu zaid kwa sifa na utukufu wake
Asante ndugu!
Sifa na utukufu ni kwa Mungu. Tafadhali,Washirikishe na ndugu ,jamaa na rafiki watazame na kusubscribe
th-cam.com/video/UWbuppK_p78/w-d-xo.html
Ewalaaa hakika Mungu anatukizwa Mungu awabariki sana
Nikwaneema yako baba nimeamka salama asingekuwa wewe nisingeamka shukrani nizako ebwana milele na milele amina🙏🙏 🥰🥰🤩
Moja ya wimbo bora sana🙏🙏🙏🙏
Wimbo mzuri sana
Tumshukuru Mungu,tafadhali subscribe katika channeli yetu ikikupendeza.
Hongereni sana WanaAloyce Gonzaga Kazi ni njema sana👏🏾
Asante ndugu!
Sifa na utukufu ni kwa Mungu. Tafadhali,Washirikishe na ndugu ,jamaa na rafiki watazame na kusubscribe
th-cam.com/video/UWbuppK_p78/w-d-xo.html
KWAYA YA MT ALOIS GONZAGA KIGAMBONI tupo pamoja👏🏾
Hongereni sana kwa wimbo mzuri msichoke kutuinjilisha
amina.
washirikishe ndugu ,jamaa na rafiki pia link hii
Karibuni kutazama Wimbo: NEEMA YATOSHA kupitia link hii kutoka KWAYA YA MT ALOIS GONZAGA -KIGAMBONI bila kusahau kusubscribe th-cam.com/video/UWbuppK_p78/w-d-xo.html
Hongereni sana waumini kwa wimbo mzuri stair safiii
Thnx u tunaomba support yko
Asante sana, tunakuomba usisahau kusubscribe katika channel hii tafadhali;pia share link na ndugu , jamaa na rafiki
Hongereni sana nyimbo nzuri sana na video quality safiiii Mungu awabariki katika utume wenu Amina.
Amina sana
Amina
Umenibarki umeniinua umenijbu kwa wakati hakika mungu wtu anajbu kwa wakati tumtukuze kwa sala na Sadaka
Amina!
Tafadhali,subscribe na share link na ndugu jamaa na rafiki
DJ WYMA FROM KENYA SAID THIS IS A HIT
Amen,please share the link with your friends to spread the Gospel😊
Tunashukuru kwa comment na tumain umesubscribe
Wimbo nzur, Ubarikiwe mnoooo
Nyimbo nzuri sana, Mungu atukuzwe ndani yenu.
Amina
Kazi nzuri
Amazing
Asante ndugu!
Sifa na utukufu ni kwa Mungu. Tafadhali,Washirikishe na ndugu ,jamaa na rafiki watazame na kusubscribe
th-cam.com/video/UWbuppK_p78/w-d-xo.html
Iko poa sana hii ngoma nimeielewa
Kihome home keep blessed
Amen 🙏💖👌👊 mungu hawa bariki nyote wapendwa 👏 Asante
Mungu wetu 🙏 sifa tuna kupa wewe Jehovah lover 💖👌 😂😂💕🎷👍
share link na wapendwa waweze kutazama hapo chini
Karibuni kutazama Wimbo: NEEMA YATOSHA kupitia link hii kutoka KWAYA YA MT ALOIS GONZAGA -KIGAMBONI bila kusahau kusubscribe th-cam.com/video/UWbuppK_p78/w-d-xo.html
Shukrani waimbaji kwawimbo mzuli,na pigo inaendana na wimbo. 😘😘🙏🥰
Amina
tafadhali subscribe na share link na ndugu ,jamaa na rafiki wengine
Naiona mbali sana kwaya hii mungu awabariki
Habari Ndugu, Karibu pia kutazama Muziki Mtakatifu Kupitia th-cam.com/video/CtlTYCfrVy4/w-d-xo.html. Share na ndugu wengine pia usisahau kuSUBSCRIBE🙏🏽
Amina, Mungu ni mwema.
Kenya rc kwaya
Subscribe plz, and share the link
Wimbo una ujumbe mzr na sauti zote zinasikika moja baada ya nyingine. Hakika Mungu amejibu maombi yetu. Hongereni sana, hongera kwa Mtunzi, mpiga kinanda na video shooting
Amina sana,Tumshukuru Mungu
nzuri sana barikiwa🙏
Amina, tunaomba tafadhali usisahau kusubscribe
Nyimbo nzur sauti safi inampangilio mavaz mazur mmepndez mungu azidi kuwainua katk uimbaji mlitangaze neno lake
Sifa kwa Mungu! Tunakuomba usubscribe tafadhali na kisha Share link kwa ndugu na jamaa watazame pia
So nice. Yaani mmenikumbusha jinsi mlivyoamsha kwenye TYM-8. Hakika Neema Yatosha! Mko njema sana KMAG. May God bless you more
Tumshukuru Mungu
Wimbo mzr, sauti zinasikika zote na zimetulia, hongereni sana Wana kwaya woote. Keep it up
Asante sana Maria.
@@kwayayamtaloisgonzaga-kiga60 asante sana kushukuru
Hongereni sana ndugu zangu wanagonzaga...hayo ndo mambo tulikuwa tunayaotaga enzi nikiwa hapoo...congrats to the whole team..and be blessed brethren!
Asante br pia tunakukaribisha mda wote karibu sana upatapo muda njoo utuone pia usisahau kushare na kusubscribe lengo letu nikufikisha subscribers 1k mwaka huu
Asante sana kaka, Siku ukija likizo usisite kututembelea tena! Kama bado hujasubscribe tunaomba ufanye hivyo tafadhali bila kusahau kuwashirikisha ndugu, jamaa na marafiki link ya channel hii waweze kutazama pia!
@@kwayayamtaloisgonzaga-kiga60 samahani naomba mziki wake no 0620272008
Umepangwa ukakamatana. Swadakta, Baraka zake Maulana.
Tumshukuru Mungu
i love Tanzania, Kweli 'Heri taifa ambalo Bwana Ni Mungu wao.
Tafadhali tunaomba usubscribe kwa kubofya kitufe chekundu hapo chini ya video "Subscribe" na share link na wapendwa wengi zaidi
Hongereni kwa utume mzuri wapendwa
Asante,tumshukuru Mungu
Hongereni Sana. Wimbo mzuri
Asante sana🙏🏽
Jaman hongeren kwa utume
Mbalikiwe sana nawezaje kupata albam zenu npo parokia msewe ubungo dar es salaam
Tuna albam moja,toleo la mwaka 2018.Kuipata waweza wasiliana na uongozi wa kwaya kupitia 0752024390,au barua pepe kupitia aloisgonzagakwaya@gmail.com
Hogereni kwa uiambaji mzuri
Asante, Tunakuomba tafadhali, usisahau kusubscribe ili tuweze kusogea hatua moja mbele
Hongerani Sana mungu azidi kuwa tia nguvu katk utume wenu
Sifa kwa Mungu! Tunakuomba usubscribe tafadhali na kisha Share link kwa ndugu na jamaa watazame pia
Back again and again ❤❤❤#Agk #utumewauimbaji
ni nyimbo nzuri sana
Naomba Nota
Nimewapata Asante kwa ujumbe "nyenyekea by nyota balolane 👏 usisahau ku subscribe ao ku like asante
Safi sana
Tunashukuru kwa comment na tumain umesubscribe
@@polycarpmicky4151 Yes nimfanya hivyo pia nazihitaji hizi nyimbo na nyingine nyingi.
❤❤ kazi nzuri xna
Gud song
Asante grace
wimbo mzuri sana barikiwa
Amina
kali...naipenda ,,sema na kubarikiwa
Tafadhali, karibu usubscribe bila kusahau kuwashirikisha ndugu, jamaa na marafiki
Nice song ever❤❤
Here again😅❤❤❤
Praise GOD, for HE is good ALL the times🎙🎵🎼🎹🎸📯🎻🎷🎺🎶🌹❤🕊🍇🙌🤗✝️🙏🏻
And that is His nature! Wooow
neema yake yatosha
Mko vinzuri, hongereni sana
Sifa kwa Mungu! Tunakuomba usubscribe tafadhali na kisha Share link kwa ndugu na jamaa watazame pia
Good work Gonzaga members
🙏🙏🙏🙏
Hongereni sana
Asante sana kwa kujumuika nasi. Kama huja-subscribe tunaomba ufanye hivyo
Asante, tunaomba tafadhali usisahau kusubscribe na kushare link kwa ndugu, jamaa na marafiki.
Naam