Hakika huu wimbo tokea nimeufaham kila ninavo amka asubuh naamka nawo Mungu awajalie nyote mlio shiriki katika wimbo huu awajalie wema na baraka na awaoneshe njia pasipo na njia katika utume wenu, najivunia kuwa mkatoriki jaman
Ongereni sana watumishi wa Bwana kwa maneno ayo yenye kujenga katika maisha yetu Mungu awabariki na kuwajalia nguvu za roho mtakatifu ili mpate kumtumikia siku zote zamaisha yenu amina
Wow! Wow! Wow! Yaani huu wimbo upon juu Sana, sichoki kuusikiliza. Msoka friends, you're truly great. Holy Trinity you did it again, huwa ham-dissapoint hata. Mungu awanemeeshee baraka tele tele.👌top notch
Kama umewatch zaidi ya mara tano pita na like 🥰what a wonderful and nice song
Sauti nzuri hizo Mungu awabariki
Amina
Mm nimewatch Zaid ya mara 20 naomben like zenu
Pokea shukurani zangu bwana pia, kazi nzuri ni kazi ya ukombozi
Amen
watoto wa msoka wanaona aibu😜......wimbo mzuri sana asee
😆😆😅
Safii RC Ni Dini Bora Duniani.
Yeah
Kilicho bora ni wokovu siyo dini ndugu
Wimbo huu nimeusikia tr 3/10/2022 nikiwa kwenye Costa tunaenda kumzika Bibi yangu Mwanza hakika ulinifariji ikabidi nitafute
Amen 🙏 Barikiwa sana Veneranda
Nyimbo Nzuri Saana HOLY TRINITY Hamjawahi kutoa kitu Kibaya Hongereni Saana. Mbarikiwe Saana
Hakika, HT wako njema sana
Hii nzuri Sana😍😍🤩😀🎅🧞
Sichoki kuutazama huu wimbo..Mungu azidi kuwabariki
Amina. Nawe ubarikiwe sana
Mziki Safi Kabisa Mungu Awabariki
Amina
Paul Msoka MUNGU Ana onesha makubwa sana ndani yako
Amina, jina lake litukuzwe
Hakika huu wimbo tokea nimeufaham kila ninavo amka asubuh naamka nawo Mungu awajalie nyote mlio shiriki katika wimbo huu awajalie wema na baraka na awaoneshe njia pasipo na njia katika utume wenu, najivunia kuwa mkatoriki jaman
ayiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii weeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!!nigushukuruje bwana!!!!!
Aiaseeee nzuri kweli
Hongereni sana
Hongeren xna.kwa wimbo mzuri wapendwa wainjilishi wa.mungu
What do you always do with your friends,,,big challenge,,, God bless you for the good choir,,big up msoka's friends
Mungu Awabariki sana kwaya nzuri nimeipenda
Hongereni sana.waimbaji.
hongera sana mwalimu POUL MSOKA.
HONGEREN SANA HT 👍👍
Hongera sana na wewe Despina. Mungu azidi kuinuliwa kupitia kipaji chako
Amina
@@despinamdende9810 waiting for your videos on your cannel
Mungu awazidishie nguvu na upendo yakumtumikia. Ahsante Kwa sauti na nyimbo nzuri.
Iko safi uimbaji wenye mvuto
Nzuri iyo Brothers
Thanks
Hongereni sana kwa wimbo mzuri
Asante
@@msokasgallery8323 wimbio mutamu sana
Nasherehekea siku ya kuzaliwa kwangu...nakushukuru sana Mungu wangu kwa Yale umenitendea ❤❤
Hakika huu ndio muziki mtakatifu,utunzi bora kabisa
Amen. Sifa kwa Mungu
Kristu, hongereni mnoo kwa kazi nzuri
Asante
Yaani wimbo safi asante Mwenyezi Mungu wow amen🙏🙏
Wimbo umejaa baraka nyingi. Naomba nota zake tafadhali
Zinapatikana Swahili Music Notes
Kazi nzuri sana
Wahoo...sijui nikushukuruje Bwana kwa wingi wa fadhila zako..mbarikiwe sana Msoka's friend
Amen
NIMEMPENDA HUYU DESPINA GAFLA MAJAMAA,,,,,,*CANT STOP WATCHING ...KAZI NZURI KWELI
Hongereni san bwan yu pamoja nanyi
Kalihiyo, Mungu azid kubariki kazizako by Mr simando
Hongereni kwa kazi nzuri na ujumbe mzuri
Huu wimbo nautaza mara tano kwakutwa. Hakika unaujumbe mzuri barikiwa
Amina. Ubarikiwe zaidi
Amina
5times is not enough..add 5more pllse
Video nzuri sana hongereni umetamani wimbo usiishe naangalia tuuuuu
Asante Mungu kwa wema wako.Mungu awabariki sana Msoka familia na Kikundi kilichoandaa no faraja sana.Mungu awabariki sana.
Amina. Nawe ubarikiwe sana Lucresia
Tunapaswa kumshukuru MUNGU kwa yote anayotujaria MUNGU awabariki waimbaji kwa wimbo wenye TAFAKARI nzuri
Amina
Hakika Najivunia kuwa mkatoriki .asant sana wanakwaya kwa kazi nzuriiiiiiiiiiiiiiiiimnoooooooooooo .
Nami pia
Mungu wangu ni kushukuruje Mana wewe ni mwema kila waKati,kila wakati wewe ni mwema
Amina
Mungu wa mbinguni azidi kuwatumia kipekee muzidi kuieneza injil ya Bwana nabarikiwa Sana na huu wimbo
Amina
Aisee hii nyimbo ni 🔥 🔥,
Dah aisee naona Kama nilichelewa kuusikia huu wimbo
Barikiwa sana
Nimeipenda saana hiyo kwaya
Ongereni sana watumishi wa Bwana kwa maneno ayo yenye kujenga katika maisha yetu Mungu awabariki na kuwajalia nguvu za roho mtakatifu ili mpate kumtumikia siku zote zamaisha yenu amina
Amina
Mungu ni mwema sana.Hongera sana Mtunzi mwenyezi Mungu Akujalie Afya njema
Hongerq sana ,wimbo.mzuri mbalikiwe zaidi
Amina
A,en
Oh haleluya Asifiwe Mungu aliye juu
Amina
Tuzidi kumshukuru Mungu. Asanteni sana.
Ukishajua tu kwamba kuna Mungu maisha yako yanabadilika asee😊😊❤❤ nice mesage
Nice song.
Wimbo mzuri sana asanteni mbarikiwe Mungu azidi kuwatia nguvu
Amina
safi sanaaaaaaa
Safi sana.
Hongeren nyote mlioshiriki katika wimbo huu hakika nimzuri
Amen
Asanten kwa ujumbe wimbo mzuri mungu awabariki
My always favourite song naipenda sana
Wimbo mzuri sana pongezi nyingi kwa aliyetunga pia wanakwaya ✌✌
Asante
Namshukuru bwana hata zaidi wimbo huu kweli ni wa faraja
Nimebarikiwa sanaaa jamani
Asante sana MUNGU wangu kwa upendo na wema wako kwangu,,,,,, UTUKUZWE MILELE MUNGU WANGU,,
Amina
Wimbo mzuri sana kwa ajili ya tafakari ya ukuu wa Mungu maishani mwetu. Thanks mtunzi endelea kumtukuza Mungu kwa kipaji chako cha utunzi.
Amen
Wimbo safi sana na una maneno yakutia moyo, kwa kweli yale Mungu ametutendea ni mengi, sijui nimshukuruje Bwana kwa kadiri ya fadhili zake
Amen
70
Huu ni wimbo mzuri.sana....naona wataalam wameunganisha Atlanta zao na director kafanya vyema kabisa.....salute
Yaan huu wimbo jaman sichoki kuusikiliza!! Barikiwenu sana
So smart , and amazing songs sweet voice 👍💪💞
Sauti, mpangilio, miitiko,vyombo, mixture yake ni kiwango Cha juu Sana, Baraka za Bwana ziwe pamoja nanyi. Tunamtukuza Kristo
Abarikiwa sana Msoka kwa utunzi bora
Amina mungu awazidishie kwakweli
Asante brother
@@msokasgallery8323 napenda sana kutoka moyon
@@yohanamethod7573 Shukrani
Nice One!! TUMSIFU YESU KRISTO
Anasaut nzur Mungu ambariki sana ,wimbo mzur sana💞
Amen
Hongereni wimbo mzuri,sauti nzuri .
Mungu awabariki kwa nyimbo nzuriiii wenye ujumbe mzito ndani yake
Amina
Bravo.....sauti nyororo ❤❤❤kweli kweli
Congrat's team HT..keep it up
Mungu awbaliki wimbo mzuli sana
Ushauri. Muwe mnaweka Mawasiliano ya kwaya husika au kikundi husika.
Nabarikiwa mno ba huu wimbo
congradulations guys good job....mungu wangu sijui nikushukureje....thanks God
Mbarikiwe sana wapendwa
Amina sana Madam
Wow! Wow! Wow! Yaani huu wimbo upon juu Sana, sichoki kuusikiliza. Msoka friends, you're truly great. Holy Trinity you did it again, huwa ham-dissapoint hata. Mungu awanemeeshee baraka tele tele.👌top notch
Amen. Be blessed
@@msokasgallery8323 mmmh
Mafundi wote wako hapo mtaachaje kutubariki jamn!!!🙏🙏🙏Mungu azidi kuwatunza daima!!! Nawapenda kutoka moyoni♥️♥️♥️
Amina. Mungu atukuzwe
AMEN
Thanks
MUNGU awabariki nakuwa linda Amen
Sauti ya pili ni hatari. Mungu azidi kutukuzwa
Mungu mwema abariki kazi njema ya kumtukuza Yeye.
Nyimbo nzuri
Huu wimbo mzuri sana una ujumbe mzuri sana hongereni sana wanakwaya kwa utume
Hongereni sana watumishi ama. Kweli mumetumia karama zenu vizuri sana pia. Video iko vizuri sana tena sana kazi ni mzuri sanaaaaa Mungu awabariki sana
Amen
Kazi nzuri 😊, wimbo mzuri, sauti nzuri, video nzuri 🔥 wanafurahisha
Wimbo safi sana!
Kusema Asante inampendeza sana Mungu wetu.
Nimefarijika sana na nyimbo nzuri
Hongera sana kwa yote, na kwa utunzi mwema, pia Mungu akikupa kilema hakunyimi mwendo
Amina mwenyez mungu aendelee kuwapigania kataika utume wenu hakika wimbo huuu unafairi sana ukuu wa mungu mubarikiwe sana kwa uinjilishaji🙏🙏
Tuseme nini basi ila twashukuru! Kudos.
So amazing. Love it mmejua kumuimbia MUNGU.
Amina
Mungu awabariki sauti nzuri yaani baraka nyingi kwenu
Mungu awajalie maisha mema na matunda ya upendo katika ndoa na family yenyu. Congratulations Mr& Mrs Msoka👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
Amen
Am proud to be catholic kwa kweel,,hongeren wapendwa kwa kaz nzuriii ya uinjilishaji hakika nabarikiwa sana kusikiliza kwaya catholic
proudly kenyan!!!
Hongeren sanaaa jaman!! Sauti nzuri sauti zimetulia ! Mbarikiwe sana
Amina
hongeri kaz nzur nimeipenda saanaaaa!!!🥰😍
Mmeimba vizuri hongereni sana na Mungu azidi kuwatumia kwa utayari wenu ktk shamba lake, kuitangaza injili kwa kila kiumbe
Kuimba ni raha sana hongereni wapendwa...kwa wimbo mzuri
Asante
NAMSHUKURU MUNGU KWA WIMBO MZURI, ASANTE SANA MARAFIKI WA PAUL MSOKA. HUYU NI MWALIMU WANGU WA KISWAHILI, NAKUKUMBUKA SANA MWALIMU. MUNGU AKUTUNZE!
Kazi safi Sana mafundi
Asante mungu wangu
Safi sana dini yetu nzurii sana wanakwaya mmeimba vizuri jamani endeleeni kumwimbia bwana