Holy Trinity Studio - Nikushukuruje Bwana ( Official Music Video )

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 23 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 516

  • @jacintastacy9823
    @jacintastacy9823 ปีที่แล้ว +62

    Kama umewatch zaidi ya mara tano pita na like 🥰what a wonderful and nice song

  • @tylookwambosh985
    @tylookwambosh985 4 ปีที่แล้ว +7

    Sauti nzuri hizo Mungu awabariki

  • @RyneNicholas
    @RyneNicholas 10 หลายเดือนก่อน +17

    Mm nimewatch Zaid ya mara 20 naomben like zenu

  • @helenawilliam9832
    @helenawilliam9832 3 ปีที่แล้ว +5

    Pokea shukurani zangu bwana pia, kazi nzuri ni kazi ya ukombozi

  • @manase_fast_courier
    @manase_fast_courier ปีที่แล้ว +2

    watoto wa msoka wanaona aibu😜......wimbo mzuri sana asee

  • @japhetpetro9598
    @japhetpetro9598 4 ปีที่แล้ว +44

    Safii RC Ni Dini Bora Duniani.

  • @venerandafredrick6531
    @venerandafredrick6531 2 ปีที่แล้ว +4

    Wimbo huu nimeusikia tr 3/10/2022 nikiwa kwenye Costa tunaenda kumzika Bibi yangu Mwanza hakika ulinifariji ikabidi nitafute

  • @festojrtz9620
    @festojrtz9620 4 ปีที่แล้ว +10

    Nyimbo Nzuri Saana HOLY TRINITY Hamjawahi kutoa kitu Kibaya Hongereni Saana. Mbarikiwe Saana

  • @fransiskokameguzi2480
    @fransiskokameguzi2480 3 ปีที่แล้ว +2

    Hii nzuri Sana😍😍🤩😀🎅🧞

  • @lucykiria6454
    @lucykiria6454 4 ปีที่แล้ว +9

    Sichoki kuutazama huu wimbo..Mungu azidi kuwabariki

  • @ipyanakajembula3661
    @ipyanakajembula3661 4 ปีที่แล้ว +8

    Mziki Safi Kabisa Mungu Awabariki

  • @melkiadeskalisto8918
    @melkiadeskalisto8918 4 ปีที่แล้ว +7

    Paul Msoka MUNGU Ana onesha makubwa sana ndani yako

  • @afraziakapongwa5350
    @afraziakapongwa5350 2 ปีที่แล้ว +6

    Hakika huu wimbo tokea nimeufaham kila ninavo amka asubuh naamka nawo Mungu awajalie nyote mlio shiriki katika wimbo huu awajalie wema na baraka na awaoneshe njia pasipo na njia katika utume wenu, najivunia kuwa mkatoriki jaman

  • @elielepetit8107
    @elielepetit8107 3 ปีที่แล้ว +3

    ayiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii weeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!!nigushukuruje bwana!!!!!

  • @majaliwasuleiman1885
    @majaliwasuleiman1885 4 ปีที่แล้ว +6

    Aiaseeee nzuri kweli
    Hongereni sana

  • @lameckd7995
    @lameckd7995 3 ปีที่แล้ว +4

    Hongeren xna.kwa wimbo mzuri wapendwa wainjilishi wa.mungu

  • @FridaNyongesa-t6n
    @FridaNyongesa-t6n ปีที่แล้ว +2

    What do you always do with your friends,,,big challenge,,, God bless you for the good choir,,big up msoka's friends

  • @shaneryndunguru6070
    @shaneryndunguru6070 4 ปีที่แล้ว +10

    Mungu Awabariki sana kwaya nzuri nimeipenda

  • @despinamdende9810
    @despinamdende9810 4 ปีที่แล้ว +14

    Hongereni sana.waimbaji.
    hongera sana mwalimu POUL MSOKA.
    HONGEREN SANA HT 👍👍

    • @msokasgallery8323
      @msokasgallery8323 4 ปีที่แล้ว +1

      Hongera sana na wewe Despina. Mungu azidi kuinuliwa kupitia kipaji chako

    • @despinamdende9810
      @despinamdende9810 4 ปีที่แล้ว +1

      Amina

    • @KarugabaWilson
      @KarugabaWilson 3 ปีที่แล้ว

      @@despinamdende9810 waiting for your videos on your cannel

  • @LudvicNgugi-kx5xb
    @LudvicNgugi-kx5xb 11 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu awazidishie nguvu na upendo yakumtumikia. Ahsante Kwa sauti na nyimbo nzuri.

  • @noelbabuya
    @noelbabuya 4 ปีที่แล้ว +6

    Iko safi uimbaji wenye mvuto

  • @StudioiRisPro
    @StudioiRisPro 4 ปีที่แล้ว +8

    Nzuri iyo Brothers

  • @cosmasfesto5519
    @cosmasfesto5519 4 ปีที่แล้ว +5

    Hongereni sana kwa wimbo mzuri

  • @markmurithi3960
    @markmurithi3960 4 หลายเดือนก่อน +3

    Nasherehekea siku ya kuzaliwa kwangu...nakushukuru sana Mungu wangu kwa Yale umenitendea ❤❤

  • @georgekabelwa8962
    @georgekabelwa8962 4 ปีที่แล้ว +6

    Hakika huu ndio muziki mtakatifu,utunzi bora kabisa

  • @rogatusrogatus9931
    @rogatusrogatus9931 3 ปีที่แล้ว +4

    Kristu, hongereni mnoo kwa kazi nzuri

  • @DivineNyaanga-kv9rb
    @DivineNyaanga-kv9rb 11 หลายเดือนก่อน +2

    Yaani wimbo safi asante Mwenyezi Mungu wow amen🙏🙏

  • @dativateti4572
    @dativateti4572 ปีที่แล้ว +2

    Wimbo umejaa baraka nyingi. Naomba nota zake tafadhali

  • @leopoldwilliam2128
    @leopoldwilliam2128 3 ปีที่แล้ว +4

    Kazi nzuri sana

  • @rosetarimo2076
    @rosetarimo2076 4 ปีที่แล้ว +5

    Wahoo...sijui nikushukuruje Bwana kwa wingi wa fadhila zako..mbarikiwe sana Msoka's friend

  • @charlesjkyallo5835
    @charlesjkyallo5835 4 ปีที่แล้ว +7

    NIMEMPENDA HUYU DESPINA GAFLA MAJAMAA,,,,,,*CANT STOP WATCHING ...KAZI NZURI KWELI

  • @machoziasa6936
    @machoziasa6936 4 ปีที่แล้ว +4

    Hongereni san bwan yu pamoja nanyi

    • @saimonshija6152
      @saimonshija6152 4 ปีที่แล้ว

      Kalihiyo, Mungu azid kubariki kazizako by Mr simando

  • @crediuskyando6906
    @crediuskyando6906 4 ปีที่แล้ว +5

    Hongereni kwa kazi nzuri na ujumbe mzuri

  • @respiciuscornery9202
    @respiciuscornery9202 4 ปีที่แล้ว +7

    Huu wimbo nautaza mara tano kwakutwa. Hakika unaujumbe mzuri barikiwa

  • @lucresiapeter1385
    @lucresiapeter1385 4 ปีที่แล้ว +4

    Video nzuri sana hongereni umetamani wimbo usiishe naangalia tuuuuu

    • @tatukivugo5333
      @tatukivugo5333 4 ปีที่แล้ว

      Asante Mungu kwa wema wako.Mungu awabariki sana Msoka familia na Kikundi kilichoandaa no faraja sana.Mungu awabariki sana.

    • @msokasgallery8323
      @msokasgallery8323 4 ปีที่แล้ว

      Amina. Nawe ubarikiwe sana Lucresia

  • @maryjulius101
    @maryjulius101 4 ปีที่แล้ว +6

    Tunapaswa kumshukuru MUNGU kwa yote anayotujaria MUNGU awabariki waimbaji kwa wimbo wenye TAFAKARI nzuri

  • @salomesalome7298
    @salomesalome7298 4 ปีที่แล้ว +4

    Hakika Najivunia kuwa mkatoriki .asant sana wanakwaya kwa kazi nzuriiiiiiiiiiiiiiiiimnoooooooooooo .

  • @frankchibago3206
    @frankchibago3206 4 ปีที่แล้ว +7

    Mungu wangu ni kushukuruje Mana wewe ni mwema kila waKati,kila wakati wewe ni mwema

  • @irenemaliwa4379
    @irenemaliwa4379 3 ปีที่แล้ว +3

    Mungu wa mbinguni azidi kuwatumia kipekee muzidi kuieneza injil ya Bwana nabarikiwa Sana na huu wimbo

  • @benjaminmichel7451
    @benjaminmichel7451 3 ปีที่แล้ว +6

    Aisee hii nyimbo ni 🔥 🔥,
    Dah aisee naona Kama nilichelewa kuusikia huu wimbo

  • @yohanaemanuel4747
    @yohanaemanuel4747 2 ปีที่แล้ว

    Nimeipenda saana hiyo kwaya

  • @patrickmkambilwa9932
    @patrickmkambilwa9932 4 ปีที่แล้ว +6

    Ongereni sana watumishi wa Bwana kwa maneno ayo yenye kujenga katika maisha yetu Mungu awabariki na kuwajalia nguvu za roho mtakatifu ili mpate kumtumikia siku zote zamaisha yenu amina

  • @agnesskimario8857
    @agnesskimario8857 ปีที่แล้ว +1

    Mungu ni mwema sana.Hongera sana Mtunzi mwenyezi Mungu Akujalie Afya njema

  • @golingoibenzi2142
    @golingoibenzi2142 4 ปีที่แล้ว +3

    Hongerq sana ,wimbo.mzuri mbalikiwe zaidi

  • @yosephersambala8299
    @yosephersambala8299 4 ปีที่แล้ว +5

    Oh haleluya Asifiwe Mungu aliye juu

  • @dominicmatata1813
    @dominicmatata1813 4 ปีที่แล้ว +7

    Tuzidi kumshukuru Mungu. Asanteni sana.

  • @MariaPhilipo-e2p
    @MariaPhilipo-e2p 3 หลายเดือนก่อน +2

    Ukishajua tu kwamba kuna Mungu maisha yako yanabadilika asee😊😊❤❤ nice mesage

  • @SerahSyombua-rh8yw
    @SerahSyombua-rh8yw ปีที่แล้ว +1

    Nice song.

  • @modesternorbert9728
    @modesternorbert9728 4 ปีที่แล้ว +4

    Wimbo mzuri sana asanteni mbarikiwe Mungu azidi kuwatia nguvu

  • @davidkobero6977
    @davidkobero6977 3 ปีที่แล้ว +1

    safi sanaaaaaaa

  • @ambrosethomas5922
    @ambrosethomas5922 4 ปีที่แล้ว +4

    Safi sana.

  • @benitokizamuri8435
    @benitokizamuri8435 4 ปีที่แล้ว +4

    Hongeren nyote mlioshiriki katika wimbo huu hakika nimzuri

  • @godfreymajoa4100
    @godfreymajoa4100 3 ปีที่แล้ว +2

    Asanten kwa ujumbe wimbo mzuri mungu awabariki

  • @paulkavengih1536
    @paulkavengih1536 3 ปีที่แล้ว +3

    My always favourite song naipenda sana

  • @piusjeremia687
    @piusjeremia687 4 ปีที่แล้ว +5

    Wimbo mzuri sana pongezi nyingi kwa aliyetunga pia wanakwaya ✌✌

  • @maureenmowakimani2729
    @maureenmowakimani2729 4 ปีที่แล้ว +5

    Namshukuru bwana hata zaidi wimbo huu kweli ni wa faraja

  • @deogratiusdominick8882
    @deogratiusdominick8882 4 ปีที่แล้ว +6

    Asante sana MUNGU wangu kwa upendo na wema wako kwangu,,,,,, UTUKUZWE MILELE MUNGU WANGU,,

  • @revocatusmboro5086
    @revocatusmboro5086 4 ปีที่แล้ว +9

    Wimbo mzuri sana kwa ajili ya tafakari ya ukuu wa Mungu maishani mwetu. Thanks mtunzi endelea kumtukuza Mungu kwa kipaji chako cha utunzi.

  • @dovelinkcyber3957
    @dovelinkcyber3957 3 ปีที่แล้ว +4

    Wimbo safi sana na una maneno yakutia moyo, kwa kweli yale Mungu ametutendea ni mengi, sijui nimshukuruje Bwana kwa kadiri ya fadhili zake

  • @jasonmwombeki351
    @jasonmwombeki351 4 ปีที่แล้ว +7

    Huu ni wimbo mzuri.sana....naona wataalam wameunganisha Atlanta zao na director kafanya vyema kabisa.....salute

  • @berthamwalu8689
    @berthamwalu8689 4 ปีที่แล้ว +4

    Yaan huu wimbo jaman sichoki kuusikiliza!! Barikiwenu sana

  • @agneskerengo8375
    @agneskerengo8375 3 หลายเดือนก่อน +1

    So smart , and amazing songs sweet voice 👍💪💞

  • @nicolausclemence7008
    @nicolausclemence7008 4 ปีที่แล้ว +14

    Sauti, mpangilio, miitiko,vyombo, mixture yake ni kiwango Cha juu Sana, Baraka za Bwana ziwe pamoja nanyi. Tunamtukuza Kristo

  • @augustinemaingu
    @augustinemaingu 4 ปีที่แล้ว +5

    Abarikiwa sana Msoka kwa utunzi bora

  • @michaelsunday8259
    @michaelsunday8259 2 ปีที่แล้ว +1

    Nice One!! TUMSIFU YESU KRISTO

  • @godkingtz1364
    @godkingtz1364 3 ปีที่แล้ว +2

    Anasaut nzur Mungu ambariki sana ,wimbo mzur sana💞

  • @esterkimaro2154
    @esterkimaro2154 4 ปีที่แล้ว +5

    Hongereni wimbo mzuri,sauti nzuri .

  • @elizabethqumunga1328
    @elizabethqumunga1328 4 ปีที่แล้ว +4

    Mungu awabariki kwa nyimbo nzuriiii wenye ujumbe mzito ndani yake

  • @spiderbasswilliam1111
    @spiderbasswilliam1111 ปีที่แล้ว +1

    Bravo.....sauti nyororo ❤❤❤kweli kweli

  • @lucykiria6454
    @lucykiria6454 4 ปีที่แล้ว +8

    Congrat's team HT..keep it up

  • @nikolausnalisis7074
    @nikolausnalisis7074 3 ปีที่แล้ว +2

    Mungu awbaliki wimbo mzuli sana

  • @protassabato6630
    @protassabato6630 4 ปีที่แล้ว +4

    Ushauri. Muwe mnaweka Mawasiliano ya kwaya husika au kikundi husika.

  • @lilianmakoye6002
    @lilianmakoye6002 11 หลายเดือนก่อน +1

    Nabarikiwa mno ba huu wimbo

  • @ioseph7230
    @ioseph7230 2 ปีที่แล้ว +2

    congradulations guys good job....mungu wangu sijui nikushukureje....thanks God

  • @tatukivugo5333
    @tatukivugo5333 4 ปีที่แล้ว +3

    Mbarikiwe sana wapendwa

  • @perpetuahmungai5988
    @perpetuahmungai5988 4 ปีที่แล้ว +8

    Wow! Wow! Wow! Yaani huu wimbo upon juu Sana, sichoki kuusikiliza. Msoka friends, you're truly great. Holy Trinity you did it again, huwa ham-dissapoint hata. Mungu awanemeeshee baraka tele tele.👌top notch

  • @mumyhendry2919
    @mumyhendry2919 4 ปีที่แล้ว +7

    Mafundi wote wako hapo mtaachaje kutubariki jamn!!!🙏🙏🙏Mungu azidi kuwatunza daima!!! Nawapenda kutoka moyoni♥️♥️♥️

  • @alexinahmogunde5276
    @alexinahmogunde5276 3 ปีที่แล้ว +2

    MUNGU awabariki nakuwa linda Amen

  • @dagrasgwahila2042
    @dagrasgwahila2042 4 ปีที่แล้ว +4

    Sauti ya pili ni hatari. Mungu azidi kutukuzwa

    • @theresamgwilanga219
      @theresamgwilanga219 4 ปีที่แล้ว

      Mungu mwema abariki kazi njema ya kumtukuza Yeye.

  • @lushinojunior452
    @lushinojunior452 4 ปีที่แล้ว +3

    Nyimbo nzuri

  • @pierremrema6676
    @pierremrema6676 ปีที่แล้ว +1

    Huu wimbo mzuri sana una ujumbe mzuri sana hongereni sana wanakwaya kwa utume

  • @laurentmuoja3141
    @laurentmuoja3141 3 ปีที่แล้ว +1

    Hongereni sana watumishi ama. Kweli mumetumia karama zenu vizuri sana pia. Video iko vizuri sana tena sana kazi ni mzuri sanaaaaa Mungu awabariki sana

  • @stevekdaniel
    @stevekdaniel 4 ปีที่แล้ว +3

    Kazi nzuri 😊, wimbo mzuri, sauti nzuri, video nzuri 🔥 wanafurahisha

  • @isaacsheen4054
    @isaacsheen4054 ปีที่แล้ว +3

    Wimbo safi sana!
    Kusema Asante inampendeza sana Mungu wetu.

  • @justinantui1521
    @justinantui1521 3 ปีที่แล้ว +1

    Nimefarijika sana na nyimbo nzuri

  • @dicksonmwonya6015
    @dicksonmwonya6015 2 ปีที่แล้ว +1

    Hongera sana kwa yote, na kwa utunzi mwema, pia Mungu akikupa kilema hakunyimi mwendo

  • @stellamahende3954
    @stellamahende3954 2 ปีที่แล้ว +1

    Amina mwenyez mungu aendelee kuwapigania kataika utume wenu hakika wimbo huuu unafairi sana ukuu wa mungu mubarikiwe sana kwa uinjilishaji🙏🙏

  • @richardnyakundimorwabe8638
    @richardnyakundimorwabe8638 4 ปีที่แล้ว +6

    Tuseme nini basi ila twashukuru! Kudos.

  • @nemangowi1418
    @nemangowi1418 4 ปีที่แล้ว +5

    So amazing. Love it mmejua kumuimbia MUNGU.

  • @neemataris3273
    @neemataris3273 ปีที่แล้ว +1

    Mungu awabariki sauti nzuri yaani baraka nyingi kwenu

  • @josephfalaghamoja7800
    @josephfalaghamoja7800 4 ปีที่แล้ว +5

    Mungu awajalie maisha mema na matunda ya upendo katika ndoa na family yenyu. Congratulations Mr& Mrs Msoka👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @donathathobias6819
    @donathathobias6819 4 ปีที่แล้ว +15

    Am proud to be catholic kwa kweel,,hongeren wapendwa kwa kaz nzuriii ya uinjilishaji hakika nabarikiwa sana kusikiliza kwaya catholic

  • @berthamwalu8689
    @berthamwalu8689 4 ปีที่แล้ว +4

    Hongeren sanaaa jaman!! Sauti nzuri sauti zimetulia ! Mbarikiwe sana

  • @VitusHaule
    @VitusHaule 2 หลายเดือนก่อน

    hongeri kaz nzur nimeipenda saanaaaa!!!🥰😍

  • @verdianamarceli2413
    @verdianamarceli2413 2 ปีที่แล้ว +1

    Mmeimba vizuri hongereni sana na Mungu azidi kuwatumia kwa utayari wenu ktk shamba lake, kuitangaza injili kwa kila kiumbe

  • @beatricemwombeki1651
    @beatricemwombeki1651 4 ปีที่แล้ว +3

    Kuimba ni raha sana hongereni wapendwa...kwa wimbo mzuri

  • @SaloniusDavid
    @SaloniusDavid ปีที่แล้ว +1

    NAMSHUKURU MUNGU KWA WIMBO MZURI, ASANTE SANA MARAFIKI WA PAUL MSOKA. HUYU NI MWALIMU WANGU WA KISWAHILI, NAKUKUMBUKA SANA MWALIMU. MUNGU AKUTUNZE!

  • @cyrilologe
    @cyrilologe 4 ปีที่แล้ว +2

    Kazi safi Sana mafundi

  • @kirwairene1283
    @kirwairene1283 3 ปีที่แล้ว +1

    Asante mungu wangu

  • @beathamerchory4992
    @beathamerchory4992 ปีที่แล้ว +1

    Safi sana dini yetu nzurii sana wanakwaya mmeimba vizuri jamani endeleeni kumwimbia bwana