SITAMUACHA MUNGU - KWAYA YA MT. YOSEFU MFANYAKAZI, NANSIO //Mtunzi: E. F JISSU
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 30 ก.ย. 2024
- Karibu utazame wimbo Mzuri wenye maudhui ya Mafundisho na Tafakari
Mtunzi: E. F Jissu
Waimbaji: KWAYA YA MT. YOSEFU MFANYAKAZI, NANSIO
Sound Eng.: SHIMANYI FM & PASCHAL P.(DUKE)
Video Director: SHIMANYI FM
Audio & Video: CGen Pro
#kwayakatoliki #africangospel #thanksgiving #newyear2024
Kazi nzuri❤❤❤
Amen 🙏 🙏 🙏 🙏 🎉 mbarikiwe kwa wimbo mzuri from Burundi 🇧🇮 ❤.
Asante sana ndugu yetu kutoka Burundi
Hongereni sana waimbaji kwa wimbo wenu huu mzuri. Mungu azidi kuwabariki katika uimbaji wenu.
Amina sana ubarikiwe pia
Congratulations to the singers for this you in your singing🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Thanks much
ni chuuuma juu ya chuma....😄kaka hii yote 2naiwahi j5 ya majivu tu...😄😅Moto ni hatarrree
Naam tuzidi kuwa pamoja maana kuna mambo mazuri yanakuja tunawaandalia kiongozi
Ananivumilia mengi Zaid ya MTU yeyote sitamuacha kamwe
Hakika mungu ni mwema sana
Safi sana, ujumbe mzito, ujumbe mzuri, hongera sana kwaya yangu pendwa Mungu awaongoze katika uinjilishaji wenu Kwa njia ya nyimbo.
Waooo hongelenn sana wimbo mzuli sana sita muwacha mungu maisha yangu yote pamoja na familia yangu
very beautiful song och good words.
Be bless guys❤❤❤❤
Thanks
Kazi nzuri jmn ❤❤❤
Shukrani sana
Wimbo mzuri ,sauti zimetulia sanaa ,Na mmependeza sana Mungu awatunze mzidi kumtukuza yeye kwa njiaa ya uimbajiiii❤❤❤
Hongereni sana sana kwa huu wimbo mtamu ajabu..mubarikiweni milele na milele Amina,kenya twawakubali
Karibu sana Nansio ukerewe
@@renatusjustine5771 inshala ..napenda siku moja niwatembelee hapo tukafurahie kwa pamoja
Asanteni sana ndugu zetu wakenya karibuni Tanzania hasa kwetu Nansio Ukerewe(Mwanza)
@@MtYosefuNansio tutatembea ili tuweze kufurahia kwa pamoja 🙏🙏🙏
Hongereni Sana mbalikiwe na bwana kwa kazi nzuri
Asante sana
Congratulations 🎉👏 guys u just made ma day❤ love you all
Thanks in advance
Oohhongereni hii ni alama isiyo futika uinjishaji mwema
Hongereni waimbaji,kwanza mmependeza afu wimbo mzurii sanaa,Mbarikiwe kwa uinjilishaji wenu.Amina
Amina ubarikiwe sana wakaribishe wengi watufuate kwenye account yetu kwa nyimbo nzuri
Amina sana Ubarikiwe
❤duh mmenibarik sana mungu awabariki. Sana
Amina tuzidi kubarikiwa sote
Hongera sana kwa wimbo mzuri toka Parokia ya Mt.Michael jimbo la Kahama
Wooow! Hongeren kwa kazi nzuri....
Asante sana kwa kutazama
Mambo ni moto... Mbarikiwe sana
Naam Naam tunajitahidi kwa kadiri Mwenyezi anazidi kutubariki
Asante kwa kutubariki kwa kazi njema.
Amina sana iwe heri kwako siku zote
Kweli mungu atuvumilia mengi,Kamwe hatufai kumuacha🙏
Hakika Mungu ni mwema
Tumuache Mungu tumkimbilie nani ujumbe muhimu sana
Hongereni Sana utume mwema🙏🏼💗💗💗💗
Amina Mungu ni mwema
L.
Pm
Nyimbo nzuri 💯💯
Asante sana
Waooo hongereni kwa uimbaji, hakika ni wimbo mzuri na wenye ujumbe mzuri, sitamuacha Mungu maisha yangu yote
Asante sana
Hongereni Wana nasio kwa utume na hongera kwa mtunzi jissu wimbo mzuri sana 🎉🎉mbarikiwe🙏🙏👏
Asante sana sote tunakupenda pia
Hongereni sana, nasikia radha ya sauti zote,,,
Asante sana sana
Kazi nzuri sana hongereni wajina wetu
shukrani nyingi sana wajina wetu karibuni sana Nansio ukerewe
Zimefika
Hongeren saña mungu awajalie Zaid ya hapo
Amina sana tuzidi kuamini katika yeye
Mungu aendelee kuwabariki kwa ujumbe unafundisha mungu kuwa kimbilio letu milele. Galapo
Amina uzidi kubarikiwa zaidi
Amina. Asante Sana tuendelee kubarikiwa sote
kazi imetulia sanaa hongereni sana😊
asante sana tubarikiwe sote
Ongera Mt mfanyikazi kwa nyimbo tumu❤❤
Mungu aendelee kukupa afya njema siku zote mwendelee kumsifu na kumtukuza mungu kwa roho na kweli hongeren sana wimbo mzuri sana❤❤🎉🎉🎉🎉
Safi sana wana jimbo, injili na isonge mbele
Hakika tuko pamoja ndugu
Naombeni copy tafadhali, man nimejaribu kutafta mtandaoni sijaipata, nimeupenda sana huu wimbo
Tuwekeeni zile audio zenu za zamani
Naam tumelipokea tutalifanyia Kazi kiongozi
Amina tunashukuru zilikua nzuri sana pia utume Mwema
Hongereni Sana kwaujumbe mzuri
Asante sana
Hongeren sn napata furaha kubwa Kwa wimbo hui,mbarikiwe sn.
Mko vzr Mungu awabariki sana
shukrani nyingi sana
Hongeren sana Kwa kazi nzuri mnaoifanya mungu awabariki sana🎉❤😮😢
Hongereen San nmebarkiwa San nahuu wmbo mungu awabariki
Good song,,mbalikiwe sana
Amina nawe ubarikiwe pia
Hongeren sana kiwango cha juu sana cha uimbaji
Hongeren kwa kuinjirisha kwa njia ya nyimbo
Amen
Amen
Hongeren kwa nyimbo nzuri💕💕
pia nimwema kila wakati nawapenda wote wimbo mzuri sana
I love the song
you're welcome
Hongereni kwa kazi nzuri ❤❤❤
Shukrani sana kiongozi
Kazi nzuri
Amina
Hogera Kwa nyimbo nzuri
Amen.
Mbalikiwe milele yote.❤
Honger San Kaz nzur mnoo mmependez San
❤❤
Thanks Much
Nimeupenda.naomba.noti.zake
Nabarikiwa nanyi wapendwa 🙏🙏🙏
Wimbo mzur sana hongeren sanaaaa
Wimbo mzur sana hongeren sanaaaa
🔥🔥🔥
🙏🙏🙏🙏
Mungu awabariki na kuwatunza❤❤❤
Kaz nzur sana hongereni
asante sana sana
Nimewaona
Naam tupo karibu sana
Naam karibu sana
Amina
Naomba kopi ya huu wimbo jmn.
Mungu ni mwema sana
Amina sana
Hakika Mungu ni mwema sana
Nyimbo nzuri sana❤❤
Ananivumilia mengi kuliko MTU yeyote
Mungu awabariki
Mbarikiwe sanaaa
Sitamuacha hakika 🙏🙏🎤
❤❤❤❤❤
🙏
God must be the leader
Amen🙏
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Thanks much
💚💚💚💚thanks much