CCM NI MABINGWA WA MIKAKATI YA KUSHINDWA, HAWAJUI WAIPELEKE WAPI NCHI'' BONIFACE MWABUKUSI...

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 มี.ค. 2024
  • #JAMBOTV
    ...........
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►TH-cam: / @jambotv908
    ►INSTAGRAM: / jambotv
    ►TWITTER: / jambotv_
    ►FACEBOOK: / jambotv
    ►WEBSITE: jambo.tz/

ความคิดเห็น • 72

  • @user-lu8ny2gu7t
    @user-lu8ny2gu7t 4 หลายเดือนก่อน +4

    Ubarikiwe asante mzalendo wa kweli

  • @abedymtore2707
    @abedymtore2707 4 หลายเดือนก่อน +4

    Mwabukus you're next level big up sana broh

  • @nestor384
    @nestor384 4 หลายเดือนก่อน +4

    Moja ya revolutionalized mind katika hii nchi ni akili ya Wakili Boniphace A Mwabukusi. He is real.
    Kuhusu hii kufichwa kwa Tanganyika na watanganyika kufumbia macho milki na rasilimali zake zitumike kihuni na wahuni..

  • @thomaskiponda6079
    @thomaskiponda6079 4 หลายเดือนก่อน +1

    MWAMBA HUYU HAPA HAJAWAHI KUNIANGUSHA❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @gabapentin8070
    @gabapentin8070 4 หลายเดือนก่อน +3

    Tusaidieni kuongea kwakwl hali ni ngum na mbaya uku mtaani🙌🏾

  • @kulwasalum3597
    @kulwasalum3597 4 หลายเดือนก่อน +3

    Kwa upande wa Bunge , ni kama hakuna maana ni watu wa kushukuru tu hawana maswali magumu....!!
    Ni kushangilia tu.....!!!

  • @godsson5954
    @godsson5954 4 หลายเดือนก่อน +1

    GENIUS INTERVIEW

  • @user-kq7in8gd9o
    @user-kq7in8gd9o 4 หลายเดือนก่อน +1

    You have a very special talent which is never imputeable, keep on to ours.

  • @mtangag774
    @mtangag774 4 หลายเดือนก่อน +2

    Jambo tv ndo medie pekee naieleewaga

  • @froma3732
    @froma3732 4 หลายเดือนก่อน +3

    Haya ungeyasema Zamani kama Kuna Tanganyika na Zanzibar Ungetusaidia Sana sisi Wazinzibar

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 4 หลายเดือนก่อน +1

      Wazanzibar tunataka Tanganyika iwe kama sisi na sisi tupewe nafasi waliyonayo Watanganyika kwenye Muungano wetu.

  • @shukurukwake7447
    @shukurukwake7447 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mwabukusi Anafaa Kua Kiongozi wa Wananchi🎉🎉

  • @japhethcharles5791
    @japhethcharles5791 4 หลายเดือนก่อน +1

    Akili kubwa sana hiyo ,kongole sana mwabu

  • @Zanijasy-hy7vm
    @Zanijasy-hy7vm 3 หลายเดือนก่อน

    Mwabukusi Nyerere II WA Tanganyika

  • @FrankMushi-cs5js
    @FrankMushi-cs5js 4 หลายเดือนก่อน

    Nakukubali sa kaka uko vizuriii

  • @sportsnewjs4330
    @sportsnewjs4330 หลายเดือนก่อน +1

    Tanganyika nilazima isimamiwe na Watanganyika wenyewe, Zanzibar isimamiwe na Wazanzibar wenyewe, na muungano pawe na baraza maalumu kutoka pande zote mbili kwaajili ya kusimamia muungano ulio sawa kwa Tanzania 🇹🇿

  • @user-ye3xp1lf7i
    @user-ye3xp1lf7i 3 หลายเดือนก่อน

    Nakukubarisana.mwabukusi.huwaunaongeaukwerikabisa

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 4 หลายเดือนก่อน +1

    Sema usiogope sema mwambukusi hapo lazima wakuchukie tu kiko kikundi cha watu wanakitafuna nchi huwezi kupendwa Mwambukusi

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 4 หลายเดือนก่อน

    WELL SAID MR MWABUKUSI

  • @atupegemwakahesya
    @atupegemwakahesya 4 หลายเดือนก่อน +2

    Safi kabisa uncle Mwabukusi.

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 4 หลายเดือนก่อน

    AKILI KUBWA 👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼

  • @user-rc1dp6ux3k
    @user-rc1dp6ux3k 3 หลายเดือนก่อน

    Waandishi chawa

  • @user-zj4ii6uf7t
    @user-zj4ii6uf7t 4 หลายเดือนก่อน +1

    Tuwashukru sn wtz ni wa pole sn,zingekuwa km nchi za wenzetu hawo waliouvamia msafara wa wananchi wasingetoka salama? wananchi wanamachungu viongozi wasiyo wajibika ktk utendaji kazi yeye anakuja kujipitisha karibu?wote wasingetoka salama?kwanza hiyo barabara Kila siku si ilikuwepo na wanaitumia siku zote?lkn wananchi kuiyomba barabara siku moja waitumia?ni shida,Sasa wananchi tunawambia,nchi siyo yawo ni ya sisi wananchi barabara siyo yawo ni ya sisi wananchi lazima wafike sehemu viongozi wetu watuheshimu sisi wananchi wawo🙏🙏🙏

  • @hamzamajenja4891
    @hamzamajenja4891 4 หลายเดือนก่อน

    Jamaa ni kichwa Sanaa

  • @barakamanga5502
    @barakamanga5502 4 หลายเดือนก่อน +1

    Duuuh mwambukisi anajua kukamia mechi balaaa na mwanahabari nae haishiwi swali

  • @user-qg3kf1ue7z
    @user-qg3kf1ue7z 3 หลายเดือนก่อน

    You are too bright Guy....

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 4 หลายเดือนก่อน +8

    Bibi tozo tupatie tume huru tunataka kujitawala vinginevyo mungu ataamua tumelia vya kutosha

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 4 หลายเดือนก่อน

    TUNATAKA MAJAWABU.....PERIOD!!!

  • @msatibongonyuzi14
    @msatibongonyuzi14 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mawazo mazuri likini ukweli utekelezaji hauwezekaniki mkuu tuwaache tu

  • @user-gy5gu1mn4x
    @user-gy5gu1mn4x 4 หลายเดือนก่อน

    ✌️✌️✌️

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x 4 หลายเดือนก่อน

    Safi ssna mkuu

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 4 หลายเดือนก่อน

    Hapo umesema ukweli inatakiwa kuwe na Serikali 3 kama Katiba y Warioba ilivyoandikwa jamani kila mtu akae kwao

  • @bilid4128
    @bilid4128 4 หลายเดือนก่อน +1

    Sio kwamba ukisema Tanganyika na kule Hamna Zanzibar tena bali inakuwa Unguja na Pemba ?

  • @user-rc1dp6ux3k
    @user-rc1dp6ux3k 3 หลายเดือนก่อน

    Miaka yote wanyonge wanaambiwa funga mikanda mbona viongozi wao hawafungi mikanda wao

  • @EnockKanduli-cv8yr
    @EnockKanduli-cv8yr 4 หลายเดือนก่อน +6

    CCM wameishiwa sera. Hebu fikiria upigaji uiopao NHIF watu wanakopeshana mabilioni. Serkali haichukui hatuna imeoza. Vilaza tupu.

  • @thestonetown3302
    @thestonetown3302 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mtangazaji anajua kuhoji mpaka anakera ❤❤❤apewe maua yake 🌻🌻🌻

  • @mosesmnyantope9534
    @mosesmnyantope9534 4 หลายเดือนก่อน

    Du

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2m 4 หลายเดือนก่อน +3

    Wakati wa magufuli mafuta yaliuzwa 1500 umeme haukatiki ilikuwaje?

    • @patsonanyitike9584
      @patsonanyitike9584 4 หลายเดือนก่อน

      Mbunge hatuna wate19 mpiina hoyoeeeeeeee

  • @user-br9ld8km8h
    @user-br9ld8km8h 4 หลายเดือนก่อน

    Mwabukusi jembe sana

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x 4 หลายเดือนก่อน +1

    Inshu sio utanganyika na uzanzibari. Inshu ni wezi wengi ni watanganyika sisi

    • @lazaromshamu3521
      @lazaromshamu3521 4 หลายเดือนก่อน

      Ndio wanajificha kwenye kivuli cha huo muungano sasa

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x 4 หลายเดือนก่อน

    Safari hii mtsnganyika akagombee zanzibar

  • @KayongoOba-ht2rf
    @KayongoOba-ht2rf 4 หลายเดือนก่อน

    Anko Uko vzr

  • @edwinlupembe9528
    @edwinlupembe9528 4 หลายเดือนก่อน +2

    Anayehoji ni kama ametoka kwenye dunia nyingine.

    • @richardnganya2311
      @richardnganya2311 4 หลายเดือนก่อน

      Inawezekana hakai Tz ni kama amekurupuka na maswali ya kitoto kabisa. Mhojaji afaa kuzabwa kofi azinduke.

    • @julius_wankyo
      @julius_wankyo 4 หลายเดือนก่อน

      Mwandishi hata kama anafahamu huwa anahoji Kwa faida ya mtazamaji ambaye hafahamu. Mfano. Ukiwa unamuhoji rafiki yako . Utamuuliza jina lake ingawa unamfahamu vizuri. Ni Kwa faida ya wengine tu.

  • @yussuph-lx7cu
    @yussuph-lx7cu 4 หลายเดือนก่อน +1

    ZAMBIA SUKARI NI SH 1500 NA INAPITIA BANDARI YA DAR ES SALAAM ,LAKINI TANZANIA SUKARI NI SH 5000 ,,,HAKIKA TANZANIA NI NCHI YA OVYO KABISA

  • @DonMooSTUDIO_Express
    @DonMooSTUDIO_Express 4 หลายเดือนก่อน +2

    TABIA YA NCHI 😂😂😂 huyu mwandishi itakuwa haishi Tz maswali hayana kichwa wala miguu kama vile katumwa

    • @sylvestersamwel8210
      @sylvestersamwel8210 4 หลายเดือนก่อน

      Muandishi amekutani na mtu mwenye hasira na masilahi ya Watanzania na mwenye upeo mkumbwa kumzidi.

    • @DonMooSTUDIO_Express
      @DonMooSTUDIO_Express 4 หลายเดือนก่อน

      @@sylvestersamwel8210 huyu ndio dawa yake. Hawa waandishi wa JAMBO Tv nimewafatilia sana wakiwa wanawahoji CHADEMA au Upinzani wanajifanya kubana sana maswali kuonesha wapinzani wanachokifanya sio sawa

  • @nakalikyumile3234
    @nakalikyumile3234 4 หลายเดือนก่อน

    Mwandishi ni "kipeto"

  • @dianamakatu9298
    @dianamakatu9298 3 หลายเดือนก่อน

    Kinacho nichoshaga wabunge wetu kutusariti.Wabunge niwawakilishi kwa niaba yetu .afu wanajifanya serikali na kutuumiza .

  • @JohnValle-xn1dx
    @JohnValle-xn1dx 4 หลายเดือนก่อน

    Biteko alitumia kiburi hafai kuitwa waziri mkuu

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x 4 หลายเดือนก่อน +1

    Lakini isije ikawa kwa sababu ni waisilamu.

    • @wilfredngulwa5086
      @wilfredngulwa5086 4 หลายเดือนก่อน

      Mm muislamu ndungu zangu wakiristo

    • @lazaromshamu3521
      @lazaromshamu3521 4 หลายเดือนก่อน

      Kwani mkapa ni muislam

  • @amiribakari2528
    @amiribakari2528 4 หลายเดือนก่อน +3

    Mawazo adim sana..wewe ni kichwaaa

  • @user-ty1gg2jf1l
    @user-ty1gg2jf1l 4 หลายเดือนก่อน +3

    Kweli chadema inawatu vichwa.

  • @jeunajuatv817
    @jeunajuatv817 4 หลายเดือนก่อน

    Watanzania mtaelew tuu 😅😅

  • @user-vn4xo6vl5c
    @user-vn4xo6vl5c 4 หลายเดือนก่อน

    Mwamba uyu apa

  • @user-kq7in8gd9o
    @user-kq7in8gd9o 4 หลายเดือนก่อน

    Big up My beloved brother Mwabukusi

  • @user-hm8xy6ei7f
    @user-hm8xy6ei7f 4 หลายเดือนก่อน

    yani hii kichwa nihatari kichwa imejaa madini

  • @faustinecelestine3882
    @faustinecelestine3882 4 หลายเดือนก่อน

    Kwani kiongozi ni Mungu,huyu jamaaa vipi,yan watu waelfu wampishe mtu mmoja ni Yesu kristo huyo,em lets get serious kidogo

  • @KelvinMtavangu-ow8yo
    @KelvinMtavangu-ow8yo 4 หลายเดือนก่อน +1

    Happy ni ukweli mtupu. Managed yake; Muungano haukuona mbali kwamba Tanganyika iwepo na Zanzibar iwepo.Hizi ni nchi mobility. Kwanini Tanganyika ifeee na Zanzibar iwepo? Hayo ni makes a dhahiri ya Waasisi Wetu. Hakim ya Watanganyika Imesahaulikaje?

  • @bukurunestory3540
    @bukurunestory3540 4 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂

  • @nizwaoman8378
    @nizwaoman8378 4 หลายเดือนก่อน +2

    Yani da kaka mwabukusi unaongea point

  • @yussuph-lx7cu
    @yussuph-lx7cu 4 หลายเดือนก่อน

    WATANZANIA TULIOWENGI NI HAYO UNAYOYASEMA MWABUKUSI TUNAYOYATAKA SISI WANANCHI WA TANZANIA ,,,,,,,,MA CCM HAYATAKI UCHAGUZI HURU NA WA HAKI

  • @patrinraura1397
    @patrinraura1397 4 หลายเดือนก่อน +2

    Tunapenda sana kumsikiliza huyu Mhe.Mwabukuzi kama Mtanzania" anayoyasema kuhusu Mali za Tanganyika kusimamiwa kuwa ni Mali ya Muungano lakini mali za Zanzibar kusimamiwa na Wazanzibar wenyewe (Rejea Ushauri wa Mhe.Warioba,Fransis Nyalali)hapo VIONGOZI Watawala mtusaidie Kwanini Mali za Bara zisisimamiwe na Tanzania Bara au Tanganyika badala yake zimeachwa Holela bila usimamizi.madhubuti kama Zanzibar? Tusaidieni.Sisi ni Sauti ya Watanzania lakini ni Wanachama wa Vyama mbalimbali vya Siasa.

  • @sylvestersamwel8210
    @sylvestersamwel8210 4 หลายเดือนก่อน

    Viongozi wengi wateuliwa wa Rais hekima ni zero.

  • @fredgonga
    @fredgonga 4 หลายเดือนก่อน +1

    Halafu Bado kuna mjinga mmoja atabisha kwa sababu analipwa na kodi zetu..

    • @jesaminzo
      @jesaminzo 4 หลายเดือนก่อน

      Wanachojali ccm ni kuangalia kama matumbo (utumbo) mpana umejaa!