ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก

Mwabukusi: Kuna Spika Amefukuzwa Kama Muuza Bamia, 'Spika Sio Mali ya Chama'

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 ม.ค. 2024
  • Unaweza kutufuatilia kupitia;
    TWITTER: / thechanzo
    INSTAGRAM: / thechanzo
    FACEBOOK: / thechanzo
    TIKTOK: www.tiktok.com....
    Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
    Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
    The Chanzo Initiative, 2022 © All Rights Reserved.

ความคิดเห็น • 129

  • @samwelmohonge4573
    @samwelmohonge4573 11 วันที่ผ่านมา +3

    this is the turning point, viva MWABUKUSI THE HEROE

  • @user-jb3zp9uo7o
    @user-jb3zp9uo7o 7 หลายเดือนก่อน +23

    Haya ni Maneno adiimu sana kuyasikia. Mwabukusi piga kazi, una watu wengi sana nyuma yako.

  • @ngamugamahonzelosanga3316
    @ngamugamahonzelosanga3316 7 หลายเดือนก่อน +9

    Hongera ndugu Mwabukusi kwa ufafanuzi mzuri hakika bunge la sasa hakuna lolote kila kitu ni ndiyooo

  • @pueblo148
    @pueblo148 7 หลายเดือนก่อน +11

    Brain,smart,highness intelligent💕

  • @oscarkasalile3966
    @oscarkasalile3966 7 หลายเดือนก่อน +10

    Mimi nakuelewa Sana mzalendo namba moja Tanzania nakuelewa mnooooo.

  • @emmanuelsitayo1977
    @emmanuelsitayo1977 7 หลายเดือนก่อน +14

    Ooh my God.
    I love this speech.
    It's exactly what we experience with these elections.
    Imefika wakati mgombea akihujumiwa apige kelele sana. Syo ku kaa kimya kama mazezeta.
    Enzi za uzombi na uzezeta zimeisha.

  • @mesharothuman2443
    @mesharothuman2443 7 หลายเดือนก่อน +16

    Brother unachoongea ndio uhalisia,mungu akubariki sana you are truly and honestly.Watanzania tunaumizana wenyewe kwa ubinafsi wetu hatuna umoja.

    • @eliassumila8173
      @eliassumila8173 10 วันที่ผ่านมา

      Uko vizuri sana wewe.Nimekuelewa haswaaaaa.

  • @thomaskiponda6079
    @thomaskiponda6079 7 หลายเดือนก่อน +9

    MUNGU WANGU KWANINI USITULETEE WATU WAWILI WATATU KAMA HAWA? WASIOJALI VYAMA?❤❤❤❤❤ I LOVE THIS MAN OF GOD.❤❤❤❤

    • @illomowerner7690
      @illomowerner7690 4 หลายเดือนก่อน

      Great speech hon.Mwabukusi, Viva kaka Thomas

  • @pidiusDominick-qi7nl
    @pidiusDominick-qi7nl 7 หลายเดือนก่อน +8

    Tunahitaji watu kama hawa katika taifa letu

  • @mosesmacha1080
    @mosesmacha1080 7 หลายเดือนก่อน +8

    Brain Smart, our Speaker🎉🎉🎉

  • @bicorugina1452
    @bicorugina1452 7 หลายเดือนก่อน +6

    Big up

  • @JohnPallangyo-k9n
    @JohnPallangyo-k9n 7 วันที่ผ่านมา

    Kaka mwabukusi Mungu wngu akusaidie usibadili kwenye misimamo yko na usimame kwenye kweli na kweli hiyo itakuinua zaidi, mm niko pamoja nawewe

  • @hilujuma4869
    @hilujuma4869 7 หลายเดือนก่อน +21

    Mwabukusi akiungana na LISSU unaweza kuilata Tanzania ya amani ya kweli na siyo hii ya mchongo.

    • @omarali797
      @omarali797 7 หลายเดือนก่อน +1

      Hata hujui unacho andika. Yeye hapo anapingana na akina Lissu na wanasiasa wote kisa wanashiriki chaguzi

    • @samsonkatigiri2344
      @samsonkatigiri2344 14 วันที่ผ่านมา +1

      Lisu ni maneno mengine kaka hata mwambukusi anamkubali lisu na mbowe,huu ujasiri kajifunza kwa hiyo miamba,lisu na mbowe ni magreda yaliyotengeza barabara ya lami sasa magari ya akina mwambukusi yanatereza tu😂😂😂

  • @adenmayala9298
    @adenmayala9298 7 หลายเดือนก่อน +12

    That's true

  • @edsonkahesi8603
    @edsonkahesi8603 7 หลายเดือนก่อน +7

    Siku zote ninaamini amani ya taifa hili imeshikiliwa na wapinzani, maana wanafanyiwa vitendo vya kikatili ambavyo laiti kama wasingekuwa wazalendo watu wangekuwa wanauana hovyo kwa kulipiza kisasi..na mambo hayo wangekuwa wanafanyiwa sisiemu kusingekuwa na amani.

    • @FrankMwakatundu-cu6bd
      @FrankMwakatundu-cu6bd 7 หลายเดือนก่อน +2

      Uko sahihi ndugu CCM NI HATARI SANA!!!! Kiss TU MADARAKA NA MALI!!! WAMESAHAU KABISA KUWA YAKO MAISHA BAADA YA HAYA TENA NI YA MIKELE.

  • @aphonceedward6784
    @aphonceedward6784 6 หลายเดือนก่อน +4

    Nakuelewa sana kaka uko sawa kabisa

  • @renomori4255
    @renomori4255 7 หลายเดือนก่อน +6

    Asante sana kamanda

  • @mesharothuman2443
    @mesharothuman2443 7 หลายเดือนก่อน +4

    A truly and honestly.Wow whaya speach

  • @user-ok6lv3je4b
    @user-ok6lv3je4b 7 หลายเดือนก่อน +4

    Mwanadamu atakuchelewesha lakini mungu kwake akuna kuwai wala kuchelewa, wewe ni mbunge jimbo atakalokupa mungu mtetezi

  • @WingodEpafra-dl1cd
    @WingodEpafra-dl1cd 17 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Barikiwa mkuu

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 7 หลายเดือนก่อน +2

    Mwabukusi wakili msomi kuishinda Ccm ni kazi sanaaaa hyo mpaka Katiba mpya tu

  • @MeenaHassan-fd9vv
    @MeenaHassan-fd9vv 7 หลายเดือนก่อน +2

    mwambukusi big brain

  • @fredrickmwakalinga6390
    @fredrickmwakalinga6390 7 หลายเดือนก่อน +6

    Jimbo la kawe kwa gwajima police walikamatwa na kura kibara za ubunge na urais zimepiwa tiki za ccm walikamatwa lakini hawakufanywa chochote

  • @jesaminzo
    @jesaminzo 7 หลายเดือนก่อน +7

    Ni kweli hata majambazi yamekimbilia bungeni kwa sababu yamegundua bungeni kunalipa!

  • @user-ef2ln1mx3s
    @user-ef2ln1mx3s 7 หลายเดือนก่อน +8

    Watu wenye akili timamu kama awa uwa awacheki wala kuimbiwa nyimbo wala kusifiwa wakute wajinga mapambio sifa za kijinga mpaka wanakuwa na frash cd mfukoni za mchiliku anawajua wasanii wate wa singeri watashinda mungu yuko nanyi nasisi wachache tutaamasisha wezetu tulikomboe taifa

  • @EMANUELMUSHI-kk4df
    @EMANUELMUSHI-kk4df 12 วันที่ผ่านมา

    Aisee naomba nirudie kuiangalia, huyu janaa wa moto mbaya🔥🔥🔥🔥🔥

  • @user-ct1qp3th5f
    @user-ct1qp3th5f 7 หลายเดือนก่อน +5

    Unaongea vema, kundi kubwa la wasomi wa Tanzania ndio wanaouymiza nchi hii.

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u 7 หลายเดือนก่อน +2

    COMRADE MWABUKUSI.....MZALENDO WA KWELI WA NCHI YETU.....WATANZANIA KWA MAMILIONI TUNAKUELEWA SANA.

  • @daudisalum9574
    @daudisalum9574 7 หลายเดือนก่อน +4

    Uyu jamaa kwanini asiunganishe nguvu na lisau

  • @George-jz3jg
    @George-jz3jg 7 หลายเดือนก่อน +13

    Yaani Ndugai alifukuzwa kama kibaka kisa kakosoa matendo ya serikali na rais wake

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 7 หลายเดือนก่อน

      George sasa limebumbuluka alichosema kuwa nchi imeuzwa jubu ni kweli Bandari zote Mbuga za wanyama zote loliondo nk sasa ni aibu tupu

    • @illomowerner7690
      @illomowerner7690 4 หลายเดือนก่อน +1

      Pia naye alilipwa mshahara wa dhambi yake kushirikiana kwa hila kuumiza upinzani contrally kabisa na taratibu za kibunge.
      Mara ku-approve wabunge fake

  • @sampaconnector2845
    @sampaconnector2845 7 หลายเดือนก่อน +10

    Nchi ipo gizani sana na sababu ni hawa CCM.

  • @frankremishoy5778
    @frankremishoy5778 7 หลายเดือนก่อน +2

    Well don bro a very slow lanner can also know the concerpt

  • @JustineYohanes
    @JustineYohanes 7 หลายเดือนก่อน +5

    Huyu jamaa yupo vnzr lakini na shindwa kuelewa ni chama gani kwaa wakati huu
    Ccm chadema

    • @user-jc8el6je5e
      @user-jc8el6je5e 7 หลายเดือนก่อน

      Sauti ya watanzania..

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji 7 หลายเดือนก่อน +1

      @@user-jc8el6je5eSAUTI YA TEC 😢😢😢😢😢

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 7 หลายเดือนก่อน +2

    Unafaa kuwa speaker wa bunge tz

  • @cyprianpetetmbonde6374
    @cyprianpetetmbonde6374 7 หลายเดือนก่อน +1

    Kwa kweli wizi wa kura ni ushenzi sana. Watu tunaachashuguli zetu , tunapanga foleni halafu ni juani na njaa,, halafu MIPUMBAVU inatudhihaki.

  • @jamesmfinanga1717
    @jamesmfinanga1717 6 หลายเดือนก่อน +1

    Jipange tena bra ela utapata kwa wananchi ... katukamatie hawa ... na hapo katiba itapatikana ...

  • @jumaally2469
    @jumaally2469 7 หลายเดือนก่อน +1

    Mm nawashangaa sana hawa CCM wao wanajinadi kua ni chama pendwa kwann wanaogopa katiba mpya

  • @smarty1064
    @smarty1064 7 หลายเดือนก่อน +2

    Duh! hakuna haki kbs

  • @wallacemngoma794
    @wallacemngoma794 7 หลายเดือนก่อน +2

    Mhe. Mwabukuzi aungane na Mhe. Lissu waongeze nguvu kupapambania haki ipatikane Tanzania na kuiondoa CCM madarakani.

  • @GABRIELGAVU-vf7cn
    @GABRIELGAVU-vf7cn 11 วันที่ผ่านมา

    Fomu za wagombea chama tawala huelekezwa na kusahihisha na maafisa wakishirikiana na wakala. Halafu wapinzani hutumika hayo makosa kuengua wagombeya.

  • @emmanuelmasatu
    @emmanuelmasatu 11 วันที่ผ่านมา

    Nakuunga mkono kaka %100.

  • @user-zl3le1wz2u
    @user-zl3le1wz2u 7 หลายเดือนก่อน +1

    Jiamini kwanza unaweza kupambana na CCM.Akina fulani hatunao sababu ya red carpet Mang'ula mungu bado anaye.

    • @mfwimiekayuki8692
      @mfwimiekayuki8692 7 หลายเดือนก่อน +1

      Hadhi ya haipo.Imekwisha kabisa

    • @user-zl3le1wz2u
      @user-zl3le1wz2u 7 หลายเดือนก่อน +1

      Spika ulishika muhimili wa kumtetea wanyonge toka uondoke au kuachia ngazi umeshuhudia jinsi nchi inavyoliwa na wajanja ,KwaSasaMaoni yako ni yapi.

  • @samsonkatigiri2344
    @samsonkatigiri2344 14 วันที่ผ่านมา

    Mwambukusi kachukue katibu mkuu chadema,mnyika awe naibu katibu mkuu,pale mbowe,kule Tundu Lisu,hapa mwambukusi,ukaongeza kina Heche,Lema,John mrema,kina kigaila n.k😂😂😂😂 utapenda hii safu hata kama hutaki

  • @V24hrs
    @V24hrs 7 หลายเดือนก่อน +4

    Huyu jamaa akiungana na ZITTO KABWE watakuwa wamefanya Bonge la Kolabo.

    • @mesharothuman2443
      @mesharothuman2443 7 หลายเดือนก่อน

      Zito Kabwe yupi huyo mwenye price tag no please.

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji 7 หลายเดือนก่อน

      @@mesharothuman2443SABABU SIO MGALATIA 🥳🥳🥳🥳🥳💯💯💯💯💯

    • @renatusmatungwa2508
      @renatusmatungwa2508 7 หลายเดือนก่อน

      Zitto kabwe hamna kitu acha kumkosea heshima Mwabukusi

    • @simbahmsini
      @simbahmsini 7 หลายเดือนก่อน

      Zitto ni tunu ya Siasa za Tz,hakurupuki,anafanya tafiti na hata anayefikiria kupinga hoja zake anajiuliza mara mbili mbili ni mtu smart sana
      Kinachoponza na kumponza Zitto ni kuwa na akili nyingi kuliko wanaomchukia

    • @renatusmatungwa2508
      @renatusmatungwa2508 7 หลายเดือนก่อน

      @@simbahmsini Zitto kabwe siyo mtu wa msimamo ndo haaminiki siyo kwamba anachukiwa

  • @DatyuuMudy
    @DatyuuMudy 13 วันที่ผ่านมา

    Sasa we umekuwa raise ili uwombe kurudishiwa hela yako ya uchaguz du mawakili mmefly

  • @OlemegiroriPalasalau
    @OlemegiroriPalasalau 7 หลายเดือนก่อน

    Sawaaa

  • @nixonjohnson4908
    @nixonjohnson4908 5 หลายเดือนก่อน +1

    Yaani safari hii watu wa tume wajiangalie watakufa wakileta ujinga na shangwe la kutosha.. kifo chake..

  • @AllyMandunda-tj9jc
    @AllyMandunda-tj9jc 10 วันที่ผ่านมา

    Justin meabukusi ni C hadema

  • @user-qz2cs5wm5u
    @user-qz2cs5wm5u 11 วันที่ผ่านมา

    Maneno mazito Sana niyakuyatafakali si kukimbilia amani

  • @yassinrajabu6511
    @yassinrajabu6511 7 หลายเดือนก่อน +3

    kaka mwabukusi kwani comenti zangu uwa auzisomi kilasiku nakushauli kama elimu unayo kaanao ccm muyajenge wakupe kitengo ule keki ya taifa kwa sababu dalasa unalo fundisha wanafunzi wako hawakuelewi wote wapo kwenye kombe la mapinduzi zanziba pigania masilai yako watanzania vigeugeu wanao kusifu leo ndio watao kutukana kesho

  • @user-qk9iz5lt8q
    @user-qk9iz5lt8q 3 หลายเดือนก่อน

    Upo sahihi KAMANDA pigs kazi

  • @user-up5lb4lp4v
    @user-up5lb4lp4v 7 หลายเดือนก่อน +1

    Vibaraka WA ccm utawaona tu kwenye comment zao kama huyu mayallays wewe ni malaya

  • @fidelishasia4799
    @fidelishasia4799 7 หลายเดือนก่อน +1

    Nimekuelewa

  • @EliyaMwangobe
    @EliyaMwangobe 10 วันที่ผ่านมา

    KAkA WEWE NI MKOMBOZI WA NCHI HII !
    NAOMBA KAZA KAMBA HADI ZIBANE !

  • @GABRIELGAVU-vf7cn
    @GABRIELGAVU-vf7cn 11 วันที่ผ่านมา

    Mkuu alisema yeye ni chura kiziwi. Lakini mawaziri na waandamizi waliokuwepo pale walipiga makofi. Sasa kama ni hivyo nani arasikiliza maoni yetu? Ajabu.

  • @matiredms917
    @matiredms917 7 หลายเดือนก่อน

    CCM inafanya uharamia ktk uchaguzi. Ni kazi bure kukubali Sheria na Katiba mbovu ambazo zinamweka juu ya Vyombo ambavyo vinapaswa kufanya kazi kwa uhuru na haki.

  • @bonabonala5559
    @bonabonala5559 7 หลายเดือนก่อน +1

    mahakama aipo huru hata kwa mvuta bangi au kibaka tume hii ni majizi wote

  • @MichaelmotikaLaiser-dl6wm
    @MichaelmotikaLaiser-dl6wm 9 วันที่ผ่านมา

    Wabunge mnasikia?

  • @bakariiddy5387
    @bakariiddy5387 15 วันที่ผ่านมา

    Watu wanamnahiii walindwe

  • @Samwelianaseti
    @Samwelianaseti 2 หลายเดือนก่อน

    Mwabukus ongea machache wasije wakakigeuka😂😂

  • @user-le2zm1yj9o
    @user-le2zm1yj9o 7 หลายเดือนก่อน

    Nimekuelewa na nimekubali ndio ukweli na uhalisia

  • @user-tt9bp2id5p
    @user-tt9bp2id5p 13 วันที่ผ่านมา

    Aya mwamba leo raisi

  • @mashannapapaaa9582
    @mashannapapaaa9582 7 หลายเดือนก่อน +1

    Mwabukus lisu mudude wakili musomi mbatia muugeni mukono lisu mulete ukombozi

  • @StephenLetta
    @StephenLetta 7 หลายเดือนก่อน

    Wewe ni mtu uliyejaliwa akili na ambaye unaonea fahari kufikiri kwa kutumia ubongo.

  • @bakariiddy5387
    @bakariiddy5387 15 วันที่ผ่านมา

    Watu wenye akili timamu ndohawa sasa

  • @user-ti8fn1wn1w
    @user-ti8fn1wn1w 4 หลายเดือนก่อน

    Hakika mwabukusi ni madin

  • @simonmwasile4377
    @simonmwasile4377 5 หลายเดือนก่อน

    Ningependa kila atakapogombea tulikuwa na wewe ugombeee papoose hapo ili tumnyoshee nyang'au huyu

  • @meryshekoloa961
    @meryshekoloa961 5 หลายเดือนก่อน

    Sijui tufanye nini binadamu hawa waingie bungeni target ni ngumu Sana

  • @Werema3760
    @Werema3760 7 หลายเดือนก่อน +1

    2025 Mungu saidia. Maama sipati picha.

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 7 หลายเดือนก่อน

      Haki huinua taifa. Tuiombee nchi yetu sana

  • @lazaromshamu3521
    @lazaromshamu3521 7 หลายเดือนก่อน

    watanzania tumesha anza kuamka ss,ushindi wala hauko mbali

  • @nixonjohnson4908
    @nixonjohnson4908 5 หลายเดือนก่อน

    Katuni wa serikali et Tulia jamani ..kwa sura ile roho itakuwaje sasa..hamna kitu pale

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 3 หลายเดือนก่อน

      Sura ndiyo inafanya kazi,mbona magufuli hakuwa handsome kama jakaya lakini kazi yake hakuna mtanzania hakumuelewa

    • @NtamamiloGibson
      @NtamamiloGibson 14 วันที่ผ่านมา

      Acha kutukana. Pamoja na sura mbaya kichwani yuko vizuri.

  • @isaliisu3408
    @isaliisu3408 7 หลายเดือนก่อน

    Kufukuzwa hajaaza spika zanzibar tulichaguwa Rais jumbe bara mkamfuka mkamuweka kigamboni mpk kafa tukaenda kuzika zanziba

  • @JosephChacha-kk1it
    @JosephChacha-kk1it 6 หลายเดือนก่อน

    Tupiganie kaka

  • @mustaphabussinescenter4127
    @mustaphabussinescenter4127 7 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂 spika kafukuzwa kama muuza bamia nani uyo

  • @knight6757
    @knight6757 7 หลายเดือนก่อน

    👀😩

  • @revocatusvedastus8893
    @revocatusvedastus8893 7 หลายเดือนก่อน

    mwambukusu Ni mzarendo

  • @muharamijuma1569
    @muharamijuma1569 7 หลายเดือนก่อน

    Unapoteza muda Rudi Mahakamani CCM ni chama Pendwa kwa Watanzania 12:48

  • @user-sp7qc1kl1f
    @user-sp7qc1kl1f 7 หลายเดือนก่อน +2

    Kwaiyo. Sisi wauza bamia umetuzarau Sana Sana sio? Wacha kauli chafu

    • @adkajisi4536
      @adkajisi4536 7 หลายเดือนก่อน

      😂😂

    • @SmilingCityMap-xb9md
      @SmilingCityMap-xb9md 6 หลายเดือนก่อน

      Aliewazalau sio mwabukusi Bali ni huyo anaewapelekea migambo na kuwafulumsha mtaa Kwa mtaa Kwa vilungu

    • @c.l.g.mchurch6426
      @c.l.g.mchurch6426 9 วันที่ผ่านมา

      Dawa imepitaa😂😂

  • @isaacmwaseba9972
    @isaacmwaseba9972 7 หลายเดือนก่อน

    SISI WATU WA MBEYA UKWELI TUNAUJUA USHINDE UBUNGE KWA CHAMA CHA NCCR MAGEUZI BUSEKELO 😂😂 LABDA LAKINI TUSIZARAU HUENDA UKAPATA. YAANI HUKO BUSEKELO NA RUNGWE YOTE HUPATI NG'OOO LABDA KAGOMBEE KWA CHAMA KINGINE SIO NCCR MAGEUZI.

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 7 หลายเดือนก่อน

    HIL JAMA LINAPOINT SEMA LINANIKELE LINAVYOONGEA KWA KUFOKA FOKA HALIJUI KUONGEA KISTARAB HAPO NDIPO LINAPO FEL EM JIFUNZE KUONGEA NA WATU VIZUR USITIFOKEE

    • @Ambwene
      @Ambwene 7 หลายเดือนก่อน +1

      Unataka aongeaje broo

    • @Haruna-dd5iq
      @Haruna-dd5iq 7 หลายเดือนก่อน +1

      Haongei na ww anongea na wakora

    • @neemajames7814
      @neemajames7814 7 หลายเดือนก่อน +1

      Yan ww nikikuona nakutaftia pozi nakubenjua mayai viza

  • @paulrwechungura4284
    @paulrwechungura4284 6 หลายเดือนก่อน

    ttumekuchoka kalale

    • @user-ti8fn1wn1w
      @user-ti8fn1wn1w 4 หลายเดือนก่อน

      Mwambie akalale mama ako anae uza Uchi punguan wew

    • @NtamamiloGibson
      @NtamamiloGibson 14 วันที่ผ่านมา

      Du! 😂😂😂

  • @JustineYohanes
    @JustineYohanes 7 หลายเดือนก่อน

    😮😮😮😮😮😮u

  • @hassannyalile2256
    @hassannyalile2256 7 หลายเดือนก่อน

    Umeanza kuimba taarabu?

  • @christopherpaulo9490
    @christopherpaulo9490 7 หลายเดือนก่อน

    Omba msamaha kwa wauza bamia

  • @mayaally2512
    @mayaally2512 7 หลายเดือนก่อน +1

    KUMBE NIA YAKO NI UBUNGE KUROPOKA HIVYO KILA SIKU.UBUNGE BWANA HUUPATI😂😂😂

    • @mosesmacha1080
      @mosesmacha1080 7 หลายเดือนก่อน +1

      Nimecheki jina lako, hapa hapakuhusu🎉🎉🎉

    • @mesharothuman2443
      @mesharothuman2443 7 หลายเดือนก่อน +1

      Ni moja kati ya Manyumbu majaza Tumbo ndio uhalisia wako mbulula wewe

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji 7 หลายเดือนก่อน

      @@mosesmacha1080kweli yako🎉TUNAJUA Ni WAGALATIA SIKU NYINGI 🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳

    • @Dd-mu4fj
      @Dd-mu4fj 7 หลายเดือนก่อน +1

      Kwani hastahili ? We vipi

  • @user-kw6pg7nb1w
    @user-kw6pg7nb1w 7 หลายเดือนก่อน

    Huna sera mzee,ww hata chadema tu wanakushangaa

  • @user-kw6pg7nb1w
    @user-kw6pg7nb1w 7 หลายเดือนก่อน

    Wewe acha uongo

  • @bonabonala5559
    @bonabonala5559 7 หลายเดือนก่อน

    tundu lissu wa pili huyu mwambukuzi sio mbowe muuza democracia ya tz

  • @maspro6294
    @maspro6294 7 หลายเดือนก่อน

    Mtabaki kubwaka kama mbwa koko hakuna atakae wapa nchi hii vibaraka wa mabeberu ukimaliza kubwaka ukapige mswaki domo lako lina nuka

    • @saidmabanga388
      @saidmabanga388 7 หลายเดือนก่อน

      Kuma ww

    • @oscarkasalile3966
      @oscarkasalile3966 7 หลายเดือนก่อน

      Katika watu wasiokuwa na akili wewe yani kiongozi anaongelea ili inchi ibaki kuwa salama wewe unasema anaropoka nyie ndo majizi wauza Bandari nyie hovyo kabisa

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji 7 หลายเดือนก่อน

      WATANZANIA HAWAWEZI KUWACHAGUA HAWA NI WAHUNI NJAA INAWASUMBUA