MCHUNGAJI ALIYEVAMIWA KANISANI, NGUMI ZIKAPIGWA, IBADA IKAVURUGWA AFUNGUKA - "KESI INA MIAKA 4"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 16 ก.ค. 2022
  • MCHUNGAJI ALIYEVAMIWA KANISANI, NGUMI ZIKAPIGWA, IBADA IKAVURUGWA AFUNGUKA - "KESI INA MIAKA 4"
    HUU ni muendelezo wa habari ya mchungaji ambaye alivamiwa na wananchi wakati wa ibada na kufanyiwa vurugu, Global TV imefanya mahojiano naye maalum na ameeleza mengi..
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 784 888982)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

ความคิดเห็น • 354

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  2 ปีที่แล้ว +1

    SUBSCRIBE NOW UWE WA KWANZA KUONA:👉🏾 bit.ly/3MraYdQ

  • @silvestererasto9890
    @silvestererasto9890 2 ปีที่แล้ว +30

    Hiyo ni vita ya kiroho ,Mungu awashindie

  • @wandedalushi2984
    @wandedalushi2984 2 ปีที่แล้ว +37

    Hao waliovamia kanisa tunawapeleka kwa Mungu mwenyewe ashugulike nao mchana kweupe

    • @OnesmoEmmanuel-xr2rf
      @OnesmoEmmanuel-xr2rf 5 หลายเดือนก่อน

      Haswa hawa wapigwe mpaka watuombe msamaha wamenikela

  • @ndavadumayai4250
    @ndavadumayai4250 2 ปีที่แล้ว +11

    Songa mbele mchungaji makelele maana yake nini mbona mabaa & wengineyo wanapiga kelele, wapigwe kwa jina la Yesu!

  • @subiranjohole1935
    @subiranjohole1935 2 ปีที่แล้ว +17

    Hao majirani lazima watakuwa na nguvu za Giza sana. Giza na Nuru haviwezi kuwa pamoja. Mungu asimame juu yenu msihofu mtumishi. Mungu Yu pamoja nanyi.

  • @easternyerembe7271
    @easternyerembe7271 2 ปีที่แล้ว +14

    Mchungaji Ana busara sana

  • @vascombembela3632
    @vascombembela3632 2 ปีที่แล้ว +15

    Poleni sana Watumishi wa Mungu, hii ni vita ya kiroho, hivyo chocheeni maombi, Mungu atasimama na kulitetea Kanisa!

    • @princebuganzilut2047
      @princebuganzilut2047 2 ปีที่แล้ว

      acheni kudanganya watu. vita ya kiroho wakati hii ni physical fight. mtu ameingia amegonga mabati hapo kiroho inakata wapi? mbona tunapotoshana. kiroho ni fight within. mfano mtu mwenye usongo wa mawazo inaukaribu wa kiroho na sio mtu anarusha jiwe (Physical throwing) na sio spiritual

    • @erickmutungi8792
      @erickmutungi8792 2 ปีที่แล้ว

      @@princebuganzilut2047 inaitwa vita ya kiroho kwa sababu anayechochea hizo vurugu ni shetani anayetawala akili za watu husika na shetani ni kiumbe cha kiroho ambacho hakionekani kwa macho ya damu na nyama, hivyo ili kitimize azma yake kinyume na watu wa MUNGU ni lazima kitawatumia wanadamu,na ndio maana inaitwa "vita ya kiroho"..na kuipigana kwake hatutumii bunduki wala bomu ila inashughulikiwa kwa kumwomba BWANA YESU KRISTO mwenyewe,yeye ndiye anayepigana kwa ajili ya watu wake.....na tangu historia ya ulimwengu ianze hakuna aliyewahi kufanya vita na kanisa la kweli la MUNGU akabaki salama,huwa wanaweza kuonekana kama wameshinda lakini mwisho wa siku kama wasipotubu kwa BWANA YESU KRISTO lazima watashughulikiwa tu.....

  • @sabatoelia312
    @sabatoelia312 2 ปีที่แล้ว +44

    Mimi ni msabato Biblia inasema Kama watu wasipo piga kelele kwa Ajili ya MUNGU mawe yatapiga kelele 🫡. Waachen walokole wakomae kumtafuta bwana

    • @easternyerembe7271
      @easternyerembe7271 2 ปีที่แล้ว +7

      Amina muadventista mwenzangu. God bless u

    • @shabansalee4924
      @shabansalee4924 2 ปีที่แล้ว +2

      Bibilia imekataza rakini kelele kanisani ama ujui

    • @easternyerembe7271
      @easternyerembe7271 2 ปีที่แล้ว +5

      @@shabansalee4924 mi cjui labda tu uelewa wako, maana hata Bartholomew kipofu alipiga kelele Yesu Mwana was Daud unirehemu,...wakamwambia unapiga kelele nyamaza, yy aliendelea, mwishoni Yesu alimwita akampa muujiza wake, kuwa makini kwa tafakari zako

    • @shabansalee4924
      @shabansalee4924 2 ปีที่แล้ว

      @@easternyerembe7271 ww ndo una umakini taalifa kwani mm mwana abali

    • @princebuganzilut2047
      @princebuganzilut2047 2 ปีที่แล้ว

      hata tafsiri ya maandiko bado hamuelewi?? bado unajiita mtu wa kiroho huku tafsiri ya maandiko mnashidwa kutafsiri

  • @raphaelorembe7573
    @raphaelorembe7573 2 ปีที่แล้ว +7

    Neno la Mungu linasema ole wake anayelitukanisha jina la Bwana, Mchungaji na washirika lote Mungu awatie nguvu someni Efeso6:12-13, hiyo ni vita ya kiroho. MUNGU ATAWASHINDIA

  • @silvestererasto9890
    @silvestererasto9890 2 ปีที่แล้ว +16

    Wote waliohusika kuvamia kanisa Mungu atawalipa.

  • @suratibrahim6417
    @suratibrahim6417 2 ปีที่แล้ว +6

    Baba yetu Mungu mwaminifu tunakushukuru katika kila jambo tunaamini eeh Yesu mwaminifu ulie hai utasimama juu ya hili🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 2 ปีที่แล้ว +14

    Hao ni wachawi.Mwachieni Mungu.

  • @wilfredlukowo9476
    @wilfredlukowo9476 2 ปีที่แล้ว +8

    Yesu kristo ni BWANA Hao ni Wachawi wapigweeeeeeeeeeeeeee

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 2 ปีที่แล้ว +4

    Nimejiskia vibaya sana jaman nataman hata mngeweka namba tumchangie mchungaji anunue viti vingine🤲🙏🏽

    • @julianavenant1387
      @julianavenant1387 2 ปีที่แล้ว

      Kwakweli mchungaji kaongea kwa uchungu 😥 daaah....🙌

    • @user-vl5xv2xd6e
      @user-vl5xv2xd6e 3 หลายเดือนก่อน

      Wameru bado laana ya Wamisonari inawatafuna mpaka mnaenda kuvamia Kanisa Upanga wa Mungu u juu yenu

  • @milkajm4762
    @milkajm4762 2 ปีที่แล้ว +11

    Mtangazaji upo vizuri sana. Very professional

  • @hellenkendi7078
    @hellenkendi7078 2 ปีที่แล้ว +6

    You are affecting ufalme wa Giza pastor be strong in Jesus name.

  • @judithmelvinealuchio8968
    @judithmelvinealuchio8968 2 ปีที่แล้ว +13

    be strong muchungaji na mungu akupiganie maana yeye ndiye mwenza wa yote 🙏🙏🙏🇰🇪🇪🇺

    • @subirasanga5276
      @subirasanga5276 2 ปีที่แล้ว

      Umeona eeeh! Nas sote yatupasa kuungana kumuomba MUNGu

  • @ericamwkyokile4681
    @ericamwkyokile4681 2 ปีที่แล้ว +10

    hapo hata wakiomba kimya kimya bado watawasumbua ni mambo ya kiroho.nguvu mbili zinashindana.

  • @williammajani2152
    @williammajani2152 2 ปีที่แล้ว +12

    Hili jambo limetendwa kwa maelekezo ya nani? Mkuu wa wilaya hiyo yupo? Na amekaa kimya? Bila shaka lipo jambo Mungu atatenda na watu wote watakunja Goti

    • @princebuganzilut2047
      @princebuganzilut2047 2 ปีที่แล้ว

      mda sio mrefu utasema Rais yupo. Serikali huanzia kwa Balozi hadi kufika huko kwa mkuu wawilaya. Mkuu wawilaya anamajukumu yanayozidi kazi za kata.

  • @andrewnjelesa8062
    @andrewnjelesa8062 2 ปีที่แล้ว +10

    Ilibidi ifike wakati dini muiweke pembeni kidogo tu" Lah sivyo wataendelea kuwadharau chukueni maamuzi magumu tu" Upo kwenye ibada mbweha anaingilia Kati duh, sipendaji mtu adharau imani yangu hata awe nani

    • @yusuphkayoka5452
      @yusuphkayoka5452 2 ปีที่แล้ว

      Umeongea point sana watakaoelewa ni wachache. Akija na mwili nami nina mwili nipo fit basi yatatokea matokeoa ya mwili.

  • @christianchando7041
    @christianchando7041 2 ปีที่แล้ว +7

    Safi sana Mwandishi, umeiwakilisha vema GLOBAL. umefanya kazi nzuri. Kweli ww ni Mwandishi msomi

  • @claudia1500
    @claudia1500 2 ปีที่แล้ว +13

    Kanisa au msikiti vikiwa karibu na makazi ya watu,utasikia watu wanasema wanapigiwa kelele,ngoja baa Iwe jirani halafu ule mwimbo wa bia tamu ukifunguliwa sauti ya juu watu wanalala vizuri na hutasikia neno kelele...enyi watu ni bora kelele yoyote inayomtukuza Mungu,Iwe kwa kiislam au kwa kikristu,shukuru kwa kuzisikia kelele hizo maana kwa Mungu ni kelele za utukufu! Endeleeni kupenda kelele za bia tamu! Fainali zake zipo

    • @angelkaaya5885
      @angelkaaya5885 2 ปีที่แล้ว +1

      Dah Yan hii kweli eti jmn watu wabadilike etii

    • @isayachamsa3849
      @isayachamsa3849 ปีที่แล้ว +1

      Watu wa Mungu Jipeni Moyo Endeleni Tu na Ibada Hao Mungu Atawashughulikia NAWAOMBEA MTASHINDA TU! TWAWAOMBEA KRISTO YESU AWE NANYI DAIMA!, HATA SIKU YA KURUDI KWAKE PARAPANDA YA MWISHO

    • @OnesmoEmmanuel-xr2rf
      @OnesmoEmmanuel-xr2rf 5 หลายเดือนก่อน

      Yani hawa majilani watakua ni wachawi

  • @NellyWaKidato
    @NellyWaKidato 2 ปีที่แล้ว +4

    Mimi Ni Mpagani Lakini Hilo Tukio Limenishitua Sana Pole Sana Mchungaji🥺🥺🙏🙏 Mwenyezi MUNGU awatie Nguvu Kwenye Hilo

  • @annehaysanday9214
    @annehaysanday9214 2 ปีที่แล้ว +8

    Mchungaji usipunguze chochote cha Mungu kwa ajili ya hao Mungu atajipigania

  • @user-zz9gr1vd9h
    @user-zz9gr1vd9h 8 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu anasema pazeni sauti zenu hivo niuonevu tu labda kuna nguvu zingine zinaharika wanashindwa kazi zao Mungu atasimama mwenyewe Mungu atapigana nao usiogope Mungu yupo upande wenu

  • @yedadialukuba5316
    @yedadialukuba5316 2 ปีที่แล้ว +6

    Kanisanhuwa alipigi kelele kabsa hiyo Ni Ibada ivyo Ibada ya kila mtu hieshimiwe

  • @gtgmediaproduction764
    @gtgmediaproduction764 2 ปีที่แล้ว +11

    Mchungaji rafiki yangu pole Sana namimi Ni mfpct kiukweli nimeumia Sana lakini nadhani hao Ni maajenti wa shetani vituvyao vinaharibika nakuomba uchocher Moto zaidi pia nishauri viongozi wa fpct eneo ulilopo waingilie kati jambo hili udhalilishaji huu usiendelee

    • @sarahntandu6378
      @sarahntandu6378 2 ปีที่แล้ว +1

      Haswaaa hata mm imenikeraa

    • @neemasolomon56
      @neemasolomon56 2 ปีที่แล้ว

      Biblia. Mathayo 7:1-3
      [1]Msihukumu, msije mkahukumiwa ninyi.
      Judge not, that ye be not judged.
      [2]Kwa kuwa hukumu ile mhukumuyo, ndiyo mtakayohukumiwa; na kipimo kile mpimiacho, ndicho mtakachopimiwa.
      For with what judgment ye judge, ye shall be judged: and with what measure ye mete, it shall be measured to you again.
      [3]Basi, mbona wakitazama kibanzi kilicho ndani ya jicho la ndugu yako, na boriti iliyo ndani ya jicho lako mwenyewe huiangalii?
      And why beholdest thou the mote that is in thy brother's eye, but considerest not the beam that is in thine own eye?

  • @alexjackson5960
    @alexjackson5960 2 ปีที่แล้ว +10

    Kwa mtindo huo mawe ya miujiza yataendekea kuwadunda mpaka wanye. Unakataaje ibada unakubali mbege

  • @stephanokanyika6321
    @stephanokanyika6321 2 ปีที่แล้ว +9

    Watumishi wa Mungu nyie mjipe moyo mkuu Mungu atawasimamia na pia msipigane kwa akili zenu maana vita vyetu sio vya mwili Bali ni vya loho mtegemeeni Mungu tu na Wala msijibu mapigo kwa akiri zenu

  • @enezermwafrica7443
    @enezermwafrica7443 2 ปีที่แล้ว +4

    Hakuna Kelele kwenye nyumba za Ibada! Kelele ni Bar tu!🤷

  • @allydaud612
    @allydaud612 2 ปีที่แล้ว +14

    Mnapo fanya maombi wao mambo yao yana haribika

  • @faridaaloyce4330
    @faridaaloyce4330 2 ปีที่แล้ว +6

    Roho za machafuko zimezagaa sana lakini tunalo jina lipitalo majina yote nijina la YESU pekee

  • @gaspeldaniel1140
    @gaspeldaniel1140 2 ปีที่แล้ว +10

    Huu ni uonevu mtupu Haifai katika jamii yetu

  • @josephmusagasa5566
    @josephmusagasa5566 2 ปีที่แล้ว +12

    Mwenyezi Mungu akubariki kwa busara zako mchungaji ila uwe na amani sana

  • @dianaalfredy3790
    @dianaalfredy3790 2 ปีที่แล้ว +6

    Daaah kumbe shetani yupo kazini,Mungu atuhurumie

  • @philemornmutta1597
    @philemornmutta1597 2 ปีที่แล้ว +10

    Uenda kanisa Hilo limezungukwa na wachawi pamoja na wenye mapepo.

    • @graceneema8755
      @graceneema8755 2 ปีที่แล้ว +2

      Kabisaa hao n wachawi ndio hawataki watu w Mungu wafanye Ibada,washindwe ktk jina l Yesu,

    • @Pharadge
      @Pharadge 2 ปีที่แล้ว +1

      makelele ni makele tu hata kama ni ya kuabudu

  • @emanuelmargwe7087
    @emanuelmargwe7087 2 ปีที่แล้ว

    Huyu mtumishi wa Mungu anapitia jaribu lake juu ya injili. Natamani ningekuwa ndo Mimi, Ni vzr Sana kupata dhiki kwa sababu ya injili kuliko kupata fahari ulimwenguni.
    😭😭 Yesu Kristo tusaidie. Ulisema duniani kunao dhiki Ila tujipe Moyo. Sema na wateule wako, watie Moyo mkuu. Iko siku kazi hii itakwisha. Hallelujah

  • @octavianzubery5539
    @octavianzubery5539 2 ปีที่แล้ว +1

    Kiukweri huduma zinachangamoto sana Mungu akupe moyo mkuu pastor songa mbele chapa injili mungu akubaliki sana

  • @fidelismvungi8514
    @fidelismvungi8514 2 ปีที่แล้ว +4

    Mungu yupo muiten nae ataitika juu ya maadui hao!

  • @Philipoupdates
    @Philipoupdates 2 ปีที่แล้ว +3

    Mtangazaji Yuko makini Sana Yuko vizuri Sana

  • @nyotamariamu9001
    @nyotamariamu9001 2 ปีที่แล้ว +1

    Mungu baba wa mbinguni awatiye nguvu, na awape kushinda vita ivyo.

  • @KundaelGeorge-tv8mz
    @KundaelGeorge-tv8mz 5 หลายเดือนก่อน

    Kwa kweli Mungu akutunze sana pastor. Nimeiona hekima yako njema

  • @carolinemwugusi8945
    @carolinemwugusi8945 2 ปีที่แล้ว +4

    Mungu akulinde pastor jinsi alivyowatetea Paulo na Sila gerezani pamoja na kanisa kwa ujumla

    • @carolinemwugusi8945
      @carolinemwugusi8945 2 ปีที่แล้ว +1

      @@manasendone60 watumishi wanapigwa vita usiku na mchana lakini Mungu yupo atakushindia I will pray for you

    • @theresiapatrick5081
      @theresiapatrick5081 2 ปีที่แล้ว

      @@manasendone60 unapatikana wapi

  • @zawadimalecela3448
    @zawadimalecela3448 2 ปีที่แล้ว +7

    Wanaupiga teke mchokoo kama Paulo, mwenye kanisa anawaona naye hatanyamaza kimya atateta nao kama Paulo au Elima Mchawi

  • @subirasanga5276
    @subirasanga5276 2 ปีที่แล้ว +5

    Yan hap kuna nguvu ya kipepo inashindana na nguv za MUNGU. Ko wsna kelekwa wanaaribiwa matunduli yao. Sasa wana kuja kimwili. Lakin ss walokole vita vyetu c vya dam na nyama bali ni vya kiroho! Tuenderee kumuomba MUNGU

  • @Chekakidogo2
    @Chekakidogo2 ปีที่แล้ว

    Hao walio Fanya kitendo hicho wasilete masihala na Mungu,walipo keti wawili au zaidi Mungu yupo kati Yao,Kwa hiyo hao watu kwanza hawako na Mungu ni dhahili,Mungu hakopeshi wasubili kichapo kitakatifu kwa Mungu ninavyomfuhamu Mimi Ili wajifunze jamani msilete masihala na Mungu ni hatariii sana sana sana,Mimi sinaga upuuzi na watu kama hao kwa Mungu ninavyo mfahamu kanisa Mimi ninashauri msijaribu kupigana kimwili piganeni kiroho Mungu atawajibu, Pole Yao🙏.

  • @abbyadams8691
    @abbyadams8691 ปีที่แล้ว

    Hapo kuna mchawi nguvu ya Yesu inamtesa na anatumia huo mwanya wa kisingizio cha kumobulaizi watu wengine. Makanisa ya kiroho yana nguvu kubwa.

  • @neemachengula1772
    @neemachengula1772 2 ปีที่แล้ว +4

    Hao wanacheza na mzee wa siku wataonana nae halafu mi naona hao wana mambo yao ya siri ko nyie mkiomba wao yanaharibika na sasa wamemchokoza Mungu

  • @Bilioneabichwa331
    @Bilioneabichwa331 2 ปีที่แล้ว +6

    Kwann wavamie kanisa? Ila Mungu yupo

    • @mwitaagness455
      @mwitaagness455 2 ปีที่แล้ว

      Hawa huwa wanachoma hata makanisa, Waone, muone huyo dada nimetaman ningekuwa humo ndan ningemkemea kwa jina la Yesu.

    • @mushifumushifu2355
      @mushifumushifu2355 2 ปีที่แล้ว

      @@mwitaagness455 🤣🤣🤣🤣🤣sasa ingesaidia Nini ??? Waambie waache kelele bhana 👂👂👂

  • @johnnyamuhanga1438
    @johnnyamuhanga1438 ปีที่แล้ว

    Mtumishi mwenzangu,Jambo lililokukuta nami nililipitia tena nikasweka ndani cku sita na kukaa rumande cku tatu,na vyombo vya kanisa vikachukuliwa..usijali,iko siku Tanzania itakiri Yesu Kristo ni BWANA,bado muda mfupi .

  • @johnkyara8655
    @johnkyara8655 2 ปีที่แล้ว +8

    Injili lazma usonge mbele

  • @mercykariithi7919
    @mercykariithi7919 2 ปีที่แล้ว +18

    Ni wazi area hiyo Ina mashetani sasa maombi ya washirika hao inaharibu kazi chafu za Giza waisilamu hupiga sauti kubwa Sana Kila siku mbona hakuna wakuwauliza? Mbona maombi ya walokole yanaleta utata ?ni nguvu za Mungu zinatembea kama in sheria Ina sema watu wakifanya ibaada wasipashe sauti njee wislamu nao??

    • @zuhuramhando3600
      @zuhuramhando3600 2 ปีที่แล้ว +1

      Waislam hapo wwmekujaje!! Muhukumu mtu alifanya tukio siyo uislam siyo vizuri bhana

    • @princebuganzilut2047
      @princebuganzilut2047 2 ปีที่แล้ว

      unatafuta ugomvi na wadini wenzio wewe sio Bure. azana gani uliwahi skia inadumu usiku na mcha hata lisaa tu ?? Kuna watu mna bifu za kijinga.

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 2 ปีที่แล้ว

      @@princebuganzilut2047 Duh...ahsante kwa kunisaidia kusema nilichotaka kusema

    • @aminaally7622
      @aminaally7622 2 ปีที่แล้ว

      Unawashwa sahv unahamu si ndio mambo ya uislamu yameingiaje apo

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 2 ปีที่แล้ว

      @@aminaally7622 Hukunielewa ndugu yangu mpenzi na mi pia Muislam....nimemuunga mkono prince buganzi kwa kusema Adhana haichukui hata nusu saa kwa hiyo haiwezi kusumbua watu...samani sana kama umekwazika kwa kutokunielewa

  • @subirasanga5276
    @subirasanga5276 2 ปีที่แล้ว +3

    Mti wenye matunda hupigwa mawe! Pole mtumishi hiy ni ishar ya kua bwana yuaja

  • @lispamagu5810
    @lispamagu5810 2 ปีที่แล้ว +7

    Mnapo omba mambo yao yanaharibika wao niwachawi wakubwa

  • @ludovickmutalemwa4915
    @ludovickmutalemwa4915 2 ปีที่แล้ว

    Bwana Yesu asifiwe watumishi wa Mungu... ndg yangu ktk Kristu usirudi nyuma au kukata tamaa songa mbele mtukuze Mungu atajitetea kupitia nyie hao wanao watesa hamtawahona tena ktk Jina la Yesu (Kut. 14÷13-15) narudia kwa imani kubwa hamtawahona tena Kwa JINA LA YESU

  • @josephatmathayo2355
    @josephatmathayo2355 2 ปีที่แล้ว +4

    Nafikiri uongozi wa juu wa FPCT uingilie Kati hili swala

  • @kalumbugideon4159
    @kalumbugideon4159 ปีที่แล้ว

    Kazi Itaendelea Sana.... ukiona Hivyo, Ujue Kuna sehemu mngusa Mambo yao ya kigiza.

  • @suphiapatson3541
    @suphiapatson3541 2 ปีที่แล้ว +1

    Mtumishi ktk mda uliofanha huduma Huu ni mda wa kuomba kuliko siku zote,ukivuka hapo unaenda viwango vya juu sana!!

  • @user-iu8um9eq8i
    @user-iu8um9eq8i 3 หลายเดือนก่อน

    Jamani Mungu aeshimiwe ira Mungu hata nyamaza

  • @Octavinaelisa-fn6js
    @Octavinaelisa-fn6js 3 หลายเดือนก่อน

    Pole mchungaji hakika mungu atakupigania utashinda

  • @ludovickmutalemwa4915
    @ludovickmutalemwa4915 2 ปีที่แล้ว +1

    angalizo watu wa Mungu msitumie nguvu ya mwl kupambana nao maana vita yetu si juu ya mwl na nyama (waef. 6 ÷12) kaeni kimya mkahuone utukufu wa BWANA (2Nyakati 20÷17) hamtawahona tena Kwa Jina la YESU

  • @JasmineRashidi
    @JasmineRashidi 3 หลายเดือนก่อน

    Kama mungu aishivyo ipo sku moja tu waliofanya kazi ya kumzalilisha mungu watakuja namagoti

  • @miriamifuja4041
    @miriamifuja4041 2 ปีที่แล้ว

    Pole mtumishi wa Mungu, Mungu amekusudia uwepo hapo.

  • @prosperpallangyo8886
    @prosperpallangyo8886 2 ปีที่แล้ว +15

    Na hatujawahi kuwa na shughuli ndogo.Hata mara ya saba makuhani walipozipiga tarumbeta, Yoshua akawaambia watu, Pigeni kelele; kwa maana Bwana amewapeni mji huu.
    Yoshua 6:16

  • @josengumbi4029
    @josengumbi4029 2 ปีที่แล้ว

    Pole mtumishi wamungu,kazi ya mungu hy usikate tamaa ktk kazi hy hao nao niibbilisi tu ktk kuharibu kazi ya mungu,tunasema mungu ashughulike nao.

  • @isacktesha6659
    @isacktesha6659 ปีที่แล้ว +1

    Mchungaji umeadhiri ufalme wa Giza ,nakushauri endelea mbele ,hao majirani kuna kitu wanatafuta

  • @joycekalago532
    @joycekalago532 2 ปีที่แล้ว

    Naomba Mungu awapige ukiziwi wasisikie maisha yao yote kwa sababu ya kuidharau kaz ya Mungu

  • @lupogocompany2833
    @lupogocompany2833 2 ปีที่แล้ว +1

    Ukiona mtu anakerwa na maombi ujue ni mchawi. Anatumia kivuli cha majirani. Hapo mtaani baa zipo na kwao siyo kelele. Misikiti ipo na inaspika kubwa na siyo kelele. Ila maombi ya watakatifu ndiyo yanawakera kwa kuwa yanaharibu vitu ktk ulimwengu wa roho. Hapo ushauri wangu ongeza spidi ya maombi.

  • @PGM20179
    @PGM20179 2 ปีที่แล้ว +3

    Hao wapuuuzi walitakiwa waondoke na ngeu. Ili waseme walienda kufanya nini. Mi ningewatandika

  • @alineciza6373
    @alineciza6373 2 ปีที่แล้ว

    Pole sana mtumishi wa Mungu

  • @nyotamariamu9001
    @nyotamariamu9001 2 ปีที่แล้ว

    Baba mchungaji baki Kimia ili Jehova Mungu wetu wa mbinguni atuteteye,vita ivyo si vyenu.muachiye Mungu ashugulike.

  • @innocentmlawa4759
    @innocentmlawa4759 2 ปีที่แล้ว +1

    Wanakelele sana hawa

  • @angelanaftael7965
    @angelanaftael7965 2 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akutete sana mch

  • @jeniphermlay2946
    @jeniphermlay2946 2 ปีที่แล้ว

    Mungu anawaona hawajui kuwa mungu aweza kuwalaza na wasiamke

  • @notkeliromani1100
    @notkeliromani1100 2 ปีที่แล้ว

    Poleni Sana, songeni mbele,

  • @Gracesiyon1234
    @Gracesiyon1234 ปีที่แล้ว

    Mimi nawaonea huruma hao watu,hususan hao wanawake wawili waliovamia kanisa,halafu ni wanawake wenye uzao eti!!! Ni nani aliyeshindana na Mungu akashinda??? I'm very sad maana wameitafita laana wenyewe.

  • @onesmoandrea9066
    @onesmoandrea9066 2 ปีที่แล้ว

    Mchungaji hata Yesu aligazabika akamwaga nyanya sokon hao wakija pigeni makofi

  • @fraviansweetberty8819
    @fraviansweetberty8819 2 ปีที่แล้ว +2

    Aya yote ni majalibu Ila Mungu atawasimamia

  • @blessingmapazia9545
    @blessingmapazia9545 ปีที่แล้ว

    Bora kelele za kumsifu Mungu kuliko kelele za bar

  • @lupogocompany2833
    @lupogocompany2833 2 ปีที่แล้ว

    Tunashukuru kwa taarifa. Mungu wetu anaishi. Watapigana nasi lakini hawatatushinda.

  • @janekapinga6793
    @janekapinga6793 2 ปีที่แล้ว +5

    Hao wanaopinga maombi watakuwa wachawi kazi zao zinaharibiwa,Mungu yupo atapigana nao

  • @saidkalolo5216
    @saidkalolo5216 2 ปีที่แล้ว

    Hawo niwachawi vitu vyao vinahalibika mungu atawaaibisha hawatashindana na mungu

  • @vascombembela3632
    @vascombembela3632 2 ปีที่แล้ว +5

    Ni ajabu sana kuona haya mambo yanatendeka kwa fedheha hivyo na cha ajabu sana inawezekana hao wanaofanya hizo fujo ni wakristo pia! Ila hawa watu waelewe tu kwamba Mungu hatanyamaza, na kwamba hizo njia hazitamzuia Mungu kulitimiza kusudi lake kupitia Kanisa lake ambalo linafanyiwa visa hivyo

  • @dr.peterofficial6390
    @dr.peterofficial6390 2 ปีที่แล้ว

    Mungu na akutendee mtumishi.Atafanya mwenyewe usiogope

  • @magrethmollel1078
    @magrethmollel1078 2 ปีที่แล้ว

    Hao wanaolipinga kanisa wakidai kuwa wanapigiwa kelele kuna vitu vyao ama nguvu zao za giza vinaharibika mimi kama mimi nawaombea rehema kwa Mungu maana hawajui walitendalo

  • @dravioanjelomgulunde6332
    @dravioanjelomgulunde6332 2 ปีที่แล้ว +1

    Yaan huyu mwandishi anahoji maswali kiunafiki na kiuchochezi hajui

  • @paschalkipeta2353
    @paschalkipeta2353 ปีที่แล้ว

    Bwana mungu wetu yupo nasi siku zote

  • @naimamohammad8870
    @naimamohammad8870 2 ปีที่แล้ว +1

    Kusema kweli hakuna mtu mwenye AKILI Utaomba mwenyezi mungu kama binaadamu mwenzako ? Ila ni ukora mwingi na usharati mwingi, mwenyezi mungu lazima kumnyenyekea

    • @danielkikoma5010
      @danielkikoma5010 2 ปีที่แล้ว

      Ni uonevu Waislam wanatumia loud speaker Saa 11. Wengine tukiwa tumelala hatujawahi kuwafanyia fujo na kwanini unyanyasaji wa baadhi ya madhehebu.

  • @felistermichael7640
    @felistermichael7640 2 ปีที่แล้ว +1

    Kunamikubwa zaidi maana alishaendaga Hadi mkuu wa wilaya kipindi hicho Jeri muro na Mungu kamchapa saivi katupwa mbali aiseeeee

  • @salomezakaria
    @salomezakaria 2 ปีที่แล้ว

    Kanisa hiyo yupo Mungu wa kweli Mungu wa Ibrahim,Isaka,Isaya Elisha

  • @eliakaminyoge2470
    @eliakaminyoge2470 2 ปีที่แล้ว

    Mungu awateteeee

  • @annastaziapetro7732
    @annastaziapetro7732 2 ปีที่แล้ว

    Hiyo ni vita vya kiroho Mungu akutetee mtumishi

  • @madamvanessa7053
    @madamvanessa7053 2 ปีที่แล้ว

    Dah awo niwachawiiiii sana ni wachawi Mungu ashughulige nao mbwa hao

  • @rebeccampeta6650
    @rebeccampeta6650 2 ปีที่แล้ว +3

    ukiishi karibu na kanisa lenye kelele utaelewa vzr!

    • @pascmedia1713
      @pascmedia1713 2 ปีที่แล้ว

      Inamaana wanakupgia kelele Kira sku acha mbwembwe

    • @mushifumushifu2355
      @mushifumushifu2355 2 ปีที่แล้ว +2

      @@pascmedia1713 punguza jazba wewe jaribu kuishi pembeni yakanisa ndo utaelewa 👂👂👂 kwasababu Mimi hapa nishawai kuishi pembeni yakanisa miaka 👂👂👂

    • @japhetnnko7398
      @japhetnnko7398 2 ปีที่แล้ว +1

      Kansan hakuna kelele

  • @britonkanumba6828
    @britonkanumba6828 2 ปีที่แล้ว +3

    Ama kweli huu mtaa watu ni wagumu

  • @lightnesseramson7654
    @lightnesseramson7654 2 ปีที่แล้ว

    Mti wenye matunda ni lazima upigwe mawe mchungaji simama imara Mungu Yuko mawe na baba yetu alipitia hapo Ila tulishinda kwa maombi hatukunyamaza🙏🙏

  • @charlesolomi9514
    @charlesolomi9514 2 ปีที่แล้ว +1

    Kuvamia watu katikati ya ibada was a bad move hapo huwatoi milele 😅

  • @petersimba3663
    @petersimba3663 2 ปีที่แล้ว

    dah inasikitisha sana pub na bar za pombe imejaa laana zote madanga wa kila aina mbona watu hawalalamiki me nasema kama wamemdharau mchungaji hakika mungu atawateketeza bila huruma

  • @martinsimtenda5990
    @martinsimtenda5990 2 ปีที่แล้ว

    Mungu atashughurika nao kabisa .
    Adui atashindwa.usiogope Mtumishi wa Mungu

  • @marthaswai1185
    @marthaswai1185 2 ปีที่แล้ว

    Hao wanataka kukatisha maisha yao.Mungu anatisha.