ANAYEDAIWA Kuwa MSUKULE AZUNGUMZA - "MAMA Hua ANAFUNGA MLANGO"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 30 ก.ย. 2024
- ANAYEDAIWA Kuwa MSUKULE AZUNGUMZA - "MAMA Hua ANAFUNGA MLANGO"
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...
Kiukweli ningekuwa na uwezo ningemjengea nyumba ya kujistili na mwanae ila namuombea kwa mwenyezi mungu atokee mwenye uwezo amjengee nyumba ya kumsitili inshaalla
Allah atakulipa kwa nia yako🤲🏻
Kwwkuwa huyu dada mtangazaji wnqhusika nahiyoidara InshaAllah tutajikongojq kwamchango 🤲🤲
Nimeumizwa na bibi
Yaani Bibi ameona afe na mwanae kuliko kumuacha atangetange
Ishallah 🙏
Hao wanaosema ni msukule wachukuliwe hatua Kali Sana, tatizo uswahili mwingi kazi kufuatilia maisha ya watu mwisho wa siku kuropoka vitu sivyo
Masikini huyu bibi ana wakati mgumu kweli . kwa nini wanawe hawamsaidii ? basi huyo aliyepo UK anashindwa kushirikiana na wenzake kwa kumsaidia mamaake huyu bibi si wakuishi nyumba za kupanga , jamani tunajisahau duniani ni pakupita tu . mtu utasaidia marafiki umuache mamaako ahangaike hivi ama kweli kuzaa si kupata , wewe unakula nakushiba hujui mamaako kala nini ? Mungu awarudishe nyoyo zao kabla ya mama kufa km sio hivyo watakuja kupata taabu ktk maisha yao .
@@ullujaffariyohani1186 ni kweli hata wenyeww wanaweza kusearch kwenye face book na mambo mengine . lakini documents zote anazo kwa nini wasende ubalozini ? wangemfanyia application tu huyu ubalozi wangemcontact babaake kwa interview . lakini kwa kumleta nchi km hizo ni jikoni huko hizo drugs ndiko zipikwako , huyu wamtafutiye mke tu apate mwenzake basi . kubwa wamtafute huyo baba amsaidiye tu
@@kiri5807 Hata mimi nimeumia sana aisee
@@saloomidd1084 Ndio maisha .
Huku Kenya Sheria ni tyte hao wenye walimsemea manenoz ya Bure huyu bibi wangeku kotini tayari
Dawa za ukichaa lazima ulale ni (sleeping drugs) za usingizi ili akili itulie so yuko right bi mkubwa
Ni wapuuzi tu mm mtt wamama angu mdogo anakula izo dawa akila a alla mnamsahau kbs
Kabisa hata mie ndg yang aliwah kuvuta na kulala alikua analala sana na anakua mpole hatar kwahy huy sio msukule jmn
Wabongo ni vichwa maji sana na wakurupukaji hawajui kutafakari jambo,mimi mwenyewe mdogo wangu anatumia hizo dawa muda mwingi analala ndani huwa anaamka muda wa kula tu.
Hiyo ni kweli kabisa
Upo sahihi
Iam from germany
Rohoyangu yaumia sana watanzania wacheni tabia mbaya,Mimi wazazi Wange wamefaliki so naona Huyu Bibi kama Mama Yangu,nitamsaidia😢😢🙏🏽🙏🏽
mungu atakuzidishia rizk
Mungu akupe wepesi kakangu❣️
Mungu akujalie umsaidie huyu Mama,mie Roho inaniuma uwezo tu Ni mdogo
Pole Kwa kufiwa na wazazi, na Mimi pia sina wazazi. Tushirikiane kumsaidia
Wow!safi sana
Amakweli uchungu wamwa ajuae mzazi muombeni bibi msamaha mumemkosea sana
Mama anaumia uyuuu daah... Mamazetu Allah hawatunze,, mnapitia mengi
Kabisa
Amiin
Kabisa mama anajikaza u ila anaonekn anamaumivu sana moyoni
Aamiyn
Zahir njooo utoe msaada kwa uyu bibi jamaan zair uko wap?!!
Hili inaonyesha ni kwa jinsi gani watu wenye matatizo ya akili wananyanyasika na familiar zao nchini. Hii sio hadithi pekee. Sasa Watanzania tuelimishane. Hii hadithi inatupa furusa ya kuangalia serikali yetu imejipanga vipi kusaidia jamii kama hii. Na no jinsi gani wanapata muongozo na msaada serikalini ili kukabiliana na changamoto hizo. Serikali ipo kwa ajili ya kuwatunza wananchi wake .Vipao mbele viwekwe kuelimisha jamii.
Mama hongera sana kwa kukubali kuweka habari hii hadharani. Kwa upande mmoja hapo umezalilishwa na jamii inayokuzunguka lakini pia imeweka wazi matatizo yanayo wakumba familia nyingi zenye watu wenye matatizo mbalimbali ya ulemavu wa mwili na matatizo ya akili na kadhalika.
WSWALI
SASA JE NI KWA JINSI GANI TUWASAIDIE WATU WETU NA FAMILIA ZAO WENYE CHANGAMOTO HIZI. Mwenyekiti wa kiji anasemaje?
MBUNGE WAKO ANASEMAJE???
Dah imeniuma mama anateseka namtoto mgonjwa watu wanaleta Iman potofu mungu amtie nguvu azidi kumlea mwanae
Hii family ukiachia mbali umaskini lakini pia kuna shida ya msongo wa mawazo ambao sijui tz tunatibuje,tuwaheshimu sana wazazi ,huyu mama ameniliza kwa hakika,
Ni kweli kabisa hii familia inafaa kusaidiwa hasa ki psychological kwa watoto then kuwasupport
Hata mimi😭😭😭
Sure😥
😭😭😭Maximum TV walione hili tumchangie huyu mama. Mama anaongea kwa uchungu sana.
Mpigie kaka zahir ili tumchangie kabisaa mie napenda sana zahir anavyojituma
Kweli kabisa
Maximum tv ndo wanatoa msada
Kuna wangonjwa wa kansa na wanaitaji msada kwa kaka zahir
Kwel kbsa
Msaidieni HUYU bibi aonane za ZAHIRI wa maximum tv,aweze kupata support.
Kweli kbs, ajengewe hata nyumba,
Yn sn uyu alionana na Zahir saaizi kasha pt msaada uyu
kwelii
Kbsa Zahir upo wap jmn
Kabisa
Nyanya alikuwa na bahati ya wazungu mashallah kisha ameishia maisha y tabu mskin watu wamsaidie
Kitu kibaya ni kwamba, mtu akiwa mzee hufikiriwa kuwa ni mchawi. Nani kasema vijana hawawi wachawi?
Labda wao hawatafikia uzeen huwez jua
Washahili shikamoo! Nawajua wanaweza kukuzulia neno kubwa ushindwe kujua lilipotokea. Niliambiwaga nimeita watu mbwa mtaa mzima wakaandamana, wakaziba njia ya gari hadi leo. Nashukuru Mungu alinipa kusamehe nikaishi nao, na alienifungia njia akiumwa dreva anampeleka hospital usiku anamshusha kwake anaenda kupaki gari anarudi kwa miguu. Ni kuwasamehe tu, watakutia dhambi ufe na kinyongo. Wasameheni tu. Nilijaziwa watu km ninyi na vyombo vya habari nikatolewa. Mwananchi mkorofi. Sameheni ili muwe na amani! Sameheni msamehewe. Mungu aliyewapa jaribu hili atawavusha.
Mmengangana kumuuliza Msukule huyo kijana mnaujua Msukule? Unaoneka Msukule???? Mnaboa
Mungu fanya njia pasipo na njia stori inaumiza myoyo😭😭
Maakin jaman inaumaaa
Mshaambiwa sio msukule ila bado mnaandika kichwa cha habari kilekile ni mtihani nawaandishi nao mmh
Hahaaa😂😂😂
Waandishi wengine 🤐🤐🤐🤐🤯🤯🕵️🕵️
Kwa sheria zetu huwezi kumwambia mtu ana misukule tena mtoto wake aliesema aonyeshe (evidence)uthibitiho hawezi sheria ichukue mkondo wake
Jaman ndg zangu mchangieni huyu bibi ajengewe japo vyumba viwili huyu bibi atateseka sana na mtoto wake ukiangalia ni mgonjwa
Unavyosema mchangieni wewe je? Sema tumchangir
😭😭😭mmh
Wewe mtangazaji kuwa professional sometime unauliza swali moja lisilo natija kila mara msukule , msukule
Umeona eeeh tatizo la cause ya miezi 3
Yani mwenye huwa namshangaa huyu mtangazaji c mara moja interview zake nyingi ni zero kabisa
Yeah mtangazaji mjinga mjinga mama ni mzee ila anamzidi saana
Mtangazaj ni zero huyu
😂😂msukule😂😂
Kwnza wamuombe mama msamaha My.ngu hujibu kwa haki Hujibu kwa Moto Mama pole Sana
Pole mama Kuna tatizo linakuja ukaona ni tatizo lkn ikawa baraka Ukiwa mtu mzima huna nyumba ni shida
Mungu akafanye njia
Pasipo na njia
Haloperido is strong drug and one of the side effect ni kulala.Hao watu waache uzushi hawajuwi kutu
Pole sana mama yangu kama ulivosema Mungu atakulipia kikubwa ni subra tu
Uyu bibi adanganyi uyu kijana ni mtoto wake kabisa sio msukule alipata shida alipoanza kuvuta bangi, yaani acheni tu watu tusipende kuhukum
Nimeumia sana kama mzazi lakin huwezi jua kwa nini Mungu ameruhusu hili litokee lazima ipo sababu huyu mama atapata msaada maana ana maisha magumu sana
Ht me nakubal mung anamakusudio yake hakika watapat msaada Kwa uwezo wake
Wakat mwngne Mungu anahubiri kwa njia ya machozi🙄🙄
ukosawa eliza。kila kitu kinakheri yake Allah amjaalie wepes huyu mama ikiwa yuko sawa iman yake。ameen
Kweli kabsa
Ila hicho kibatari kimesogelea sana godoro. Bibi awe anakiweka mbali na godoro
Sio kumhoji tuu mama anahitaji msaada kimaisha kwakweli cheki mazingira magumu
Huyu mgonjwa apelekwe kwenye maombi.atapona kabisa
Ni kweli kabisa haya ni Maroani tu na hata nahisi nyota yake ilionekana na ikachukuliwa kitambo na wachawi ndio akapandikizwa jini la madawa ya kulevya.
Bibi mungu akuongezee miaka amina halafu mjengeen bb uyo jaman
@@kakajoss2464 wachawi ndio maana walilaniwa na Mungu
Ni kweli kabisa hakuna kinachoshindikana kwa Mungu
Huyu mama amepitia changamoto nyingi,me ushauri wangu apate sehemu nzuri ya kukaa ambayo itakuwa na choo safi ikiwezekana cha ndani.Pia asimfungie sana ndani,muda mwingine amtoe nje hii itamsaidia kurejea ktk hali yake.
Waweke namba zake tumchalngie chochote
Ni roho chafuuuuuuuuu tu
Upo sahihi! Bibi asaidiwe! Ili aweze kumtunza mwanae!. Amezeeka ameshindwa kumuacha mwanae! She is a real MAMA!. KAMA UNGEPENDA SUCH A KIND OF LOVE FROM YOUR MOM, TUFANYE CHOCHOTE KUMTUNGUZA MUNGU KWA ALICHO TUJAALIA,
Kilichomfanya huyu Kaka awe chiz n..akijiangalia n mzungu,alafu anahisi angekuwa na baba take asingekuwa maskin ndo maana alitaman ku.mtafuta baba yake..pili mama Anahasira hataki kumwacha mtoto aende kwa babayake kwa sababu aliachwa ma mtoto mdogo!!! Mungu Amsaidie jaman Kijana huyu
Nani kama mama jamani inshaLLAH ALLAH KAREEM Akujalie kheli daima mama
Hao wanaomsema vibaya huyu mama Mungu anawaona hivi kuna mtu anayependa dume kama huyu asijitegemee tuacheni kufatiliana jamani tufanye kazi
Hawa global hawanaga ushu wao Ni kuhoji halafu wanaishia zao ovyo kabisa,Zahir wa maximum ndo hbr ya mjini anahoji na anatoa hitimisho
Umeongea hee maximum ndio inaweza kuchangisha tu
Sanaaaa
Hawa ni wambea wanafiki wanampeleleza mtyu kisha hawamsaidii kwa chochote
Kweri kabisa Hawa hawana lolote nikuhoji tu,mpaka wanachosha
Maximum ndio Kila kitu aki, am from Kenya but naipenda sana maximum
Mama kazaa watoto wazuri!🙏🏽👌
Huyu bibi anastrees sana ndo maana anahasira sana, maisha aliyopitia inaelekea amenyanyaswa sana
Pole Sana Bibi watu anasema siyo kila changamoto inakuja kwa ubaya nyingine zinakuja kwa neema mshukuru mungu kwa kila Jambo. Kikubwa mungu akusaidie Robart apone
Kweli kabisa tumsaidie huyu bibi
Mm hua naamin katika maneno ya watu sababu ni kwa nn atuhumiwe huyo na sio mwingine ? Hata kama hajamuweka yeye bas ni ndugu mbona masud kipanya mtoto wake kaumwa miaka 10+ ila hatujapata skendo hiyo??? NASEMA TU
Watanzania acheni kushabikia mambo yasiyowahusu.mama usihofu Mungu atakupigania
Well said, na hawa ignorant and primitive presenters ni tatizo kubwa
Msajil ndo sababu pumbavu ww puuh
NIMEJISIKIA VIBAYA MATATIZO YA AKILI YASIKIE TU KWA MTU
@@neemaelisha5104 mungu atusaidie kwakwel
@@lucyhusein4043 MAMA YANGU MZAZI ALIPATWA NA HIYO HALI HADI AMEFARIKI HAJITAMBUI ILIMTESA MIAKA MITATU ALITESEKA SANA NASISI WATOTO WAKE TULIKUWA TUNAJISIKIA VIBAYA MNO TUMEHANGAIKA NAYE WAPI MUNGU NDO ANAJUA BWANA ACHANA NA UGONJWA WA AKILI NI MBAYA SANA KM HAYAJAKUKUTA HUWEZI ELEWA
Dawa izo nimbaya sana yani alafu mtu anachoka sana analala2 zinanyongonyesha tulikuwa na mgonjwa wa ivyo
Maskin daaa nimeumia kiukwel mwenyewe anaongea vizur msukule tang lin mkaongea
Wanamsingizia mm nina kakang pia akil hulala 2day..so wanamsingizia huyu mama
Maximum tv pekee angemhoji na kumsaidia huyu mama @ZAHIR njoo usaidie mama huyu
Kabisa dah
Ila Bibi hakujipanga Kazaa na wazungu cha mana Hakuna daaah 😒😒 ao wazungu sijui wazungu njaa mzung haach mtoto wake kiraisi
@maximumtv
WALLAL WABILLAH HUYU MAMA KANITOA MACHOZI YAN😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭Eh mwenyez mungu mpe huyu mama nguvu yarabbi ,serikali ya tz imsaidie basi ahengewe nyumba nzur akae na mwanae .....magufuli angekuwepo mweeeh sooo painful
Mama anatumia nyie
Kila kitu kina sababu hata hili pia lina sababu mungu mwema🙏
kabisa
Kweli kwani huenda akapata misaada ya kutosha inshaallah 🙌
Kweli
Mimi pia naamini hili Lina sababu watanzania wameliona naamini watajitoa kwa chochote ili huyu mama apate hifadhi...
Namimi nataka kwenda sweeden na uraya niwazalie niwaachie .lazima nilipize staki ujinga mmi🙇🙇🙇🙇🙇
Uyu mama amepitia magumu Sana. Lkn hajakata tamaa hakuna kitu kinauma kwa mzazi km kumuona mtoto wake anapitia magumu mama anaumia zaidi yaani walimwengu km wangejua mama ni nani ktk Dunia.
Kulea mtoto wa hivi ni shida watu wasiongee tu bibi mungu amtetee
Kweli kabisa mama anajitoa sana
Tengenezeni choo acheni umbea si mngeuliza kabla ya kumdhslilisha
Hakika ndugu yangu ni Kazi Sana tena washukuru huyo ni mpole ss tunae WA hivi akikasirika kila jirani hapo hadi polisi huwa wanachukua kichapoo hadi sisi wenyewe nadhani angekuwa Kama wetu nadhani hao majirani wangeipata fleshi
Jamani mama wanamuonea tu majirani zake kisa wameona mzungu na wana wk 3 wamehamia.ndo maana wanaona Wivu.Tumsadieni ili apate makaazi bora,na wampeleke ubarozini Baba yake ni Mswiden amwijie.hayo yootee ni mawazo ya kukosa baba mzazi.Mama nae ndio hali hiyo,Lazima achanganyikiwe.Hata km aliwahi kutumia masigara machafu ni Mawazo.
Maskin mama anaongea kwa uchungu mnooo, inaumaa jmn kwanini binadam wmafki hivi,dah nataman ningekua na uwezo nimjengee uyu Mama.
Alafu bi mkubwa yupo vizuri kakumbuka mpaka chanjo anajali sana afya ee mungu msimamie Hutu mama aondokane na shida hizi
Huyu mama kakutana na changamoto flan hv ya maisha
@@mariamkikula1614 kweli kabisa
Don't judge people if you don't know their story, i feel sorry for that grany, tuned 🇰🇪
Watanzania
True that 😒
@@keepingupwithrosalee2294 aÀa
Mungu nakuomba Kwa ajili ya huyu Mama.. please God mpatie sabato Kwa Maisha anayoyapitia..
Mungu atawaadhibu wote walomzushia huyu mama..... Nimeumia 😔
Ni nani kijana huyu mzuri aliyeonekana dakika ya 35? Nani ataniambia juu yake na nambar yake ya simu nitampa zawadi 🌺🌺
tumuchagiye huyu Bibi apate yubu kutoani moyo tuta barikiwa
Mtu atamfanyaje mwanae msukule watu wanamawazo ya hovyo sana
Robert inabidi asaidiwe apone haraka ili aanze kumsaidia mama yakee asee maana Grand hapo umri umeenda sana
Bibi pole usichukie mshukuru mungu kwa kila jambo
Huenda masimango yao na kejelizikawa sababu ya wewe kupata msaada wa hayo yanayokusibu..sio jukumu letu kuhukumu ni jukumu la Allah
Atafutwe aliesema hayo maneno ya mama huyo kuwa anamiliki msukule akamatwe
Ni kweli nasapoti hili wazo ili iwe fundisho kwa wapumbavu wengine wanaowapa watu maumivu yasiyokuwa na msingi
Kweli kabisa aliyesema akamatwe
Kiukweli Mama ni Mama tu hakuna kama Mama
kabisa
Hii inshu angeishika zahiri wa maximum tv,tungeifurahia wote
Uneona eee
Umeona eeee
Huyu mama anaongea kwa hasera
Huyu mama anaongea kwa hasera sana ,,anaonekana anachuki sana za watu katika kifua,,amefanyiwa roho mbaya muda mrefu ndio mana anaongea kwa uchungu hivi
Nime notice kuna watu bado wana ubaguzi wa rangi, Mungu tuepushie roho mbaya
Bib yuko sawa kabisa bora ujenge ukoooooo mbali maporin pasina msongamano kimyaa mwenyewe huko mashamba
hakuna Kama mama jaman mama anapata maumivu sana huyu
Usilolijua n usik wa Giza
NAIYOMBA SEREKALI KUU IMSAIDIE HUYU MAMA
Hili suala litafika kwa mama Samia we ngoja kidogo
Mnaona Sasa wauzaji dawa za kulevya mmemharibu mzungu wa watu Hadi huruma nguvukazi imepotea miaka arobaini Robati maskini oIna mama anavyohangaika mzungu alisepa kwao wadada msipapalikie wazungu sio watu ni rangi tu roho zao mbaya . .
Huyo kapagawa kwasababu ya stress pia anataka kwenda kwa Baba yake jua la bongo linamuumiza so hizo bange ni nyiongeza tu
@@Mpakauseme inaweza kua nyongeza ndio lakini ndio vimeshamtibua
@zahir tunajua kazi zako unahoji na kusaidia tutakuunga mkono
Mtihani voooh wazungu roho zao dhaifu ila sisi waswahil tunapenda kuchachawa looooh tujifunze kitu hapa jamani
Pengine hata huyo wa uingereza hana maisha mazuri..Mungu atunusuru na hizi tabia zetu za ujanani.Tuombe huruma ya Mungu
Jameni😢😢
Mungu amtetee lakin lifestyle ya ujanan zina majibu tofauti uzeeni...mkiambiwa mtulie hamsikii Sasa watoto SITA lakin baba watatu tofauti Bado anakwambia aliolewa familia mbaya ya kichawi..ila yeye simchawi azungumze ukwel japo habari za msukule ni Uongo that's life stresses!
True najua watanzania wengi uku ulaya wengine wanasema awajai Rundi TZ juu ya madawa
@@aceofspades3728 kwanza kabisa hayupo vzr saikolojia
Niliwahi kumuona huyu wa kike😢
Bibi mkali maskini anahasira pole mama mzr
Mama anahitaji kupozwa sana anahasira na mambo mengi aliyopitia. Yesu akawe msaada kwako, kwenye dunia hii mifupa itaendelea kuvunjika, mioyo itaendelea kuvunjika tegemeo ni Mwenyezi Mungu!
Jamani wenye mioyo ya huruma tumchangie apate hata chumba kimoja
kabsa yaani
Tumchangie kabisa
Tumchangie apate nyumba yenye umeme na choo
Mpeni ushaur Bibi ampeleke kwenye Maombi Uyo atafunguliwa kabsa Yesu anaweza Yote ajawai shindwa Jambo
Anatia hurum Bibi wekeni no achangiwe kiasi
Anglia mpaka mwisho kuna namba zinapita kwenye screen
Mtangazaji unarudia rudia maswali hadi bibi anajisikia vibaya. Watangazaji heshimuni watu. Mtangazji hufai kabisa. Maswali yako ya pvyo
Pole Mungu akuponye nenda Kwa mwanposa utafunguliwa
Majirani vishambenga wameshika na viuno kabisa hawataki kupitwa😂
😰bibi anapambn sana mumuachee jmni..Hamn hata huruma kwelii
MO mhurumie mama huyu hata ukampangishia chuma kimoja lakini kiwe na umeme angalia maisha anayoishi msaidie mheshimiwa MO mungu atakulipa daaah sisi tuna moyo wa kufanya hivo lakini uchumi hatuna
Jamani mliobarikiwa kupewa Hera na mungu msaidieni huyo mama au huyo bibi
Bora hata wamemuona huyo Bibi wanaweza kumsaidia ZAHIR UKO WAPI MTAFUTIE DINGI YAKEEEE
Zair njoo baba umsaidie uyu bibi na watotowake allaha atakulipa inshaallah
Lkn mungu ni waajabu sana. Bibi anaweza kuona kama kaonewa lkn amesaidiwa pia,hapo lazima apatiwe cho chote cha kumsogeza siku maana inaonekana anamaisha magumu mno.
Global Jifunzeni kuhoji Wahitaji na kusadia Mnahoji na kusepa nn maana yke.. Uwezo sina zahiri maximum tafadhali uje kumuhoji huyu BB tuchange buku zetu BB apate hata pa kujistri..
Mungu ata kulipia mama. Iyo ni neema inakusogelea
Mzungu. Kamuhacha. Mwenye.. Mtaa, Wa. Tz mkatafute. Kazi. Ya kufanya, muhache majungu,
Nyie mnahoji hoji tu kiumbea umbea nakuondoka bila msaada bora zahir ndio angefuata huyo bibi familia ingesaidiwa
Jl mwinuka online tv, pole mama munguanakuona,atakujalia
Mama anaweza Lea watoto9 pk wakakuwa lkn watoto9 wanaweza shindwa kumlea Mama yao1 Salute Wamama wote Mungu awajalie Kila la kheer Dunia na ksho Akhera
kweli kabisaa
Mama hawezi kuua watoto wake lakini watoto wana nafasi kubwa ya kuua mama yao mungu awalinde wamama zetu nawapaenda wamama wote
Maskini Robert anaitwa msukule kweli!!kisa mweupe?mbona kataja jina lake na ubini wa BK.Ila akina Rweikiza tuungane tumsadie bibi.
Uyu Bibi wamemzalilisha watu tuachege kukurupuka jamani
Yani dawa za akili na za wagonjwa kifafa ni Lazima Walalee
nimekuinea huruma mama yangu MUNGU AWE MSAADA WAKO
Nani kama mama .japo na uzee alionao lakini bado anapambania wanae .Allah ampe nguvu katka kipindi hiki kigumu.!!++
Pole mamaa munguuu akubarikiiii ...unapambana mno....kukaa na mgonjwa wai iviiii ni kaziiii......nani kama mamaaaa ya christian helaaaa ikufarijiiiii mamaaaa
Hii myaka kupanga siyo powa tufanye nabidi kujega maisha yambele
Hawa nawajua zamani walikuwa Jirani zetu pale kinondoni mkwajuni huyo Robert mzungu alikuwa rafiki yangu sana hiyo ilikuwa mwaka 1984/85 huyo July namfaham huyo Winnie karikuwa kadogo kazungu kakike duh maisha haya.
Zahir anafnya kazi nzuri sana...anahoji na anasaidia
Kweri kabisa hawa wengine wanaishia kuhoji tu
kweli kabisa Zahiri yupo wapi jamani
Kweli kak zahir yuko vizur sana
Kazi nzuri
Uswailin watu wanapenda kuongea sana, haswa wanashinda Nyumban niwambea sana, cjui kwanini wanapenda kuongea vitu avielewek , wapo ata mtoni kwa azizi all wambea kuzusha
Mama à nawapenda watoto wake kweli heshima kwa mama juu siyo rahisi kbsa kujilelea mwanao mzima afu ukubwani aje aruke kichwa kwa kweli nihuzuni MUNGU akufanyie wepesi mama
ndio nashangaa wengine wanavyo sema eti mama anaficha siri hawaelewi huyu mama anapenda mtoto wake anaona atapatwa na matatizo akauawa au akazingiziwa kubaka akafungwa aki
Wazungu wanatudharirisha jamani wanatutelekezea watoto wanatunyanya tuwataabishe...serikali iwachukulie mkazo Hawa wazungu wahudumie damu zao
Pole mwanangu Mwenyezi yuko na wewe najua umeptia mazito pole 😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Huyu Bibi ciyo mchawi bwan people stop judge watu vibaya
Ila robati mzuri handsome kweli, namuomba Mungu ampe mke mwema apate watoto wazuri kama yeye.
Umeshaambiwa anamatatizo ya akili ataoaje sasa
@@matukiosafaris6508 tuta mtibu tu shida mengi tu ....maana uyo jamaa ni bangi na madawa tu yalio mzofisha
@@matukiosafaris6508 huyo matatizo yaakili yamekuja baada ya kutumia madawa akitibiwa anapona sio kwamba nikichaa hajielewi Nimzima huyu kaka jaman akatibiwa anapona na familia atamiliki inshaallah
@@umukulthumu1419 well noted
Nakwel robat muzur kwel
Mkioji watu Toeni na misada uyu mama anatakiwa apewa msada
Entarview nzuriii maswaliii mazuriii yenye content sema dada maswaliii ya kumuudhi au kuwaudhi hiyooo yamezid msukule anytmee Acha bwanaa
Mama ana upendo uliopitiliza kwa mwanae. Anafanya juu chini kumlinda kwa gharama zozote zile. Leo hii vinyamkela visivyojua hata kulala, kunywa, kula na kuvaa kwao wanamuanika kwa ubaya.
Msukule anachomwa chanjo ya korona????????
Tujifunze kupitia hili, tuwe na akiba ya maneno.
Binadamu wabaya sanaa, msukule anakaa ivi, mwenyewe msafi afu anakili pia kiasi si kajibu vzr hapo, kusema tu vbya na hakuna msaada wwt
Kwakwel wamuombe M'mungu msamaha na huyu bibi wa watu...so sad
Msukule anataja Jina kamili ebu mwacheni bibi wwt