Huyu baba ni.mchumgaji.wa pekee kweli sasa mafundisho ni.yakupakea nyba. Mahali mume mke pesa hivi anavyosa ma ni.wachache sana wanaoogea tena.soo.kwa msisitzo
Mungu akubariki sana Mtumishi mwema wa Mungu....hakika unaihubiri injili kama ilivyo wala huhubiri kwa kumfurshisha mtu bali kutulisha neno la Mungu....Mungu yu nawe...
Amina baba mchungaji ni jukumu letu sote kusema sasa maana hali sio nzuri kwa kweli watoto wetu wanaharibika sana tunakoelekea tutakosa matunda yatokanayo na watoto wetu,Ee Mungu tuondolee janga hili
Asante mchungaji🙏ushoga TZ upo kabla ya uhuru. Na tafsiri sahihi ya ushoga/usenge ( gays) ni kwa wanaolawiti na kulawitiwa. TZ inasifika sana kwa ushoga tangu kitambo hasa ukanda wa Pwani na sasa umesambaa ukanda wa bara. Utandawazi pia umechangia sana kuhamasisha ushoga nchini.
Amen!! Nimekuelewa kwelikweli. Ubarikiwe sana boss hahahahahaha😂😂😂😂 serikali haina matiti serikali haijabeba mimba. Unanichekesha kwelikweli hahahahahaha aise raha kukaa na huyu mtu wa Bwana. Amen.
Mwizi akipigiwa kelele hata na MTOTO mdogo atakimbia tu. MZEE HANANJA UNATIBU UBAYA WA KILA AINA. NENO LA MUNGU UNALIJUA KINDAKINDAKI. ASANTE MTU WA MUNGU. BARIKIWA BABA KUHANI UWE NA MAISHA MAZURI MAREFU. USHOGA NI MBAYA.
Tatizo la hapa Tanzania Tunasifia wafiraji na kuwadharau wafirwaji wakati wote ni Mashoga tuu!! hiwezi kufanya tendo la ndoa Na mtu wa Jinsia moja ukawa tofauti nae woote mpo sawa!kundi moja!!!!motoni
Tayari ina semekana kuwa wamepitisha ndio maana wako kimya kwann Kenya wanajadili bungeni, na Uganda wamekataa kabisa hadi wamefungiwa misaada na walisema Kama hamkubali hakuna misaada Sasa sisi hii misaada kwann ipo?
Bwana Yesu asifiwe Kwa Kumjalia huyu baba hekima na maarifa(IQ).🙏🙏🙏🙏
Huyu mchungaji ni zaidi ya mchungaji.. Mungu akubariki Sana
Huyuu mchungaji ananimaliziaga mb aisee yaan hata kama clip ina lisa a lazima nimalize yote
Huyu mzee nampenda sana anasema ukweli katka Kila jambo hongera mzee
HATUKO SALAMA! HANANJAA tumekusikia Mlezi wetu
namkubali sana uyu mtumishi wanao mkubali kama mimi like zunu nahitaji na ekuwa wa kwanza weka like acha wivu
Huyu baba ni.mchumgaji.wa pekee kweli sasa mafundisho ni.yakupakea nyba. Mahali mume mke pesa hivi anavyosa ma ni.wachache sana wanaoogea tena.soo.kwa msisitzo
Mzee yupo na busara saana uyuu Tena saana..mungu amjalie miaka 1000😂😂🙌🙌
weka like
Asante baba ongea kwa kadili mungu anavyokuongoza
@@roseyohana3500 hhh
Mungu akubariki sana Mtumishi mwema wa Mungu....hakika unaihubiri injili kama ilivyo wala huhubiri kwa kumfurshisha mtu bali kutulisha neno la Mungu....Mungu yu nawe...
Safi sana mtumishi mungu akupe nguvu
Amina baba mchungaji ni jukumu letu sote kusema sasa maana hali sio nzuri kwa kweli watoto wetu wanaharibika sana tunakoelekea tutakosa matunda yatokanayo na watoto wetu,Ee Mungu tuondolee janga hili
MUNGU Akubariki sana mtumishi wa MUNGU 🙏
Mchungaji mm nakukubari Mungu akubariki
Sema Baba tupone... ,,,, Hatutakiii.... Tamaduni za kigeni.. 😭😭
Nakukubali sana mzee wangu
Mungu akutunze baba msema keli
Hakika hongera pr hananja Mungu awe nawe
Umezungumza vema mchungaji Hananja, ubarikiwe kwa hekima na busara zaidi, Amen.
Hongera mtumishi Kwa kusema ukweli juu ya hili la ushoga,ambalo limekuwa taabu sana duniani.
Asante mchungaji🙏ushoga TZ upo kabla ya uhuru. Na tafsiri sahihi ya ushoga/usenge ( gays) ni kwa wanaolawiti na kulawitiwa. TZ inasifika sana kwa ushoga tangu kitambo hasa ukanda wa Pwani na sasa umesambaa ukanda wa bara. Utandawazi pia umechangia sana kuhamasisha ushoga nchini.
Amen ubarikiw sann
Amen!! Nimekuelewa kwelikweli. Ubarikiwe sana boss hahahahahaha😂😂😂😂 serikali haina matiti serikali haijabeba mimba. Unanichekesha kwelikweli hahahahahaha aise raha kukaa na huyu mtu wa Bwana. Amen.
Very true.
Ubarikiwe bb
hananja you are best
Mchungaji Richard hananja, wewe ni mchungaji mzuri sana, unajua kuitafsi biblia.
Mwizi akipigiwa kelele hata na MTOTO mdogo atakimbia tu. MZEE HANANJA UNATIBU UBAYA WA KILA AINA. NENO LA MUNGU UNALIJUA KINDAKINDAKI. ASANTE MTU WA MUNGU. BARIKIWA BABA KUHANI UWE NA MAISHA MAZURI MAREFU. USHOGA NI MBAYA.
Amina baba mchungaji
Mzee huyu ni sawa na jiwe kuna wakati Yesu alisema "ninyi mkinyamaza mawe haya yataongea"
Mungu akubaliki pasta
Le Profecel Hananja
Jamani mchungaji umenisaidia kila siku nasikia shoga lkn anafanya naye hasemwi kwa kweli inashangaza
Brilliant hananja
Nimependa alipo uliza Kuna nini kuna nini jogo akawika jamani amkeni tukemee haya mambo.
ASANTE KWA HANANJA.MUNGU AWE NAWE
Amen
Huyu mchungaji anafundisha sana
Sass mzee kwenye mashule zinapelekwa misada, zenye madawa ndani ake, zinazo asili ushoga.vp hilo unalizungumziaje
We dem nakukubali
hivi kwanini hananja awakuelewi
🙏😍💯
mngu akupe maono hananja
UNYUMBU! UNYENYEKEZI! HAKI INADAIWA. UBARIKIWE MTU WA MUNGU.
Ni kwa sababu kuna baadhi ya wakubwa wanaopewa mamilioni ktka kundeleza biashara hiyo.Bila kumsahau Tundu Lissu na Fatma Karume na wenzao😢
Tatizo la hapa Tanzania Tunasifia wafiraji na kuwadharau wafirwaji wakati wote ni Mashoga tuu!! hiwezi kufanya tendo la ndoa Na mtu wa Jinsia moja ukawa tofauti nae woote mpo sawa!kundi moja!!!!motoni
Hili tatizo inatakiwa rais atoe tamuko haraka sana mbona Yuko kimya Kuna nini au serikari inafaidika na nini.
Tayari ina semekana kuwa wamepitisha ndio maana wako kimya kwann Kenya wanajadili bungeni, na Uganda wamekataa kabisa hadi wamefungiwa misaada na walisema Kama hamkubali hakuna misaada Sasa sisi hii misaada kwann ipo?
raïs wenu kasha sainii kitambo mbona yy ni kibaraka cha wazungu!
Nimekubali chifu
Binadam ajitayarishe kwa pigo la Mungu nakma zinakuja
HANANJA MDOMO UNAGOMA
kuna mambo yakishazoeleka kwenye midomo na masikio ya watu ni hali ya hatari sana. Imeandikwa uasherati usitajwe kamwe
Kusema sema kuhusu ushoga haitasaidia vyo vyote. Weka sheria kama Uganda.!!!! Mambo kwisha!!! Acheni usenge wa kuongea ongea.
Aisee🙌🏽
memory card isio chuja hananja oyeeeee.
Watendao makosa haya, kamwe hawauona UFALME wa MUNGU unashughulisha MWILI KIPEPO na kishetani. TOBA tu hapa ilipofikia.
Mithali 1:10
Atar Sana!!
NIMECHEKA MPAKA MWISHO MIMI.
yalikuwepo tangu enzi ila sasa yanatangazwa hatharani
hananja vipi hii 50kwa50 miaka yabadae itakua itzaa matunda
Hamna hata kidgo hii ndo inatupereka kubaya
Vijana wanakula Bata mwisho we wanabatulia ,hii nimekukubali.
familia zebebe majukumu yao hananja wewe ni kiongozi wa jamii
Huyu mtumishi anaongea kweli sana
Ameena baba ubarikiwe
@@nasrapaul270 Amen
Umesema kweli mchungaji, lakini hili tatizo ni jambo linalokumbatiwa na watu wenye nguvu za kuwanyamazisha wale wanao kemea.
Kila neno na neno nakubali mzee
Hakika maneno yako ni tiba pia
Mchungaji Mungu akubari sana jamani kwanini wengine wasifuate Injili hiii wengine tunabembeleza injili big up pastor hananja
Mlezi wang wa kiroho
Ni n amku b ali huyu bab a.
Watu wanajificha kwenye makanisa hivi unaweza kuunga mkono ushoga watu ni mapepo wanao tembea na biblia ilisema tutawatambua Kwa matedo Yao.
Sawa kabisa mtumishi wa Mungu kwa ujasiri mkubwa hivi ni kukataa kabisa ushoga na usagaji ni laana karibu Arusha
Unyumbuuuu
th-cam.com/video/eRkt0Da35e0/w-d-xo.html tukatae ushoga Kwa nguvu zote
Amen