Ramadhan kuria. Manshallah uko na msomaji wa maana sana kwa kufundisha hawaa mandugu wetu Wakristo... Inshallah Mungu awajalie maisha marefu. Na hii videos itaangaliwa na watu wengi na itakua sadakatu jaariya. Manshallah fil dunya waal akhira umeshafanya kazi. Imagine hii videos zako kaarne ngapi watu watajisaidia nayo ili kujinufaisha ..
Brother Ramadhan, 😅😅😅😅 nimecheka kwa mahali ulisema, "unauliza mungu change, shindwa katika jina ya yesu".... Walahi Mola awasaidie, hii kazi inatakaa subra . Inshallah Allah s.w atawalipa.
Haki ya Mungu... Brother Ramadhani mnakabiliana na mambo mengi....na vichekesho lakini we will surely support these DAWAH TEAM Everyday, Every Night...
Allah ndie mjuzi hakika Ustadh unapambana. Namuomba Allah akujalie mema ya dunia na kesho akhera akujalie pepo tukufu Biidhinilah. Allah Akbar. Idhaa Aradallah..
Allah atakulipa ujira wako ustadh kwa kuwafundisha watu neno la Allah na kuwapa uongofu,kazi yako tayari umeshaifanya,,,,, Mungu atakulipa ujira uliokuwa mwema wenye kheri na wewe,,,, inshalla Amiin....
Wallahi sheikh ramadhan muko na kazi ngumu kulinganiya dini ya haki ya islam hawa wenzetu wa kushoto ni wabishiii sana!!! Allah azidi kuwapa nguvu na fahmu na uwezo kulinganiya dini hii haq
Asalamu Aleykum Warahmatullahi Wabarakatuh Mashaa Allah, Allah Awabariki na Awazidishie Khayr Na Barkah Katika Kazi Mnayo Fanya, Na Rehma Na Amani Zimfikie Mtume Muhammad
Mimi ni Robert na Mimi ni mkristo,lakini naanza kuamini uislamu kweli kama yesu ni mungu basi pia natumuite yohana pia mungu juu wamezaliwa kwa njia moja nayo ni roho ama
Mi nawakubali Sana wakristo wasabato wayafuata maandiko, na hawana Christmas,coz wanasema kuwa tar 25 Dec ilikua birthday ya tamuzi mtoto wa mungu jua wa Babel. Na yasherekewa wakibandika picha ya Yesu na si Yesu, ni huyo mtoto wa upanini
Shika Imani Yako. Usijitengenezee uongo Kwa kulazimisha watu wa Imani tofauti Kwa mambo fekifeki. Mtu anajifa ya mkristo kumbe ni muislam mwenzako. Mungu HAHADHIKIWI. MSPOTOSHE WATU
MashaAllah tabarakallah.leo nimepata kusikiza hii mjadala.Allah awape nguvu na subra kwani hii kazi ni mgumu sana.si rahisi kushawishi watu kuingia kwènye dini ya haki
I salute pastor Ndacha. Huu ujunga unaoongea ushakatazwa na Ndacha. Leo amepatana na wanyonge..I kindly request our Christians to read the bible and listen to BND
MashaAllah Ustad. TabarakAllah Team, pamoja na Cameraman! Hii info fo WaKristo: Kitabu alicho PEWA Nabi ESA, kama Ma Nabi wote, lili kuwa ni KITABU KiMOJA, tuu! SIO, Four 'Gospels' za WAZUNGU, au 66 StoryBooks, za KingJames! The word 'GOSPEL' is an abbreviated form of an OLD ENGLISH Word, known as: 1) 'good spell'. And 'good spell', means, a 'good story'…! Yaani POROJO Nzuri! Kwa hivyo, neno 'GOSPEL', hata SIO Neno kamili, na SIO Holy. It is just an ordinary English abbreviated WORD, which simply means, a 'Good STORY'…! Na hicho KiTABU Ki MOJA tuu, cha INJEEL, ili andikwa katika LUGHA ya MaYAHUDI, na lugha ya ESA, cha ARAMAIC, which is an Old form of ARABIC. AND the Aramaic language, was spoken by the YAHUDIS since 750BC! Hata Nabi SULEIMAN ali kuwa ana ongea Ki ARAMAIC! Na hata QUEEN of SHEBA, ali kuwa ana ongea Ki Aramaic. BONIFUS alikuwa ana ma'anisha kama SADAKA katika Mskiti, huwa ina pewa IMAM? Answer is SADAKA, in the FIRST instance, must be given to: MaFUKARA na MASIKINI. Huyu HILARY, ni kichwa Ngumu! Haroon, HAYUKO Kanisani! CORRECTION...... QURAN HAI kuja NYUMA ya Biblia! The ENGLISH Bible, ili TUNGWA na KingJames na WaAndishi wa 46, kule ENGLAND, in 1611AD, using the Primitive OLDE ENGLISH! Therefore, the FIRST Olde English Bible, is ONLY 400 Years OLD! NA.... the SWAHILI Bible 1952, munao soma, ni COPY ya a 'VERSION', of the SAME original King James Bible, FABRICATED in 1611AD! Kwa hivyo, the Bible, or Biblos, or ANY other MZUNGU Fabrication, all came 1000yrs AFTER the HOLY QURAN! Na PAULO ali kuwa mu ANZISHI wa ROMAN Catholic teachings. Na PAULO, ali kuwa ni MuCRUSADER aliye FUKUZWA from ANTIOCH by the Mamaluks, in 1426AD. Na Kanisa la MWANZO la the ROMAN Catholic CHURCH, la ST PETERS ili jengwa, ili iweze kufuatisha mafundisho ya Mu Crusader PAULO, wa KARNE ya 14. Note. ALL of Allah's REVEALATIONS like the: TORAT, and ZABUR and INJEEL, are SINGLE BOOKS, just like the QURAN, which is just a SINGLE BOOK!
@@athmanadi7391 JazakAllah Bro. Nina jaribu by posting, ili wanao pitia hapa, wa Elimike. Na, as a Muslims, na post Vitu ambazo nimeya Research vizuri, na ku hakikisha ni ya KWELI. Factual Research. Sisi huwa HATUNA Porojo za WaKristo. So i am glad, ume like info nilio post. Sasa, wewe, take this info, and teach others, because even some of our Daees in East Afrika, are NOT confident about the FACT, that the Bible was FABRICATED, only 400 years ago! Even though the FACTS are plain to see. Some of our Daees, who were former christians, find it especially hard to digest the fact that the English bible, is just a mere STORY BOOK! A StoryBook which was FIRST made by a GREEK MAN, called ERASMUS, and others, who had started COPYING factual HISTORICAL EVENTS from the QURAN, beginning in the late 1495s! The Translation of the QURAN in 1490s on, ENABLED the World's FIRST GREEK Biblos, to be complied in 1516, by ERASMUS the Greek, who lived in Rotterdam, using the HISTORY contained in the QURAN! After the First GREEK Biblos was made, from 1516AD onwards, as the GERMAN language developed, then subsequently OLDE ENGLISH developed by 1536, other EUROPEAN Groups, also started FABRICATING their own 'Bibles', or COLLECTIONS, which were NOT HOLY, but simple FABRICATIONS and modifications! Then in 1605AD, KingJames decided, and said : "ALL previous 'Bibles' (or collections), were "NOT to be 'trusted",( like the HENRY Bible, Bishops Bible, and Geneva Bible), and that a NEW Bible will be written! Therefore, in 1605 AD, King J, appointed 46 Writers, to MANUFACTURE or Write HIS Bible, known as the 'King James Bible', using the still PRIMITIVE language of OLDE ENGLISH. And this 1611AD K.J Bible was the FIRST Bible, to be distributed to ALL the ENGLISH Speaking Colonies, including AFRICA and USA. Therefore, the KING James Bible 1611AD, is the MASTER BIBLE of all the thousands of 'bibles' in the World TODAY. And the SWAHILI Bible of 1952, is a COPY or translation, of a VERSION of this ORIGINAL 1611AD Bible, called: The KingJames VERSION Bible, produced by the British, in 1810AD. Sawa?
Asalamualekum warahmatulahi wabarakatu ndugu zangu samahani kama nitawakosea nauliza naomba kujuwa nikitabu Quran gani emeandikwa kuswali ni kucheza kwa sababu kila juma pili wanasema wanaswali kisha kwenye kanisa wana piga ngoma na kucheza
Mwenye Enzi Mungu awape nguvu, afya muendelee kuitangaza dini ya haqi na kuwa fundisha walio potezwa na walio kuwa hawana elimu. Allahumma Ameen Yaarabil Aalamiin
"Never will God lead people a stray untill it has been blacklisted what they should avoid " GOD IS ONE ! Qul: hu Allahu Ahad 😮 Muslim guy is warned Quran verse:- 2-42 & 109-3
MashaAllah hustadhi ramadhani kazinzur zaidi umewafundisha hawataki kuelewa Bado Wanalazimisha yesu ni Mungu nitabu shda kuzidi sana wasema wamuongeza andiko lakumsapoti Ili aende jikoni vizur 😂😂😂😂
Usimlinganishe Yesu na mtume yeyotee, unakosea sana kusema Yesu ni mtume, yaani ni heri mkubali Yesu ni Mwana wa Mungu alafu usimkute kwenye wadhifa huoo kuliko kumshusha alafu ukamkuta ndio Mungu, na ni mhukumu, kiukweli utajuta sanaa wewe ndugu
Kwa lipi yesu ndo awe Bora kama si mtume tu unastaajabu ya yesu kuzaliwa na maryam bikira je Adam mtu wa kwanza naye je tumuite ni mtoto wa mungu au mungu pia Kila Allah analolitaka akisema jambo kuwa lina kuwa hapo hapo
You are right ✅ my brother. Most Christians no longer celebrate Christmas as it should be. To most, it's a time to drink beer and engage in bad sexual behavior. May God help them to understand the real meaning.
Hao unaowasema wewe kua wanakunywa pombe Na wanaiba Sasa hao sio waislamu Ila wanajulikana kama waislamu Sasa hao wapo upande wako wewe wote nyie sio waislamu
Nyinyi Wasilamu msitusumbue Christmas ni Siku ya kuzaliwa Yesu kristo alie hai. ( 25/12/ Miaka 2000 Iliyopita.,msituguse ktk Hilo, kila kitu mnataka Kutupangia , 😂 ,Yesu amezaliwa kimiujiza kwahiyo anaweza kuzaliwa chini ya miezi 9 yani kivyovyote anaweza zaliwa. Acheni kutusumbua wasilamu. Mnatafu ugovi na sisi big up Christmas 2023
Shekh Ramadhani katika hiyo kumbukumbu la torati 16_14 katka biblia hizi za mtandaoni wametoa neno (Eid) wameweka sikukuku ili kuficha ukweli wa uislamu, tafadhali hiyo biblia yenu ya zamani muitunze sana maana siku zijazo watatoa maneno mengi sana yanayoonyesha dalili za uislamu
Ramadhan kuria. Manshallah uko na msomaji wa maana sana kwa kufundisha hawaa mandugu wetu Wakristo... Inshallah Mungu awajalie maisha marefu. Na hii videos itaangaliwa na watu wengi na itakua sadakatu jaariya. Manshallah fil dunya waal akhira umeshafanya kazi. Imagine hii videos zako kaarne ngapi watu watajisaidia nayo ili kujinufaisha ..
Brother Ramadhan, 😅😅😅😅 nimecheka kwa mahali ulisema, "unauliza mungu change, shindwa katika jina ya yesu".... Walahi Mola awasaidie, hii kazi inatakaa subra . Inshallah Allah s.w atawalipa.
😂😂😂😂
Haki ya Mungu... Brother Ramadhani mnakabiliana na mambo mengi....na vichekesho lakini we will surely support these DAWAH TEAM Everyday, Every Night...
haki una subra sana
kaka Ramadhan Kuria
dah kuna watu vichwa ngumu wanafanya ubishi
na ukweli uko wazi wazi
hakika Allah awalipe
kwa juhudi zenu
Aamiin
@@Ukhtyzuhuraaamina
Amiin
Allah ndie mjuzi hakika Ustadh unapambana. Namuomba Allah akujalie mema ya dunia na kesho akhera akujalie pepo tukufu Biidhinilah. Allah Akbar. Idhaa Aradallah..
Amiin
Assalam aleykum sheikh Ramadhan Allah akuzidishie uzima na umri wallahi tunafaidika Sana na mafundisho.
Mm napendaga sana uyu msomaji anasoma vizuri sana
MashaAllah
allah ni jiwe jeusi huko mecca!
Allah S.W atupee sote kheri
Aamina
Masha Allah sheikh wetu ni kuwaelimisha sana tu ili wajuwe ukweli
Allah atakulipa ujira wako ustadh kwa kuwafundisha watu neno la Allah na kuwapa uongofu,kazi yako tayari umeshaifanya,,,,, Mungu atakulipa ujira uliokuwa mwema wenye kheri na wewe,,,, inshalla Amiin....
Wallahi sheikh ramadhan muko na kazi ngumu kulinganiya dini ya haki ya islam hawa wenzetu wa kushoto ni wabishiii sana!!! Allah azidi kuwapa nguvu na fahmu na uwezo kulinganiya dini hii haq
Asalamu Aleykum Warahmatullahi Wabarakatuh Mashaa Allah, Allah Awabariki na Awazidishie Khayr Na Barkah Katika Kazi Mnayo Fanya, Na Rehma Na Amani Zimfikie Mtume Muhammad
اللهم صل وسلم عليه وعلى آله وصحبه وسلم
Allah awahifadhi masheikh wetu
Mungu atusamehe tunahangaika sana na.dini.kuliko.mola.wetu
KABISA AKA, NA BORA WAHANGAIKE KATIKA UKWELI, ILA WANAHANGAIKA KATIKA KUPOTOSHA SANA MAANDIKO NA KUWEKA HISIA ZAO
Mashallah macheikh wetu.
Hao wanajuwa ukweli lakini hawataki tu kuufuata ALLAH AWAONGOZE IN SHAA ALLAH
Aamina
SiwanamfuataHuyo.mwizi
Inshaallah
Maashaallah tabarakallah walim wetu Allah amfanyie wepesi kueneza dini ya Allah
Allahumma Aamin yarabb
MashaAllah sheikh ramadhan kwa kazi nzuri
Masha Allah sheikh Ramadhan salamu zimfikie msomaji wako anasma vizuri
Mashallah Sheikh Ramadhan,Allah atujalie Pepo inshallah.
Mimi ni Robert na Mimi ni mkristo,lakini naanza kuamini uislamu kweli kama yesu ni mungu basi pia natumuite yohana pia mungu juu wamezaliwa kwa njia moja nayo ni roho ama
Mi nawakubali Sana wakristo wasabato wayafuata maandiko, na hawana Christmas,coz wanasema kuwa tar 25 Dec ilikua birthday ya tamuzi mtoto wa mungu jua wa Babel. Na yasherekewa wakibandika picha ya Yesu na si Yesu, ni huyo mtoto wa upanini
Shika Imani Yako. Usijitengenezee uongo Kwa kulazimisha watu wa Imani tofauti Kwa mambo fekifeki. Mtu anajifa ya mkristo kumbe ni muislam mwenzako. Mungu HAHADHIKIWI. MSPOTOSHE WATU
Lete hoja acha hasira
Mabruk masheikh wetu kw juhudi zenu
Mashaa-Allah Allah awahifadhi wahadhiri wetu
Sheikh ramdhn Allah akuhifadhi na akulinde na macho ya adui .... nakupenda kwa ajili ya Allah
Aaminayaarabi
MashaAllah tabarakallah.leo nimepata kusikiza hii mjadala.Allah awape nguvu na subra kwani hii kazi ni mgumu sana.si rahisi kushawishi watu kuingia kwènye dini ya haki
MashaAllah Akhii Ramadhan Allah awape Afya na umri muzidi kueneza qalima ya lailaha ila Allah Muhammad RasuluAllah 9:29
Amiin
Nime subscribe,,,unafanya kazi nzuri Allah akujaze na Allah azidi kukupa ilmu
Mungu awape subra kwenye misukosuko na muwe wavumilivu kwenye safari zenu mungu atawalipa InshaAllah
Good job
I salute pastor Ndacha. Huu ujunga unaoongea ushakatazwa na Ndacha. Leo amepatana na wanyonge..I kindly request our Christians to read the bible and listen to BND
Soma maandiko acha kufata mtu ety ndacha, ndacha ndio Nani yeye mwenyewe maandiko hajui
@AlitmaajabuEti.ndachahoya-qr7di
Hogereni xna mkonakazi ngumu Allah awafanyie wepesi inshaaAllah
Maa shaa Allah ustadh,kazi njema munaifanya kwa kweli.Mola awajaze mema na awabariki.
Masha Allah shukran jazeelan sheikh ramadha kuria somo zuri sana
Alhamdulillah kwa Neema ya Uislamu, kuna watu ambao vichwa vyao ni vizito, mswiba
Poleni Sana msojua maandiko na kudanganywa.ilishuka usiku lini, wapi just stories
I thought he said hana dini. Now anatetea Ukristo bila andiko. Very sad
Wanakua hivyo, maana anajua uko ndio kuna mateka wenzie,na ndio unaona anakua kiherehere nyingi na anahangaika nakujifanya mjuaji
Allah Akbar, so big proud islamic Dawah
Mashaallah
Maa Shaa Allah MUNGU AWABARIKI
MashaAllah Ustad.
TabarakAllah Team, pamoja na Cameraman!
Hii info fo WaKristo:
Kitabu alicho PEWA Nabi ESA, kama Ma Nabi wote, lili kuwa ni KITABU KiMOJA, tuu!
SIO, Four 'Gospels' za WAZUNGU, au 66 StoryBooks, za KingJames!
The word 'GOSPEL' is an abbreviated form of an OLD ENGLISH Word, known as:
1) 'good spell'.
And 'good spell', means, a 'good story'…!
Yaani POROJO Nzuri!
Kwa hivyo, neno 'GOSPEL', hata SIO Neno kamili, na SIO Holy.
It is just an ordinary English abbreviated WORD, which simply means, a 'Good STORY'…!
Na hicho KiTABU Ki MOJA tuu, cha INJEEL, ili andikwa katika LUGHA ya MaYAHUDI, na lugha ya ESA, cha ARAMAIC, which is an Old form of ARABIC.
AND the Aramaic language, was spoken by the YAHUDIS since 750BC!
Hata Nabi SULEIMAN ali kuwa ana ongea Ki ARAMAIC!
Na hata QUEEN of SHEBA, ali kuwa ana ongea Ki Aramaic.
BONIFUS alikuwa ana ma'anisha kama SADAKA katika Mskiti, huwa ina pewa IMAM?
Answer is SADAKA, in the FIRST instance, must be given to: MaFUKARA na MASIKINI.
Huyu HILARY, ni kichwa Ngumu!
Haroon, HAYUKO Kanisani!
CORRECTION......
QURAN HAI kuja NYUMA ya Biblia!
The ENGLISH Bible, ili TUNGWA na KingJames na WaAndishi wa 46, kule ENGLAND, in 1611AD, using the Primitive OLDE ENGLISH!
Therefore, the FIRST Olde English Bible, is ONLY 400 Years OLD!
NA.... the SWAHILI Bible 1952, munao soma, ni COPY ya a 'VERSION', of the SAME original King James Bible, FABRICATED in 1611AD!
Kwa hivyo, the Bible, or Biblos, or ANY other MZUNGU Fabrication, all came 1000yrs AFTER the HOLY QURAN!
Na PAULO ali kuwa mu ANZISHI wa ROMAN Catholic teachings.
Na PAULO, ali kuwa ni MuCRUSADER aliye FUKUZWA from ANTIOCH by the Mamaluks, in 1426AD.
Na Kanisa la MWANZO la the ROMAN Catholic CHURCH, la ST PETERS ili jengwa, ili iweze kufuatisha mafundisho ya Mu Crusader PAULO, wa KARNE ya 14.
Note.
ALL of Allah's REVEALATIONS like the:
TORAT, and ZABUR and INJEEL, are SINGLE BOOKS, just like the QURAN, which is just a SINGLE BOOK!
Brother maelezo yako ni mazuri na yana mafunzo mazuri kwa wasiolewa, unastahili kuwa muhibiri
@@athmanadi7391
JazakAllah Bro.
Nina jaribu by posting, ili wanao pitia hapa, wa Elimike.
Na, as a Muslims, na post Vitu ambazo nimeya Research vizuri, na ku hakikisha ni ya KWELI.
Factual Research.
Sisi huwa HATUNA Porojo za WaKristo.
So i am glad, ume like info nilio post.
Sasa, wewe, take this info, and teach others, because even some of our Daees in East Afrika, are NOT confident about the FACT, that the Bible was FABRICATED, only 400 years ago!
Even though the FACTS are plain to see.
Some of our Daees, who were former christians, find it especially hard to digest the fact that the English bible, is just a mere STORY BOOK!
A StoryBook which was FIRST made by a GREEK MAN, called ERASMUS, and others, who had started COPYING factual HISTORICAL EVENTS from the QURAN, beginning in the late 1495s!
The Translation of the QURAN in 1490s on, ENABLED the World's FIRST GREEK Biblos, to be complied in 1516, by ERASMUS the Greek, who lived in Rotterdam, using the HISTORY contained in the QURAN!
After the First GREEK Biblos was made, from 1516AD onwards, as the GERMAN language developed, then subsequently OLDE ENGLISH developed by 1536, other EUROPEAN Groups, also started FABRICATING their own 'Bibles', or COLLECTIONS, which were NOT HOLY, but simple FABRICATIONS and modifications!
Then in 1605AD, KingJames decided, and said :
"ALL previous 'Bibles' (or collections), were "NOT to be 'trusted",( like the HENRY Bible, Bishops Bible, and Geneva Bible), and that a NEW Bible will be written!
Therefore, in 1605 AD, King J, appointed 46 Writers, to MANUFACTURE or Write HIS Bible, known as the 'King James Bible', using the still PRIMITIVE language of OLDE ENGLISH.
And this 1611AD K.J Bible was the FIRST Bible, to be distributed to ALL the ENGLISH Speaking Colonies, including AFRICA and USA.
Therefore, the KING James Bible 1611AD, is the MASTER BIBLE of all the thousands of 'bibles' in the World TODAY.
And the SWAHILI Bible of 1952, is a COPY or translation, of a VERSION of this ORIGINAL 1611AD Bible, called:
The KingJames VERSION Bible, produced by the British, in 1810AD.
Sawa?
Shukran bro jazakallahu Khair
@@Noorein-ws8wk Waiyakum.
واطيعوا الله واطيعوا الرسول فان توليتم فانما على رسولنا البلاغ المبين
Ma sha Allah ❤
Nendeni mukahubirie waaislam wenzenu, achana na waikristo. Mungu ndiyo muamuzi.
SubhannaAllah ama kweli akili zinakutu iliyoganda Allah aeaongoze katika swiratwal mustakim
Manshallah sheikh Ramadhan Allah akubaliki.
Asalamualekum warahmatulahi wabarakatu ndugu zangu samahani kama nitawakosea nauliza naomba kujuwa nikitabu Quran gani emeandikwa kuswali ni kucheza kwa sababu kila juma pili wanasema wanaswali kisha kwenye kanisa wana piga ngoma na kucheza
Allah awaongoze waifuate njia ya haki
Njia ya haki ni gani
Mwenye Enzi Mungu awape nguvu, afya muendelee kuitangaza dini ya haqi na kuwa fundisha walio potezwa na walio kuwa hawana elimu. Allahumma Ameen Yaarabil Aalamiin
Shukran sana mashekhe wetu, Allah akubarikini nyote, baada ya kuwaeleza kwa mujibu wa vitabu pia waeleze Kwa nini umeacha ukristo
"Never will God lead people a stray untill it has been blacklisted what they should avoid
" GOD IS ONE ! Qul: hu Allahu Ahad 😮
Muslim guy is warned Quran verse:- 2-42 & 109-3
MashaAllah hustadhi ramadhani kazinzur zaidi umewafundisha hawataki kuelewa Bado Wanalazimisha yesu ni Mungu nitabu shda kuzidi sana wasema wamuongeza andiko lakumsapoti Ili aende jikoni vizur 😂😂😂😂
ALLAHU AKBAR😍😍
Wewe Yesu ni Mwana wa Mungu...
Labda mungu wako ndy anazaa maana wa ukweli hana mshirika na hawezi kuzaa anajua kuumba
MASHA ALLAH ❣️ ❣️ ❣️ ALLAHU AKBAR
ASALAMUALIKUM
@@hamadihome-hg5oj WALIKUM SALAM WARAHMATULLAH WABARAKATUH
asalaam alaykum,naweza pata bibilia kama hiyo?. mnafanya kazi nzuri.
Masha Allah
Ramadan uko poa sana
Masha Allah Masha Allah wape ujumbe Shehe Ramadhani
Shika adabu Yako. Yesu ni Mwana wa Mungu na ni Mungu. Tubu na kuiamini injili. Krismass oyeeeee. Kuna chinja chinja
Mbarikiwe sana Sh.
Usimlinganishe Yesu na mtume yeyotee, unakosea sana kusema Yesu ni mtume, yaani ni heri mkubali Yesu ni Mwana wa Mungu alafu usimkute kwenye wadhifa huoo kuliko kumshusha alafu ukamkuta ndio Mungu, na ni mhukumu, kiukweli utajuta sanaa wewe ndugu
Kwa lipi yesu ndo awe Bora kama si mtume tu unastaajabu ya yesu kuzaliwa na maryam bikira je Adam mtu wa kwanza naye je tumuite ni mtoto wa mungu au mungu pia Kila Allah analolitaka akisema jambo kuwa lina kuwa hapo hapo
Brow una pambana sana Allah akuzidishie afya uzidi kusonga mbele kueneza neno lake.
Masha Allah ❤
Mashalla Allah ❤❤❤
You are right ✅ my brother. Most Christians no longer celebrate Christmas as it should be. To most, it's a time to drink beer and engage in bad sexual behavior. May God help them to understand the real meaning.
MASHAALLAH
Waleykum Salaam Waramadhulillahi Wabarakatu Ustadh Ramadan
Hao unaowasema wewe kua wanakunywa pombe Na wanaiba
Sasa hao sio waislamu Ila wanajulikana kama waislamu Sasa hao wapo upande wako wewe wote nyie sio waislamu
Maasha'Allah brother Ramadhan ALLAHU Baairk
Alhamdhulillah 🤲
Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatuhu,,, Maa Shaa Allah...hao ushaa wafoki
Good job bro ❤❤❤🎉
🥳
mashaAllah Allah akuhifadhi kaka kuria
Mungu akubariki Kwa kuuweka ukweli wazi.
Yesu asifiweeee,sasa kwa aya hiyo aliyosoma mnafeli wapi kumwamini Yesu
Tunaamini yesu ni nabii wa mungu ila shda yenu munamuamini ni mungu hapo ndipo mmepotea.wapi yesu alisema yy ni mungu?andiko hatutaki porojo
Tunaomba.naHilo.andiko.eti.yesu.asifiwe.Sifa.zote.njema.Ana.stahik.Allah.yahn.Mungu
Total confusion Wakristo kila pahala. They can’t even agree on themselves.
Nyinyi Wasilamu msitusumbue Christmas ni Siku ya kuzaliwa Yesu kristo alie hai. ( 25/12/ Miaka 2000 Iliyopita.,msituguse ktk Hilo, kila kitu mnataka Kutupangia , 😂 ,Yesu amezaliwa kimiujiza kwahiyo anaweza kuzaliwa chini ya miezi 9 yani kivyovyote anaweza zaliwa. Acheni kutusumbua wasilamu. Mnatafu ugovi na sisi big up Christmas 2023
Toa andiko basi ,
😂Soma vitabu Ama soma Quran kwani whats special kwa yesu hata adam aliletwa bila Mama wala Baba
Aki napenda sana hii daawah
Bora nanyi waislam muwafungue sisi wasabato tumefundisha hawaelewi,Mungu awabariki
Masha Allah
Maashallah
MashaAllah Ramadan
Mimi ni mkristo but ukweli hakuna kurisimax but huwa twaichukua kama siku ya yesu kuzaliwa
Ni siku tu watu wamechagua ya kusherehekea
Pia weka short videos pamoja na full videos
Ustdh waaaaah uko mkali hivyo but umefikisha ujumbe
Shekh Ramadhani katika hiyo kumbukumbu la torati 16_14 katka biblia hizi za mtandaoni wametoa neno (Eid) wameweka sikukuku ili kuficha ukweli wa uislamu, tafadhali hiyo biblia yenu ya zamani muitunze sana maana siku zijazo watatoa maneno mengi sana yanayoonyesha dalili za uislamu
Nakubali imeshushwa Sasa mbona Ina vitabu vinne torati zaburi injili na mafundisho ya mtume acheni kutuona viazi
ALLAH ATAKUJAALIA JANNATUL FIRDAUS AL U3LYAA IN SHAA ALLAH.
ALLAH AKBAR ❤❤❤
kujaribu kuharibu jina ya ukristo hamutaweza
Ukimjua Mungu wa kweli utajua kwamba Hana dini Wala kabila.hakuna dini ya mwenyezi Mungu .Wala lugha ya mwenyezi Mungu
Huyo Mungu unamjulia wapi bila dini
@@issaabdallah7660 Yani watu wa dini wangalimjua Mungu wasingaliwauwa mitume Wala manabii wake
Mimi niko cape town.
Na nilikuwa na hitaji kile kitabu
Mashallha
WanamsrehekeaYuleMwizi.kaachiwaHuru🤣🤣🤣
ALLAHU AKBAR
Pamoja na alahu akubar yako usipookoka na kumfwata YESU kuzimu ya Moto inakusubiri
Kuna watu kuelewa ni ngumu sana
Bibilia haihalalishi, bibilia. Hapo mumethibitisha visawa.
However, wakulao na kulewa si wenye imani.
Wajua. Kila kitu hao sema uislamu umetukataza mengi ndio mana wataka endekeza yakidunia wapoteze akhera
Kazi mnayo
Kwendeni zenu kila mtu na Imani yake usilazimishe
Nenda zako ww tu maana ulishapotea.ndiyo wale wale ww mmoja wao
Me napenda uje usilimishe ndugu zangu Tanzania