Ali said It's not bragging if you can back it up and this one definitely cements it !! " Talk about story telling, look at my damn halo Sequel zako nyepesi, you're not ready bado " " Naweza kufanya uhisi unaexperience msosi Baada ya njaa kali, mi ni Shakespearean ghost " 😂🤝🏾 And Ringle knows how to deal the cards right
NI SERA ya mwalimu NYERERE adui watatu . ujinga maradhi na umasikini. ila Vina ametumia maradhi ukimwi doa la tatu mawili kati ya mgongo ni ujinga na umasikini. paia ameihusisha na jinsi mambo hayo na ukimwi ulivyoingia tz. then utagudua anasema msimuliaji natoka chini naenda juu, verse ya pili ndio mwanzo wa story. kwa ufupi tu japo kuna mengi ya kufafanua na kujifunza.
Embu tuamue sisi kama mashabiki tuifikishe trending za juu zaidi haya twende kazi, share as much as u can watu wanatakiwa wasikie hizi sumu zenye darasa ndani yake
Found genius and gifted forever...hebu BASATA ifanye kitu kwak we Jamaa 🥺 you are a really meaning of pure literature... you're beyond Chomsky, ole soyenka,ngungi wa thiongo,chinue achebe and okoit p'bitek 🙌🙌
Afu juzi tu nilikuwa naiifikiriaa. One of the best track kwenye collection za Dizasta🙌. Ringle ametisha sanaaa kwenyehii DARK Beat. Mvua kubwa ILINYESHA, KUONESHA , hata HALI YA HEWA ILIMSALITI PIAA."
Ni emcee makini asiye yakimbia mapambano".. Mtunza misingi halisi, sio wale wa nyeusi na njano".. Mara waimbe taarabu, mara zouk na amapiano".Huyu ni dizasta vina, mchokoze upate kibano"...
Mimi ni shabiki Yako mpya from Burundi 🇧🇮 +257 Bro mimi umeniacha mbali sana yani ngoma zako nimeziskia mpaka naanza tumia makamusi tu we ni Genius ❤ Respect Dizasta Vina ❤
Dah nilijua flashback kumbe dogo alikuja kubakwa tena probably na wajombazake, maana nao dada zao waliwah kubakwa na alieendq kufia porin probably alibàkwa
Kudadeq 🙌 jamaa una madini sanaaaa. Hii ndo tunaita sanaa. Una utofauti mkubwa na ma rapper au wasanii wengine hakika. Huu wimbo nime u Shazam mtaani ikabidi nifatilie
Tatoo ya asili...vicious cycle of HIV/AIDS, dizasta umetisha sna,napendekeza gvn wakuweke ktk watunzi wa mashairi ya kufundishia ....uko level moja na chinua achebe💪🏾
Mwamba cna muda mrefu tangu nianze kukufatilia unajua sana japo ngoma zako nazozijua 3 Africa, Uhuru na wimbo huu ww co mtu wa kawaida ili mtu akuelewe inatakiwa acklize wimbo wako zaidi ya Mara moja ule wimbo wa Africa ulnixumbua sana kuuelewa
"Professor Tungo skills kwenye verses/ Sioni dawa maana nipo ill kwenye Tenzi/ Nipo high na bado naSpeak deadly naSpeak Fact MaMC wengi hawaSpeak Sense/ Yeah mi ndo Simba kwenye Cave/ VINA misumari Inch 9 usije Peku Hata wabane vipi kufanya RAP sitojutia DIZASTA NA BEAT NI VITA YA TATU YA DUNIA"
Ali said It's not bragging if you can back it up and this one definitely cements it !!
" Talk about story telling, look at my damn halo
Sequel zako nyepesi, you're not ready bado "
" Naweza kufanya uhisi unaexperience msosi
Baada ya njaa kali, mi ni Shakespearean ghost "
😂🤝🏾
And Ringle knows how to deal the cards right
Ingekuwa ni maamuzi yangu, Ningekupa Udaktari wa heshima na ungekuwa mkuu idara ya Sanaa bunifu pale Chuo Kikuu cha Dar es salaam
anaishi kwenye anga ambayo ni miungu2 wanasettle👊
Enyi watoto mnaosikiliza hii nyimbo mwaka Huu 2043... Dizasta Vina was a great artist hatuwahi kupata Tanzania
Hujawahi kuniangusha kaka 🙌🏽📌ukiona leo sauti yako haitoki vizuri basi chanzo ni Mimi huku nimeweka repeat 🧷👊🏼🙌🏽
Hakika dizasta kwangu ndo mwan hip-hop was Karne ya20
Hii ngoma imefichwaa sana wanaoamini ilo gonga like alafu tusubili review ya huu wimbo
NI SERA ya mwalimu NYERERE adui watatu . ujinga maradhi na umasikini. ila Vina ametumia maradhi ukimwi doa la tatu mawili kati ya mgongo ni ujinga na umasikini. paia ameihusisha na jinsi mambo hayo na ukimwi ulivyoingia tz. then utagudua anasema msimuliaji natoka chini naenda juu, verse ya pili ndio mwanzo wa story. kwa ufupi tu japo kuna mengi ya kufafanua na kujifunza.
@drmubarakhassan8010 verse ya pili ndo mwisho wa story ni yule mtoto mchanga amekua na kaishia kupitia kile kile kilichomkuta mama yake
Hichi kichwa kiko sawa...much love frm 🇶🇦🇶🇦
Brother Una Akili Ambayo Ni Ya Kizazi Cha 2090 Huko Ndiyo Watakuja Elewa Nini Unafanya. 🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼
Ukiachana na ufundi wa sanaa ya utunzi, ni msanii asie fuata mkumbo wa kuSwitch Genre🔥🙌
JASIRI HAIACHI ASILI.
na ndio rapa mwenye tatoo ya asil dunian
@@sebastianlubava1535 heheh😂 Maan ni ngum sana kuipata tattoo iyo kwa various artists hakika🔥🙌
Apa kenya🇰🇪 twamsikiza sana uyo mwamba
@@ibrangala7753tuko pamoja sana ndugu.
Unaweza kusema vina katumia miaka 5 kutunga hii nyimbo kumbe kwake ni simple tu PURE TALENTS
Hiiiiiiiii ndy nyimbo yenye story za books na kupata maswali mengi San kuhusu elimu iliopo🫂 ahsant dizasta vina Kwa elimu simuliz🙏🙏
Embu tuamue sisi kama mashabiki tuifikishe trending za juu zaidi haya twende kazi, share as much as u can watu wanatakiwa wasikie hizi sumu zenye darasa ndani yake
Found genius and gifted forever...hebu BASATA ifanye kitu kwak we Jamaa 🥺 you are a really meaning of pure literature... you're beyond Chomsky, ole soyenka,ngungi wa thiongo,chinue achebe and okoit p'bitek 🙌🙌
Duuuuh wewe jamaa una kichwa
Kuhusu huyu Dizasta Vina mimi sina la kusema tena, that's very sure,Dizasta ni wa moto kushinda Jua.
King wa hizi kazi aka teacher big endelea ku2pa darasa wao waendelee kucheza amapiano🙌🙌🙌
Nmesubiri tattoo ya asili namba 2 itapendezaa zaidi kwa tunaokufuatilia
I expect higher from Vina rymes
Big love from 254 watu wangekuangalia kwa jicho la tatu
Dizasta kwenye ubora wake💪
Daah!kuna BinaadamU wamepewana Mungu walichostahili
Kaka respect kubwa kwako dah akili nyingi ndo unaweza elewa hili goma
Mimi huwa sijutii kukupa skio langu unanibless sana 🙏🏼
huu wimbo haujaisha, kabisa yani🙌🏾🙌🏾
Bro Your talent is unique kwangu mimi wewe ni musician GOAT
Oyaaaa weee kichwaa unacho mzee, pure talented boy💥💥🙌
Pamoja msimuliaji. Kazi nzuri💪
Npo hapa 7/8/2024 baada ya tukio la msichana kubakwa, Dizasta upo mbele ya muda sana kaka 🙌.
Kak unatishaaa hii ngom nilskia kat kat nikaomba ianzee upyaaa kak hii 🔥🔥🔥
Hongera sana kazi nzuri
Wa kwanza gonga like
Kaka huna dhambi nautakapokufa hakika hautaoza@vina🙏🙏🙏
We jamaabunaandika sana yaaani kama movie
*Akazindikizwa njia panda mwisho wa makazi mwanzo wa msitu mkubwa wa sanza" fasihi Kali zipo umuu hii n chakula ya ubongoo kweliiiii kaka🧠🧠
Dizasta uko juu zaid kuwa na subra na zid kukaza nlikwelewa tang wayback man.
Kuna abalikuu kutoka kwa kitaa flani, mistari kama nimetafuna daftari. Dah bado bongo sjaiona mwana hip hop kama uyu🔬
ifike mahali dizasta na nacha wapewe tuzo jaman, hawa wanoibeba maana halisi ya sanaa kwenye jamii
Daaah mashair yako unayaficha sana lazima utulize kichwa ndo uelewe.
Alafu kuna wasuka suka nywele wanajifananisha na hii talent huyu jamaa ni genius , nakubali uwezo wako nigah.
Kama Kawa hujainiangusha. Big up dizasta. Tour Kenya please
Kaka unafanya mziki waheshima sana wenye mafundixho katika jamii ...naomba utengweeh 🔥🔥 mana una upeo na frikra za tofauti 🙌🙌
Afu juzi tu nilikuwa naiifikiriaa. One of the best track kwenye collection za Dizasta🙌. Ringle ametisha sanaaa kwenyehii DARK Beat.
Mvua kubwa ILINYESHA, KUONESHA , hata HALI YA HEWA ILIMSALITI PIAA."
Kaka umekua mtu flan ivii ambaye Kila siku huchokw kisikilizwa,umenikubusha namna ya kuish 🙏🙏🙏🙏🔥🔥🔥 appreciate sanaaa
Ni emcee makini asiye yakimbia mapambano".. Mtunza misingi halisi, sio wale wa nyeusi na njano".. Mara waimbe taarabu, mara zouk na amapiano".Huyu ni dizasta vina, mchokoze upate kibano"...
Who narrates better than DIZASTA, I think the answer is no one like VINA
Nakubali
Ya kikubwa Sana hii mzee wangu
Hii ngoma n nomaaaa🎉🎉
Kk tuko pamojaaaa d vina
Dizasta vina nimeskiliza Zaid ya mara tano🔥🔥🔥🔥🔥
Dizasta Vinaaaaaaa unatisha kama radiation congratulations Brother nakubali lecture zakoooooo🎉🎉🎉🎉
Aisee d.. noma sana
My favorite singer, I'm learning more from this guy.🇲🇿🇲🇿
Bro your a genius, this is art in its purest form.
Thank you so much
Cjawah kuona genius wa song like you najuta kuchelewa kujua😭😭
@@dizastavina najuta kuchelewa kukujua we ni genius Mr good song
Dizasta ni mwamba wa rap bongo nzima
Mimi ni shabiki Yako mpya from Burundi 🇧🇮 +257 Bro mimi umeniacha mbali sana yani ngoma zako nimeziskia mpaka naanza tumia makamusi tu we ni Genius ❤ Respect Dizasta Vina ❤
Duuh noma Sanaa nataman siku Moja niweze kupita vizuri Kama wewe bro aisee unajua sanaa🔥🔥🔥
Kalamu hii iheshimiwe/This pen shall be respected
Muungano wa tangnyka na zenji.nipeni likes zangu bac
Umetisha bro
I have never commented on any youtube channel but this one is amazing, the message, flows, beats, and everything is awesome. The true meaning of Rap
Very genius Dizasta,...The best story teller, but huu wimbo umenifikirisha sana kuuelewa🤔🤔🔥🔥🔥
Huyuuu jamaaaaa mbn mwamba sana akili ako si ya kawaida kabisa duuuuuuh
Shika .maua yako kaka 🌹🌹
Dizasta vina ni msanii ambae kila neno linalomoka unatamani kuendelea kusikia neno gan lingine linalo fata,,kiufipi jamaa niaatali sana
Hip hop kwenye mikono salama 🔥🔥🔥🔥
Dah nilijua flashback kumbe dogo alikuja kubakwa tena probably na wajombazake, maana nao dada zao waliwah kubakwa na alieendq kufia porin probably alibàkwa
Haujawahi nianggusha bro 🎉🎉🎉🎉🎉wanom🎉🎉
Dizasta mwenye vina vyake black Maradona we ndo king Wang wa hii game bongo
Kudadeq 🙌 jamaa una madini sanaaaa. Hii ndo tunaita sanaa. Una utofauti mkubwa na ma rapper au wasanii wengine hakika. Huu wimbo nime u Shazam mtaani ikabidi nifatilie
Tatoo ya asili...vicious cycle of HIV/AIDS, dizasta umetisha sna,napendekeza gvn wakuweke ktk watunzi wa mashairi ya kufundishia ....uko level moja na chinua achebe💪🏾
moja ya ngoma ambayo hua naisikiliza bila kuchoka "shahidi" now umekuja na kitu kipya mithili ile ya shahidi keep up bro umetisha sana vina👍👍
Mwamba cna muda mrefu tangu nianze kukufatilia unajua sana japo ngoma zako nazozijua 3 Africa, Uhuru na wimbo huu ww co mtu wa kawaida ili mtu akuelewe inatakiwa acklize wimbo wako zaidi ya Mara moja ule wimbo wa Africa ulnixumbua sana kuuelewa
Hunaga kazi mbovu mzee
Dah! Hii ngoma kali sana sana, hongera kaka mkubwa ✍️🔥
Brother anajua sana sema anamafumbo sana
still listening na sijasikia bado... tuelewane sijasikia zaid ya dizasta
Wee jamaaa noma sana bhna
Nakubali dizasta hukosei man
Dizasta doing what he does best... Mad respect to this guy
Ahsante Sana kwa mistari yenye fikra pevu🙌🙌🙌
Unawakilisha jina💥🙌🏿
Sana broooo nakubali kaka
What a genius from this man always i support u since day one
Hahahaaaa mwamba sana,So genius Brother.Kwa tunaokuelewa "To be continued........."Bonge moja la Muvie daaah.
Brooh nakukubali sana vina vyako vimenyooka sana
God created dizasta for telling us the story... King of story teller
My Idol best story teller
Dizasta vina kabla ujafa ushaacha chata ukutani ambayo aifutiki zaidi ya tattoo ya asiri
Aiseee hawakukosea walio kuita VINA ✊🏾
Mtoto alizaliwa na virus akiwa na tatoo ya asili nae kabakwa pia. Great story, sometimes history tend to repeat itself, if ignorance is not cured.
Na alibakwa na vijana wadogo ambao wazazi wao ndio waliomfukuza yule mama kutoka kwenye kijiji
"Professor Tungo skills kwenye verses/ Sioni dawa maana nipo ill kwenye Tenzi/ Nipo high na bado naSpeak deadly naSpeak Fact MaMC wengi hawaSpeak Sense/ Yeah mi ndo Simba kwenye Cave/ VINA misumari Inch 9 usije Peku Hata wabane vipi kufanya RAP sitojutia DIZASTA NA BEAT NI VITA YA TATU YA DUNIA"
nakubali sana @dizasta vina kazi nzuri
mamaee dizasta fundi😅🙌🙌🚀
Nomaa
napenda sana hizi stori yani unajua na unajua tena
Message kaka on it.
💯💯 from Kenya 🇰🇪🇰🇪
Kihodombi street we're proud of u big💪🙌🙌
Nakubali sana njia zako bro ubarikiwe