Dakika 10 Za Maangamizi- Dizasta Vina | Planet Bongo I

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 12 ก.พ. 2018
  • Mistari ya wimbo wa Kanisa imefanya kila mtu kumsikiliza sana Dizasta Vina na mistari hiyo imesisimua watu wengi sana.
    Planet Bongo kila siku ya Jumatatu hadi Ijumaa saa 7:00 maacha hapa East Africa Rario kupitia 88.1 fm.
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 1.1K

  • @user-qr6sr8fn1p
    @user-qr6sr8fn1p 15 วันที่ผ่านมา +14

    Huyu mwamba nilimtambua kitambo nimerudi tena leo 2024 gonga like kwa wote 2024.🎉

  • @bennyframa4505
    @bennyframa4505 ปีที่แล้ว +189

    Na hii ndio siku dunia ilipomtambua dizasta vina..historia ilandikwa hapa. Nakumbuka nilikuwa udsm kipindi hiko mwaka wa 3. Mixer na zile skendo za gwajima kuvuja video zake za uchi basi dizasta na hii session yake ika trend sanA. Na leo ni 2023 nimerudi hapa tena kusikiliza. Wote wanosikiliza hii session kwa mwaka huu 2023 acha like hapa tujuane.

  • @anuaryfernandez7230
    @anuaryfernandez7230 4 หลายเดือนก่อน +52

    Dizasta Ni GOAT Kama Upo Hapa 2024 Ww Ni Mbuzi Pia

    • @mwakiboy968
      @mwakiboy968 3 หลายเดือนก่อน +1

      2024 April

    • @anuaryfernandez7230
      @anuaryfernandez7230 3 หลายเดือนก่อน

      @@mwakiboy968Mbuzi 💪🏿

    • @altos7500
      @altos7500 2 หลายเดือนก่อน

      😂😂💪💪

  • @jamalibakari3683
    @jamalibakari3683 2 หลายเดือนก่อน +21

    Tulio rudia 2024 like hapa

  • @mr.mindscape255
    @mr.mindscape255 หลายเดือนก่อน +13

    kama uko apa 2024 gonga like apa

  • @mastaplan
    @mastaplan 12 วันที่ผ่านมา +4

    2024 @Dizastavina hii ndio dakika 10 Za maangamizi Bora Za muda wote.

  • @justinvalyanje3922
    @justinvalyanje3922 5 หลายเดือนก่อน +10

    2024 tuanze kuzidish love kwa @dizastavina

  • @barakaisaya6059
    @barakaisaya6059 2 ปีที่แล้ว +101

    4 yrs now, who came for this legend? Twende pamoja, he deserve the respects.🙌🙌. Man you are the Legend.

  • @dannyeliya9010
    @dannyeliya9010 3 ปีที่แล้ว +9

    huyu jamaa fundi asee kama una mkubali huyu jamaaa gonga like hapa👇👇

  • @mtasma1994
    @mtasma1994 6 ปีที่แล้ว +26

    Daaaah kumbe Tanzania kuna wachanaji conscious wa Kenya mmeona....like for this

  • @nwntz
    @nwntz 6 ปีที่แล้ว +374

    watangazaji wote wanafki ndio maana hata hip hop a bongo haifiki mbali kwa sababu nyimbo kamka hiz "kanisa" hawazijui ila huku kitaa ndio misosi yetu..respect

    • @sharpaliofficial7455
      @sharpaliofficial7455 6 ปีที่แล้ว +7

      Nwn Kiranja Mkuu kweli kabisa

    • @pascalmasumbuko3787
      @pascalmasumbuko3787 5 ปีที่แล้ว +7

      kweli kabisa

    • @skm1143
      @skm1143 4 ปีที่แล้ว +5

      Nwn Kiranja Mkuu we eat it and we swallow hard

    • @chrissmotela9107
      @chrissmotela9107 3 ปีที่แล้ว +5

      sanaa broo watangazajii wengii n wakudaa tu

    • @geoffreycharles15
      @geoffreycharles15 2 ปีที่แล้ว +1

      Sasa watangazaji wanaingiajeee apooo Mkulaaa??

  • @alkaullahmediaTz
    @alkaullahmediaTz ปีที่แล้ว +8

    leo January 2023, nimetazama tena. dizasta vina

  • @robertkulwa9815
    @robertkulwa9815 หลายเดือนก่อน +4

    2024 tunaosikiliza hii tujuane

  • @geffects1141
    @geffects1141 7 หลายเดือนก่อน +7

    Attention every body, Am here to declare that Dizasta is the real meaning of Vina . Thank you.❤

  • @droneafrica
    @droneafrica 6 ปีที่แล้ว +28

    Baada ya one the Incredible leo nmempata Genius wa pili tz

  • @kijikangaresort177
    @kijikangaresort177 6 ปีที่แล้ว +142

    Hii ni bleed huwezi ficha kwa kufuri... we jamaaa next level.. gonga like kumtia moyo huyu Common wa Bongo 😎

  • @Call.me.b3nj
    @Call.me.b3nj ปีที่แล้ว +7

    Unapewa maradhi bure af una nunua afya👌👌👌
    Am here after 4 years
    THE real MC
    @Dizasta_Vina

  • @goodluckdamian9521
    @goodluckdamian9521 ปีที่แล้ว +11

    tulio rudi kweny dakika 10 za maangamiz baada ya zile distrack tujuane 😅

  • @asjoh5390
    @asjoh5390 6 ปีที่แล้ว +42

    Jamaa unaflow nzuri sana ya kumfanya mtu asiboeke kukusikiliza, flow yenye matamshi yanayosikika vizuri.....Dizastavina unafaa kuwa mainstream by now”!!!

    • @daudikiboko69
      @daudikiboko69 ปีที่แล้ว +1

      true aisee.leo ndio naona hii video imenistua sana

  • @jacksonwagalah
    @jacksonwagalah 2 หลายเดือนก่อน +3

    wa 2024 tujuanee jaman Gonga likee hapoo

  • @abuumanyati4185
    @abuumanyati4185 6 ปีที่แล้ว +113

    Very conscious,huyu jamaa kwa uandishi wake na iyo flow, akizidisha hapo ataleta matatizo makubwa nchini bora abaki hapohapo!

  • @hansmtalikwa9745
    @hansmtalikwa9745 6 ปีที่แล้ว +14

    Kwa mwaka 2018 huyu ndo kaangamiza vyema dakika kumi za maangamizi n nooooooooma sana # dizasta

  • @jayfarsaga4935
    @jayfarsaga4935 หลายเดือนก่อน +2

    Nimeludia mara 4000 mamae

  • @kenmclive7776
    @kenmclive7776 หลายเดือนก่อน +1

    2024 still here listening this guy straight from Kampala Uganda 🇺🇬🇺🇬🇹🇿

  • @kingrozay1677
    @kingrozay1677 6 ปีที่แล้ว +63

    HIPHOP is school of thought and dizasta just proved that

  • @johhybrid8130
    @johhybrid8130 ปีที่แล้ว +7

    5 years down and guess what! Dizasta is a man of this game🙌

  • @herbethlukogela7657
    @herbethlukogela7657 ปีที่แล้ว +10

    Nobody can rap above this

  • @movahussein1532
    @movahussein1532 6 ปีที่แล้ว +8

    Gonga like nyingi km unamkubali dizastA

  • @lamarabdurahman2767
    @lamarabdurahman2767 6 ปีที่แล้ว +78

    Washkaji kama hawa ndo wananifanya niamin Mziki wa hip hop Unaweza kuishi hadi wajukuu wakaukuta_ Acha kina madee waendelee na Mziki wao

    • @ibrahimkanuto3514
      @ibrahimkanuto3514 5 ปีที่แล้ว +1

      kendrick Lamar jembe hili

    • @godfreybenedicto3577
      @godfreybenedicto3577 4 ปีที่แล้ว +1

      "Hizi dk kumi za Maangamizi za huyu Ndgu yangu ##usipozielewa kuna matatzo kwenye Ubongo wako (Brain Yako). Jah Thanks kwa kuzaliwa Tanzania 🌍🇹🇿🇹🇿. "

  • @saidhassan570
    @saidhassan570 3 ปีที่แล้ว +46

    11 September 2020. Still listening to the best hip hop technician. This ain't man its Allien trust me. Live long Dizasta

  • @lezamnukwa5652
    @lezamnukwa5652 6 ปีที่แล้ว +111

    kwenye mistari ya jamaa unakuta kuna physics geography n.k hii style anafanya dizasta na one incredible tu. nice rap mzazi

  • @ziggibro
    @ziggibro 6 ปีที่แล้ว +155

    Kama unakubali haijawahi kutokea!! Gusa Like

  • @ibracadabra7687
    @ibracadabra7687 6 ปีที่แล้ว +23

    Hivi ndo vitu ambavyo masikio yangu yana penda kuvisikia

  • @emmanuelzao
    @emmanuelzao 5 ปีที่แล้ว +20

    The girl in a background makes some cool vibes

  • @REVOLUTIONARYLYRICS
    @REVOLUTIONARYLYRICS 7 วันที่ผ่านมา

    "Kitacho nionyesha bingu ni bidii ya kutenda mema, so sitaki kujua dini ipi ni sahihi.."💯🔥

  • @hemedihamisi7170
    @hemedihamisi7170 6 ปีที่แล้ว +23

    hongera man,, unaandika Sana kwa anaye elewa real hip hop atakuwa amenielewa,,,,we ni tofauti Sana na mistari mipasho ya kina boshoo

  • @tumainzacharia917
    @tumainzacharia917 6 ปีที่แล้ว +60

    Hii imeingia kwenye one among the biggest dakika 10 za maangamizi kutoka kwa Profesa tungo mwenyewe Dizasta vina akiwakilisha PANORAMA genge la wajenzi wa flows aka PanoRhymes ni nomaaaaaahh!! oiiiiiiiiiiiiiiiii

  • @ndituzyamwashitete8087
    @ndituzyamwashitete8087 6 ปีที่แล้ว +18

    professor tungo,, kubali sana bro,,ncku niliyo kuwa naisubir kwa ham sana.

  • @mapheneino
    @mapheneino 6 ปีที่แล้ว +9

    Kuanzia leo ww ni DIZASTA KIMA.. Yaan Nyani mzeeeeee

  • @adamsadick2745
    @adamsadick2745 9 หลายเดือนก่อน +1

    Leo tena 7-9-2023 Naicheki tena.. Noma sana brother.

  • @chrissjoel7752
    @chrissjoel7752 3 ปีที่แล้ว +10

    *29-03-2021 baada ya kumzika MAGUFULI nakuja kujifariji na hawa wanyamwezi* 😢😢😢😢😢🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌 msosi wa kitaa ni Hip Hop

  • @peterngassalah6454
    @peterngassalah6454 6 ปีที่แล้ว +4

    Ebwanaee nifanye mpango hii niiplay kanisan maana nimaubili tosha nikitoa kudadeki mazee dzastar on🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @johnsonmarick45
    @johnsonmarick45 4 ปีที่แล้ว +6

    Ujumbe mzuri sana kwa makanisa na waumini, #Dizasta vina mc mahiri.

  • @arthurmndolwa1444
    @arthurmndolwa1444 2 ปีที่แล้ว +11

    Vina dizasta ni noma sana... bigup brother... nimekumanya sanaaaaaaa.... ukweli mtupu na hakuna wakupinga... mpangilio madhubuti kabisa wa mashairi... unaacha tunatafakari ujumbe kabambe... Mungu akutangulie brother... fungua macho ya watanzania kwa kupitia kipaji chako. Umenifurahisha sana. Now this is very rare. This is talent... Big up!!!

  • @philipo7929
    @philipo7929 6 ปีที่แล้ว +5

    Mamae🙌🙌🙌🙌 we ni moto wa kuotea mbali

  • @mahrizainobaranchas7589
    @mahrizainobaranchas7589 6 ปีที่แล้ว +19

    Afu mwamba yuko serious kinyama,. Umetisha sana mwana ukome as Swahili wanaitaga

  • @justinmganiwa2790
    @justinmganiwa2790 หลายเดือนก่อน +2

    Utasikia nani yupo 2024

  • @hassanhassan1019
    @hassanhassan1019 หลายเดือนก่อน +1

    Nimerudi kuskiliza tena baada ya miaka kibao...mabibi na mabwana anaitwa vina✊

  • @maxwellwige1071
    @maxwellwige1071 6 ปีที่แล้ว +22

    Tukiwaka tunaweza kumgeuza fid kuwa sagna......🔥🔥🔥🔥🔥

  • @abdillahimahamed1814
    @abdillahimahamed1814 6 ปีที่แล้ว +32

    Maaan...nimekutambua leo...na nimekuheshimu. ..kutoka marekani ujue kuanzia leo...am a fan...you killing it...bro....keep up..hip hop for real..I'll start looking and following you bruh....MZUKA..ndio huu man.

  • @balikiabdala823
    @balikiabdala823 ปีที่แล้ว +2

    Oya jama anajua sana

  • @jobkwadinasi493
    @jobkwadinasi493 2 ปีที่แล้ว +22

    This guy raps in very nice , inspiration and unique style

  • @mextraveller1946
    @mextraveller1946 ปีที่แล้ว +6

    5th May 2023 still on this masterpiece 🙌🏾

  • @kalungokhalfan91
    @kalungokhalfan91 6 ปีที่แล้ว +37

    Always Tamaduni music is a real Hip Hop
    Respect Dizasta 👊

  • @alexmadafali4872
    @alexmadafali4872 6 ปีที่แล้ว +53

    Since day one hujawahi niangusha nakufahamu kwenye mic huwa hunaga Utani aiseee Mbeya boy Dizasta vina moja kati ya Rapper ambao wanaweza kukaa kwenye beat yeyote,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,PanoRhymes forever

    • @media-rs6lo
      @media-rs6lo 6 ปีที่แล้ว

      Kumbe dizasta anatokea MBEYA nilikua sijui

    • @alexmadafali4872
      @alexmadafali4872 6 ปีที่แล้ว

      Yeap

    • @yonamkisi9683
      @yonamkisi9683 6 ปีที่แล้ว

      niaje madafar ulikua hujui kama dizasta ni mtu wa mbeya

  • @georgemogori9764
    @georgemogori9764 6 ปีที่แล้ว +7

    Maninja wa tamaduni
    Ni mwixho wa mochano
    Dizaster vina
    Siku mbaya, Hard, cter kadata

  • @emmanueldanken3832
    @emmanueldanken3832 6 ปีที่แล้ว +4

    Kwangu kumi za maangamizi zimeshaisha yamebaki matrela tu. Dizasta tisha sana mbaba

  • @thugboy4227
    @thugboy4227 6 ปีที่แล้ว +15

    Dizasta vina mshenzii wa tabia kauaaaaaaaa
    🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @stewarthoulreennasri4159
    @stewarthoulreennasri4159 หลายเดือนก่อน +2

    2024🎉🎉still listening

  • @SPM_Mukong
    @SPM_Mukong 6 ปีที่แล้ว +19

    now this is the man i was praying you call in. He is a MONSTER!

  • @wachugypsumtz2061
    @wachugypsumtz2061 5 ปีที่แล้ว +5

    Verry Conscious aisee..Thats Hip hop...Unajua bro muda utaongea

  • @brisketkidari1623
    @brisketkidari1623 6 ปีที่แล้ว +25

    Sjakuskiliza ila nshakukubali kabla hujachana dizasta vina

  • @daniikirunda4010
    @daniikirunda4010 6 ปีที่แล้ว +8

    Hatarii sana profesa tungo....nakuelewa kitambo toka STAKI GAME

  • @alimkumba9459
    @alimkumba9459 2 ปีที่แล้ว +2

    miaka 1000 hakuna atakae vunja hii people talent ya hali ya juu respect planet bongo jamaa afanye nyingine please we miss dizastar vina

  • @blackkid7377
    @blackkid7377 ปีที่แล้ว +5

    kama upo hapa after beef na kaka ake paulla gonga like

  • @masaimara3750
    @masaimara3750 6 ปีที่แล้ว +150

    Pengo la uno ni dizasta, unakubali gonga like hapa

    • @salumusalumu1493
      @salumusalumu1493 6 ปีที่แล้ว

      we noma zaidi yao nakubali DIZASTA VINA kweli vina nimeviona mzee baba......up

    • @johnsonayo
      @johnsonayo 5 ปีที่แล้ว +1

      uno hana pengo

    • @mussashally660
      @mussashally660 5 ปีที่แล้ว

      Uno Mbishi Chunda hawana pengo

    • @gasperallute23
      @gasperallute23 5 ปีที่แล้ว

      hakuna pengo la uno

    • @kukuproject2533
      @kukuproject2533 5 ปีที่แล้ว

      Yaaah

  • @davidmdavid4869
    @davidmdavid4869 6 ปีที่แล้ว +4

    Daaah nimekubal dizasta umeua mbaya mzee salute nataman wangekupa nusu saa

    • @user-wx6qb3fh3m
      @user-wx6qb3fh3m 2 หลายเดือนก่อน

      lisaaa lizima ingependeza

  • @abbas.salim.abbasbarbz-5447
    @abbas.salim.abbasbarbz-5447 4 ปีที่แล้ว +26

    Dizasta vina is awesomely and tremendously doing data orientation full of awesome and positive information
    Creativity is intelligence and his role in this society is filled with inspirational Innovation
    Thumbs up
    This is real Hiphop
    What a Wrap !!!

  • @josephgermanus9994
    @josephgermanus9994 2 ปีที่แล้ว +8

    Myfavorite rapper of all time...

  • @abdullahamadmwinyi8233
    @abdullahamadmwinyi8233 6 ปีที่แล้ว +6

    Big up vina umetetendea haki 10 zko ukiongeza bidii utafika mbali sana sana

  • @josephnyanda8921
    @josephnyanda8921 5 ปีที่แล้ว +2

    Damn who z back here n still watchin again n again..this nigga got skillz...hongera mwanangu ufanyie kweli huu mziki

  • @loyalcitizenofzamunda7894
    @loyalcitizenofzamunda7894 4 ปีที่แล้ว +28

    I'm sayin' TZ, y'all are representing East Afrika hard man. Got the most substantive, dopest bars on the continent. And that Swahili, metaphors and word play is on another level KABISAA! One love from the diaspora from this brother from the 256! EA stand up!

  • @ARUSHA_NAILS
    @ARUSHA_NAILS 5 ปีที่แล้ว +32

    *30/4/2019 bado .namsikiliza **#dizastavina** nani mwingine.?*

  • @alkaullahmediaTz
    @alkaullahmediaTz ปีที่แล้ว +3

    planet bongo, frida aman alkuwa analeta vibe sana. anaskiliza kwa makin

  • @ramadhanimostoni8273
    @ramadhanimostoni8273 3 ปีที่แล้ว +4

    Physics+Chemistry+Biology+Mathematical+Geograph=VINA DAVISTA✔

  • @user-eu5uy8vm6i
    @user-eu5uy8vm6i 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mwamba wa aina yake ,sio rahisi kumuelewa ,tulia utaelewa tu,VINA

  • @jibrilsheikh9949
    @jibrilsheikh9949 ปีที่แล้ว +6

    This guy is dope...
    Jamaa yuwatema 🔥🔥🔥🔥.
    One love from Kenya +2547

  • @imanbrettyjohn379
    @imanbrettyjohn379 ปีที่แล้ว +4

    it's now 2023 still listening 🎤🎤🎤🎤

  • @alexmwakasape3452
    @alexmwakasape3452 ปีที่แล้ว +3

    Yan nmeona nirudie kusklza iz dk 12 za Disaster af na zle za Rapcha...adi nashangaa yule dg kajiamin nn kubattle against Disaster🤣🤣...mbna ni watu wawil weny ubongo tofaut sana...yule dg anaimba mipasho sana aisee hamn hip hop kichwani🙌

  • @omaryahmed7100
    @omaryahmed7100 6 ปีที่แล้ว +2

    Daahh huo mdundo wa pili cjui n wa ngoma gan aceee......

  • @rizyrogastian6639
    @rizyrogastian6639 ปีที่แล้ว +3

    2023DizastaVinaBestFriend

  • @japharysety5602
    @japharysety5602 6 ปีที่แล้ว +26

    kibaa Mile 1 me ni Eight Mile's Eminem
    dizasta

  • @nickherman4
    @nickherman4 6 ปีที่แล้ว +34

    Dizasta Professor tungo
    Ametisha Mie nikimpendekeza mtu jua hiyo mtu ni noma kinoma
    Mlete stereo au Dubo Jesus

  • @tumainibihemo7755
    @tumainibihemo7755 6 ปีที่แล้ว +54

    Mkali sana!! Mistari mitam kama vile nakitupa cha kwanza, Hawa ndo mfano wa Ma Mc wa Bongo ambao wanaweza fanya nisahau Kuwaskiliza watu kama Kina Common, Krs 1, Nasco Damas au The the roots, Big up Mi shabikiako tayari, Hata kama Kopi ya Album yako utauza raki 1 nitanunua.

  • @mazubukamajaliwa5798
    @mazubukamajaliwa5798 6 ปีที่แล้ว +21

    Mtaani kwetu za namna hii masela wanaziitaga"Kanjibai Flow"

  • @chrisostomehaule2152
    @chrisostomehaule2152 6 ปีที่แล้ว +3

    ``na hii ni breed mwana hawezifichwa na kufuli`` Tisha sana brother

  • @chegaritofx
    @chegaritofx ปีที่แล้ว +1

    Tumkumbushe rapcha kuwa huyu ndo dizasta, Hatuui mende kwa bunduki....2023 tupo hapa

  • @wazi7719
    @wazi7719 4 หลายเดือนก่อน +1

    Oyaa wakuu nimerudi tena kula madini ya Bro Dizasta vina...
    Hiki kichwa ni wakina baba levo mia😂 Respect Bro

  • @mpjozzegalvanize4926
    @mpjozzegalvanize4926 6 ปีที่แล้ว +17

    Dizasta noma, dk 10 hazimtosh
    Natamani kuwaona #blackfire & #adamu_shule_kongwe

    • @daniikirunda4010
      @daniikirunda4010 6 ปีที่แล้ว

      mpjozze galvanize bila kumsahau mtaalam SHAULIN SENETA

    • @mpjozzegalvanize4926
      @mpjozzegalvanize4926 6 ปีที่แล้ว +1

      Danii Kirunda yah man mzee wa #simu_ya_dada. Kwel jamaa naye mkal wa #storytelling

    • @ibraahmapexah5418
      @ibraahmapexah5418 6 ปีที่แล้ว

      bila kumsahau mbeya boy chuma

  • @Musamizinga
    @Musamizinga 6 ปีที่แล้ว +7

    Huyu sio moja labda moja wa kwanza

  • @lukesindiya2164
    @lukesindiya2164 5 ปีที่แล้ว +2

    dizasta ni zaidi ya star salute kwako mwamba

  • @philipo7929
    @philipo7929 6 ปีที่แล้ว +5

    Boshoooo bd hapa

  • @eckiller
    @eckiller 6 ปีที่แล้ว +9

    #DIZASTAVINA We ndo king of dakika 10 za maangamizi
    Wengne watasubil. Respect bro #KINISA

  • @MrRabbih
    @MrRabbih ปีที่แล้ว +8

    The deepest rapper in Africa this guy. Nigga so deep maahn🔥🔥🔥🙌🙌

  • @Itsdodwell
    @Itsdodwell 3 ปีที่แล้ว +2

    Huyu jamaaa ni moto nasemaa firee💯💯huyu infaa wafanye kolabo yaani hit moja safy wakiwa na James moto💯✔️✌️

  • @yohanashombe916
    @yohanashombe916 6 ปีที่แล้ว +2

    Kuna maajabu 9 na la 10 ni dizasta Mbeya boy

  • @Alex-en7dv
    @Alex-en7dv 2 ปีที่แล้ว +13

    2022 This is still banger GOAT

  • @mohamedbabesh575
    @mohamedbabesh575 6 ปีที่แล้ว +6

    HAKIKA KABISA huyu mtu nihatari kuliko uwezo wa fikra yaani nizaidi ya kufikiria.... msimuache hivi hivi

  • @hubbihubbi869
    @hubbihubbi869 6 ปีที่แล้ว +1

    Mkali ni mkali tuu Dizasta

  • @Valiant0790
    @Valiant0790 6 หลายเดือนก่อน

    Itapita miaka mingi sana kupata dkk 10 za maangamizi kama hizi🔥🙌