Dakika 10 Za Maangamizi- Dizasta Vina | Planet Bongo I
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 12 ก.พ. 2018
- Mistari ya wimbo wa Kanisa imefanya kila mtu kumsikiliza sana Dizasta Vina na mistari hiyo imesisimua watu wengi sana.
Planet Bongo kila siku ya Jumatatu hadi Ijumaa saa 7:00 maacha hapa East Africa Rario kupitia 88.1 fm. - บันเทิง
Huyu mwamba nilimtambua kitambo nimerudi tena leo 2024 gonga like kwa wote 2024.🎉
Na hii ndio siku dunia ilipomtambua dizasta vina..historia ilandikwa hapa. Nakumbuka nilikuwa udsm kipindi hiko mwaka wa 3. Mixer na zile skendo za gwajima kuvuja video zake za uchi basi dizasta na hii session yake ika trend sanA. Na leo ni 2023 nimerudi hapa tena kusikiliza. Wote wanosikiliza hii session kwa mwaka huu 2023 acha like hapa tujuane.
Unyama
Oooi oooi oooi
Uhakika
Kbs
Uhakika
Dizasta Ni GOAT Kama Upo Hapa 2024 Ww Ni Mbuzi Pia
2024 April
@@mwakiboy968Mbuzi 💪🏿
😂😂💪💪
Tulio rudia 2024 like hapa
🔥
kama uko apa 2024 gonga like apa
2024 @Dizastavina hii ndio dakika 10 Za maangamizi Bora Za muda wote.
2024 tuanze kuzidish love kwa @dizastavina
4 yrs now, who came for this legend? Twende pamoja, he deserve the respects.🙌🙌. Man you are the Legend.
huyu jamaa fundi asee kama una mkubali huyu jamaaa gonga like hapa👇👇
Daaaah kumbe Tanzania kuna wachanaji conscious wa Kenya mmeona....like for this
watangazaji wote wanafki ndio maana hata hip hop a bongo haifiki mbali kwa sababu nyimbo kamka hiz "kanisa" hawazijui ila huku kitaa ndio misosi yetu..respect
Nwn Kiranja Mkuu kweli kabisa
kweli kabisa
Nwn Kiranja Mkuu we eat it and we swallow hard
sanaa broo watangazajii wengii n wakudaa tu
Sasa watangazaji wanaingiajeee apooo Mkulaaa??
leo January 2023, nimetazama tena. dizasta vina
2024 tunaosikiliza hii tujuane
Attention every body, Am here to declare that Dizasta is the real meaning of Vina . Thank you.❤
Baada ya one the Incredible leo nmempata Genius wa pili tz
Nakubali sana
Hii ni bleed huwezi ficha kwa kufuri... we jamaaa next level.. gonga like kumtia moyo huyu Common wa Bongo 😎
Daaah jamaa kweli common wa bongo
Breed
Sio bleed
kijikanga resort Hakika dizasta Vina unaweza
Huyu mc anatisha habahatixh
Unapewa maradhi bure af una nunua afya👌👌👌
Am here after 4 years
THE real MC
@Dizasta_Vina
tulio rudi kweny dakika 10 za maangamiz baada ya zile distrack tujuane 😅
Jamaa unaflow nzuri sana ya kumfanya mtu asiboeke kukusikiliza, flow yenye matamshi yanayosikika vizuri.....Dizastavina unafaa kuwa mainstream by now”!!!
true aisee.leo ndio naona hii video imenistua sana
wa 2024 tujuanee jaman Gonga likee hapoo
Very conscious,huyu jamaa kwa uandishi wake na iyo flow, akizidisha hapo ataleta matatizo makubwa nchini bora abaki hapohapo!
Kabisa
Ahahahahah...dah
🤣 🤣 🤣
🤣🤣🤣🤣
Very true unaona nachokiona pitia nyimbo zake nimeweka comments
Kwa mwaka 2018 huyu ndo kaangamiza vyema dakika kumi za maangamizi n nooooooooma sana # dizasta
Nimeludia mara 4000 mamae
2024 still here listening this guy straight from Kampala Uganda 🇺🇬🇺🇬🇹🇿
HIPHOP is school of thought and dizasta just proved that
Very true
Listening to this for like the 8th time. Can't get enough. This talent.
5 years down and guess what! Dizasta is a man of this game🙌
Nobody can rap above this
Gonga like nyingi km unamkubali dizastA
Washkaji kama hawa ndo wananifanya niamin Mziki wa hip hop Unaweza kuishi hadi wajukuu wakaukuta_ Acha kina madee waendelee na Mziki wao
kendrick Lamar jembe hili
"Hizi dk kumi za Maangamizi za huyu Ndgu yangu ##usipozielewa kuna matatzo kwenye Ubongo wako (Brain Yako). Jah Thanks kwa kuzaliwa Tanzania 🌍🇹🇿🇹🇿. "
11 September 2020. Still listening to the best hip hop technician. This ain't man its Allien trust me. Live long Dizasta
kwenye mistari ya jamaa unakuta kuna physics geography n.k hii style anafanya dizasta na one incredible tu. nice rap mzazi
Noma
Umeona Mwana Huyu jamaa Kama One Kafanya Vyema
hawa ndo wakali wao
Kwa mtoni kuna jamaa anaitwa papoose
Kweli kabisa
Kama unakubali haijawahi kutokea!! Gusa Like
Link
Oslo I'll
Hivi ndo vitu ambavyo masikio yangu yana penda kuvisikia
Sure bro,but sio nyege za mafara
The girl in a background makes some cool vibes
"Kitacho nionyesha bingu ni bidii ya kutenda mema, so sitaki kujua dini ipi ni sahihi.."💯🔥
hongera man,, unaandika Sana kwa anaye elewa real hip hop atakuwa amenielewa,,,,we ni tofauti Sana na mistari mipasho ya kina boshoo
Hii imeingia kwenye one among the biggest dakika 10 za maangamizi kutoka kwa Profesa tungo mwenyewe Dizasta vina akiwakilisha PANORAMA genge la wajenzi wa flows aka PanoRhymes ni nomaaaaaahh!! oiiiiiiiiiiiiiiiii
Tumain Zacharia nakubal
professor tungo,, kubali sana bro,,ncku niliyo kuwa naisubir kwa ham sana.
Kuanzia leo ww ni DIZASTA KIMA.. Yaan Nyani mzeeeeee
Leo tena 7-9-2023 Naicheki tena.. Noma sana brother.
*29-03-2021 baada ya kumzika MAGUFULI nakuja kujifariji na hawa wanyamwezi* 😢😢😢😢😢🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌 msosi wa kitaa ni Hip Hop
Ebwanaee nifanye mpango hii niiplay kanisan maana nimaubili tosha nikitoa kudadeki mazee dzastar on🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Ujumbe mzuri sana kwa makanisa na waumini, #Dizasta vina mc mahiri.
Vina dizasta ni noma sana... bigup brother... nimekumanya sanaaaaaaa.... ukweli mtupu na hakuna wakupinga... mpangilio madhubuti kabisa wa mashairi... unaacha tunatafakari ujumbe kabambe... Mungu akutangulie brother... fungua macho ya watanzania kwa kupitia kipaji chako. Umenifurahisha sana. Now this is very rare. This is talent... Big up!!!
Mamae🙌🙌🙌🙌 we ni moto wa kuotea mbali
Afu mwamba yuko serious kinyama,. Umetisha sana mwana ukome as Swahili wanaitaga
Utasikia nani yupo 2024
Nimerudi kuskiliza tena baada ya miaka kibao...mabibi na mabwana anaitwa vina✊
Tukiwaka tunaweza kumgeuza fid kuwa sagna......🔥🔥🔥🔥🔥
Maxwell Wige hapo hatari sana jamaa anajua balaa
Nomaaa....🔥🔥🔥🔥
Maaan...nimekutambua leo...na nimekuheshimu. ..kutoka marekani ujue kuanzia leo...am a fan...you killing it...bro....keep up..hip hop for real..I'll start looking and following you bruh....MZUKA..ndio huu man.
Oya jama anajua sana
This guy raps in very nice , inspiration and unique style
5th May 2023 still on this masterpiece 🙌🏾
Always Tamaduni music is a real Hip Hop
Respect Dizasta 👊
Since day one hujawahi niangusha nakufahamu kwenye mic huwa hunaga Utani aiseee Mbeya boy Dizasta vina moja kati ya Rapper ambao wanaweza kukaa kwenye beat yeyote,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,PanoRhymes forever
Kumbe dizasta anatokea MBEYA nilikua sijui
Yeap
niaje madafar ulikua hujui kama dizasta ni mtu wa mbeya
Maninja wa tamaduni
Ni mwixho wa mochano
Dizaster vina
Siku mbaya, Hard, cter kadata
Kwangu kumi za maangamizi zimeshaisha yamebaki matrela tu. Dizasta tisha sana mbaba
Dizasta vina mshenzii wa tabia kauaaaaaaaa
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
2024🎉🎉still listening
now this is the man i was praying you call in. He is a MONSTER!
Verry Conscious aisee..Thats Hip hop...Unajua bro muda utaongea
Sjakuskiliza ila nshakukubali kabla hujachana dizasta vina
Hatarii sana profesa tungo....nakuelewa kitambo toka STAKI GAME
miaka 1000 hakuna atakae vunja hii people talent ya hali ya juu respect planet bongo jamaa afanye nyingine please we miss dizastar vina
kama upo hapa after beef na kaka ake paulla gonga like
Pengo la uno ni dizasta, unakubali gonga like hapa
we noma zaidi yao nakubali DIZASTA VINA kweli vina nimeviona mzee baba......up
uno hana pengo
Uno Mbishi Chunda hawana pengo
hakuna pengo la uno
Yaaah
Daaah nimekubal dizasta umeua mbaya mzee salute nataman wangekupa nusu saa
lisaaa lizima ingependeza
Dizasta vina is awesomely and tremendously doing data orientation full of awesome and positive information
Creativity is intelligence and his role in this society is filled with inspirational Innovation
Thumbs up
This is real Hiphop
What a Wrap !!!
Myfavorite rapper of all time...
Big up vina umetetendea haki 10 zko ukiongeza bidii utafika mbali sana sana
Damn who z back here n still watchin again n again..this nigga got skillz...hongera mwanangu ufanyie kweli huu mziki
I'm sayin' TZ, y'all are representing East Afrika hard man. Got the most substantive, dopest bars on the continent. And that Swahili, metaphors and word play is on another level KABISAA! One love from the diaspora from this brother from the 256! EA stand up!
*30/4/2019 bado .namsikiliza **#dizastavina** nani mwingine.?*
Kanisa
me evryday
planet bongo, frida aman alkuwa analeta vibe sana. anaskiliza kwa makin
Physics+Chemistry+Biology+Mathematical+Geograph=VINA DAVISTA✔
Mwamba wa aina yake ,sio rahisi kumuelewa ,tulia utaelewa tu,VINA
This guy is dope...
Jamaa yuwatema 🔥🔥🔥🔥.
One love from Kenya +2547
it's now 2023 still listening 🎤🎤🎤🎤
Yan nmeona nirudie kusklza iz dk 12 za Disaster af na zle za Rapcha...adi nashangaa yule dg kajiamin nn kubattle against Disaster🤣🤣...mbna ni watu wawil weny ubongo tofaut sana...yule dg anaimba mipasho sana aisee hamn hip hop kichwani🙌
Daahh huo mdundo wa pili cjui n wa ngoma gan aceee......
2023DizastaVinaBestFriend
kibaa Mile 1 me ni Eight Mile's Eminem
dizasta
Dizasta Professor tungo
Ametisha Mie nikimpendekeza mtu jua hiyo mtu ni noma kinoma
Mlete stereo au Dubo Jesus
Ww ni mkagulu
Dubo hawezi tembea km hv
Mkali sana!! Mistari mitam kama vile nakitupa cha kwanza, Hawa ndo mfano wa Ma Mc wa Bongo ambao wanaweza fanya nisahau Kuwaskiliza watu kama Kina Common, Krs 1, Nasco Damas au The the roots, Big up Mi shabikiako tayari, Hata kama Kopi ya Album yako utauza raki 1 nitanunua.
mm hata km lak 2
Axnten xanaa mnaonipa moyo nakuja kivingne
Mtaani kwetu za namna hii masela wanaziitaga"Kanjibai Flow"
``na hii ni breed mwana hawezifichwa na kufuli`` Tisha sana brother
Tumkumbushe rapcha kuwa huyu ndo dizasta, Hatuui mende kwa bunduki....2023 tupo hapa
Oyaa wakuu nimerudi tena kula madini ya Bro Dizasta vina...
Hiki kichwa ni wakina baba levo mia😂 Respect Bro
Dizasta noma, dk 10 hazimtosh
Natamani kuwaona #blackfire & #adamu_shule_kongwe
mpjozze galvanize bila kumsahau mtaalam SHAULIN SENETA
Danii Kirunda yah man mzee wa #simu_ya_dada. Kwel jamaa naye mkal wa #storytelling
bila kumsahau mbeya boy chuma
Huyu sio moja labda moja wa kwanza
dizasta ni zaidi ya star salute kwako mwamba
Boshoooo bd hapa
#DIZASTAVINA We ndo king of dakika 10 za maangamizi
Wengne watasubil. Respect bro #KINISA
The deepest rapper in Africa this guy. Nigga so deep maahn🔥🔥🔥🙌🙌
Huyu jamaaa ni moto nasemaa firee💯💯huyu infaa wafanye kolabo yaani hit moja safy wakiwa na James moto💯✔️✌️
Kuna maajabu 9 na la 10 ni dizasta Mbeya boy
2022 This is still banger GOAT
HAKIKA KABISA huyu mtu nihatari kuliko uwezo wa fikra yaani nizaidi ya kufikiria.... msimuache hivi hivi
Mkali ni mkali tuu Dizasta
Itapita miaka mingi sana kupata dkk 10 za maangamizi kama hizi🔥🙌