Dizasta Vina - Muscular Feminist

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 8 ก.ย. 2024
  • 6th release off the album THE VERTELLER
    AUDIO
    Mdundo - mdundo.com/son...
    Boomplay - www.boomplay.c...
    Soundcoud - / a-muscular-feminist
    Audiomack - audiomack.com/...
    LYRICS - genius.com/Diz...
    Other Musical contents
    Audiomack - audiomack.com/...
    TH-cam - / dizastavina
    Deezer - www.deezer.com...
    Apple music - artists.apple....
    Mdundo - mdundo.com/a/2263
    Genius - genius.com/Diz...
    Boom play - www.boomplay.c... - artists.spotif...
    Connect with Dizasta Vina on social medias
    Instagram - / dizastavina
    Twitter - / dizastavina
    Facebook - / dizastavina07
    sw.wikipedia.o...
    Business: Pan.authentik@yahoo.com
    Website - bio.link/dizas...
    Dear boys dear… men
    Ni sisi wasichana kina dada, mabinti na mama zenu,
    Tunaongea kutoka upande wa chini, upande mbali upande kutoka usawa wenu
    Upande nilipo msichana kuna hitilafu
    ‘So’ sikio lako thabiti ni ushindi kwangu
    Ninayotaka kusema hapa sio siri katu
    Ili ujue nina vingi vya ku-offer kabla ya mwili wangu
    Kwa miaka mingi nimeishi gizani
    Gizani kwenye baridi na miba mingi nyikani
    Eneo uliotaka niishi ni eneo kandamizi
    Na bahati mbaya we’ ndo’ mchoraji wa hii ramani
    Ramani inamwonyesha binti kama chombo cha mapenzi
    Msindikizaji mtoto tegemezi
    Ramani isiyojua vituo,
    Isiyojua tunaweza kuwa marafiki bila kuvuana nguo
    Dear boys, dear men
    Mngeelewa mngeiweka fikra sahihi
    Kama sanaa jinsi inavyozalisha fasihi
    Mi’ ni mlezi ukinivika mi’ umeivika jamii
    U-gentlemen sio kulipa mgahawani
    Umeshapitwa na wakati,
    Hainisaidii kunifungulia mlango nikifika kwenye gari
    Nifungulie fikra nitafakari
    Dear boys, dear men
    Tumekuwa tegemezi maana mmeficha mbegu
    Nani wa kuipigana vita yetu
    Umbali kati yetu utakuwa mkubwa milele
    Maana si ni wahanga wa mifumo mliyoiunda wenyewe
    Nikijaribu kusoma nabaki bure
    Maana unajali mwili wangu, ndo’ maana sitaki shule
    Kila nikienda popote wanaomba ngono
    Labda niwe changudoa to the fullest
    At least I’ll get paid
    Hata sisi tuna life too
    And the world doesn’t revolve around you
    Nipo tofauti sikupenda, na tena
    Unaponichezea fahamu kuwa ninazeeka mapema
    Shujaa unakumbukwa mzazi sikumbukwi
    Na kwanini kuwa msafi sio haja kwako
    Au kutembea kifua wazi ni kujiamini
    nikitembea mimi ni nusu uchi
    I wish ungejua pride yako nayo sumu
    I wish ungejua kuwa uanaume sio nguvu
    I wish ungejua kuwa binadamu hajakamilika
    Mwanaume aliyekamilika anatimiza majukumu
    I wish ungejua kuwa na mimba sio haya
    I wish ungejua mwanamke kuwa kichwa si vibaya
    I wish ungejua kuwa upendo nao una nguvu kwahiyo mwanamke akitongoza mwanaume si malaya
    I wish ungejua kuonyesha fear sometimes, it’s okay
    It’s okay kulia sometimes
    I wish ungejua uongozi hauoni jinsia si
    Tatizo mwanamke kuongoza njia sometimes
    Mifumo mliyoianzisha ina maisha
    Na chenye maisha kinazikwa
    Kwahiyo ipo siku mwanamke atasimama
    Na vita tunayopigana tutashinda
    Inasikitisha hamkui kihisia, japo mnakua kiakili
    Natamani … natamani mngejua kuwa inauma sana kuwa namba mbili kwenye kila nyanja,
    Ego ni power ila iogope
    Maana ni upanga unaokata pande zote
    Ngoma nzuri ngoma nzuri haitavuma milele
    Ukitumia ubabe vibaya utakuvunja mwenyewe
    Hadithi ya mwanamke alimshawishi Adam kula tunda
    Iliandikwa na wewe,
    Sijui Delilah alichukua nguvu za mumewe akaziuza
    Iliandikwa na wewe
    Upande wangu wa hadithi haujasikilizwa
    Pengine hautasikilizwa hasirani
    Maana ulianzisha shule akasoma mwanaume
    Mwanamke nikabaki nyumbani
    Dear boys, dear men
    Hamtakaa kwenye kilele
    Maana kilele ni kuwa mama
    Mi’ ni kichwa sio wewe ungekuwa kichwa
    Mtaani kusingekuwa na single mothers
    Lini mtaacha kutuita mademu
    Au labda mwite demu mama’ako
    Ukiona hauwezi naomba niheshimu kwa maana heshima inaanza kwako
    Na haja ya maelewano iko hapo
    I mean… ipi salama ya kichwa cha familia bila
    Mkono wa kuosha macho?
    Najua tupo tofauti
    Na tofauti yetu itabaki, itabakia hivyo milele
    Ila naomba usinichukie nielewe
    Dear boys, dear men
    Ni sisi wasichana, kina dada, mabinti na mama zenu
    Tunawasilisha kutoka upande wa chini upande wa pili
    Upande mbali kutoka usawa wenu
    Dear girls, dear Women
    Ni sisi kina kaka, kina baba, wanaume machizi wenu
    Tunaongea kutoka upande wa juu, upande wa mbali
    Upande uliowekwa na asili yetu
    Upande wenye mafungu yenye ulanguzi
    Upande wenye uthubutu na maamuzi
    Upande wenye machozi jasho na damu
    Uongozi upako ufahamu, upande usio na uhuru na uchaguzi
    Upande uliofanya wanaume tutengwe na tunu
    Tutengwe na tunu,
    Upande ambao pengine kuishi wewe ni ngumu
    Upande ambao asali yake ni kilele cha sumu
    Upande ambao haushabikii tija ya upendo au furaha au amani
    Kama hauangalii pima utagun....

ความคิดเห็น • 393

  • @MrRabbih
    @MrRabbih 2 ปีที่แล้ว +10

    The best and most redpilled rapper in african 🔥🔥🔥 A Gem this one

  • @deograsiasnada8885
    @deograsiasnada8885 2 ปีที่แล้ว +48

    hizi tungo zitumike zitumike rasmi kwenye fasihi huko mashulen na swali lake liwe la lazima kwa wnafunzi wote.. content ipo mkao ur genius bro

  • @dizastavina
    @dizastavina  2 ปีที่แล้ว +73

    Lyrics
    Dear boys dear… men
    Ni sisi wasichana kina dada, mabinti na mama zenu,
    Tunaongea kutoka upande wa chini, upande mbali upande kutoka usawa wenu
    Upande nilipo msichana kuna hitilafu
    ‘So’ sikio lako thabiti ni ushindi kwangu
    Ninayotaka kusema hapa sio siri katu
    Ili ujue nina vingi vya ku-offer kabla ya mwili wangu
    Kwa miaka mingi nimeishi gizani
    Gizani kwenye baridi na miba mingi nyikani
    Eneo uliotaka niishi ni eneo kandamizi
    Na bahati mbaya we’ ndo’ mchoraji wa hii ramani
    Ramani inamwonyesha binti kama chombo cha mapenzi
    Msindikizaji mtoto tegemezi
    Ramani isiyojua vituo,
    Isiyojua tunaweza kuwa marafiki bila kuvuana nguo
    Dear boys, dear men
    Mngeelewa mngeiweka fikra sahihi
    Kama sanaa jinsi inavyozalisha fasihi
    Mi’ ni mlezi ukinivika mi’ umeivika jamii
    U-gentlemen sio kulipa mgahawani
    Umeshapitwa na wakati,
    Hainisaidii kunifungulia mlango nikifika kwenye gari
    Nifungulie fikra nitafakari
    Dear boys, dear men
    Tumekuwa tegemezi maana mmeficha mbegu
    Nani wa kuipigana vita yetu
    Umbali kati yetu utakuwa mkubwa milele
    Maana si ni wahanga wa mifumo mliyoiunda wenyewe
    Nikijaribu kusoma nabaki bure
    Maana unajali mwili wangu, ndo’ maana sitaki shule
    Kila nikienda popote wanaomba ngono
    Labda niwe changudoa to the fullest
    At least I’ll get paid
    Hata sisi tuna life too
    And the world doesn’t revolve around you
    Nipo tofauti sikupenda, na tena
    Unaponichezea fahamu kuwa ninazeeka mapema
    Shujaa unakumbukwa mzazi sikumbukwi
    Na kwanini kuwa msafi sio haja kwako
    Au kutembea kifua wazi ni kujiamini
    nikitembea mimi ni nusu uchi
    I wish ungejua pride yako nayo sumu
    I wish ungejua kuwa uanaume sio nguvu
    I wish ungejua kuwa binadamu hajakamilika
    Mwanaume aliyekamilika anatimiza majukumu
    I wish ungejua kuwa na mimba sio haya
    I wish ungejua mwanamke kuwa kichwa si vibaya
    I wish ungejua kuwa upendo nao una nguvu kwahiyo mwanamke akitongoza mwanaume si malaya
    I wish ungejua kuonyesha fear sometimes, it’s okay
    It’s okay kulia sometimes
    I wish ungejua uongozi hauoni jinsia si
    Tatizo mwanamke kuongoza njia sometimes
    Mifumo mliyoianzisha ina maisha
    Na chenye maisha kinazikwa
    Kwahiyo ipo siku mwanamke atasimama
    Na vita tunayopigana tutashinda
    Inasikitisha hamkui kihisia, japo mnakua kiakili
    Natamani … natamani mngejua kuwa inauma sana kuwa namba mbili kwenye kila nyanja,
    Ego ni power ila iogope
    Maana ni upanga unaokata pande zote
    Ngoma nzuri ngoma nzuri haitavuma milele
    Ukitumia ubabe vibaya utakuvunja mwenyewe
    Hadithi ya mwanamke alimshawishi Adam kula tunda
    Iliandikwa na wewe,
    Sijui Delilah alichukua nguvu za mumewe akaziuza
    Iliandikwa na wewe
    Upande wangu wa hadithi haujasikilizwa
    Pengine hautasikilizwa hasirani
    Maana ulianzisha shule akasoma mwanaume
    Mwanamke nikabaki nyumbani
    Dear boys, dear men
    Hamtakaa kwenye kilele
    Maana kilele ni kuwa mama
    Mi’ ni kichwa sio wewe ungekuwa kichwa
    Mtaani kusingekuwa na single mothers
    Lini mtaacha kutuita mademu
    Au labda mwite demu mama’ako
    Ukiona hauwezi naomba niheshimu kwa maana heshima inaanza kwako
    Na haja ya maelewano iko hapo
    I mean… ipi salama ya kichwa cha familia bila
    Mkono wa kuosha macho?
    Najua tupo tofauti
    Na tofauti yetu itabaki, itabakia hivyo milele
    Ila naomba usinichukie nielewe
    Dear boys, dear men
    Ni sisi wasichana, kina dada, mabinti na mama zenu
    Tunawasilisha kutoka upande wa chini upande wa pili
    Upande mbali kutoka usawa wenu
    Dear girls, dear Women
    Ni sisi kina kaka, kina baba, wanaume machizi wenu
    Tunaongea kutoka upande wa juu, upande wa mbali
    Upande uliowekwa na asili yetu
    Upande wenye mafungu yenye ulanguzi
    Upande wenye uthubutu na maamuzi
    Upande wenye machozi jasho na damu
    Uongozi upako ufahamu, upande usio na uhuru na uchaguzi
    Upande uliofanya wanaume tutengwe na tunu
    Tutengwe na tunu,
    Upande ambao pengine kuishi wewe ni ngumu
    Upande ambao asali yake ni kilele cha sumu
    Upande ambao haushabikii tija ya upendo au furaha au amani
    Kama hauangalii pima utagundua upande niliosimama mimi ni ngao ya jamii nzima
    Uanaume sio ushindi ni jukumu
    Uanaume sio rizki ni hukumu
    Ungejua kwanini wanaume wana msongo wa mawazo pengine ungefurahia udogo wako
    Dear women , dear girls
    Mmekuwa chombo cha ngono
    Maana mmetufanya chombo cha fedha
    Kama nguo hazitabadili mishono
    Hatuwezi kuwa marafiki bila ngono nawaeleza
    Mnapoona padogo pana taswira ndefu
    Kiasi haujui si ndio tuliopigana vita yenu
    Hata mkiamka mmekuwa wanaume leo
    Mtagundua kuwa jinsia sio cheo
    Wapendwa tukishindana mtashindwa
    Hata mkishinda ushindi wenu hautalindwa
    Kama ambavyo kila mmoja anatumia choo chake
    Kila mmoja a-play role yake na awe bingwa
    Dear women
    Ndoa sio mafanikio
    Kuna wengi wanakonda maana ndoa zao sio
    Ndoa ni mwiba usijivune
    Ukiipata niamini unaweza kukamilika bila mume
    Dada baki shule bila elimu utateseka
    Ukitegemea urembo ipo siku utazeeka
    Kama ukiweka mwili wako hisani
    Ukizeeka tutajali ulichonacho kichwani
    ‘Skiza’ hata wanaume tuna doubts too
    And this world doesn’t revolve around you
    Tuna stress zinatufunga na tena
    Kazi zetu ni ngumu ndo’ maana tunakufa mapema
    Kama unahisi upo huru umepotoka
    Hauwezi kuwa huru wakati umelipiwa posa
    Dear women
    It’s okay kuwa namba mbili
    Majukumu sio mashindano acha kukalili
    It’s okay kumlea mwanaume asiye na kazi
    Ukaendelea kumuheshimu bila kumshusha hadhi
    Mbona sisi tunalea wanawake masikini wamekata ringi na bado mtaani hatutatangazi
    Mwanaume ana jukumu la kujenga msingi?
    No, msingi unajengwa na elimu
    Kwa mfano nani anayekubali kucheza uchi kwenye videos? Jiheshimu nikuheshimu
    Urembo pia ni power, ila ni power na iogope
    Maana ni upanga unaokata pande zote
    Ngoma ya uzuri haitovuma milele
    Ukiutumia urembo vibaya utakuvunja mwenyewe
    I wish ungejua unachowaza ni muhimu,
    ukifanyia kazi na kuwa wa kwanza si’ majibu
    I wish ungejua kwamba asili imenipa umwamba
    Nikulee, kukulea wewe ni msaada si’ wajibu
    I wish ungejua tuko tofauti hata utunge dini
    hauwi mwamba kwa kumweka mwanaume chini
    I wish ungejua kuwa kichwa ni hukumu
    Maana hakuna kinachotisha kama jukumu
    Wangapi tumelelewa na hao single mothers
    Maskini and we turned out just fine
    Maybe idea ya kuacha kujali mtoto sababu
    Baba mjinga ingeachwa far behind
    Tunasubiria uhalisi ubadilike
    Labda uhalisia haubadiliki huu
    Labda ni wakati wa kukubali ili yaishe kwamba
    Mtoto ni wa mama na baba ni rafiki tu
    Lini mtaacha kutuita madanga ma-sponsors? Ndio, niheshimu nikuheshimu nitaacha wewe
    Ukiona imetosha, au sio?
    Najua tuko tofauti
    Na tofauti itabaki hivyo milele
    Usinichukie nielewe
    Dear girls, dear women
    Ni sisi kina kaka kina baba, wanaume machizi wenu
    Tunawasilisha kutoka upande wa juu, upande mbali uliowekwa na asili yetu

    • @snashbwaii170
      @snashbwaii170 2 ปีที่แล้ว +4

      Daaah we mzee una andikaga saa ngapi🙆‍♂️ au una andikia baharini

    • @shabaniadolph7367
      @shabaniadolph7367 2 ปีที่แล้ว +1

      Dear.....,.

    • @anoldjulius9352
      @anoldjulius9352 2 ปีที่แล้ว

      Dah, af tuzo bora ya hip hop anapewa flan, maaaaaninaaa

    • @shariphidrissa4796
      @shariphidrissa4796 2 ปีที่แล้ว

      Hii IQ level nyingine kbs

    • @ahmedsdk6736
      @ahmedsdk6736 2 ปีที่แล้ว

      Dizasta Vina

  • @rolandkingia2975
    @rolandkingia2975 2 ปีที่แล้ว +28

    Huyu masta Ndio the Best Hiphop story telling in East Africa

  • @ahmednuhu2386
    @ahmednuhu2386 ปีที่แล้ว +6

    ningekua raisi ninge shinikiza hii ngoma itumike kama mashairi mashuleni kwaajili ya kujibia mitihani angalau tungepata watoto wanao jitambua.......hili shairi kwangu halichuji kila siku naona jipya

  • @beatbyrich2891
    @beatbyrich2891 ปีที่แล้ว +9

    Imeachiwa mwaka mmoja uliopita lakini Vyombo vyetu na wanahabari Hawana muda wa kuzungumzia tungo hii!!!!! Nasikitika kuona vipaji kama hivi Vikiwa underrated 😢. Hii simulizi ungetengenezea na kitabu. Salute kaka wachache tunajua

    • @FaustiniJoseph-xk1sr
      @FaustiniJoseph-xk1sr ปีที่แล้ว

      Mwana hip-hop Bora wanampa billnass hii nchi dah😅

    • @TanzaniaTaiji
      @TanzaniaTaiji 9 หลายเดือนก่อน

      Kitabu cha dizasta

  • @karimchindema9823
    @karimchindema9823 2 ปีที่แล้ว +11

    Kazi nzuri,,, at least nimepata kitu Cha kufundishia wanafunzi wangu wa literature

  • @husseinyassin3237
    @husseinyassin3237 2 ปีที่แล้ว +17

    Hii ndo maana ya hiphop kuzungumzia changamoto na maisha ya kila siku kwenye jamii yetu dizasta vina👏👏👏🙌

  • @rafeageefilan5544
    @rafeageefilan5544 2 ปีที่แล้ว +12

    DIZASTA nusu mtu nusu rap mashine UWEZO WAKO MKUBWA MNOO😇👏👏👏🙌

  • @razackyahaya7798
    @razackyahaya7798 2 ปีที่แล้ว +10

    Uwezo... Muandiko... Dizasta OG nakubali kaka

  • @29WavesTV
    @29WavesTV 2 ปีที่แล้ว +13

    Kazi nzuri inahitaji vichwa timamu kuelewa jamaa anamaanisha nini. Pia watu tufanye kusupport kazi nzuri ka hizi utunzi murua!👏🏻👏🏻💥🔥

  • @gabrielflavianus5033
    @gabrielflavianus5033 2 ปีที่แล้ว +12

    Umechora sana mzee! Umebalance vyema kabisa ,big up!!

  • @yusuphnassoro8836
    @yusuphnassoro8836 2 ปีที่แล้ว +11

    Dizasta Aandike kunyoosha hii Tz. Alipoachia Ndoano nikadhani kabahatisha, niliposikia Hatia1-4 nikawa fan, alipoachia wimbo usio bora nikawa AC kabisaa now this guy is becoming my role model in writting ✍✍✍.

    • @nickman4435
      @nickman4435 2 ปีที่แล้ว +1

      Siku utasikiliza tatuu ya asili na The lost one utachanganyishwa na akili za huyu shujaa bro

    • @yusuphnassoro8836
      @yusuphnassoro8836 2 ปีที่แล้ว

      @@nickman4435 Agreed, jamaa ni Genius alaf no matusi no wanawake walikaa uchi yani chikichiki rap na elimu

  • @athumanihamadi6619
    @athumanihamadi6619 2 ปีที่แล้ว +24

    What a talent. Uyu jamaa ni best story teller angekuwa mambele huyu angeimbwa kila uchao

  • @topranking013
    @topranking013 2 ปีที่แล้ว +12

    Pande zote mbili zimeguswa vilivyo
    Big up

  • @patrickmartinmsuya367
    @patrickmartinmsuya367 2 ปีที่แล้ว +5

    Inauma sana kuona Mziki wa maana kama huu haupewi promo mtaani tumejawa na singeli

  • @LugomboMaKaNTa
    @LugomboMaKaNTa 2 ปีที่แล้ว +6

    Uandishi na ghani za ulimwengu wa juu sana ✊🏿💪🏿

  • @ot8396
    @ot8396 2 ปีที่แล้ว +10

    DIZASTA VINA Nusu mtu Nusu Rap Machine. We proud of U Homie

  • @immanuelmwaipopo1605
    @immanuelmwaipopo1605 2 ปีที่แล้ว +13

    My favorite artist in the planet

  • @user-pu4di3sz5z
    @user-pu4di3sz5z 3 หลายเดือนก่อน +1

    Napenda kusoma haduthi mba limbali dizasta umetoa uwelevu wangu kupiia macho sasa natambua kwa kusikiliza asante d napenda busala zako katika utunzu wako mfano ulipo sema muite dem mama yako vijana wengi huwathalau wana wake mara nyingi mwana ume akishindwa kufanya jambo fulani huitwa mwanamke hii inathihirisha wanaume walio wengi huwa thihaki au kuwatharau wanawake daaaaaa

  • @micochazi9153
    @micochazi9153 2 ปีที่แล้ว +7

    Si tatizo mwanamke kuongoza njia sometimes

  • @isl7113
    @isl7113 2 ปีที่แล้ว +12

    Atleast in the midst of all these bubble gum artists bado kuna mwamba bado amestick kuspread knowledge tena bila kuwa biased na jinsia ....well balanced content ....much love Ninja

  • @kelvinkeita319
    @kelvinkeita319 2 ปีที่แล้ว +2

    Moja ya binadam wachache kabsa dunian ambawo huwa wanaletwa ili kuwafundisha watu jisi ya kuishi Big up sana br dizasta heshima kwako daah nmejiona mwenye dhambi kubwa sana kwa kuwadharau mabiti kubeza uwezo wawo na kuamin wawo ni chombo cha stareh tu hi fkira au mitazamo ya namna hi kwenye jamii inabidi iishe kabsa hongera sana br mungu akubariki ww na uzawo wako

  • @neko9869
    @neko9869 2 ปีที่แล้ว +9

    Muscular feminist# 👊🏿✌🏿💪🏿# THE VERTELLER 🔥🔥🔥🔥

  • @yuzhoshaban5367
    @yuzhoshaban5367 2 ปีที่แล้ว +6

    Kuanzia sasa we ndio best rappper, best lyricist, best emcee, best artist, best best best....

    • @Mina-mr3ol
      @Mina-mr3ol 2 ปีที่แล้ว +1

      Hujawah kukosea tunaokufaham na kufatilia kaz zako tunajua ila unatutesa sana hit kama hz unachukua muda kutoa unatufanya tuwe bored jitahd kuleta kaz kaka naamin uwezo wako

  • @alexselias9420
    @alexselias9420 2 ปีที่แล้ว +4

    Pengo la King Zilla limezibwa kikamilifu kabisa na huyu mwamba

    • @johannesjoseph7496
      @johannesjoseph7496 2 ปีที่แล้ว

      Bongo hajatokea lyrical mcee ka dizasta..

    • @alexselias9420
      @alexselias9420 2 ปีที่แล้ว +1

      @@johannesjoseph7496 huyu mzee baba wa moto kinoma noma ni ile anakata mawimbi balaa

  • @jodyntilayoungpapo9189
    @jodyntilayoungpapo9189 2 ปีที่แล้ว +2

    Ninayotaka kusema hapa sio siri katu....d hustle✊

  • @josephmmbando2899
    @josephmmbando2899 6 วันที่ผ่านมา

    Vina hatari sana we jamaa! Unaandika babuu…. my son should come and see this verses! 🔥

  • @geraldyona5597
    @geraldyona5597 2 ปีที่แล้ว +5

    Best rapper in Tz💫....... unaandika snaa brz kudos kwako

  • @philimonambilikile6645
    @philimonambilikile6645 2 ปีที่แล้ว +2

    Dizasta my brother jah bless you walio juu yanajifanya hawajuhi umuhimu wako kwa game letu leo na kesho nakukubali

  • @snashbwaii170
    @snashbwaii170 2 ปีที่แล้ว +2

    Hapa bongo hakuna kama wewe mzee we ni hatari zaidi ya dangerous

  • @giftelia5535
    @giftelia5535 2 ปีที่แล้ว +2

    Mwimbaji si mtu huyu, huyu ni mtume zawadi ya Mungu kwa jamii..

  • @johnjenks9519
    @johnjenks9519 2 ปีที่แล้ว +2

    Yean natama ngoma zako zote zingekua zinafika angalau views m1 had m10 sema ndo ivo wabongo tuanafkilia vitu kwa ulahisi ila mungu yupo vina d zasta

  • @OMYUUN
    @OMYUUN 2 ปีที่แล้ว +2

    Dahhh hatari sana kila mstari umeandikwa ukasimama. Dizasta

  • @pasimillinga262
    @pasimillinga262 2 ปีที่แล้ว +4

    Ipo siku tu dunian itakuelewaa wee jamaa🙌🏾

  • @edwinjabez8352
    @edwinjabez8352 2 ปีที่แล้ว +1

    Tutafika tyuu underground hiphop kuna madeni mengii

  • @Alegria_doPovo
    @Alegria_doPovo 2 ปีที่แล้ว +3

    Dizasta Vinaaaaa the vertelaaa🔥🔥🔥🔥
    Tatizo ngoma za hivi hazipewi promo

  • @cobwaafri
    @cobwaafri ปีที่แล้ว +1

    hii ngoma naisikiliza alafu naisikiliza tena madini ni mengi sana humu

  • @nyikumbarasylvester8505
    @nyikumbarasylvester8505 2 ปีที่แล้ว +1

    Huyu jamaa hua anakula nn?kiukwel dizasta vina ni extra odinary👐💪

  • @maschalqaalqadivu6393
    @maschalqaalqadivu6393 2 ปีที่แล้ว +2

    Jamaa unajua sana ngoma Kali hatarii oya mwamba we nimshindi

  • @mr.katapa_jr4074
    @mr.katapa_jr4074 2 ปีที่แล้ว +18

    KING of story teller
    DIZASTA VINA 🙌

  • @BUSHASHASWITCH
    @BUSHASHASWITCH 2 ปีที่แล้ว +1

    Love from bushashacomedian ubabe ukiutumia vibaya utakuangusha chini mwenyewe thanks very massage

  • @el-hajjel-shabbaz8078
    @el-hajjel-shabbaz8078 2 ปีที่แล้ว +2

    Nerd, we jamaa ni hatari sana asee👏👏👏👏👏

  • @isakakipalule9749
    @isakakipalule9749 ปีที่แล้ว +2

    Ngoma mbili kwenye ngoma moja

  • @alphamartin9947
    @alphamartin9947 2 ปีที่แล้ว +1

    Kaka nakukubali adi naumwa.
    ''kukulea wewe ni msaada sio wajibu'' kunahisia umeziamsha apa 👊👊👊

  • @Mr.Kibabu
    @Mr.Kibabu 2 ปีที่แล้ว +2

    Hakika Hip Hop ipo kwenye Mikono salama ya Dizasta

  • @jumaibrahim4297
    @jumaibrahim4297 2 ปีที่แล้ว +2

    Dah sijui hata niandike nini..! Ila Dizasta ni mtu na nusu 🔥🔥

  • @twamanjatwasini4200
    @twamanjatwasini4200 2 ปีที่แล้ว +2

    Ukiskiliza hizi ngoma unatamani ata siku moja usije kufa daah! Unavyo🗣 nichezea tambua kuwa nazeeka mapema

  • @dickmlawa8843
    @dickmlawa8843 2 ปีที่แล้ว +1

    Nishasikiliza mala 20 nabado napenda ngoma isiishe fungua shule dizasta

  • @salimkigarimbwe4911
    @salimkigarimbwe4911 3 หลายเดือนก่อน

    This is my best song from dizasta apa mzee kaumiza kichwa sanaa😮 🇰🇪🇰🇪

  • @kaminyogediallo7338
    @kaminyogediallo7338 2 ปีที่แล้ว +15

    Tunatumia vitabu vya kina Wole Soyinka wakati hii ni fasihi tosha toka nchini kwetu, Disasta we ni zaidi ya kawaida.

  • @omkamasamson9050
    @omkamasamson9050 2 ปีที่แล้ว +2

    hii kazi kubwa ....ubongo ulifanya kazi sana big up sana

  • @godwillmawere5533
    @godwillmawere5533 2 ปีที่แล้ว +1

    Mwanaharakati katikati katika kusemea suruali na sketi
    Uwe na maisha marefu saana

  • @saidijuma9386
    @saidijuma9386 2 ปีที่แล้ว +1

    Kazi nzuri brother hii zaid ya wimbo usio bora

  • @frederickfelix539
    @frederickfelix539 11 วันที่ผ่านมา

    Macho yameona, masikio yamesikia na ubongo umeconfirm..you are the best to ever do it, Damn

  • @winfredykahwili1513
    @winfredykahwili1513 2 ปีที่แล้ว +1

    Hivi dizasta huu unyama Huwa unauchimbua wapi🤸🏼‍♂️🤸🏼‍♂️🔥🔥🔥🔥

  • @bryanabwaku7187
    @bryanabwaku7187 2 ปีที่แล้ว +8

    This is ART in its purest FORM. Damn!!

  • @KadTheGenesis
    @KadTheGenesis 2 ปีที่แล้ว +4

    favorite track

  • @zolomwashinga9074
    @zolomwashinga9074 2 ปีที่แล้ว +1

    Ngoma kali haujawi feli broo kuandika unajua sana ila sikutegemea kuwa naweww utakuwa ni yule mtu asiye jibu dm za mashibiki wake

  • @facebmzeewakimba1546
    @facebmzeewakimba1546 2 ปีที่แล้ว +1

    Hapo Tamaduni zaidi na zaidi labda dizasta

  • @KennyGaudence
    @KennyGaudence 2 หลายเดือนก่อน

    Olaaa hii Ngoma nishaisikiliza 100times kiukweli kinachotuua wanaume ni hii kauli mbinu haki sawa

  • @johannesjoseph7496
    @johannesjoseph7496 2 ปีที่แล้ว +3

    Uliposema nikiwaka naweza mgeuza fid akawa sajina sikuelewaga..
    Ila adi leo nimegundua bongo hakuna mwandishi mkali zaidi yako. Salute bro.. Stay real.. Kitu kizuri ujitaftia njia yake chenyewe.. Soon raia wote wa tz na east africa watakupa heshima na 💰zako

  • @stiffmenake4700
    @stiffmenake4700 2 ปีที่แล้ว +3

    Lifetime music .. ni historia kwa vizazi 🔥🔥🔥

  • @brownbreezzy4136
    @brownbreezzy4136 2 ปีที่แล้ว +1

    Dizasta Vina we jamaa una madini sana..

  • @joachimjohn6444
    @joachimjohn6444 2 ปีที่แล้ว +1

    Sema huyu Jamaa aisee.. 🔥🔥 haya bana, tuache watu waendelee na hizo za nifinyie kwa ndani badala ya kufungua masikio upande huu, Dizasta ni Shule ya bure ada ni masikio yako tuu

  • @amirymohammed4229
    @amirymohammed4229 2 ปีที่แล้ว +3

    Broooooooh we nitiba

  • @Miatv_tz
    @Miatv_tz 2 ปีที่แล้ว +1

    Du du du du huyu ndio msanii pekee anaepaswa kukabidhiwa bendela ya nchi.

  • @amanimwawila1302
    @amanimwawila1302 2 ปีที่แล้ว +1

    Kaka we ni no1 sio tz ni dunian upande Wang 💪💪

  • @thelivingwelltv6399
    @thelivingwelltv6399 2 ปีที่แล้ว +1

    Hivi huyu jamaa mbona ana balaa la kijini kabisa,inamaana kweli hawaoni uwezo huu wa hatari alionao!!?Man i love hip hop na hii ndio hip hop,Dizasta yo genius bro

  • @Regnard999
    @Regnard999 ปีที่แล้ว +1

    Women as second class citizens!! Asante kwa kunikumbusha kozi niliyoisoma chuo kikuu katika Literature i.e "Feminism"- UDSM😍😍

  • @chipdady90
    @chipdady90 2 ปีที่แล้ว +1

    My brother mwenyezi MUNGU akupe umri mrefu...uzid kutupa vitu vzuri nakukubali San.shabiki yako kindaki ndaki hap.

  • @viceboirapper1121
    @viceboirapper1121 2 ปีที่แล้ว +3

    Namkubali hilii jamaaa had so powaa

  • @alikadidi
    @alikadidi 2 ปีที่แล้ว +3

    Msimuliaji 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @albanitarimo9721
    @albanitarimo9721 2 ปีที่แล้ว +6

    Genius of this generation ma main man Dizasta vina much respect broo

  • @ussiussi3413
    @ussiussi3413 2 ปีที่แล้ว +1

    Hongera bro kwa uandishi mkubwa kama huu.

  • @diofpinto7520
    @diofpinto7520 2 ปีที่แล้ว

    brother disasta sina mengi ya kusema,nakukubali mno.hakika mungu amekuchagua kutetea na kuelimisha jamii

  • @juliasmariki7158
    @juliasmariki7158 2 ปีที่แล้ว +1

    Kwann awakup heshima yako wakati wew ni mungu..

  • @Billysign-li4qr
    @Billysign-li4qr 10 หลายเดือนก่อน +1

    MASTERMIND DIZASTA VINA🔥🔥🔥 keep goin' hommie the steet watching yo bruuh🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿

  • @OVMiNG
    @OVMiNG 2 ปีที่แล้ว +1

    The Verteller, endelea kuokoa hiki kizazi chenye fikra potofu✊✊ wewe sio rapper tu bali ni GENIUS

  • @Patrick-Nahunda
    @Patrick-Nahunda 2 ปีที่แล้ว +12

    This is Hiphop✊🏿👍🏿

  • @rhymefreak4815
    @rhymefreak4815 2 ปีที่แล้ว +17

    As a lover and practitioner of the culture, this is pure HIP-HOP pure art. Mad love and respect to you my brother.
    Umeiweka vile inafaa🔥🔥💯 long live the king👑🙌🏾

  • @TanzaniaTaiji
    @TanzaniaTaiji 9 หลายเดือนก่อน +1

    No one like you brother... ni wewe unayeifanya HipHop.. kwa Africa wewe ni Namba 1... SIJUI UNA ELIMU GANI.

  • @anthonymgogo2651
    @anthonymgogo2651 2 ปีที่แล้ว +2

    Uliletwa kwa sababu man keep on grinding!

  • @jombaa182
    @jombaa182 2 ปีที่แล้ว +2

    Hujawahi niangusha dista vina sema ztokee nyingi ukimya unatunyima Radha mafans

  • @donprince9752
    @donprince9752 2 ปีที่แล้ว +5

    Your the best lyricist and emcee I never see ..keep up blood

  • @col.mayungamayunga2039
    @col.mayungamayunga2039 2 ปีที่แล้ว +1

    Sina neno kubwa Zaid ya Asante kwa burudani

  • @dickmlawa8843
    @dickmlawa8843 2 ปีที่แล้ว +2

    Toa moja awam ya tano na yasita selekali✍️🙏

  • @maggamudrick5154
    @maggamudrick5154 2 ปีที่แล้ว +5

    Rap machine and genius master 🙌

  • @johnjenks9519
    @johnjenks9519 2 ปีที่แล้ว +1

    Dah naumiaa sana jins unavofanya kazi nzur afu baazi ya watu wanashindwa kukuelewa nakubali sana kaz zako broh

  • @markhassan4506
    @markhassan4506 2 ปีที่แล้ว +1

    Dizasta akili kubwa sana

  • @aboumogrey6553
    @aboumogrey6553 2 ปีที่แล้ว +2

    MC mwenye mabalaa 🔥🔥🔥

  • @Zilizopendwa_60s
    @Zilizopendwa_60s 2 ปีที่แล้ว +1

    Aiseeee.... Barikiwa sana

  • @official_bk_melodytz2802
    @official_bk_melodytz2802 2 ปีที่แล้ว +2

    mzee umeua sana 🙌🏾🙌🏾

  • @husseinmassawa7186
    @husseinmassawa7186 2 ปีที่แล้ว +1

    Hii arts na akil iliyotumika humu, sio ya kibinaadam hata kidogo, dizasta you need a special recogntion, wewe ni extraodinary

  • @sifunikihanza1448
    @sifunikihanza1448 2 ปีที่แล้ว +1

    Dizasta una akili mingi sana mbeya boy

  • @thagondale9041
    @thagondale9041 2 ปีที่แล้ว +12

    This one is Deep bro...🔥🔥🔥🔥
    And as usual I am not dissappointed ...

  • @rakiticbanega5878
    @rakiticbanega5878 2 ปีที่แล้ว +2

    Vina ✍

  • @cleva3698
    @cleva3698 2 ปีที่แล้ว +4

    Masta vina vimenyooka🔥🔥

  • @selemaniselemani591
    @selemaniselemani591 2 ปีที่แล้ว

    daahh bro popote ulipo leo ndio mara yangu ya kwanza kusikiliza ngoma ya hip hop mpaka machozi yananitoka daahh broo unajua sanaaaa

  • @Treasure16Official
    @Treasure16Official 2 ปีที่แล้ว +1

    Dizasta my bro hii ni ya moto inaunguza